MR MONEY_EP 01

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 07. 2024
  • #mzeelikoma#mrmoney#kpnazebuu

Komentáře • 741

  • @AnithaStiven
    @AnithaStiven Před 23 dny +157

    Jamani sijapenda mashabiki wa kp hamutendi haki kwa likoma kumbukeni likoma kafanya tumujue zaidi lakini video za likoma eti watu mupo 78 kweli sio sawa like zipo 691 sio saw😢

  • @user-sy9cu5ef5q
    @user-sy9cu5ef5q Před 23 dny +43

    Yani nkiona mzee likoma na Mr dibozi nacheka taar bila hata kujua inahusu nini jamani 😂😂😂 nawapenda sana nikiwa Kenya 🇰🇪

  • @NipherKwamboka
    @NipherKwamboka Před 23 dny +153

    Kutka Kenya Leo nimekufa number 5 nipeeni like hata kumi jamani

  • @abdallahassan6378
    @abdallahassan6378 Před 23 dny +29

    Kp nilikua naumia kuona move yen ni moja tu nilitamani kuona kil kipindi cha wamangush mzee wagiza na dada ,yaani hongeren sana 🎉🎉🎉🎉kwa kuongeza move

  • @user-ex6tg6di7r
    @user-ex6tg6di7r Před 23 dny +21

    Kp na zebuu mnapendeza , hii movie 🔥🔥🔥🔥👏👏🇰🇪

  • @OUTLAWDRILLERS
    @OUTLAWDRILLERS Před 23 dny +32

    Sijachelewa pia mm kutoka kenya,,likes kwangu

  • @tobiaschirwa9364
    @tobiaschirwa9364 Před 23 dny +6

    Unyama Sana Mzee Likoma & Dibozi nawapenda kutoka malawi tuko pamoja tutasubiri mwendeleo 😂😂 mumependeza Kp na Zebuu ❤❤❤❤❤

  • @simbeyrugata8745
    @simbeyrugata8745 Před 23 dny +4

    The best movie, congratulations to you all actors, especially kp,zebu,diboz and likoma

  • @nasorohusein-uz4hv
    @nasorohusein-uz4hv Před 23 dny +9

    Mzee likoma KAZI nzuri mungu akuongezee maarifa zaidi utazidi kufanikiwa

  • @modostar
    @modostar Před 23 dny +20

    Kazi nzuri na mm ni msanii natamani kufanya ksz na nynyi

  • @ShanBaby-dy4db
    @ShanBaby-dy4db Před 23 dny +8

    Samahani am from Kenya the capital city of Africa nipeni like zangu❤❤❤

  • @madymag6926
    @madymag6926 Před 23 dny +9

    Likoma na dibozi wow Nawependa bure kazi nzuri sana❤❤❤❤😂😂😂😂😂

  • @ruth1377
    @ruth1377 Před 23 dny +8

    Wow hii nzuri nimeipenda ad raha🔥🔥🔥🔥❤️❤️💯💯💯💯

  • @hamzaIlunga
    @hamzaIlunga Před 23 dny +8

    From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi kaka mkubwa likoma tupia like zangu apo

  • @JohariJohari-rv5js
    @JohariJohari-rv5js Před 23 dny +18

    Nguo zashule zimewapendeza

  • @SamuelAloo-qv3kg
    @SamuelAloo-qv3kg Před 23 dny +38

    Mfuasi wa mzee likoma na dibozi manuva kutoka kenya 🇰🇪

  • @MauaroseMauarose
    @MauaroseMauarose Před 23 dny +9

    Hahaha haaaa jamani jamani mpaka tumbo linaniuma

  • @lucyrif-np8ik
    @lucyrif-np8ik Před 23 dny +10

    Nimebaki tu nikicheka yaan likoma wewe et tumbo linahifadhi vyakula vingi😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉

