ALLY KAMWE "AHMED ALLY ANGEKUSIKILIZA MNARA WA 5G /NILIMPA HELA DJ APIGE KANYAGA NA WAMEYATIMBA.
Vložit
- čas přidán 5. 11. 2023
- Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga SC, Ally Kamwe ametema Cheche zake baada ya kumfunga Mtani wao Simba SC Goli 5-1,Kwenye Mchezo wa Novemba 5,2023 wa Ligi kuu ya NBC,uliopigwa Dimba la Benjamin Mkapa.
Aidha Ally Kamwe ametupa kijembe kwa Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally baada ya kuona post zake mitandaoni. - Sport
Semaji LETU Vimba yaan hadi WASEME 🎉🎉🎉🎉🎉
ALLY KAMWE ULIWAONYA MAKOLOO AU ULIMUONYA AHMED ALLY ASIPELEKE TIMU KIWANJANI LAKINI UBISHI WAO MAKOLOO ULIWAPOZA WAKAPIGWA NA KITU 5G
Juzi wakati kapombe anaongea na wanahabari alionesha ku_panic na akasema "tumeandaliwa kisaikolojia" ina maana walishaona kipigo kikubwa.
Nilikuwa nangoja Ally Kamwe umshushue Ahmed Ally kwamba amekuiga alichofanya ni kibadili sentence tu nimependa sana ulivomshushua maana nilingoja kwa hamu nikasema Ally Kamwe mbona hamjibu muigaji??nimefurahi sana umenifurahisha sanaaaaaa 🎉🎉🎉🎉
Ila jeni na Ali jaman 🎉❤
Mpenja Tv mnalipa vizuri, mtangazi amenona kweli kweli tangu atue Mpenja tv
😅😅😅nimecheka sana hapo kwa macha
Semaji la 5g chukua 🎉🎉🎉🎉🌹🌺🌹🌺🌹🌺🌺🌸🌷🌷🌸yako Sasa hivi tunasalimiana 🖐️🖐️🖐️🖐️💚💚💛💪
Kamwe na Jane ni duo moja hatareeh sanah wanaelewana sana sanah.
Hatarii🖐️
Yani napenda kukusikikiza mda wote Kila mara
Watoto wng napendaga sn Allah akuzidishieni Kheir huu yeni Inshaallah
Nimecheka sana, semaji kanichekesha hadi machozi... Eti birian la shughuli kila mmoja lazima aonje ... Pacome kalipitia pilau la umma! Hii nimeipenda ...!
🤣🤣🤣🤣🤣hata mimi hapo ndo aliponivunja mbavu Ally
Ila ally kamwe we kiboko ndo maana baba ako kakublok aliogopa hizi kero umewakeraa hadi rahaaaa
Wee Ally wewe mungu anakuona 💚💛💚💛💚💛🌿🍀💐💐
Kweli msemaji wao ni wa ovyo kweli,kwa maneno hayo hata nani lazima ukasirike.
Mmetisha xtori vile, kumbe watu wako kazini.
Ally Kamwe; Unsung Hero
hongeleni mpenja picha ipo clear sana big up
Kweli atimae akatupa mpila chini hahaha 😢😢😢 Bado awasema
We mdada ulimwambiya 5G itapanda akabisha 😅
Yanga raha Sana❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Biti shayo una voice mashallah 🎉🎉🎉🎉🎉
Jane huwa anenjoy sana akimhoji alikamwe na anakuwa huru na anapoint za kuuliza, huwa napenda sana na sikosi mna kabond fran hivi❤
Unanipa raha jaman ally kamwe .mimi leo salam hakuna saut mkono 5gp❤
Ally kamwe ww unakipaj chakuongea hongera san una acha tulinge na yanga yetu mungu akueke myaka mia
Ali kamwe kijana ww unautulivu sana endelea ivoivo akili nying kichwani co midomo mirefu yanga rahaaaa
Ila alikamwe anakera sana kwamba pilau la umma😂😂😂😂😂
Mshono haushoneki sbb mgonjwa ana matatizo zaidi.
Asante kjn Ally Kamwe kwa uchambuzi fasaha,Narudia K/koo,Ilala,Dar pia Jamhr ya Tz shwariiiiiii,mambo bul bul.
Wana kulitafuta,wana kulipata.
Na bdo,puchu puchu kwa Namungo !!!
