Hi vipenzi kila sehemu kuna bei yake so kuwa makini na mahitaji yako usiende hasara kama sehemu chapati zauzwa 30 wewe pia ingie kwa line bora technique zote uzijuwe..watch video hadi mwisho kwa kutaka kuelewa zaidi.Please Subscribe Shukran sana pia Share upate thawaab❤❤❤❤
Hi vipenzi kila sehemu kuna bei yake so kuwa makini na mahitaji yako usiende hasara kama sehemu chapati zauzwa 30 wewe pia ingie kwa line bora technique zote uzijuwe..watch video hadi mwisho kwa kutaka kuelewa zaidi.Please Subscribe Shukran sana pia Share upate thawaab❤❤❤❤
رائعة يا خديجة.. نصائح تجارية وطبخات لذيذة وتشجع النساء على الإعتماد على انفسهن. كثر الله من امثالك وبارك الله فيك يا اختي .
Tamu Sana hizi thanks for the recipe and ingredients
Like 👍
Asante sana good friend
MashaaAllah nakuaminia dada nimepata ujuziii hassa.nashukuru m.mungu akubarikie kwa kutujuzaa
Very very beautiful 🌹
Mashaallah nice one
Kazi nzuri . ....
Aki mm niliolewa sikuwa najua kupika but since nianze kuwatch video zako mashaallah nimejifunza mengi Allah akubariki na akuzidishie inshaallah
Chapati lakini sana na tamu, napenda vile unaeleza Kila kitu hadi faida mtu anapata. Barikiwa sis
Wewe umenisaidia sana Asante sana kazi nzuri
Ni nzuri sana, upate na maharagwe ya nazi
Dada. Asante
Masha allah
@hadija Sheban,ManshaAllah yummy 😋
Maashaalla
Mashallah nimeelewa sasa Asante Allah akuzidishie nitajaribu maana mm nikipika chapat zina kua ngumu sasa sijui nina fer napi
Shukran Ma Sha Allah.😋
Ma Shaa Allah ukhut upo vinzuri shukran kwa pishi