Jamani nitowe Ushahuri Kidogo Donta Plus chunga sana msimpoteze Victoria jamani Victoria mwamba saaana ❤❤Yani anafurahisha Kbx Congrats for u Vistoria 😢❤
😂😂😂😂 sio tu kwa mama ujumbe umefika wa walegwa 😂 wapo Wanaume wanao kataa mimba na Watoto KABSA...wapo wamama wanao tupa Watoto na kuwatelekeza😂so ujinga nd maisha tuliyonayo na yalikuwepo
Nimempenda sana huyu mkaka ameigoza vizuri sana yani ameigoza vizuri sana Kwa hekima sana endelea kujitahidi Mimi nikipata mwanaume wa hivyo ata kama anamtoto naishi nae vizuri 🎉
Viki ulificha kucha mwanzoni ila skuizi unakarambuka gari limewaka skuizi umekuwa msemaji unavimbanga vya maneno sawa pamoja na uigizaji ila tabiya njema muhim hongera love nes 🎉🎉🎉🎉
Lovenness unazingua mme wako anaitwa nyuki lakin usimwite hivy jina lake halisi nyuki mwite mume usimwite nyuki ataka ni movie eke kitu kikae katika uhalisia wakeeee
Mimi Niko zangu Burundi Bujumbura,niseme ivi unavyo mpenda mtu penda na chake.Maana yangu ni kwamba ukisha juwa ya kwamba unae mpenda ana mtoto jiandae kumlea kama mtoto wako .Ukijua hii mtoto wa mwenzio ni mtoto wako
Ki ukweli uyo mtoto anakaa loveness naye loveness anakaa vicky.......conlusion ...mtoto niwa loveness .......af vicky na loveness ni sisters wa mama mmoja .....nani ameona ilo ????
Mtoto atakuja kuwa muigizaj mzur sana coz yuko seriously like kwake
Na huyu dada love nimempenda sana kwakuigiza vizuri kumpenda mtoto akajua kwamba mtoto ni malaika
Kabisa
Kam una mkubari nyuki gonga like❤❤😅
hii story imegusa maisha yangu kabisa hii imesha nitokea ndo maaana naipenda donta tv gonga like❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤u
Hii story imenigusa sana
Loveless leo umenifurahisha san mungu atakulipa kwakuishi na huyo mtto nakupa maua 🎉🎉🎉yko
Nyuki ni Nyuki kweli 😂 unanipamba jinsi unavyokuwa serious ❤
Hongera Loveless Kwa kuonyesha kuwa sio mama wote wa kambo ni wabaya❤❤❤
Yarisha nitokea ivo kaza
@@TatuRashidi-nw6cq 🫶🫶🫶
Jamani nitowe Ushahuri Kidogo Donta Plus chunga sana msimpoteze Victoria jamani Victoria mwamba saaana ❤❤Yani anafurahisha Kbx Congrats for u Vistoria 😢❤
Da vicky weww ndo ulipasuka au ni baba wa mtoto ndo alipasuka😂😂😂 vicky weww hujasikia uchungu
Hajasikia mama jisi mtu anapasukaga
@@user-tj3gt9pn9w 😂😂😂😂😂😂😂
Dahhh vikii leo mmempa parti mbaya kwa vipindi vyote nimeona hii ndio nimeona akiigiza sehemu mbaya kama mamakambo dah❤❤❤❤😂
Loveness unajua sana mdg wang cjawahi kucoment but leo nimevunja ukimya
Loveness mtoto was mwenzio muone kma wako
Hapo ndio nakupendea loveness Kwasababu uko na roho ya ubinadamu nakupenda sana
Mama jinga kabisa yaani nibebe mimba nizae mtoto akue alafu nikamtelekeze😂😂
😂😂😂😂 sio tu kwa mama ujumbe umefika wa walegwa 😂 wapo Wanaume wanao kataa mimba na Watoto KABSA...wapo wamama wanao tupa Watoto na kuwatelekeza😂so ujinga nd maisha tuliyonayo na yalikuwepo
Lisa unaongea vibya unaekti mno huwo mdomo wako ukiongea unakaa vby jirekebixhe
Wapo sana wamama wa aina iyo
Jamani huyo mtoto nmuzu sana Vik siunipe,😂😂😂
Pole sana Victoria umeyataka kwenyewev🎉🇰🇪
Funzo nzuri sana hongereni ❤❤❤
Nyuki 🐝 kweli nyuki 🐝 nakubali sana kazi zako bro Mungu akubaliki sana zaidi ya sana ❤️👌🏾 sana ♥️♥️
Kabisa
Mwanao ndo ndugu yako mwanao ndo msaada wako poleee😂😂😂
Kama unampenda love gonga like
Love u loveness ❤jiandae kua mama bora😘
Like kwa wanao mpenda nyuki
Lg
Unampa like gani
Nimempenda sana huyu mkaka ameigoza vizuri sana yani ameigoza vizuri sana Kwa hekima sana endelea kujitahidi Mimi nikipata mwanaume wa hivyo ata kama anamtoto naishi nae vizuri 🎉
Kwa nyukiiiiiiiiiiiiii@@MaryyChemtai
Sasa kwa mfano uyo kunambi nae anezaa njee akiletwa mtoto utakubali au utakataa siwez kumtelekeza mwanangu eti kwa sababu ya hawara
Pamoja dear
Nice stori na iwe funzo kwa wanawake wengine wanaotelekeza watoto wao sababu ya mwanamume
Kenya Watching, twapenda kazi zenu nzuri.
