Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Jamani sijapenda mashabiki wa kp hamutendi haki kwa likoma kumbukeni likoma kafanya tumujue zaidi lakini video za likoma eti watu mupo 78 kweli sio sawa like zipo 691 sio saw😢
Jitaidi kushea link na kuhamasisha wengine ili tufike kiwango kwa sapoti zaidi😊
Muwe mnaniita mapema😁
Kabisa jaman let's support likoma
Hatukuwa tiyari 😅😅😅
together
Yani nkiona mzee likoma na Mr dibozi nacheka taar bila hata kujua inahusu nini jamani 😂😂😂 nawapenda sana nikiwa Kenya 🇰🇪
Kutka Kenya Leo nimekufa number 5 nipeeni like hata kumi jamani
Umekufa? Mbona una comment😂😂❤😂😂
Kufa tena ?😂😂
Umekufa namba 5😂😂😂😂
aya bwn
Musalimie yesu 😂😂😂
Kp nilikua naumia kuona move yen ni moja tu nilitamani kuona kil kipindi cha wamangush mzee wagiza na dada ,yaani hongeren sana 🎉🎉🎉🎉kwa kuongeza move
Kp na zebuu mnapendeza , hii movie 🔥🔥🔥🔥👏👏🇰🇪
Sijachelewa pia mm kutoka kenya,,likes kwangu
Unyama Sana Mzee Likoma & Dibozi nawapenda kutoka malawi tuko pamoja tutasubiri mwendeleo 😂😂 mumependeza Kp na Zebuu ❤❤❤❤❤
The best movie, congratulations to you all actors, especially kp,zebu,diboz and likoma
Mzee likoma KAZI nzuri mungu akuongezee maarifa zaidi utazidi kufanikiwa
Kazi nzuri na mm ni msanii natamani kufanya ksz na nynyi
Why message kama hii huwa hawaijibuu
Samahani am from Kenya the capital city of Africa nipeni like zangu❤❤❤
Likoma na dibozi wow Nawependa bure kazi nzuri sana❤❤❤❤😂😂😂😂😂
Wow hii nzuri nimeipenda ad raha🔥🔥🔥🔥❤️❤️💯💯💯💯
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi kaka mkubwa likoma tupia like zangu apo
Nguo zashule zimewapendeza
Mfuasi wa mzee likoma na dibozi manuva kutoka kenya 🇰🇪
Nimeipendasana
Hahaha haaaa jamani jamani mpaka tumbo linaniuma
Kwann likuume❤
Nimebaki tu nikicheka yaan likoma wewe et tumbo linahifadhi vyakula vingi😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉
Kp na zebuu napenda kazi zenu zote nzuri
Jamani move nzuri sana likoma big up 💪💪
Kazi nzuri nawapenda nyote
😂😂😂🤣🤣🤣 likoma acha uzembe ukalime bana na venye nilikua nmekufia hivi, ucfanye nchange mind🙆🙆🙆🙆🙆
Nampenda sana mze likoma❤
Mzee likoma unauwa sababu ya dhahabu kali sana
Kazi nzuri sana likoma Suraj yupo wapi kwenye plan b??love kutoka burundi
Haya ndo maswali ya kuulza suraji toka sonaa haonekani lakini watu kuomba like tu kuchangia vitu vya musingi aaaaaaah 😮
😂😂pia mm nlikua nataka kuuuliza hivyo suraji Yuko wap
@@mary-lx3hr si ndo hàpo sasa lakini watu kila anayecomment anaomba like utadhani zinapunguza ugumu wa maisha😏
@@joycemaregesi18wa kuomba like waulize wapost nn
@@jacklinefatma6263 nawaulzaga wanaomba like kwa kipi wamefanya😏dalili moja wapo ya ushogha ni kuomba like ambazo hujafanyia kazi
Hatari sana itanoga kuliko mzee wa giza ❤❤❤❤
Jmn zebuu Hilo shangazi kaja 😂😂😂
😅😅😅😅aisee nmecheka mpaka nmepaliwa
Nawakubali sana kp na zebuu mumerudi shule na mumependeza 😂😂😂😂❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Wow kp n zebuu munawezanga sn na pia hao wengine munambamba sn ongereni sn timu zebuu
Nakubali wapi like za mzee likoma
