Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Masha Allah dada endelea kutupa ujuzi nakupenda sana mpendwa
Safi sana dada upo vzr kwamapishi
I like it ....thanks nimejua kupika
Hongera sana my up vizuri unavyo elekeza
Nilijaribu hii recipe mchanganyiko wa maziwa na mayai ulikua mwingi kushinda unga, nilitumia 2 cups za 250mls
Waeza kufanya kwa biashara Mashallah ni mzuri
Ahsante mziwanda barikiwa
Safi sana ntajaribu👏👏👏👏👏
Asante kwa recipe
Wow very nice
Nimzur Asante kwa kutufundisha
Nzuri sana aiseee3e ni 🔥🔥🔥
Bismillah mashaAllah ❤❤❤
Asanteeeee dada
Nice
Asante sana tunaomba utufunze nakuzipambaNaninaomba nautufunze kupika samli Asante sana
Asante endelea kutufundisha.
Asante dada mafunzo
Asante kwamafunzo
Hongera na asante kwa kutufundisha vitafunwa, M/Mungu akupe hutaji la moyo wako.
Amiin
Have to try this. Thanks dear
You are welcome
Maa shaAllah
Amaizing
Hello,hi recipe ya donut,niya biashara kweli Dada,itatoa faida kweli
So guuud
Nitajarbu namm ntakuja nkupe mrejesho...nmezpenda sana,ahsante
Ntafurahi kuona mrejesho
Mashaallah tuonyeshe namna ya kuzidicorent izo donac na utuonyeshe iyo samli
Sawa dear
Asante sana dada
Nimependa .
Asante saana
Uko vizuri Dada asant San. Ila naomba utufundishe za biashara kwa sisi wahali ya chini
Haya dear
Mashallah unaelekeza vzuri mamy napenda mapishi yako
Soft and attractive ❤
pmbee mashaallh
Assent dadaa
Ahsant kwa funzo iko pouw hy
Asante umefanya nianze biashara Kwa mtaji mdogo
Mashalaah
Nitumie hiyo recipe
Thank you. I love your videos. 🇰🇪
Amira kwa vijiko tuseme vingapi?
Nzuli sana nmeflah
Thank you 😊 Zinamvutooo👏🏽
Hi
Am impressed thanks hope to try it out .
You welcome
Nyie watu nawapenda sana video zenu ziko vizur na zinanifundisha sanaa😘
Karibu sana dear
Kwan lazima uwek mayai
Je nisipoweka Ganda la chungwa inakuwaje
Thanks
Asante sana jaman naomba kujua vipimo vizuur kama unataka kupika donat kuanzia 100 kuendeleaa please nisaidie dear
Recipe measurement
Sitakiwi kukandaa na Mixer ?
Vip km nikiweka Naz
barikiwa kwa madarasa yanayoeleweka dada
Amiin🙏🙏
Dada uwe unatufundisha nasie ambao hatuna vifaa vya kisasa
Je naweza kutumia bata or bluband
Samahani madam iyo ya njano umeweka kwa maziwa ni mafuta au.....
They look 😋.. yummy
They are yummy dear🥰🥰
Nakukubali dada
Amiin🥰
Ajarini ndo nn
Soon naanza biashara Kwa kupitia video zenu nimependa donatiii mnooo
Ahsante ntafurahi ukianza 🙏🙏
Hazina sukari?
Maziwa vikombe 2 ni sawa na kiasi gani
miss you dada irene,nimemiss masomo,ntajaribu soon in shaa Allah
Thank you dear, usiache kunipa mrejesho
Tuonyeshe namna yakutengeneza samli
Eti nini???????¿?
Ung kis ngani
Vzuri nimependa ila samahani dada majarini ndo nini?
Dad samli ndonn
Naeza tumia blueband kama hkna margarine
Shukran. Nami nimejaribu zimekubali sema zongine zimepasuka pembeno kama half cake. Ni tamu na laini sana
Ndio huwa zinapasuka sometimes
Hi mambo me my name is Ariana grade
@@angelinasimbeye1167 hello karibu
Zuri
Gram 28 ya hamira,ni sawa na vijiko.vingapi
I like this i'm perform this
Thank you
Mm ni jane kutoka mombasa,mbona huweki flavor kwa doughnat
@@janesalama2165 ameweka hiliki
Nitajaribu😋😋😋😋
Dada mziwanda naomba tufundishe kutengeneza Samli 🙏
Sawa kaka
Shukuran
Kama sina samli je niweke nini?
