Hi Lovies Kwahio video nimesahau kueka mayai kwa hesabu so usisahau na bora mayai ununue kreta nzima itasaidia pia kama unaona kuuza nilivyosema nishida kuwa unamwambia mteja akunulie all the ingredients na akupe 300 kama kukulipa mkono wako👌(muhimu vitu vidogo vidogo usimuitishe darling)ukipata muelewa itakua bora mfanyie kitu pambee afurahieee🔥 Video za biashara zengine czcams.com/play/PL0lMsQJd3yDB5YqRtSZUla-Wb9N9XMqd5.html NB:Ukiwa makini sana ama mwenye bidii InshaaAllah mungu anakufungulia swali lolote niandikie hapa chini🤗 #roadto50k
shukran sana,,nauliza swali mi mbona mashine yangu nikitengeza inawivisha chini tuu,,juu huwa nyeupe na pia inachukua mda mrefu kuwiva ,,tatizo nn au nakosea wapi,,nisaidie
Mashallah tabarakallah ❤kwahiyo sio lazim utumie unga w cake..Mm hupika lkn kwa kutumia unga w cake bt leo Alahmdulilah nmeon y unga w ngano kumbe haina tofaut..shuqran jazzilah khery..Mungu akujalie afya njema uzid kutufunz
Kipenzi nikiwa kwangu I use grams ila kwetu sina hivyo vitu next time I will but ukiwa una duka jirani unapeleka tu wanakupimia then ukirudi nyumbani pima na measuring cups
Waaleykhm mussalam warahmtullah wabarakatu kila kitu hapo nimetaja fanya vipimo vyako vizuri na wakati unaeka usijaze excess na sijui unatumia donut maker ipi
Hi Lovies
Kwahio video nimesahau kueka mayai kwa hesabu so usisahau na bora mayai ununue kreta nzima itasaidia pia kama unaona kuuza nilivyosema nishida kuwa unamwambia mteja akunulie all the ingredients na akupe 300 kama kukulipa mkono wako👌(muhimu vitu vidogo vidogo usimuitishe darling)ukipata muelewa itakua bora mfanyie kitu pambee afurahieee🔥
Video za biashara zengine
czcams.com/play/PL0lMsQJd3yDB5YqRtSZUla-Wb9N9XMqd5.html
NB:Ukiwa makini sana ama mwenye bidii InshaaAllah mungu anakufungulia swali lolote niandikie hapa chini🤗
#roadto50k
Mashine sh ngap
shukran sana,,nauliza swali mi mbona mashine yangu nikitengeza inawivisha chini tuu,,juu huwa nyeupe na pia inachukua mda mrefu kuwiva ,,tatizo nn au nakosea wapi,,nisaidie
Sa ukiwa huna mayayi huwezi tengeneza?
Asante sana,.
Thank you for sharing 😘
MashaAllah , Donasi kama Donasi. Thank u for sharing
My babe saw your msg nakutaftia time we talk thankkks loveee❤️❤️❤️
MashaAllah naomba queen cake za biashara
MashaAllah TabarakaAllah waminshar hassidhn idha hassad wallah zimetokea vizury😋😋😋
Shukran my love Ameeen🤗🤗zakusubiriiiaq
Asante
Allah akupe baraka kwa huo ukarimu wa ku share ideas za biashara kwa watu wengine.
Allahuma ameemy love shukran pls sharer
Asante mama nitajaribu nami nipate hela
MashAllah
Thanks sister
Welcome dear
Mungu azidi kubariki kazi ya mikono yako ♥️♥️♥️♥️♥️napenda kazi yako safi
Allahuma ameen mpenzi sante sana nakupenda🥰🥰
Masha Allah
Tabarakallah
Aa dear MashaAllah tabarakalla
Wslam kipenzi afwan❤️❤️
MashaaAllah ddngu mungu akuzidishie moyo huo utuchanue na zaid
Tabarakallah love Allahuma ameen
Mashallah tabarakallah ❤kwahiyo sio lazim utumie unga w cake..Mm hupika lkn kwa kutumia unga w cake bt leo Alahmdulilah nmeon y unga w ngano kumbe haina tofaut..shuqran jazzilah khery..Mungu akujalie afya njema uzid kutufunz
Allahuma ameen darling mm sijawahi tumia unga wa keki kwa hizi za machine
Mashine Bei gani? Na inapatikana wapi
@@HadijaSheban naipata wapi hiyo mashine na ni how much?
Maa sha ALLAH ni tamu sana
Shukran ❤️
Umeni inspire sana....Shukran dear now I just need to purchase the donut maker
MashaaAllah pls kuwa makini ukitafuta zingine huwa hazijai jai ni pana
@@HadijaSheban Shukran JazakAllahu Kheyr
Shukran sana nimepat nguv y kufany hii biashara nilikua nawaza mungu akubariki akujalie kil la kher
Ameen na Mungu akutilie barka
Aslm alekum siz ,naweza kutumia selfrising flour kuliko nitumie baking soda
Asante sana
Karibu sana lovie
Asante dear Allah akuzidishie
Ameen shukran
Mwenyenzimungu akuzidishie kila lakheri masomo manzuri Sana mashaallah
Allahuma ameen love
Mashallah nice wallah😋
Tabarakallah nice sanaa
@HadijaSheban Assalamu alaikum Dada yangu, naomba kujua jina la brand ya Donuts Maker yako. Please My Sister,,,,,,,,,,???