Timu ya Simba (wachezaji na benchi ya ufundi) wakiendelea kuamini tambo za kitoto za msemaji wao, mashabiki na wachambuzi uchwara, haitafanya vizuri kwenye kundi lao la "CAF Championship"
Kundi hapa linahusu nini apa masuala ya 5G tu
Masuala ya malundi inshallah.mambo ya baadae
DAAAA WATUACHA HOIII SEMAJIIIII PILAUU AKALIPITIAAAAA 😂😂😂😂😂😂
Ally Kamwe noma sana....umewakomesha makolo, demu anaekuhoji aliposkia ma5 kwenye mvua halafu bado kidog tu.....iwe sita pkt 2 akasema duh! amewaza mbali sanaaaaaa ka emotions flan hv amazing nahis kataman angekuwa yeye ndie makolo aenjoy hizo 5 -:) manake kono la nyani sio mchezooo ujue.
Ally Kamwe, your the man. You are not like others spokespersons who say things before they think . Keep doing the great job please sir . We are with you .
He always talks sense.
Dude is cooking
Keeli
🤣🤣ila semaji bhana kwakweli tunainjoi
Ally eeeeeeeeehhhh, oa huyo mnaendana..!
I like this lady she is very talented n she knows how to start conversations!! I wanna meet her n appreciate her work
Like wise
😂😂😂 mtoto kakuchanganya kaka
Yanga raha sana🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️
Hapo nikweli kbs kibu anajisahau kuwa yeye ni mfanya biashara
Tff ni uchafu wanaharbu ligi kwa kufever baadh ya tim ni ujinga
Ninafuraha mpaka sitaki kucoment bwana ally
😄😄😄😄😄👆Ally punguza kuwakera watu.kwani bado tunakuhitaji Sana 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤️
mwache ajimwage ni haki yake
Na uzuri sa Aly halopoki onyo na sauti yake iko vizuri na anaongea vitu vinavyoeleweka lkn yule mbana pua anachekacheka ovyo tu kama shoga
Refa kule bunju awe Ahmed ally,Kamisaa mangungu
Wamshukuru refa hakuongeza hata dakika tulitamani 6 ila kocha hapo alitukosea
Dogo 5G uliwaambia mapema ila ni wavivu kuelewa kwa saabu wanajiamini eti wana derby na mechi kutoka Misri hawajui kuwa hata walala hoi wanawaibia matajiri wake zao?
Huhuuu! Yaani unatoa raha sana Ally, Bunju kuna mafisi😂😂😂
Wawasogezee mechi yao hata Nov mwakan watajua wenyewe
mambo matano na standard ya utani.. hongera sana semaji..
Siku ya jana ilikua ni jumapili tarehe simba mwezi wa kumi na moja 2023 ha ha ha
Lkini ally kamwe anakupenda nawewe unampenda maana naonaga hisia kwenye macho yenu❤
Sasa yanajirudia Yale yale ya miaka ambayo watakuwa na viporo 8 sasa hivyo ndio vitawapa ubingwaa🙈🙈😅😅😅😅😅
Ally upo vizuri ki mazungumzo unafanya msikilizaji apende kukusikiliza zaidi na zaidi.Unashajiisha.