Amira ulioiweka ni Amira ya UNGA chapa mandashi au
Naomba namba ya simu nikutafute in box
Shukuran dd sijaelewa hapo samri unatengenezaje
Ipo video yake next week
Na nikitumia butter?
Ni sawa tu
Igrident nazisoma kwa wapi dear
Vipimo kwenye video vipo ,karibu sana
Imgn Niko na mifuko sita ya unga na ni ya 2kg nita mix age mifuko Sita nataka nijue
Hizo donuts zimaweza kuhifadhika kwa mda gani especially kwa mfanyabiashara?
8 days
Mimi hapo ningeongeza unga hadi nikome hahahahahah
😂😂
Tafadhali naomba uni andikiye mahitaji
Sauti imependeza pia☺️☺️
Hahahahaha
Mashallah mdada
🙏🙏
Jaman mimi unga wangu umekuwa mtepe sana nafanyaje?
Ongeza unga kiasi ila utepe hauna shida labda kama umezidi sana
Dada majarn ndi. Nn haf maziw husaidia nn .?i Nan lzim
Ni siagi kama blueband, mo na prestige
Kwan my samli na blue band ni lazima?
Sio lazima waweza kuweka mafuta
@@mziwandabakers8297 na nikitumia hamira bila hiriki n sawa?
Vipimo sijaviona
MashaaAllah bidada ..nauliza samli n lazima ama ?
Sio lazima
Je amila vijiko vinga naunga kias gan cjaelewa apo amila kias gan
Tuonyeshe jinsi ya kutengeneza samli ulisema kuna hiliki uliweka muda gani sijaona hapo
5
zinavutia maa shaa Allah.
J
Zangu nikipika zinakua ngumu nje lkn n soft ndan nakosea wap
Moto mkali unakuwa na unga uliandaa mgumu
Kam huna siagi wala bluuband je wawez tumia mafuta ya kupikia
Ndio waweza
Naweza tumia maji au tuwi badala ya maziwa?
Unaweza
Yeast iko na usawa na ukitumia baking powder au la??
No ni tofauti Yeast ni chenga chenga
@@mziwandabakers8297 ohhhh....asante
Donat zinapikwa kwenye mafuta au zinaokwa
Hapo ata mimi mgeni
Maziwa n kiasi gani
Masha Allah dada endelea kutupa ujuzi nakupenda sana mpendwa
Safi sana dada upo vzr kwamapishi
I like it ....thanks nimejua kupika
Hongera sana my up vizuri unavyo elekeza
Nilijaribu hii recipe mchanganyiko wa maziwa na mayai ulikua mwingi kushinda unga, nilitumia 2 cups za 250mls
Waeza kufanya kwa biashara Mashallah ni mzuri
Ahsante mziwanda barikiwa
Safi sana ntajaribu👏👏👏👏👏
Asante kwa recipe
Wow very nice
Nimzur Asante kwa kutufundisha
Nzuri sana aiseee3e ni 🔥🔥🔥
Bismillah mashaAllah ❤❤❤
Asanteeeee dada
Nice
Asante sana tunaomba utufunze nakuzipamba
Naninaomba nautufunze kupika samli Asante sana
Asante endelea kutufundisha.
Asante dada mafunzo
Asante kwamafunzo
Hongera na asante kwa kutufundisha vitafunwa, M/Mungu akupe hutaji la moyo wako.
Amiin
Have to try this. Thanks dear
You are welcome
Maa shaAllah
Amaizing
Hello,hi recipe ya donut,niya biashara kweli Dada,itatoa faida kweli
So guuud
Nitajarbu namm ntakuja nkupe mrejesho...nmezpenda sana,ahsante
Ntafurahi kuona mrejesho
Mashaallah tuonyeshe namna ya kuzidicorent izo donac na utuonyeshe iyo samli
Sawa dear
Asante sana dada
Nimependa .
Asante saana
Uko vizuri Dada asant San. Ila naomba utufundishe za biashara kwa sisi wahali ya chini
Haya dear
Mashallah unaelekeza vzuri mamy napenda mapishi yako
Soft and attractive ❤
pmbee mashaallh
Assent dadaa
Ahsant kwa funzo iko pouw hy
Asante umefanya nianze biashara Kwa mtaji mdogo
Mashalaah
Nitumie hiyo recipe
Thank you. I love your videos. 🇰🇪
Amira kwa vijiko tuseme vingapi?
Nzuli sana nmeflah
Thank you 😊 Zinamvutooo👏🏽
Hi
Am impressed thanks hope to try it out .
