Dah baba Joan kweli na kubali Sana kazi zako nawa fwata 5/5 kutoka drc Congo 🇨🇩🇨🇩, alafu yule binti mwanafunzi kwakweli ni mrembo Sana angekuwa karibu na mimi ninge mtongoza❤❤ nawa takiya kila la heri kwenu.
Asante sana Comred Emmanuel Nchimbi, umeonyesha ukomavu wa kisiasa. Hao vijana limbukeni wanaodhani siasa ni tiketi ya kufanya uharifu wachukuliwe hatua. Hayo ni majambazi yamejipenyeza NDANI ya vyama kuficha uhalisia wao. Hata hivyo tabia zao halisi hatimaye tunaziona kupitia matendo na kauli zao.
Kipenzi ata yeye kakosea maana uwezi angalia season ya kwanza mpak hyo afu full mv si inakuwa ni Ile Ile ko bando linaenda mara 2 ila nimeenda kumtazama mwisho kabisa ila ilipaswa hii story aitoe kwenye season ya 4
Baba joan hakika mimi ni sijawai kukosa tazama kazi yako na kila kazi huwa ni nzuri hivyo basi kwa binafsi mimi naomba utoe mwendelezo wa mali za marehemu kwani nijifunza kitu kwa series hiyo naipenda kweli kutoka MUSOMA -MARA .
Cinema hii nimeipenda sana,,, zidi kugrow na kutupa content nzuri zaidi kila siku. I love your great work from here at university of eldoret, Kenya ❤️ Mungu awabariki siku zote
Ushaanz kufelii make unaanzisha ki2 hukimalziii eleweka mm nikajua naftilia mali za urithii tena umetoka umeinhia kwingine angalia mashabiki tunaftiaga sanaa
Mke wa baba joan jamani❤❤🎉🎉
Kazi njema
Ni moto sana hii
Kaz nzur sana Yan
Baba Joani unajuwa papa
Movie nzuri kiukweli inavutia hongera kwake baba joani
Like zangu jaman wapendwa maana sijawahi kupata like leo na mimi iwe siku yangu ya kupata like
Baba joani naombeni likes zangu from 🇰🇪 idd mubaraka nyote baba joani family
Sijakuelewa
Minacitumiyaayo
Dah baba Joan kweli na kubali Sana kazi zako nawa fwata 5/5 kutoka drc Congo 🇨🇩🇨🇩, alafu yule binti mwanafunzi kwakweli ni mrembo Sana angekuwa karibu na mimi ninge mtongoza❤❤ nawa takiya kila la heri kwenu.
Kazi nzuri sana story safi
Xxvdeo
Xxx
Xxxxx
Xxxxx
Abihudishonza
❤ injoii move Iko vizur
Ogera baba Joan tuna kukubari sana
Huyo bint mzur sana🎉
Nashangaa wengne cjui mnaonaga nin Kwan hamuon kama Mali za marehem haijaishaa mbon mnasifia Kaz ingne wakt ingne bado
Auna baya baba Joan aki mwlm mgn🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hiyo nokal🎉🎉🎉
Asante sana Comred Emmanuel Nchimbi, umeonyesha ukomavu wa kisiasa.
Hao vijana limbukeni wanaodhani siasa ni tiketi ya kufanya uharifu wachukuliwe hatua. Hayo ni majambazi yamejipenyeza NDANI ya vyama kuficha uhalisia wao. Hata hivyo tabia zao halisi hatimaye tunaziona kupitia matendo na kauli zao.
Wakwanza Leo naombeni like zangu much love from Kenya 🥰
ok mamboz
Chukua
Sas wew baba joan unafel hujamaliza mali za marehem unatuletea mpya tutakuwa atutizami
Mbona unaongelea movie iloisha angalia hadi full movie uelewe ni tatizo la kiufundi sio yeye
Kipenzi ata yeye kakosea maana uwezi angalia season ya kwanza mpak hyo afu full mv si inakuwa ni Ile Ile ko bando linaenda mara 2 ila nimeenda kumtazama mwisho kabisa ila ilipaswa hii story aitoe kwenye season ya 4
mmh enaleta utam
hii nimeipenda inafundisha sana bba Joan ila shida hujui mtu niwa aina gan kibinadam ni haki kumsaidia mtu akiwa hajiwez
Kazi nzuri sana baba Joan
Uwe unamaliza movie baba Joan, finishing Yako hàtuielewi, Mali za marehemu hujamaliza bado
Ba Joan angalia kuna kitu anataka kutoka kwako
Na imani hii kazi utaimaliza tena kwa uzuri kabisa
Hii itaisha nimeongea nae
Baba joan hakika mimi ni sijawai kukosa tazama kazi yako na kila kazi huwa ni nzuri hivyo basi kwa binafsi mimi naomba utoe mwendelezo wa mali za marehemu kwani nijifunza kitu kwa series hiyo naipenda kweli kutoka MUSOMA -MARA .
