Asalm alkm vip hali kwema z leo wallai Shukuran Dadaaa nimejaribu leo Allah akufanyie wapesi kwa kila jambo coz leo nimejaribu watoto wangu wamefurahi sana.
Nilijaribu ikatokea vizuri. Kesho tena nitaipika asubuhi. Though kwa recipe ulisema mtu aweke maji moto but wewe uliweka maziwa. Mimi nilitumia maziwa. Asante!
Assallam aleykum dada Khadija mm nilijarib kufanya donutlkn hazikuw nzur kama hizo,pia wapishi weng mnakanda UNGA Kwa mda mfupi lkn unakuw lain na unavutika mm nakanda mda mref na mafut naeka yakutosha lkn hauvutiki nakosea wapi
Hi Lovies
Unaeza kueka baking powder kidogo sana kama nusu kijiko cha chai.
Asanteni sana kwa kufika hapa #roadto100k
Thank you
Hadija unga mufuko moja nipe mahitaji
Ameenda spidi sana sisikii sione anavyo changanya
Hy ninaazi au maziwa uliotumia
MashaAllah tabarakallah mungu akuzidishie mkono wako I wll definitely ntajaribu inshaAllah
Allahuma ameen and shukran for coming love
Maasha allah
Very fluffy na naweza pika hata za nyumbani
Yani ziko jikoni tuu rangi ni mashallah 😍
Yess mwanzo kids watafurahi sana babes wapikiee
Wow wow masha allah
Asantee
Will try this dia
Thankss all the best
The way I’ve been craving doughnuts 😍🤌🏾
Babees itabidi I cook for you
Maa shaa ALLAH
Tabarakallah Dad
Mashaallah 🎉❤
Tabarakallah🤣♥️
Mashaallah u never dissapoint dada
Tabarakallah babeee
Asante Sana nimependa nitajaribu kila la kheri
Wowi yapendeza
Asante love
Wooow so yummy yummy
Thanks dear
Ok
Ahsanti mama umeelezea vizuri
Nimefurahi sana kwa kua umeelewa darling
Nazipenda sana kipenz
mi piaa
❤❤❤asanti sana
Karibu my love
Mshllh Allah akupe furaha maana huko mchoyo kufundisha watu ❤❤
Allahuma ameen shukran love
Shukran nimeweza
Aww MashaaAllah hongera
❤
❤️❤️
MashaAllah MashaAllah 😍 nitajaribu hii recipe.. umeifanya kiurahisi na maelezo ya kueleweka.. hope zitoke hivihivi In Shaa Allah 😂..
All the best babes zitatokea vizuri
Asante dada kwa resipe zako nzur, huwa siruki adds 🙏
nafurahi sana kuskia hivyo
Asalm alkm vip hali kwema z leo wallai Shukuran Dadaaa nimejaribu leo Allah akufanyie wapesi kwa kila jambo coz leo nimejaribu watoto wangu wamefurahi sana.
Waaleykhm mussalam warahmtullah wabarakatu shukran my love Allahuma Ameen
Asante sana kesho na mimi nitajaribu
Utapenda love
Nilijaribu ikatokea vizuri. Kesho tena nitaipika asubuhi. Though kwa recipe ulisema mtu aweke maji moto but wewe uliweka maziwa. Mimi nilitumia maziwa. Asante!
Hi love unaeza tumia maji au maziwa pia hata nazi
Pls can you tell me recipe
Ukishakanda unga unauweka dk ngapi
😋😋😋😋😋
Utamuu
Mimi napenda Ila cha kutobolea matobo sina
Hio uloeka ni maziwa au
ndio
Asntee
Karibu sana
Please make birthday cake
I will try but am not good in that sector
Assallam aleykum dada Khadija mm nilijarib kufanya donutlkn hazikuw nzur kama hizo,pia wapishi weng mnakanda UNGA Kwa mda mfupi lkn unakuw lain na unavutika mm nakanda mda mref na mafut naeka yakutosha lkn hauvutiki nakosea wapi
Hi vp ni lazim kuek maziwa
Good nimeipenda.samahani kama unajua jinsi ya kuondoa maganda ya kunde kwa ajili ya bagia pliz naomba unielekeze
Asante sana love kwa kuipenda..kwakweli sijui nimezoea kununua zile ambazo zimeshasagwa
Ingredients pls
Maa sha ALLAH
Tabarakallah
Kwan hayo maji maziwa
Asalam alaykm pls give recipe
Waaleykhm mussalam ok
Asante
Karibu dear
@@HadijaSheban Je ukiwa huna maziwa utumie maji nisawa
Waeza weka hamira, baking powder na bicarbonate soda kwa donasi?
Sijawai fanya hivo
umeenda haraka sana kwenye kuchanganya vitu mm nimeshindwa kuelewa umeweka nn na nn
pole sana
Tunaomba uweke ata group tuangalie vzr
nitajitahidi love
Dada samahan mm nataka kupika za biashara nataka ntumiye ungainly km kilo 2 hvi nlkua naombq maelekzo
hili kipimo ongeza kipenzi hadi uone kilo mbili itakua vingapi alafu utaongeza kulingana na maagizo
Sis,sio lazima tuyayushe butter kukandia
Silazima
Zinakaa taaaamuuu😋😋 Ulitumia maji moto ama maziwa wakati wa kukanda?
Angalia video
@@HadijaSheban nimeangalia. Ulisema maji moto but nikaona kitu kama maziwa ndo maana I asked. Anyways never mind
@@puritypendo6472 nikweli hata mi nimeona maziwa
Ayo nimaziwa uligandia
ndio
Unakanda na maji au maziwa?
Kwa video nimeeleza baby
Ni lazima uiwekee sukari zikiiva ama si must
Sio lazima
Nilazma kuweka hivo vikaratasi kwa chini
Sio lazuma
Hiyo ni maziwa umeweka ukikanda ama
Ndio
Hi madam nataka za biashara so nikipika kilo mbili na hitaji kuweka sukari na yeast kiasi gani
Hi kipenzi fanya vipimo ya hivi nilivyoonyesha
Nunua 2kg alafu pima kulingana na vipimo hapo nikucheza na mahesabu tu
Asante dear
Me huw napika donas za biashar mar nying nawek rang ya chakula xax xjui nkosea
Sijawa weka rangi
Unaacha iumuke kwa dakika ngapi
subiri hadi iumuke
Kwaio niamira si baking powder
Yes hamira
Vikombe
Hivyo vipimo vya kikombe sivielewi
Kama huna siagi nifanyeje
Blueband?
Vanilla Gani unatumia
nyeusi au nyeupe haina shida
Je ukukanda na maji
Jaribu
Asalam aleykum
Waaleykhm mussalam
Khadija unaongea haraka haraka can you slow down so we can hear
Hio ndio shida love nikiwa slow wengine wanasema niko polepole sana sasa nifanyeje jamaniii
@@HadijaSheban haraka haraka me ndo napenda🤣
Tunaomba majibu kwenye maswali yeti mpenzi
niulize
Na chapti niiwa xina mafta ya samuli naruxiw kutumia mafta ya kawaid
Ndio tumia
Mbona unaongea halaka halaka jmn
pole
mm nataka namba yako
Njoo insta @Didashebbs_Kitchen
RoUWADTYKASSHM
Unapoongea vitu ambavyo unamix hizo ingredients weka jina ya kizungu hapo ju sio kila mtu anaskia kiswahili wala kuielewa
ok
Hahaha hujui kiswahili
❤
😘😘
Asanteni
Karibu
Asalam aleykum
Waaleykhm mussalam