But all in all kazi nzuri washiriki wote wameshoo love kwa moyo mmoja kabisa japo kwa wale ambao hawaja fit ni kwakua tuu uhalisia wao hauruhusu wao kua ktk seem hizo bravo✍️
Kim VEVO apa umezingua 😅very sad kaka Ako alipitia jeshi tulitaka tumuone hukomafunzoni aliiva ,, alafu butua anafaa kuigiza mlevi tuu ama mporipori pia mmeo kwa snake boy hafai kua jambazi wamjini huko maporini ndio ana faaa ungemtumia rafiki ake kakoso Kwa snake boy anafaa kua jambazi yule
Filamu nzuri! Wakati nimeona dada'ke na Mbwela pamoja na yule kijana wakifungiwa kamba kama mbuzi, nimekumbuka jinsi wakoloni wabelgiji walikuwaka na watesa bibi na babu zetu kwa kuwafunga kamba shingoni kama mbuzi. 🇨🇩🇨🇬🪘 ila nafurahia sana filamu hii.
Vigezo namasharti viko pw kabisa kwenye hii movie like kama tuko pamoja❤
Katika kazizote muzofaya na kimu hiniyo imevuja rekodi nimeipenda sana vizuri ❤❤❤❤ kimu nafaliya yako abayo musiriyana 👏🏿👏🏿👏🏿🤲🤲🙏🏽🙏🏽🙏🏽🫶❤️
But all in all kazi nzuri washiriki wote wameshoo love kwa moyo mmoja kabisa japo kwa wale ambao hawaja fit ni kwakua tuu uhalisia wao hauruhusu wao kua ktk seem hizo bravo✍️
Msiwe mnaongea maneno ya ovyo kwenye Movie zenu kama vile Kahaba n.k kwasababu hizi movie zinatizamwa na Rika zote.
Mchezo mzuri but mumeharibu mwisho mumeufanyia harak kuumaliza pasipo na kuonesha tamati kwa ufasaha
Apo kwenye vitu vya ajabu😂😂😂ndio pamenifurahisha
Kim VEVO apa umezingua 😅very sad kaka Ako alipitia jeshi tulitaka tumuone hukomafunzoni aliiva ,, alafu butua anafaa kuigiza mlevi tuu ama mporipori pia mmeo kwa snake boy hafai kua jambazi wamjini huko maporini ndio ana faaa ungemtumia rafiki ake kakoso Kwa snake boy anafaa kua jambazi yule
😂😂Nikashenzi hizi kauli zilizotumika humu ndani
😂😂😂 Yule ndo predeta mwenyewe
Kipara bahna😂😂😂😂😂😂 just do it 😂😂
Mbona kaisha vibaya jameeeni
Movie Smart ❤wa TZ 👍 we love you 😊
I love this man boya hogera sana dugu
Jamani, mwanzo kabisa uyu bibi alimwita Kim mjukuu wangu, na Kim akasema bibi. Lakin badae ikawa mama na mwana
Nimewahi jamani taem strong Oman nawakilisha 🎉🎉🎉🎉 nipewe like zangu 😂😂😂
Hujaenda kupika😂😂
@@NeemaNixon mwanzoni nilizani chozi nikaifungua naona mkimbizano kuja kusoma jina kumbe misako nika left fast 😂😂😂
Mm pia Oman kipenzi
@@ukhtymwana40 yaaani wanaboa wanatoa nusu nusu movi mpka nachukia ety
Kazi nzuri kim
Nampenda sana mwasi hajaolewa?
Liko poa Ila mmetuacha kuzubaa😂
Mbuela safi sana
Nakukubali 🔥🔥🔥
Kumbe Kim producer hongera dada
Napenda movie zenu endeleeni ivyo ivyo
Msituchoshe nakutaka tuwape like kisa wa kwanza tyache kuwapa walio tengeneza muvie 😮
Filamu nzuri! Wakati nimeona dada'ke na Mbwela pamoja na yule kijana wakifungiwa kamba kama mbuzi, nimekumbuka jinsi wakoloni wabelgiji walikuwaka na watesa bibi na babu zetu kwa kuwafunga kamba shingoni kama mbuzi. 🇨🇩🇨🇬🪘 ila nafurahia sana filamu hii.
Endeleeni hivyo!✊
Sandra mzuri san asee❤❤❤
Mwaaaasii
Kim hongera❤ Tunaomba part two
😂😂😂😂umeanza lini kubutua mwanamke Mbwela
Munayiaca acaje injethu ivi kuyiingiza ndani imewashinda ahaaaa ngoja tukaonethu
Kim dadangu hongera🎉🎉🎉🎉🎉
Unawezaaa 💯💯💯💯💯
Mbona hamukutumalizia muliachia nusu hatukujuwa hatima ya begi
Kwani leki ndonn
Wow nimeipeda
Hamjaonyesha nani aliendea polisi lakini ni mimi hapa
Kaka mpake shedo na kijora juu 😂😂😂
Hhahaha 😂Kipara bwana ,eti unakwend kushoot nani!!??? Jason Statham 😅, ila nawakubali saana wadau
Jamani huyu mwasi anajuwa kuecti sana
Anakuangalia kama hakuangalii😂😂😂😂
Kim ❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉
Mwisho mbaya
Nimetazama KIM VEVO
Mwas❤❤
Jman punguzenii kutuleteaa movies za vijijinii Kila msaniii saiv anatoaaa movie location yakee vijijinii ndo nin xax
Hahahaha so ndio chimbuko letu😂😂😂😂😂😂😂
Mwenye coctati za mwasi naziomba jamani
Yana nivutiya saana jameni
Jamani mbona sijaelewa hapo imekuwaje tena ,maana police walifikaje na nani alitoa taarifa
Ipo vyema ila mlitakiwa tuone namna polis waluvyopata taarifa kuhusu begi
Mambo poa Sana
Hawayuniiiiii
Ila butua yani umekaa kimchongo mchongo
Pamoja sana
NAOMBA MUNILIPE MB ZANGU MCHEZO MZURI IMEISHIA BIBAYA
Kiparaaaaa
Mutiye yakufwatiya ili tujuwe mwisho ya ile begi
Ila kipar😂😂😂
Mwenye coctati za mwasi naziomba jamani 54:00 54:02
Ndo mwisho kivipi sasa
❤️❤️❤️❤️
❤❤
❤❤❤❤❤
Hakuna kulala
Morali
😢😢😢😢
Jamani muwe mnarudia kutizama vipande vyote mkishatoka location kabla ya kuvirusha maana Kuna baadhi ya vipande sauti haipo vizuri
I love this man boya hogera sana dugu
Mwenye coctati za mwasi naziomba jamani
Ananipa changamoto huyo dada cjui kaolewa