Mwakatobe yuko vzr tunamkubal sana ila ajirekebishe kitu kimoja mavazi nguo izo izo movie zote nguo izo izo Hana ubunifu kwenye swala la mavazi apo abadilike
Sijaelewa fundisho la hii mv an inakuwaje mme tumia suluhisho la tiba ya tatizo la bravo kwa daktari ambaye si professional na hatujaona madhara anayo weza kupata. Nafatilia movie zenu nyingi ila hii idea ya final mmezingua kwa kukuwa jamii imejifunza kuwa madaktar wa kienyej ni bora kuliko hospital.
Mh kila nikiangalia hiii muvi napata hisia Kali kisha najiuuliza kweli kuna wanaume wanalala nasuru Ali tatu hata dali kimoko kinawashinda mh hatar ila mm kwa mizagamuo sitaki ujinga
Nakufuatilia sana mwakatobe Mozambique
Mwakatobe ❤❤...hajawai tuangusha akiwa na bravo genius 🔥🔥🔥🔥🔥
Watching from Saudi Arabia but from 🇰🇪 am enjoying watching such movies,,love you all❤❤❤
Huyu mke wa bravo ni Mrembo Masha Allah
Nikweli mwakatobe Ulifika mjini endelea kufanya mambo tuko pamojani @Baharia ugaibuni💪🇰🇪🇶🇦
Kinyagulaaaaa.....! Mshirikinaaaa...! Wakuluuuuuuh! ❤
Mwakatobe ginus 💪💪💪
Watching Al the way from kenya 😮❤😂🎉 wapi likes zangu watazania na wale waa congo naa Burundi pia pitieni qwangu pia
Wacha mdomo
😅😅😅😅😅
@@edwardngugi3537mpeni 2
@@edwardngugi3537😅😊😊❤❤A
czcams.com/video/3hdc095kGpo/video.html&si=_CfA2XR7xt9YKIRJ
Bravo umeyatimba jogo apandi mtungi mwakatobe mke wamtu nisumu😁😁😁😁😁🤣❤️❤️❤️🇧🇮
Huyo Dada mzuri kweli shemeji yake mwakatobe
Mwakatobe yuko vzr tunamkubal sana ila ajirekebishe kitu kimoja mavazi nguo izo izo movie zote nguo izo izo Hana ubunifu kwenye swala la mavazi apo abadilike
Mavazi sio kesi n'a hayana maana usiovu ata badilisha akitaka
😁🤣nikwambie yeye ni comedian so mavazi yake ni ubunifu tosha wa kucheka pia 😂haina ulazima wa kuvaa kigentroman or kibrothear men🙌
Mavazi nini wewe
Uyu dada alie igiza mke wa Govinda anajua kuigiza😂😂😂😂😂
Kweli na huyu kikofoa wanajua sana
Mwakatobe umepigaje apo 🙌🙌🙌🙌🙌hii imeenda
Duh yan kitu kimenona hivo nikiache asee siwezi
Eti tangulia nakuja sema ni movie tuu ngekutukana
Hii inatokea ata kwa maisha ya watu yakawaida
Xx km mkono wa suweta afanyeje au unataka adhalilike😂😂😂😂
@@user-dm7mp2uq6u duh nazima taa
Hataona kudadadeki
Hahahahaha uyu mbona ivi mzigo huo ata kidogo kuws na hisia nae ka
😂 movie nzuri sana .... Lakini apo kwa kunyimwa 🎉haki ya bedi sija penda😂😂😂ama hivi mti isimami😅
Suluwali tatu na boxer tatu afu atuelewi kipindi wahuni😂😂😂😂
Jogoo ajanya aaah ajawika
Watching from Nairobi Kenya mwakatobe more fire
Mwakatobe sijapenda njia nzimq unamnyanyasa mwenzio😂😂😂😂😂
Sema iyo demu wa bavo Anajua Sana
Naipenda saana baba Tangu Congo 🇨🇩😂😂🤣🤣💯🎉
Noma
Sijaelewa fundisho la hii mv an inakuwaje mme tumia suluhisho la tiba ya tatizo la bravo kwa daktari ambaye si professional na hatujaona madhara anayo weza kupata. Nafatilia movie zenu nyingi ila hii idea ya final mmezingua kwa kukuwa jamii imejifunza kuwa madaktar wa kienyej ni bora kuliko hospital.