MashaAllah
Thanks
Ahsante kwa somo dada barikiwa,vp kwa kilo moja zaweza toka ngapi na bei pia ni shngap@1 nko Tz
Asante sana kipenzi na Ameen
Asante sanaa kwa mawaidha haya. The donut maker looks pretty and saves a lot on oil and time.
Most Welcome love
😋😋😋
Good donation sasa hauwezi kupata
Sijaelewa
@@HadijaSheban Asante kwa ukarimu wako ,wapi napata hii mashine na ni bei gani? Msaada tafadhali naomba
Baking soda ulieka kiasi gn love
Kidogo sana kama ½tsp tena usijaze
Mashallah
Tabarakallah somo
😋😋😋😋😋😋😋😋
Heri ivyo vipimo ungetuwekea in grams. Asante kwa video
Kipenzi nikiwa kwangu I use grams ila kwetu sina hivyo vitu next time I will but ukiwa una duka jirani unapeleka tu wanakupimia then ukirudi nyumbani pima na measuring cups
Tuseme iyo robo ya blue band ni 250grams pamoja na sukari? Unga nao utakua tuseme 350 grams au
Dada upon vizuri katika hiyo Gani ya donate,je kama Sina hiyo mashine ya kupikia nitumie Nini Ili nifanikiwe kuzipika?
Angalia playlist yangu ninazo hizo donuts za kawaida
Maashallwa, 🙏
Tabarakallah
Nice
🥰🥰
🥰🥰
Wow MashaAllah nzuri 😋😋
Sante sana kipenzi
Umetumia all purpose flour?
Darasa zuri sana. Nauzaje dada mpenzi
yategemea na sehemu uliopo
Nusu kilo yatoa donuts ngapi hivi?
Zinadumu kwa mda gani??
Dada mm nikitengeza hua donuts zangu zakatika katika mbona
Dada,
❤️❤️
Nitajarib
Samahani habbty Naomba vipimo Vya unga kilo moja
hivi nilivyotaja unaeza ongeza mara mbili au tatu
Nzuri zinavutia
Asante kipenzi
I tried it thanks darling nauza sana
Hongera na mungu aendelee kuibariki kazi yako
Hongera hiyo mashine umepikia inaitwje?
Donut maker
Vp kuusu a mila
Sijataja
Je unga kilo moja unatumia mayai mangapi na blueband kiasi gani
Mpenzi kipimo nilichofanya unaeza kuongeza ama kupunguza
Sukari umeweka kiasi gan
Nimetaja kwa video
Km huna mixer waez tumia blender
Yes japo sijawai jaribu ila natumai unaweza
Unauza kwa moja moja au package
Package bora
nitumiye mim mapishi ya kdf
sawa
Daah kama huna bulu bandii utafanya. N n
Prestige
Jinzi ya kutengeneza bagia
ziko kwa videos baby
Mashaallah
Tabarakallah
Asante my dada hiyo mashine inapatikana wapi na je kama sina mashine
Bicarbonate of soda waeka vijiko vingapi dear
Mpenzi unaeza kununua kwa supermarket
Inapatikana maduka ya kuuza vyombo
Shuklan
Karibu
A.a nilitaka kujuwa kwa vipimo hvyo ulotowa zinatoka donasi ngapi??
Ws nimetaja kwa video
Naweza kutumia brenda kama sina hand mixer?
Unaweza Ndiyo
Yes unaeza
Na mtu mwenye hana machine ya kukoroga
unatumia mwiko
Iyo mashine inaitwaje na naipata wapi?
Donut machine
Bicarbonate of soda waeka vijiko vingapi
Nus kijiko cha chai
Mashallah B,p soda umetiya vijiko vingapi
Nipe vipimo za kilo mbili
Ongeza mara nne yake pls
The glass you have used to measure flour ni gram ngapi or its equivalent to the measuring cups
Angalia video utaiona hio glass
Wiwi best Kwa cooking na sorry Swahili yaku not good writing
Ok thank you
Nahitaji donatmaker kama hiyo ntapataje na bei yake sh ngapi?
Uko wapi dear
Na mimi nahitaji ni sh ngapi
Mbona zangu haziivi katikati😢
Watumia machine gani
@@HadijaSheban inaitwa geepas
@@HadijaShebanAssalamu alaikum Dada yangu, naomba kujua jina la brand ya Donuts Maker yako. Please My Sister,,,,,,,,,,???
Mm nlifanya ya maziwa ikakaa dukani 5 days ikaharibka..so nimeambiwa maziwa si nzuri am confused
Wah sijui basi maybe hukupata maziwa mazuri try kufanya za nyumbani for 5days uangalie
@@HadijaSheban Sawa shukran lemme see
Maziwa huaribu cakes haraka,water and a little lemon ama lemon rid inaweza kaa.
Ásalam aleikum warahmatullah wabarakatu
Nilipika donuts zilikuwa nzuri na tamu bt sikurudisha Mali Wala faida. Ilibidi nizile na wanangu
Waaleykhm mussalam warahmtullah wabarakatu kila kitu hapo nimetaja fanya vipimo vyako vizuri na wakati unaeka usijaze excess na sijui unatumia donut maker ipi
Unauza kwa moja moja au package
Madrasa wauza moja moja kama ni dukani wazipanga kama tano
Shs ngapi moja?