Wape habari🎉😂🎉
Hujaangalia vizuri @alikamwe ile touch ilibita tobo la nyuma kama kelbu, then ikapita la mbele kama kofi na kwenda kwa manula.kama chupi,
Umeua ndugu
Hii imeeenda 💚💛💚
ww ali ww unajua kukela 😂😂😂💚💛💛💛💛
Ali kamwe vimba vimba mwamba wangu
Where, which, when 🤣🤣 ally wewee 🙌🏼
Ila alikamwa 😅😅😅ni kiboko
Dada Jeni naomba ukamfate yule dogo suda nae namsikie furaha yake kama tunamuona vp uliopokeaje mnafa wa 5G
😂😂😂😂alikamwe anajua sana
HV AHMED ALLY HAJAHOJIWA SEHEMU YEYOTE AU YULE MSIMBE WAO K-MZIWANDA
Raha sana
Tuliposema kunaupangwaji matokeo nawanaofanya hivyo ni TFF wenyewe wanataka kulazimisha simba mbovu iwe bingwa sasa sijui itakuwa ligi namba ngapi kwa ubora maana shida nikwamba mpira wetu tumeuweka live kwahiyo karia anaenda kututia aibu asipoangalia na shirikisho lake kisa mapenzi yake kwa simba
Haa yanga mbele daima mwiko
🎉
Ali Kamwe mpuuz sana et kijana kakimbiq mloganzila dozi kaenda Taifa kakutana na mikuki 😂😂😂
Ilo sio laubishi lilijionyesha wazi wazi kbs alianza na Ngao amepambana akafanikiwa timu yake ikaibuka na ushindi kwa penalt za mchongo akatengeneza mechi ya ngao kuwa ligi yeye ndo Raisi wa kwanza ngao ya Jamii kuifanya kama ligi timu nyiiingi yaan jamaa hajielewi aisee sijawahi kuona ngao ya jamii imegeuka kuwa kama ligi 🤣🤣🤣🤣
@@rogersiddy❤❤❤❤❤❤
Ali mjina Sana Yan anaelezea taratibu kwa uzuuuuuriii kabsa 😂😂😂 penda Sana semaji❤❤❤
😂😂😂😂😁😁Yanga tamu
Mpira ni vita hivyo Kinga ni muhimu sana Kwa semaji la Yanga. Kinga ya kwanza ni yeye kupunguza matembezi yasiyo sababu pili awe na makamanda.
Twapongeza uongozi wetu kwa uongozi mzuri
kama mimi ndio naamuka
Haly kamwe ni matatizo, ukienda uwanjani unakutana na wachezaji, ukija nje unakutana na priva na kamwe
Unapigwa nje ndani
😂😂😂
Yaani nimecheka kwa sauti na haya maongezi,eti kamwambie yanga watatuuwa afu naye eti nimechoka siendi mie duuh😂😂😂😂
Ali pusha wako nami namuitaji namimi shabalax😅😅
Ally Kameez ujue unawakeraaa mokoro😂😂😂😂
Semaji letu pambeeee linajua kukeraaaaaaaaaaa😂😂😂😂
Ally hana huruma tee hee 🤣
Duh! Mwamba wapunguzie mkando maana we unawkanda na maji barid wakati wametoka kujifunua
ksmwe nimekuerewa kuriko yure ws simba ajui kitu
Nimecheka sana
Walikesha wakilinda uwanja lakini mnara ukasoma five G hapo ndoo wanapoumia
Dogo mmoja kagawa biriani ikesha akasema kuwa kama kuna mwana yanga amekula biriani yao atatapika tarehe tano hatimaee kilichomkuta kala unyooyaaaaaa
Kamweeee uyooo tambaa babaaaa
Ali Kumbe ulisambaza kicheko cha Semaji la CAF 😂😂😂
Daa kwa yanga hii bs simba wajitafute sn,ona hadi wabunge wanapiga kelele na kusahau wananchi wa kipungunguni mashariki
Wakeleeee❤
Naipenda yanga Ali kamwa uko bowa
Sema ally kamwe anakera bhn😂
uzur nikwamba kamwe anakumbukumb nzur kuhus matukio ya msemaji wa simba alaf yanamjia wakat sahihi yale matukio
Ila Ally Kamwe,
Hapana jamaniiii
Ally kamwe ulisema ukija kulipa kisasi kwa simba kuwafunga goli 5 ndo utaowa sas fanya uowe sas tupate wifi
Jmn nimechelewa kuangalia intwev hii aki nimecheka ww Ally Kamwe😂😂😂😂😂😂
Et nmechoka bas kuwa wew captain
Eti sema LAAAAAH kiti asije akakasirika😅😅😅😅😅😅😅
Ila Ally Kamwe bana, eti tobo watu wawili. Tubwii tubwii😛😛
Yangaaaaa
Naisikia game ya Simba vs Azam imerushwa Hadi January,badala ya Tarehe 28 November.😂😂😂 ili wajipange.😅😅😅.
Usajili wa dorisha dogo at work.
Hii yote ni 5G tu au kuna lingine?
😂😂😂😂😂 nakupenda bure
Shabananksiiiiii
Tumekuelewa Kamwe
hatali ogopa yanga noma
Dada ulisomea wapi uandishi habari? Ukp professional kwakweli
Wameyatimba kwelii wz n kwamba walilia😢😢😢😢 Ally unawakera😂😂😂❤
Wewe mtt unatufanya tufurahi sana😂😂😂😂
Dada n mnafki huyu😅😅😅😅
Naona kama bado hawajasema hiviii