Dog sele
Samaani nipeni like zangu from 🇨🇩 nakupenda sana likoma
Hata mm mnipee like cjachelewa sana❤
Vp
Mdada
Tunakupenda sana likoma kazi nzuri. Much love from kenya 🇰🇪
Kiukweli mmejua kutusuprise but hongereni sana kwa kazi nzuri be blessed guys
This is love from Mozambique 🇲🇿❤
😂😂😂😂😂😂Kp na zebu mtakuja nivunja mbavu🤣🤣🤣🤣kazi yenu Safi kabisaa❤❤❤
Kwanzia kesho mnaenda shule😂😂 aya MR MONEY❤ hatutaki haibu nenda shule KP na Zebuu🤝
Kumbe ndo maana plan b inachelewa ,,kina seasin nyingine
Likoma mtu hatari sana hii nimeipenda sana 😂😂 leteni mwendelezo haraka basi😅 Ila kifutu mwenzio kasha kua tajiri tayari😂😂
Ninawapenda sana hawa watu kifupi nina iipenda group lao 😅 kutoka tanzania dare ssalaamh
Unyama mwingi 🔥 much love from Kenya 🇰🇪😘
Aki nmecheka kwa saut so kwa hayo masomo 😂😂😂😂😂
Ety zebuu darasa la pili,alaf nimekuama hapa kwa a e i o u😅😅😅😅😅😅kazi nzuri sana timu likoma na timu yako🎉🎉🎉❤
😂😂😂😂😂Maajabu likomaa mvivu KP kazi nzuri pamoja na watu zako 😂😂😂😂😂kimbembe sasa likoma kita kulamba mwenye Mali yake kaja
Mashabaki wa kp tumo❤❤ likoma tuko pamoja🎉🎉😂 kwanza hongera kwa likoma
Tupe hii baba achana na plan b
Likoma kwa hii mnanoga sana hongereni sana Kp na Zebuu nimependa hizo sare 😍😊🎉🎉🎉🎉 msikawie sana bac kutuletea ep 2
😂😂😂😂jamani Likoma na Dibozi huwa mwanifurahisha sana,nawapenda bure❤
Mi nmependa iyo shangaz kaja ya zebuu🤣🤣🤣
Yaan mi ntalitafut shangaz kaja
Imenzidi umrii😂😂😂
Shangazi kaja inakimo kuzidi mbebaji,,,,,,,si kwa kukwea hko jaamaan. 😍😍😍
Haaaa mzee na team yako nawapenda kutoka kenya 🇰🇪😍😢😆❤❤❤❤kazi nzuri
Kaz nzur nawapend saaan jamn mnafany naenjoi nikichk move zen
😂😂😂😂 Diboz anavo limaaa😂 mikwara mingii.Kama MABALA THE FARMER
Mambo napenda movie zenu mnajua kuakti wow ❤😅😅 mwaaaa
Wow nimeipenda nzuri sana Kp na zebuu mmpendeza sana❤❤ aaaa had raha nawapenda nyote 😅😅😅😅🎉❤
Hongereni kwa kazi nzuri sana 🎉🎉❤❤🇧🇮🇧🇮
Eti mzee mwenzangu tumetajirika 😂😂😂 anavyojishirikisha😂😂😂
From south africa tujuwane apa kwa safari hii ya Mr Money 🔥🇿🇦
Kati yao nan mdebwedo wa ukweli😂😂😂❤
Naipenda sana likoma amekuwa Nigerian walai
Kp wewe nduguyangu ningekuwa uko tz ninge jiunga na wewe tatizo niko congo
Mzee likoma daah unanifurahisha kweli😂😂😂😂😂😂😂
Nimefurahi,sana liko na dibozi❤❤
Natoka kenya siku moja natamani sana niwaone macho kwa macho nyie ndugu zangu watanzania
Hii inaonekana itakua kali sana 🔥🔥🔥 ongera sana mzee likoma kwaku tuletea kitu kikali
Kazi nzuri sana likoma n kundi lako❤❤❤
Niache na uvivu wangu😂😂😂 Lima huko mzee likoma
Heheeeeeee mnanipa Sana raha mm nawaombea mdumu wote msitengane
Jmn chukuen maua yenu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤ Kaz nzuri
Jamani Mzee likoma ayo majibu yako tuh 😂😂😂Sina usemi
Nawakubali sana haswa kp
Kazi nzr Sana likoma nakubali sana
Likoma ume perform vzur ktk senior yko good
Mzee likoma umeua😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂umeyatimba
Kazi poa sana mzee likoma na dibosi na wanafuzi dodosha vitu Kali kaka❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wanafuzi??