  • @yohanemwanzalima2777
    @yohanemwanzalima2777 Před 23 dny +10

    Kp na zebuu napenda kazi zenu zote nzuri

  • @user-xd8qy1cx2b
    @user-xd8qy1cx2b Před 23 dny +6

    Jamani move nzuri sana likoma big up 💪💪

  • @JanetSanga-b6p
    @JanetSanga-b6p Před 23 dny +13

    Kazi nzuri nawapenda nyote

  • @LinetOpio-uj2eb
    @LinetOpio-uj2eb Před 21 dnem +5

    😂😂😂🤣🤣🤣 likoma acha uzembe ukalime bana na venye nilikua nmekufia hivi, ucfanye nchange mind🙆🙆🙆🙆🙆

  • @ZitoAntonioNhanga-ms6uj
    @ZitoAntonioNhanga-ms6uj Před 23 dny +10

    Nampenda sana mze likoma❤

  • @user-md2ct5fl7h
    @user-md2ct5fl7h Před 23 dny +5

    Mzee likoma unauwa sababu ya dhahabu kali sana

  • @jacksonminani9782
    @jacksonminani9782 Před 23 dny +16

    Kazi nzuri sana likoma Suraj yupo wapi kwenye plan b??love kutoka burundi

    • @joycemaregesi18
      @joycemaregesi18 Před 23 dny +5

      Haya ndo maswali ya kuulza suraji toka sonaa haonekani lakini watu kuomba like tu kuchangia vitu vya musingi aaaaaaah 😮

    • @mary-lx3hr
      @mary-lx3hr Před 23 dny +1

      😂😂pia mm nlikua nataka kuuuliza hivyo suraji Yuko wap

    • @joycemaregesi18
      @joycemaregesi18 Před 23 dny

      @@mary-lx3hr si ndo hàpo sasa lakini watu kila anayecomment anaomba like utadhani zinapunguza ugumu wa maisha😏

    • @jacklinefatma6263
      @jacklinefatma6263 Před 19 dny

      ​@@joycemaregesi18wa kuomba like waulize wapost nn

    • @joycemaregesi18
      @joycemaregesi18 Před 19 dny

      @@jacklinefatma6263 nawaulzaga wanaomba like kwa kipi wamefanya😏dalili moja wapo ya ushogha ni kuomba like ambazo hujafanyia kazi

  • @EdwardTz.
    @EdwardTz. Před 23 dny +6

    Hatari sana itanoga kuliko mzee wa giza ❤❤❤❤

  • @user-dy2zp2iw6z
    @user-dy2zp2iw6z Před 23 dny +9

    Jmn zebuu Hilo shangazi kaja 😂😂😂

  • @user-su5oi5wb6c
    @user-su5oi5wb6c Před 23 dny +3

    Nawakubali sana kp na zebuu mumerudi shule na mumependeza 😂😂😂😂❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @FaithAdela
    @FaithAdela Před 5 dny

    Wow kp n zebuu munawezanga sn na pia hao wengine munambamba sn ongereni sn timu zebuu

  • @user-op7tg4wq2g
    @user-op7tg4wq2g Před 23 dny +5

    Nakubali wapi like za mzee likoma

  • @user-lf5ud8vb5j
    @user-lf5ud8vb5j Před 23 dny +17

    Samaani nipeni like zangu from 🇨🇩 nakupenda sana likoma

  • @MarcygloriaIbrahim
    @MarcygloriaIbrahim Před 23 dny +50

    Hata mm mnipee like cjachelewa sana❤

  • @metrinenyakoe1764
    @metrinenyakoe1764 Před 20 dny

    Tunakupenda sana likoma kazi nzuri. Much love from kenya 🇰🇪

  • @CarolinePeter-gc8fp
    @CarolinePeter-gc8fp Před 23 dny +2

    Kiukweli mmejua kutusuprise but hongereni sana kwa kazi nzuri be blessed guys

  • @jaymapepefatma5936
    @jaymapepefatma5936 Před 19 dny +1

    This is love from Mozambique 🇲🇿❤

  • @user-dt9uc7wj1y
    @user-dt9uc7wj1y Před 21 dnem +1

    😂😂😂😂😂😂Kp na zebu mtakuja nivunja mbavu🤣🤣🤣🤣kazi yenu Safi kabisaa❤❤❤

  • @theopisterjovent3483
    @theopisterjovent3483 Před 18 dny

    Kwanzia kesho mnaenda shule😂😂 aya MR MONEY❤ hatutaki haibu nenda shule KP na Zebuu🤝

