BIASHARA YA HALF KEKI ZA KUPASUKA KILO 4 (4KG) YENYE FAIDA KUBWA SANAA‼️

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2022

Komentáře • 136

  • @HadijaSheban
    @HadijaSheban  Před rokem +6

    Hi Lovies

  • @anazephania43
    @anazephania43 Před rokem +5

    Habari half keki huweki Amira, na maji ya moto, au barid

  • @Haulat-yc9gz
    @Haulat-yc9gz Před 14 dny

    Asante Kwa somo VP halfkeki kuwa Kara nje inakuwaje unakosea nini

  • @BelindaAnyango-qj3ts

    Nina shida naomba unisaidie na Namba yako ya simu

  • @HappyFuraha-mh4hq

    Mambo naomba kujua kwenye KILO 2 vipimo nawekaje

  • @audaxalbin6643

    Samaani dada naomba unielekeze

  • @salimmangale1090
    @salimmangale1090 Před 4 hodinami

    Kilo mbili unaeka mafuta kiasi gani

  • @erickmulwa-wi4px
    @erickmulwa-wi4px Před rokem

    niliukanda unga wangu na kuupa muda wa masaa manne ila wakati wa kukata nikikata unga unarudiana size inapungua

  • @audaxalbin6643

    Habari dada samaani naomba vipimo vya kilo tat

  • @felisteralex4274
    @felisteralex4274 Před rokem +3

    Waoooh Asante kwa somo maana ndio kazi yangu naomba unichek pls

  • @nazahedmngara6788

    Nimekuelewa ila naomba uniamdikie vifaa na kias

  • @lexilepeter2928
    @lexilepeter2928 Před rokem

    Mashallah Khadija shukran

  • @BelindaAnyango-qj3ts

    Asante sana nimejaribu leo na half keki ziko tamuuu

  • @FebineAwuor
    @FebineAwuor Před rokem +1

    Recipe mzuri mzuri zinanipita.😋😋 Nimeipenda sana step by step unitl you have the best.

  • @halimaibrahim2607
    @halimaibrahim2607 Před rokem +1

    MashaAllah looks yummy 😋

  • @nuruali9608
    @nuruali9608 Před rokem

    masha Allah nimependa ulivyo eleza half cake..Mungu aibariki mikono yako dear! nitatengeneza niuze..shukran

  • @homshoma
    @homshoma Před 14 dny

    Ma sha Allah hadija mm toka nmeiona ii video nafanya biashara ii ma sha Allah kila mtu anasifia

  • @shebanishebe7866
    @shebanishebe7866 Před rokem +1

    Maa sha ALLAH

  • @nadialardhy7160
    @nadialardhy7160 Před rokem

    Shukran kwa recipe Allah akubariki.pls upande wa baking soda ni 1tbsp ama 2tbsp coz ulivyokuwa unaelezea ulisema one but nao hio recipe baadae umeweka 2tbsp.

  • @shamzone388
    @shamzone388 Před rokem

    Mash allah