Nawapenda mno jmn yaan mnajua afu mnajua tena❤❤🎉🎉🎉🎉
Likoma unaweza sana napenda kucheka😂
❤
Mwendo wa Rikoma unanivunjaga mbavu😂😂😂🇧🇮🇧🇮🥰🥰
Gained a new subscriber ❤❤
Jaman from Tanzania nipen likes zang
Hahhaha mawanafunzi majinga sana😂😂😂😂😂😂😂
Zebuu umetisha na hilo kasha kubwa alafu halina nguo ❤😂😂
❤❤❤ kazi nzuri sana 👍🔥🔥
Huwa nikiangaliaga video za likoma na diboz huwa na cheka Sana mm jmn haya jamn kaz yenu nzuri
Nawakubali sana ❤💪
Kazi safi sana mzee likoma🎉🎉
Kazi nzur vipenzi nimewapenda bule
Hongera sana likoma nakuona mbali san kaka
😂😂😂😂mwanzo hiy nyimbo ya pochi nene nlkua nme imiss san mzee lkoma
Hahaha😂 nimeipenda sana hiii kama Mzee wagiza 😘
Ila mnapendeza sana na hizo uniform 😂😂
Kazi nzuri, Natamani kukushot filamu moja uone ubora wangu pia 😢
mzeee likoma ana vituko kweli nampenda lakn bona ukorome
Hongereni sana movie nzuri like kwao🎉🇹🇿
😂😂 mkiwa pamoja nina imani itanoka nawapenda sana
Jamani Mzee likoma, 😂😂😂😂 unamfanyaje dibosi....
Heeeh Mzee likoma umenunua hadi kitambi😂
Mzee liko unalaza sana damu tushachoka kusubiri ep y 2🎉
Sijachelewa big up likoma
Muze Rikoma na Ribozi munachapa kazi😂😂🥰🥰🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Jamani sijapenda mashabiki wa kp hamutendi haki kwa likoma kumbukeni likoma kafanya tumujue zaidi lakini video za likoma eti watu mupo 78 kweli sio sawa like zipo 691 sio saw😢
Jitaidi kushea link na kuhamasisha wengine ili tufike kiwango kwa sapoti zaidi😊
Muwe mnaniita mapema😁
Kabisa jaman let's support likoma
Hatukuwa tiyari 😅😅😅
together
Yani nkiona mzee likoma na Mr dibozi nacheka taar bila hata kujua inahusu nini jamani 😂😂😂 nawapenda sana nikiwa Kenya 🇰🇪
Kutka Kenya Leo nimekufa number 5 nipeeni like hata kumi jamani
Umekufa? Mbona una comment😂😂❤😂😂
Kufa tena ?😂😂
Umekufa namba 5😂😂😂😂
aya bwn
Musalimie yesu 😂😂😂
Kp nilikua naumia kuona move yen ni moja tu nilitamani kuona kil kipindi cha wamangush mzee wagiza na dada ,yaani hongeren sana 🎉🎉🎉🎉kwa kuongeza move
Kp na zebuu mnapendeza , hii movie 🔥🔥🔥🔥👏👏🇰🇪
Sijachelewa pia mm kutoka kenya,,likes kwangu
Unyama Sana Mzee Likoma & Dibozi nawapenda kutoka malawi tuko pamoja tutasubiri mwendeleo 😂😂 mumependeza Kp na Zebuu ❤❤❤❤❤
The best movie, congratulations to you all actors, especially kp,zebu,diboz and likoma
Mzee likoma KAZI nzuri mungu akuongezee maarifa zaidi utazidi kufanikiwa
Kazi nzuri na mm ni msanii natamani kufanya ksz na nynyi
Why message kama hii huwa hawaijibuu
Samahani am from Kenya the capital city of Africa nipeni like zangu❤❤❤
Likoma na dibozi wow Nawependa bure kazi nzuri sana❤❤❤❤😂😂😂😂😂
Wow hii nzuri nimeipenda ad raha🔥🔥🔥🔥❤️❤️💯💯💯💯
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi kaka mkubwa likoma tupia like zangu apo
Nguo zashule zimewapendeza
Mfuasi wa mzee likoma na dibozi manuva kutoka kenya 🇰🇪
