Kama angepata nafasi asome nampa ushauri binadamu tunakuwaga smart sana tunapopita ktk maisha duni lakini pia binadamu tunabadilishwaga kiasi kikubwa sana na mafanikio kama maelezo hayaeleweki asome Kumbukumbu la Torati 8:12-16 ushauri wng kwake kile alichonacho ally kisipotee kwa presure ya mazingira.
Alikamwe mtu makin Sana aiseee nilitaman aje Simba lakn ,,,,bas tu all the,, best mwamba
Kweli wewe ni Simba?
All the best
Braza makin sana nakupenda bure tu....unayo akili
Ulisema Bumbuli kaachwe hujakosea kwa vile kulikuwa na Nafasi ya kumuongezea Muda na Haikuwa!
kiukwel kwa sasa yanga wamekuwa sana
Kama angepata nafasi asome nampa ushauri binadamu tunakuwaga smart sana tunapopita ktk maisha duni lakini pia binadamu tunabadilishwaga kiasi kikubwa sana na mafanikio kama maelezo hayaeleweki asome Kumbukumbu la Torati 8:12-16 ushauri wng kwake kile alichonacho ally kisipotee kwa presure ya mazingira.
Yuko smart sana