  • @johnfilbert5915
    @johnfilbert5915 Před 23 dny +7

    Kumbe ndo maana plan b inachelewa ,,kina seasin nyingine

  • @GentilKakule-rd2pz
    @GentilKakule-rd2pz Před 23 dny +2

    Likoma mtu hatari sana hii nimeipenda sana 😂😂 leteni mwendelezo haraka basi😅 Ila kifutu mwenzio kasha kua tajiri tayari😂😂

  • @AbdulBushiri-b6o
    @AbdulBushiri-b6o Před 2 dny

    Ninawapenda sana hawa watu kifupi nina iipenda group lao 😅 kutoka tanzania dare ssalaamh

  • @user-rl5zb1jc9k
    @user-rl5zb1jc9k Před 23 dny +2

    Unyama mwingi 🔥 much love from Kenya 🇰🇪😘

  • @Asia-dq3rt
    @Asia-dq3rt Před 23 dny +4

    Aki nmecheka kwa saut so kwa hayo masomo 😂😂😂😂😂

  • @isabellahchuma
    @isabellahchuma Před 19 dny

    Ety zebuu darasa la pili,alaf nimekuama hapa kwa a e i o u😅😅😅😅😅😅kazi nzuri sana timu likoma na timu yako🎉🎉🎉❤

  • @user-zo8lz3wm7n
    @user-zo8lz3wm7n Před 23 dny +1

    😂😂😂😂😂Maajabu likomaa mvivu KP kazi nzuri pamoja na watu zako 😂😂😂😂😂kimbembe sasa likoma kita kulamba mwenye Mali yake kaja

  • @user-zw7nz4nh6d
    @user-zw7nz4nh6d Před 12 dny

    Mashabaki wa kp tumo❤❤ likoma tuko pamoja🎉🎉😂 kwanza hongera kwa likoma

  • @BrayMark-d3z
    @BrayMark-d3z Před 21 dnem +3

    Tupe hii baba achana na plan b

  • @janepaul-pu3ds
    @janepaul-pu3ds Před 23 dny +1

    Likoma kwa hii mnanoga sana hongereni sana Kp na Zebuu nimependa hizo sare 😍😊🎉🎉🎉🎉 msikawie sana bac kutuletea ep 2

  • @EstherwakioWukanda
    @EstherwakioWukanda Před 21 dnem

    😂😂😂😂jamani Likoma na Dibozi huwa mwanifurahisha sana,nawapenda bure❤

  • @user-ck7fi3bh3i
    @user-ck7fi3bh3i Před 23 dny +3

    Mi nmependa iyo shangaz kaja ya zebuu🤣🤣🤣

    • @Stardinyo
      @Stardinyo Před 23 dny

      Yaan mi ntalitafut shangaz kaja

    • @EmmyMo
      @EmmyMo Před 20 dny

      Imenzidi umrii😂😂😂

  • @user-jd9jb3ri4u
    @user-jd9jb3ri4u Před 23 dny +1

    Shangazi kaja inakimo kuzidi mbebaji,,,,,,,si kwa kukwea hko jaamaan. 😍😍😍

  • @zainzain1163
    @zainzain1163 Před 23 dny +1

    Haaaa mzee na team yako nawapenda kutoka kenya 🇰🇪😍😢😆❤❤❤❤kazi nzuri

  • @brenduemmanuel7540
    @brenduemmanuel7540 Před 17 dny

    Kaz nzur nawapend saaan jamn mnafany naenjoi nikichk move zen

  • @CollisBill-mu3zp
    @CollisBill-mu3zp Před 23 dny +1

    😂😂😂😂 Diboz anavo limaaa😂 mikwara mingii.Kama MABALA THE FARMER

  • @ThumahSalush
    @ThumahSalush Před 8 dny

    Mambo napenda movie zenu mnajua kuakti wow ❤😅😅 mwaaaa

  • @FatimaFatima-bx8ez
    @FatimaFatima-bx8ez Před 21 dnem

    Wow nimeipenda nzuri sana
    Kp na zebuu mmpendeza sana❤❤ aaaa had raha nawapenda nyote 😅😅😅😅🎉❤