Cinema hii nimeipenda sana,,, zidi kugrow na kutupa content nzuri zaidi kila siku. I love your great work from here at university of eldoret, Kenya ❤️ Mungu awabariki siku zote
Ba Joan jikaze mwanaume kwanza nazikubal saana kazi zako utafika tu uendako
maliza mobie baba hii mambo ya kuruka itakufanya ukose ubunifu kwa kazi zako
Safi sana mwanangu Nice comment
Wewe sio shabiki ungefatilia vzuri ungejua kipi kilitokea hadi hajamaliza movie angalieni full movie
Hongera Sana Baba joan
Napenda Sana move zako
Kali sana
Ala nomaha sana
Baba John mbona sasa humalizii kazi sasa ata hii atuna imani ka itaisha ak ila mali za marehemu ilikua tamu sana🎉🎉🎉
Kazi safii
Good job god blessed
Wa Kwanza Leo naomben lake zangu😅😅
Baba jon unatuchanganya movie zako huzimaliz unaleta nyengine malizia kwaza
Congratulations 🎈👏
For sure karibu kumalizia movie zako am here waiting for Mali ya marehemu naomba umalizie
Movie nzuri xna kiuqweli inavutia much love ❤️❤
Malizia kazi Baba Joani kua mbunifu maan muv unaruka hatukuelewi
Story safi hiyo 🎉🎉🎉🎉
Baba joan Ss Mashabk zako ase Nisaidie namba ya huyo jini😂😂
Uyu baba ana move MZr ila amalizii hata mama mkwe pia mwalimu mgeni
wa kwanza Leo aki naomba like hata kumi 🙏🙌🙌
Tatizo lenu series zenu mnaishia njian hatuon mwafaka
Nilikuwa nimepoeka na nyinyi juu amumalizi movie
This is awesome this movie is nice
move kali sana hii
Baba joan ww nakukubali san ❤
Well done 👍
Movie ninzur kweli
NAONA MNALALAMIKA KUHUSU MALI ZA MAREHEMU LAKINI ALISEMA KUNA TATIZO LA KIUFUNDI LILILOTOKEA HADI HAJAMALIZA KWANI HAMJAANGALIA FULL MOVIE??
Asee mkuu vipi 😅
NEW EPISODE WAAAU❤❤❤
Poleni sana jamani mkuu 😢
Vp wadau
Wigwa nigwa nahene lolo
Biti kama zakwenye movie zakanumba yani nimoto 😊😊😊
Like siyo mchongo sana ila Awa jaamah awajuwi kumaliza kazi zao
Kaka johan ukovizur
Naomba like na mm sijawahi pewa like, kitu cha idd mubarak 2024 hii kwa babajoan
Like hunaenda kuziuza ama
@@graffinamisi ndiyo nauza
Bila music movie zinapendeza .sass kwa nn muweke muziku.munakelaa
Sasa upewe like wewe za nini wewe ndo umpe Baba Joan like 😂
@@numpefikimwaipopo baba Joan lazma nimpe like mapema sana yani haipingwi kwasababu kazi zake najitahidi kuzifuatilia sana pia nazikubali sana
moses
Baba Joan jitahid kumalizia movie zako kwanza na kuwa mbunifu huoni jinsi view walivyopungua kwa kasi hujiulizi shida nini?
Msaidie kubuni usimlalamikie uku mtafute private 😂😂😂
Kweli kabsa me namkubal uyu mwamba anajituma lkn aangalie wenzake akina clam na kicheche
Kabisaa man, jamaa anaanza kidogo anatupa anaanza ingine😂😂
Ndo ivo mali za marehemu sijaielewa imeishia wapi
😅😅@@user-dz5yu4wn7o
yes iko mwwwwaaa
❤❤❤❤
Nakukubali baba joan🎉🎉🎉
Hii ni nzuri sana nimeipenda
Congratulations
Mbona hujamalizia mali za marehemu jamenii,,anyway nipeeni likes pia 😊
Baba Joan mbon hujamalizia Mali za marehem
Huyo msichana ni karembooo waah😂😂😂❤
Si ukampose
@@FatimaAli-of4gh Talk English please🥺
@@PetertheSeer1
Kwa nini nizungumze English na mimi mswazi 😀😀😀
@@FatimaAli-of4gh because I already like you💪😂
@@PetertheSeer1
Mimi sijui kingereza umemanisha nini
❤❤❤
Baba Joan mbona Mali Za Marehemu hujamaliza Kaka Unatukata Stim Kaka😢
Angalia hadi full movie iliisha
@@user-ff4zw7oj8i ok saw
Nice
Nakukubali sana patronize
Ushaanz kufelii make unaanzisha ki2 hukimalziii eleweka mm nikajua naftilia mali za urithii tena umetoka umeinhia kwingine angalia mashabiki tunaftiaga sanaa
Ushaur unapoanzisha kaz jitahid bas uwe unazifikisha ili mashabiki tuwe tunazifurahia zaid na zaid
Waiting for episode 2
Baba Joan kazi zako ni nzuri sanaa Ila uwe unamaliza kazi maana hata Mari za malehemu hujamaliza
Another boomer 💥💥 we love you from Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
So lovely ❤
Poleni sana jamani 😭
Patronaiza pamoja sana kwa kipaji chako hakukubali sana
Like me kazi nzuli baba joan
Umetisha
Uwe unamalizia movie baba Joan unatuacha pazuri kisha tunajua mwendelezo unakuja kumbe hakuna 😂😂mali ya marehemu niliipenda basi tu😢😢
Huluma mda mwingne zinatuponza jamani 🎉🎉🎉
kaz kaz
Ww baba Joan utafanya mashabiki wako wakutenge Kwa hivo unavofanya humalizii kazi
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Movie zako ziko Sawa
Ba Joan jikaze mwanaume kwanza nazikubal saana kazi zako utafika tu uendako 😅
❤❤iko poa sn naomba like zngu 🎉🎉 kutoka kenya
Baba Joan kwani ile series ya mali za marehemu iliisha ivyo
Good job
Mbona unaturusha mbele bila kumalizia mali za marehem
Baba Joan Mali za marehemu iliisha aje
Baba joan unaweza na team yako❤
Unajitahd lkn baba joan
❤ good job ❤❤❤❤❤
Great video
❤
Maliza kwanza ndio uanze nyingine ❤
😮😮😮
Mudy matuluuu
Nziri zana toa episode 2
Huyo mke wako ana roho mbaya