Viki ulificha kucha mwanzoni ila skuizi unakarambuka gari limewaka skuizi umekuwa msemaji unavimbanga vya maneno sawa pamoja na uigizaji ila tabiya njema muhim hongera love nes 🎉🎉🎉🎉
Like kwa wanao mpenda nyuki ❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂
Love huyo mtoto ni wa kwako hata anakufanana😅❤
Vck siku zote usione kipya ukasau cha zamani.ukipanda maragwe utavuna maragwe.na mkataa pema pabaya pamgoja.kama 2ko pamoja naomba like
Hvi NDOA YA KAHABA umemalza lini nyuki mbona mambo mengi jamn😢😢
😂😂😂😂😂😂😂
Ndoa ya Kahaba ipo episode 7 katika channel ya Nyuki TV
Jamani loveness na nyuki mmependeza love nimeenda nyimbo yako
Loveness nimekupenda bure usifanye kwa kuigiza pekee uwe hivo milele
Nimefurai kwa uwamuzi wa love kumkubali mtoto na maamuzi ya bba pia ❤❤❤❤❤❤
Ila jman ka love kanajua kuigiza San utafik mbali dada komaa
Mwendelezo WA hii movie tafadhali 🎉🎉
Lovenness unazingua mme wako anaitwa nyuki lakin usimwite hivy jina lake halisi nyuki mwite mume usimwite nyuki ataka ni movie eke kitu kikae katika uhalisia wakeeee
Kunywa soda kwa bill yangu💋❤️umeongea jambo la busara sana hadi nimejifunza kupitia kwako
U serious was nyuki ni meupenda buree❤❤😂😂
Sawa sawa bron nimekupenda bure kwamaneno kuntu umemwambiya Vicky yani mjinga kweli kweli
jaman donta munajua kunifuraisha wakwaza lover ness mpore Vick mumulinde Sana kwamaan hananifuraisha hatar hanajua kupenda hatar 😁😁😁
Yan Vicki mwanaume wako atakuona ww mjinga anakupima hakir2 hapo
Saw bhana❤❤ asanteni kwa ujumbe mzur❤❤
Tunaomba mwendelezo wake WA hii move bas please
Victoria jamani uliona wapi kope za mbu🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nimempenda huyu kaka ameigoza vizuri na ana hekima sana ajitaidi sana sana
Leo hii umetambua ni damu wakati ulipokuja mtelekeza angeuliwa ungemuuliza nani
Mbona tamu na ni mwisho jamani
Wee Mimi huogopa kudate mwanamme mwenye mtoto waaah noma
Da Vick kwer unaacha mtoto kixa mwanaume kwer daaaa umetixha sanaaa
Mimi Niko zangu Burundi Bujumbura,niseme ivi unavyo mpenda mtu penda na chake.Maana yangu ni kwamba ukisha juwa ya kwamba unae mpenda ana mtoto jiandae kumlea kama mtoto wako .Ukijua hii mtoto wa mwenzio ni mtoto wako
Leo nimekuwa wa 3 jaman like zangu
Ila nyukiii namkubariii sana❤
Move nzuri inafundisha ila huyu Viki hamnazo hakuna zawadi nzuri kama mtt hapa chini ya jua
Siwezi mtelekeza mwanangu kwa sababu ya mwanaume furaha ya mwanangu ndo furaha yangu
Kabisa mm nko na watatu na nalea mwenyewe mm ndio mama ndio baba na Mungu amenipa maarifa watoto wako sawa
Umeona eee watoto ndokila kila kitu kwangu nawapenda mnoooo
Siwezi pia kutupa mwanangu wala kupeleka wapi ntapambana nae hata kama nalala na njaa
Cwezi kuwa na amani ya moyo na huyo mwanaume Kwa kutelekeza damu yangu hakika wenye moyo huo Mungu awagusr