  • @TantineZuzu
    @TantineZuzu Před 23 dny +2

    Hongereni kwa kazi nzuri sana 🎉🎉❤❤🇧🇮🇧🇮

  • @user-qq4zr3sk2g
    @user-qq4zr3sk2g Před 20 dny

    Eti mzee mwenzangu tumetajirika 😂😂😂 anavyojishirikisha😂😂😂

  • @JerryGebiyr-dv6jp
    @JerryGebiyr-dv6jp Před 23 dny +1

    From south africa tujuwane apa kwa safari hii ya Mr Money 🔥🇿🇦

  • @PedrocesarmsuyaMsuya-k9p
    @PedrocesarmsuyaMsuya-k9p Před 23 dny +3

    Kati yao nan mdebwedo wa ukweli😂😂😂❤

  • @philohmutua2968
    @philohmutua2968 Před 23 dny +2

    Naipenda sana likoma amekuwa Nigerian walai

  • @ALAINMUFUNGIZI-gb2gs
    @ALAINMUFUNGIZI-gb2gs Před 23 dny +1

    Kp wewe nduguyangu ningekuwa uko tz ninge jiunga na wewe tatizo niko congo

  • @maimunarajab6826
    @maimunarajab6826 Před 21 dnem

    Mzee likoma daah unanifurahisha kweli😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-gg5ed4wt2v
    @user-gg5ed4wt2v Před 23 dny +2

    Nimefurahi,sana liko na dibozi❤❤

  • @JuliaAyuma-z5w
    @JuliaAyuma-z5w Před 19 dny

    Natoka kenya siku moja natamani sana niwaone macho kwa macho nyie ndugu zangu watanzania

  • @GentilKakule-rd2pz
    @GentilKakule-rd2pz Před 23 dny +2

    Hii inaonekana itakua kali sana 🔥🔥🔥 ongera sana mzee likoma kwaku tuletea kitu kikali

  • @user-xm4uu7he9c
    @user-xm4uu7he9c Před 23 dny +2

    Kazi nzuri sana likoma n kundi lako❤❤❤

  • @juliusshauri4498
    @juliusshauri4498 Před 19 dny +1

    Niache na uvivu wangu😂😂😂 Lima huko mzee likoma

  • @NAOMICOM-my4ql
    @NAOMICOM-my4ql Před 23 dny +2

    Heheeeeeee mnanipa Sana raha mm nawaombea mdumu wote msitengane

  • @MaryamSafi-vm6or
    @MaryamSafi-vm6or Před 23 dny +3

    Jmn chukuen maua yenu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤ Kaz nzuri

  • @user-bc5zw3jn2x
    @user-bc5zw3jn2x Před 19 dny

    Jamani Mzee likoma ayo majibu yako tuh 😂😂😂Sina usemi

  • @TamashaAwadhi
    @TamashaAwadhi Před 11 dny +1

    Nawakubali sana haswa kp

  • @MalakiKapesa
    @MalakiKapesa Před 4 dny

    Kazi nzr Sana likoma nakubali sana

  • @feisaldesign4156
    @feisaldesign4156 Před 2 dny

    Likoma ume perform vzur ktk senior yko good

  • @zawadichengokatana4750

    Mzee likoma umeua😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂umeyatimba

  • @MayengDulu
    @MayengDulu Před 23 dny +6

    Kazi poa sana mzee likoma na dibosi na wanafuzi dodosha vitu Kali kaka❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @FatumahUbwa
    @FatumahUbwa Před 19 dny