Nimeipendasana
Hahaha haaaa jamani jamani mpaka tumbo linaniuma
Kwann likuume❤
Nimebaki tu nikicheka yaan likoma wewe et tumbo linahifadhi vyakula vingi😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉
Kp na zebuu napenda kazi zenu zote nzuri
Jamani move nzuri sana likoma big up 💪💪
Kazi nzuri nawapenda nyote
😂😂😂🤣🤣🤣 likoma acha uzembe ukalime bana na venye nilikua nmekufia hivi, ucfanye nchange mind🙆🙆🙆🙆🙆
Nampenda sana mze likoma❤
Mzee likoma unauwa sababu ya dhahabu kali sana
Kazi nzuri sana likoma Suraj yupo wapi kwenye plan b??love kutoka burundi
Haya ndo maswali ya kuulza suraji toka sonaa haonekani lakini watu kuomba like tu kuchangia vitu vya musingi aaaaaaah 😮
😂😂pia mm nlikua nataka kuuuliza hivyo suraji Yuko wap
@@mary-lx3hr si ndo hàpo sasa lakini watu kila anayecomment anaomba like utadhani zinapunguza ugumu wa maisha😏
@@joycemaregesi18wa kuomba like waulize wapost nn
@@jacklinefatma6263 nawaulzaga wanaomba like kwa kipi wamefanya😏dalili moja wapo ya ushogha ni kuomba like ambazo hujafanyia kazi
Hatari sana itanoga kuliko mzee wa giza ❤❤❤❤
Jmn zebuu Hilo shangazi kaja 😂😂😂
😅😅😅😅aisee nmecheka mpaka nmepaliwa
Nawakubali sana kp na zebuu mumerudi shule na mumependeza 😂😂😂😂❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Wow kp n zebuu munawezanga sn na pia hao wengine munambamba sn ongereni sn timu zebuu
Nakubali wapi like za mzee likoma
Dog sele
Samaani nipeni like zangu from 🇨🇩 nakupenda sana likoma
Hata mm mnipee like cjachelewa sana❤
Vp
Mdada
Tunakupenda sana likoma kazi nzuri. Much love from kenya 🇰🇪
Kiukweli mmejua kutusuprise but hongereni sana kwa kazi nzuri be blessed guys
This is love from Mozambique 🇲🇿❤
😂😂😂😂😂😂Kp na zebu mtakuja nivunja mbavu🤣🤣🤣🤣kazi yenu Safi kabisaa❤❤❤
Kwanzia kesho mnaenda shule😂😂 aya MR MONEY❤ hatutaki haibu nenda shule KP na Zebuu🤝
Kumbe ndo maana plan b inachelewa ,,kina seasin nyingine
Likoma mtu hatari sana hii nimeipenda sana 😂😂 leteni mwendelezo haraka basi😅 Ila kifutu mwenzio kasha kua tajiri tayari😂😂
Ninawapenda sana hawa watu kifupi nina iipenda group lao 😅 kutoka tanzania dare ssalaamh
Unyama mwingi 🔥 much love from Kenya 🇰🇪😘
Aki nmecheka kwa saut so kwa hayo masomo 😂😂😂😂😂
Ety zebuu darasa la pili,alaf nimekuama hapa kwa a e i o u😅😅😅😅😅😅kazi nzuri sana timu likoma na timu yako🎉🎉🎉❤
😂😂😂😂😂Maajabu likomaa mvivu KP kazi nzuri pamoja na watu zako 😂😂😂😂😂kimbembe sasa likoma kita kulamba mwenye Mali yake kaja
Mashabaki wa kp tumo❤❤ likoma tuko pamoja🎉🎉😂 kwanza hongera kwa likoma
Tupe hii baba achana na plan b
Likoma kwa hii mnanoga sana hongereni sana Kp na Zebuu nimependa hizo sare 😍😊🎉🎉🎉🎉 msikawie sana bac kutuletea ep 2
😂😂😂😂jamani Likoma na Dibozi huwa mwanifurahisha sana,nawapenda bure❤
Mi nmependa iyo shangaz kaja ya zebuu🤣🤣🤣