Kibane bane mwisho kiliwe na nyegere 😂😂
Kazi nzuri, ila punguz hizo duration ya transition (mawingu, foleni,)
Mwakatobee😂😂❤️
Huyo mke wa bravo, mashallah
Sauda nae hana tabia zaumbea kisura chake kizuri lkn m mbea uyo
Hahahaaa alooo sijui ataacha lini
yaani angelikuwa mimi hapo ni kuamkaa chapuu kufanya tendo la ndoa
Bravoo unaweza kaka❤ from 🇲🇿🇲🇿
Mh kila nikiangalia hiii muvi napata hisia Kali kisha najiuuliza kweli kuna wanaume wanalala nasuru Ali tatu hata dali kimoko kinawashinda mh hatar ila mm kwa mizagamuo sitaki ujinga
Mzee wng minakukubali sana katobe❤❤❤😂😂😂
Mwakatobe nitumie namba yako nikutumie 10000 apa na govinda mwendelezo utupe
From moz 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Ila wanyakyusaa😂😂
Mwakatobe bhn et atakupelekea moto uyo mpaka utasema mamaa mamaaa
Nipeni like kwaza guys❤❤❤
Bravo acha kubana fwatua mkeo atakukimbia hyo
Bravo unafeli wapiii jogo apandi mtungi aiseeee😂😂😂 pelekea moto mtoto anataka haki yakeeee😊
SEIWEZ KUA BRAVO 😊
😁🤣🤣ivi maisha alis ya mwaka tobe nayo yapo ivi!
😂😂😂😂😂 analia mamamama😂😂
Mungu abariki sna kazi zenu
Safi sana 🎉🎉🎉
unavyotembea mwakatobe utapata kibiongo 😄😄kaz nzur
Kaka toast movie saut kama ile ya kwenye snake boy ilikuwa ya moto sana
Kaka toa movie yenye sauti kama ile ya lwenye snake boy ilikuwa ya moto Sana . Shahid
Ningepata chance mm 😂😂😂😂😂😂
Aje kwangu nmpelekee 🔥🔥🔥
Mwakatobe bila ya ww kakangu movie hainogi😂😂😂😂❤
Bravo lkn unalalaje na nguo nyingi ivo😂😂😂😂...noma sana
Mwakatobe jamani😂😂
Hivi wewe mwakatobe una mpenzi au mke😂😂
Mmmh mbn swali ilooh anae mbona
@@turnfidennikazo9437 kama anae basi yuamuumiza mbavu maana anachekesha sanaa
😂😂😂😂
Jamani mwàkatobe wew.😂😂😂😂😂😂 Kwn ulimeza USB.mana si kw kuongea huko😂😂😂
Kazi nzurii sana
By_Director_isha_king B
mtoto wa mama kandu
❤❤❤❤❤❤❤❤
Good good 👍🏾
😁😁😁😁😁🤣Bravo umaumwa unala na surwal weye nianisi 😁🇧🇮
www dada una saut nzur
❤❤❤ one love mwakatobe
Anakuchambaa😂😂😂
So ndio
Titowatito carlos ,Ninacho kukubali niayo manenoyako ,kutoka Burundi🇧🇮
Mwakatobe una bayaa ila kalibu kuangalia wasanii wako wanaongea kama wanasoma na akiyandoa inadaiwa mlangoni inabidi muigize maisha halisi jammaniii
Bravo unajua sana
Yule bibi mbabu wote wakafa😂😂😂😂 nimecheka sana
❤ajaowa
Hope san brooh
Ila mwakatobe jmn😂😂😂😂😂😂
Mwakatobe hana baya🤣🤣🤣🤣🤣❤️
😂😂mwakatobe mbana😂
Mi ndo mke wa mwakatobe. Msiniibie mume wangu
wakwanza leo jaman 😊😊
Huyu mwakatobe bangi sana😂😂
Shemegi yako Akikutunuku ruka nae😂😂😂
Et Govinda mwakatobe ww ni nyoko 😂😂😂😂
Ila mwakatobe😅😅😅😅😅
Mpake unga kwer upo sawa ikiwezekana mpake upupu hakili imuingie
😂😂😂😂
Kkkkk njo Mozambique bwanaaa mwakatobe
Mwakatobe hujawahi kuni acha salama😂😂😂😂
Nimeipendaaa Sana 🙏🙏
Nakubali mzeee
Mwakatobeeee's
hahahaha wa mwisho Leo 😂😂😂
😂😂😂😂 Mwakatobe 🔥🔥🔥
Mwakatobe na ushemeji wapi na wapi tenaa?
Shemeji yako akikutunuku lukanae chapekeako ni kabuli😂😂😂😂
Noma sanan
Pumbavu unaleta unga peleka haki ya watu unapiga puuu mpk unakata umeme
Umetisha broo
Yote na yote jirani ni MTU anaetakiwa kuvumilia na kuficha ya mwenzake ila jirani huyu ni kisonkwiduku mh
ila mwakatobe😂
Oya mwakatobeeee? ❤❤❤❤
Kkkkkkkkkkkkkkkkkkk😅😅😅😅😅😅 mwakatobe
😂😂Kubane Ivo Ivo kiliwe na nani vile
kumbe ulikuwa na acount nimekupa na nimehamia huku huku kwelikweli
Alafu kadem kazur unakaachaje
Mwaka mnyma mkarii😅😅
Unga ulopakwa usoni umekua kama jini la mayele🤣🤣🤣
Kwa kuigiza nawapa 💯%