Kazi nzuri xn ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Mtoto analidwa na mungu ila inabid umuache kwaupendotuu sio kwa mazingira ayo
Hiyo ni ukweli KBS ushauri mzuri sana KBS 👏👌🎉
Vick wewe ni mpuuzi kweli mwanao umemzaa mwenyewe afu unampeleka mwanamke mwingine kwel vick we mpuuzi
Never be me kutelekeza my toto😊😊😊
Nyuki na loveness 🎉🎉yenu ayo nawapa
Dada vicky kitakuramba kweli pia huyo atataka kubebewa mtoto wafikiria kula bata tu umejishusha
Hahahahahhhayaha kibao juuu weee ni mama ake lazima ufanye hiv mpumbav nn🤣🤣🤣🤣🤣🤣ai nyuki umenifurahish hapo tuu
Ki ukweli uyo mtoto anakaa loveness naye loveness anakaa vicky.......conlusion ...mtoto niwa loveness .......af vicky na loveness ni sisters wa mama mmoja .....nani ameona ilo ????
Weee really!!???
"" vicky!! Ulimleta mtoto kwa mikono yako mwenyewe!!!
Jamani Nyuki and Loveness Mmetisha saaana Kbx
Wewe mwanamke usiumie tafuta mwanaume mwingine ambae hajui mtoto umepelekaje kwamzazi mwenzio
Nimeipenda bule
Aipendezi kabisa,mwanamke uliosikia uchungu wmwana kufanya hivi.vick zunguka hila ujue mtoto si nguo
Shidayao awa wanadota tivi awaendelez move 😢wanaboesha
Dada vick hapo umefeli kwa kweli kakushinda ujanja lovenessy😅😅😅😅
Yaan hata mm siwez maana Hawa wanaume ukiwaendekeza itakula kwako
Loveness na nyuki wah mnaendana💖
Katoto kazuri🤗🤗
Mashaallah kazur kwel aallah amkunze
Sasa mbona mwisho jaman😂😂😂😢
Vicky hapo umechemsha wewe umekosra Sana kumpeleka mwanao kwa mama mwingine ingekuaniwakwako nakunambi ugemtupa? Unadai ni mapemzi hunaakili
Pole sana vk omtupà mtoto kwajili ya mapenzi yona sasa
Mtot analindwa na mungu pia wapo mama Bora sio kila mama Ni katili
Saivi mnaniudhi sana mnatukana sana sa kudinyan ndo nn watot tunachk nao tamthilya
Lovenes ongera huyu mtoto atakufaa maishani mwako.kwani ww n mwanamke nanusu😮😮😮😮
Viki unalipwa .na mtoto ashazoea mama hake love nesi
Donta lete mwendelezo tujifunze zaidi
sjapenda imeish mapem ingekuwa tuu series penzi la love na nyuki nmelielewa atari ❤️❤️
Mmenifupa funzo m barikiwe.
Njamani namupenda Victory buretu
Hongera lov kwa upendo wako
Hiyo ni finzo nzuri sana KBS 😌🥰
Cjawah kuangalia movie ya Viki afu acumizwe na mapenz
Hongren hii mov nmeipend aki🎉🎉❤
Na mpenda nyuki from dota tv
wew da Vicky kwan unaujua uchungu wa mtoto uliyatak mwenyew
Mwogo ww vk ww ni punguani tumia hakili yako vizuri mwachie nyuki na babe wake wajinice
Ukiniangalia naona aibu confidence inapungua 😂😂😂
Hii story imetufinza wanadada tufanye uamuzi baada ya kufikiria hongera🎉
Vick kimekuramba kwa kunambi
Hongera sna wana donta
Tunaomba na sehemu ya pili
Nimependa mno❤❤❤❤
Wenye tabia ya viki mjifunze
Wow mwambie kaka amefanya I jinga 😂😂😂 San 😊
❤💪👏🎉🥰mpe shuwa mama
Hapo ndipo ninavyo kukubali lav huruma iendelee kutawa Mungu akutangulie najua ipo itakua muigizaji bora Afrika