Yaan mi ntalitafut shangaz kaja
Imenzidi umrii😂😂😂
Shangazi kaja inakimo kuzidi mbebaji,,,,,,,si kwa kukwea hko jaamaan. 😍😍😍
Haaaa mzee na team yako nawapenda kutoka kenya 🇰🇪😍😢😆❤❤❤❤kazi nzuri
Kaz nzur nawapend saaan jamn mnafany naenjoi nikichk move zen
😂😂😂😂 Diboz anavo limaaa😂 mikwara mingii.Kama MABALA THE FARMER
Mambo napenda movie zenu mnajua kuakti wow ❤😅😅 mwaaaa
Wow nimeipenda nzuri sana
Kp na zebuu mmpendeza sana❤❤ aaaa had raha nawapenda nyote 😅😅😅😅🎉❤
Hongereni kwa kazi nzuri sana 🎉🎉❤❤🇧🇮🇧🇮
Eti mzee mwenzangu tumetajirika 😂😂😂 anavyojishirikisha😂😂😂
From south africa tujuwane apa kwa safari hii ya Mr Money 🔥🇿🇦
Kati yao nan mdebwedo wa ukweli😂😂😂❤
Naipenda sana likoma amekuwa Nigerian walai
Kp wewe nduguyangu ningekuwa uko tz ninge jiunga na wewe tatizo niko congo
Mzee likoma daah unanifurahisha kweli😂😂😂😂😂😂😂
Nimefurahi,sana liko na dibozi❤❤
Natoka kenya siku moja natamani sana niwaone macho kwa macho nyie ndugu zangu watanzania
Hii inaonekana itakua kali sana 🔥🔥🔥 ongera sana mzee likoma kwaku tuletea kitu kikali
Kazi nzuri sana likoma n kundi lako❤❤❤
Niache na uvivu wangu😂😂😂 Lima huko mzee likoma
Heheeeeeee mnanipa Sana raha mm nawaombea mdumu wote msitengane
Jmn chukuen maua yenu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤ Kaz nzuri
Jamani Mzee likoma ayo majibu yako tuh 😂😂😂Sina usemi
Nawakubali sana haswa kp
Kazi nzr Sana likoma nakubali sana
Likoma ume perform vzur ktk senior yko good
Mzee likoma umeua😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂umeyatimba
Kazi poa sana mzee likoma na dibosi na wanafuzi dodosha vitu Kali kaka❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wanafuzi??
Nawapenda mno jmn yaan mnajua afu mnajua tena❤❤🎉🎉🎉🎉
Likoma unaweza sana napenda kucheka😂
❤
Mwendo wa Rikoma unanivunjaga mbavu😂😂😂🇧🇮🇧🇮🥰🥰
Gained a new subscriber ❤❤
Jaman from Tanzania nipen likes zang
Hahhaha mawanafunzi majinga sana😂😂😂😂😂😂😂
Zebuu umetisha na hilo kasha kubwa alafu halina nguo ❤😂😂
❤❤❤ kazi nzuri sana 👍🔥🔥
Huwa nikiangaliaga video za likoma na diboz huwa na cheka Sana mm jmn haya jamn kaz yenu nzuri
Nawakubali sana ❤💪
Kazi safi sana mzee likoma🎉🎉
Kazi nzur vipenzi nimewapenda bule
Hongera sana likoma nakuona mbali san kaka
😂😂😂😂mwanzo hiy nyimbo ya pochi nene nlkua nme imiss san mzee lkoma
Hahaha😂 nimeipenda sana hiii kama Mzee wagiza 😘
Ila mnapendeza sana na hizo uniform 😂😂
Kazi nzuri, Natamani kukushot filamu moja uone ubora wangu pia 😢
mzeee likoma ana vituko kweli nampenda lakn bona ukorome
Hongereni sana movie nzuri like kwao🎉🇹🇿
😂😂 mkiwa pamoja nina imani itanoka nawapenda sana
Jamani Mzee likoma, 😂😂😂😂 unamfanyaje dibosi....
Heeeh Mzee likoma umenunua hadi kitambi😂
Mzee liko unalaza sana damu tushachoka kusubiri ep y 2🎉
Sijachelewa big up likoma
Muze Rikoma na Ribozi munachapa kazi😂😂🥰🥰🇧🇮🇧🇮🇧🇮