You welcome
Nyie watu nawapenda sana video zenu ziko vizur na zinanifundisha sanaa😘
Karibu sana dear
Kwan lazima uwek mayai
Je nisipoweka Ganda la chungwa inakuwaje
Thanks
Asante sana jaman naomba kujua vipimo vizuur kama unataka kupika donat kuanzia 100 kuendeleaa please nisaidie dear
Recipe measurement
Sitakiwi kukandaa na Mixer ?
Vip km nikiweka Naz
barikiwa kwa madarasa yanayoeleweka dada
Amiin🙏🙏
Dada uwe unatufundisha nasie ambao hatuna vifaa vya kisasa
Je naweza kutumia bata or bluband
Samahani madam iyo ya njano umeweka kwa maziwa ni mafuta au.....
They look 😋.. yummy
They are yummy dear🥰🥰
Nakukubali dada
Amiin🥰
Ajarini ndo nn
Soon naanza biashara Kwa kupitia video zenu nimependa donatiii mnooo
Ahsante ntafurahi ukianza 🙏🙏
Hazina sukari?
Maziwa vikombe 2 ni sawa na kiasi gani
miss you dada irene,nimemiss masomo,ntajaribu soon in shaa Allah
Thank you dear, usiache kunipa mrejesho
Tuonyeshe namna yakutengeneza samli
Eti nini???????¿?
Ung kis ngani
Vzuri nimependa ila samahani dada majarini ndo nini?
Dad samli ndonn
Naeza tumia blueband kama hkna margarine
Shukran. Nami nimejaribu zimekubali sema zongine zimepasuka pembeno kama half cake. Ni tamu na laini sana
Ndio huwa zinapasuka sometimes
Hi mambo me my name is Ariana grade
@@angelinasimbeye1167 hello karibu
Zuri
Gram 28 ya hamira,ni sawa na vijiko.vingapi
I like this i'm perform this
Thank you
Mm ni jane kutoka mombasa,mbona huweki flavor kwa doughnat
@@janesalama2165 ameweka hiliki
Nitajaribu😋😋😋😋
Dada mziwanda naomba tufundishe kutengeneza Samli 🙏
Sawa kaka
Shukuran
Kama sina samli je niweke nini?
Amira ulioiweka ni Amira ya UNGA chapa mandashi au
Naomba namba ya simu nikutafute in box
Shukuran dd sijaelewa hapo samri unatengenezaje
Ipo video yake next week
Na nikitumia butter?
Ni sawa tu
Igrident nazisoma kwa wapi dear
Vipimo kwenye video vipo ,karibu sana
Imgn Niko na mifuko sita ya unga na ni ya 2kg nita mix age mifuko Sita nataka nijue
Hizo donuts zimaweza kuhifadhika kwa mda gani especially kwa mfanyabiashara?
8 days
Mimi hapo ningeongeza unga hadi nikome hahahahahah
😂😂
Tafadhali naomba uni andikiye mahitaji
Sauti imependeza pia☺️☺️
Hahahahaha
Mashallah mdada
🙏🙏
Jaman mimi unga wangu umekuwa mtepe sana nafanyaje?
Ongeza unga kiasi ila utepe hauna shida labda kama umezidi sana
Dada majarn ndi. Nn haf maziw husaidia nn .?i Nan lzim
Ni siagi kama blueband, mo na prestige
Kwan my samli na blue band ni lazima?
Sio lazima waweza kuweka mafuta
@@mziwandabakers8297 na nikitumia hamira bila hiriki n sawa?
Vipimo sijaviona
MashaaAllah bidada ..nauliza samli n lazima ama ?
Sio lazima
Je amila vijiko vinga naunga kias gan cjaelewa apo amila kias gan
Tuonyeshe jinsi ya kutengeneza samli ulisema kuna hiliki uliweka muda gani sijaona hapo
5
zinavutia maa shaa Allah.
Amiin
J
Zangu nikipika zinakua ngumu nje lkn n soft ndan nakosea wap
Moto mkali unakuwa na unga uliandaa mgumu
Kam huna siagi wala bluuband je wawez tumia mafuta ya kupikia
Ndio waweza
Naweza tumia maji au tuwi badala ya maziwa?
Unaweza
Yeast iko na usawa na ukitumia baking powder au la??
No ni tofauti Yeast ni chenga chenga
@@mziwandabakers8297 ohhhh....asante
Donat zinapikwa kwenye mafuta au zinaokwa
Hapo ata mimi mgeni
Maziwa n kiasi gani