    Nawapenda mno jmn yaan mnajua afu mnajua tena❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @samwelnestory8716
    @samwelnestory8716 Před 23 dny +1

    Likoma unaweza sana napenda kucheka😂

  • @aishalovesesibe
    @aishalovesesibe Před 15 dny

    Mwendo wa Rikoma unanivunjaga mbavu😂😂😂🇧🇮🇧🇮🥰🥰

  • @FREDRICKotieno-li2vo
    @FREDRICKotieno-li2vo Před 23 dny +3

    Gained a new subscriber ❤❤

  • @AmosBudoya
    @AmosBudoya Před 23 dny +3

    Jaman from Tanzania nipen likes zang

  • @janethmshahara4048
    @janethmshahara4048 Před 21 dnem +1

    Hahhaha mawanafunzi majinga sana😂😂😂😂😂😂😂

  • @RehemaMwambene-nf3yh
    @RehemaMwambene-nf3yh Před 22 dny

    Zebuu umetisha na hilo kasha kubwa alafu halina nguo ❤😂😂

  • @user-yu9qn4oi3g
    @user-yu9qn4oi3g Před 23 dny +3

    ❤❤❤ kazi nzuri sana 👍🔥🔥

  • @MancaGilbert-os9kx
    @MancaGilbert-os9kx Před 13 dny

    Huwa nikiangaliaga video za likoma na diboz huwa na cheka Sana mm jmn haya jamn kaz yenu nzuri

  • @AnoriteMungusa
    @AnoriteMungusa Před 23 dny +3

    Nawakubali sana ❤💪

  • @paulinekombe3753
    @paulinekombe3753 Před 23 dny +2

    Kazi safi sana mzee likoma🎉🎉

  • @DianaKatyetye
    @DianaKatyetye Před 23 dny +2

    Kazi nzur vipenzi nimewapenda bule

  • @AmosBudoya
    @AmosBudoya Před 23 dny +2

    Hongera sana likoma nakuona mbali san kaka

  • @user-wn9xk7ys7n
    @user-wn9xk7ys7n Před 4 dny

    😂😂😂😂mwanzo hiy nyimbo ya pochi nene nlkua nme imiss san mzee lkoma

  • @salhatiddy
    @salhatiddy Před 23 dny

    Hahaha😂 nimeipenda sana hiii kama Mzee wagiza 😘

  • @user-eq9xt7qi3n
    @user-eq9xt7qi3n Před 23 dny +1

    Ila mnapendeza sana na hizo uniform 😂😂

  • @directorshasibu
    @directorshasibu Před 22 dny

    Kazi nzuri, Natamani kukushot filamu moja uone ubora wangu pia 😢

  • @tommroverdose1242
    @tommroverdose1242 Před 23 dny +3

    mzeee likoma ana vituko kweli nampenda lakn bona ukorome

  • @user-vp5yi6gb8v
    @user-vp5yi6gb8v Před 20 dny +1

    Hongereni sana movie nzuri like kwao🎉🇹🇿

  • @user-dv2wl3gh4n
    @user-dv2wl3gh4n Před 23 dny +3

    😂😂 mkiwa pamoja nina imani itanoka nawapenda sana

  • @floramacheva5855
    @floramacheva5855 Před 20 dny

    Jamani Mzee likoma, 😂😂😂😂 unamfanyaje dibosi....

  • @MomoDarucy-tw2ti
    @MomoDarucy-tw2ti Před 23 dny +1

    Heeeh Mzee likoma umenunua hadi kitambi😂

  • @abdullatif053
    @abdullatif053 Před 18 dny

    Mzee liko unalaza sana damu tushachoka kusubiri ep y 2🎉

  • @agapitshayo-cy7vy
    @agapitshayo-cy7vy Před 23 dny +4

    Sijachelewa big up likoma

  • @aishalovesesibe
    @aishalovesesibe Před 15 dny

    Muze Rikoma na Ribozi munachapa kazi😂😂🥰🥰🇧🇮🇧🇮🇧🇮