Tina hapa ameweza kweli, lakini vile napenda Loveness na Kevin wakiwa wapenzi hawa wako sawa,huo wimbo mtamu sana 🎉🎉🎉 wenye kuamini True love still exist give me a thumb👍👍👍
Tina amenifanya mpaka nikalia sana kukumbuka mapenzi niliokuwa nayo nikiwa high school 2020 niliachwa na nikaambiwa sipendwi tena nakaamuwa kuchukuwa rafiki yangu anyway much love from Kenya 🇰🇪 ❤️ 💖
Waooo japo nimechelewa lakini tuko pamoja donta tv na chea man wao Kelvin 🎉🎉🎉 nawapenda ❤❤❤❤
Uewwww wa pili Leo naomben likes zangu kwaajili ya @dontatv♥️😍😘
❤🎉
Oya huyo loveness ni pisi kaka oya mze nipeni connection ❤
Nikajuwa mi wakwanza kumbe kunakwenye kutinga mambo ya Kelvin kha mwe basi tujuwane jamani wapenzi wa donta TV ❤
donta twaipenda kabisa kutoka kenya❤❤❤
Mbna mm naipenda sana tu wakenya mpo nyuma yng kwl🥰🇰🇪❤️❤️
Nikiona donta napata kiwewe ❤❤❤❤❤
@@hafsahmassemoh3598🎉
Uko which tuku
Wow japo inauma lakin nimependa urafiki wenu♥️♥️❤️❤️👌👌👌
Jaman wanawake wenzangu punguzeni kuvaa nguo za uchi huo sio utamaduni wetu 😢 hasa ww loveness
Kabisa
Eh..... Jaman watu wapo kazin bhana acheni kujikuta watamaduni sana
Umetumw we sio
Mm nampenda ivo ivo loveness jmn
Wewe inakuhusu nini bado ufanye mamb yako unafatilia wa2
Congratulations kelvin mwamba kashasema tukue marafiki tu nakupenda Bure kelvin ♥️♥️♥️♥️♥️♥️ from Kenya 🇰🇪
Love na kelvin wanaedana jaman kama unanisaport goga like
Yaan band Lang lote linaixha kwenu donta TV hakika munaweza❤
Kelvin and loveness mko level ingine,,,,❤❤keep on the good work
Moyo wangu ukafanya pa Tina weèeee😅😅😅😅😅😅😅😅 filam nzur sana hongereni sana washiliki wote❤❤❤
Hi nyimbo inayoimba inaitwaje jmn 🥰
Wow wa kwanza kulike leo 🎉🎉🎉🎉 Mungu Awajalie mpate like nyingi
Oy love mkali san namukubali huyu dada
Nafurahi nikiwatch movie zenu nyie watu❤❤❤
Lovely ndiye anae ipamba hizi sinema bila ya yeye haiwe tamu
Kumbe na ww unaona
Donta tv ❤❤❤❤I love 💕 you guys so much God bless you all 🙏🙏❤
Oooh maskini Loveness😢😢 umekula tu na macho..... pole 😅
Na wapenda nyote jamani❤❤❤🎉
Ila Kelvin and lovenes munaendana sana jaman nikiangalia ni Kama Mike and mume
Kbs wal c uongo
Mi naomba kama Kelvin hajaoa aoe loveness
Loveness ndo yupi hapa?
Nko mtaa likes wapi tukisonga,kazi zuri kelvin 🇰🇪🇰🇪
❤nimpee like mkenya mwenzi
Jmn yan kelvin akiwa la loveness nafurahi sana wanapendezana mnooooo
I love donta tv nawapenda nyoteee mnatuelimixha kupitia movie zenu ❤❤
Good job Kelvin team much love
Lov nakupenda sana
Nawapend san vipenz vang vya dont tv❤❤❤
Groupe Donta tv felicitation!!!🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
I'm happy because of u guys am in south Africa
Tina hapa ameweza kweli, lakini vile napenda Loveness na Kevin wakiwa wapenzi hawa wako sawa,huo wimbo mtamu sana 🎉🎉🎉 wenye kuamini True love still exist give me a thumb👍👍👍
kevy bana ni mume wa love, i can see😂
Jamani hii ndio maana halisi ya urafiki wa kweli,❤❤❤❤😢😢😢
Much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤❤
❤❤❤❤❤nikiona ty donta mbio kwenda kununua bando hongeren sana Kevin
Nawapenda sana wote mlio shiliki kwenye hiii love story loveness ilove you
Wimbo mzuri❤
inaitwaje iyo nyimbo
Waaaau ❤❤❤❤ vzr xna n kweli mungu hakpi unachotaka kweli hii n tamu xnaa kelvin 😅😅😅😅
Aki Tina amenifanya hadi nikalia aki wapendwa wa donta tv plz naomba tu hiyo wimbo plz na nitaendelea kuwafata samahani
Much love from kenya🎉
❤mm uyo ni kiona DONTA tu mbio am happy for you guys ❤❤ from 🇰🇪 team gulf hope mmepunguza kaz njoon Uku kelvin anatuita tena😂😂❤❤❤❤❤
Kama mim
😂😂😂😂😂
Kam mm naondoka
Sw twaja ❤❤
❤❤❤😂😂
Much love from Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮
❤❤❤❤❤o
Movie nzuri much love from Kenya❣️
Love from GOGO LOVE OFFICIAL to BURUNDI
Nimekuwa wa mwisho lakin naombeni like 😂😂😂
Much love ❤ kelvin na team yako
Congrats napenda sana movies zenu maana daa mumeweza
Much love ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Huo wimbo jamani amazing sana
❤kitu safi natizama kutoka 🇰🇪 Hayo Macho ya kiumalaya lovenes unaniua
Congrats guys alway you made my day ....nwafuatilia Sana ✊✊✊
Wanaume tunakua wakweli kila time bt wanawake hawaelewi nampenda best yako
Much love from 🇰🇪
Good job Kelvin much love
Much love from kenya❤❤❤❤❤
Kazi nzuri tunaomba na Mr handsome muendelezo sasaaa❤❤
Iliisha mbona
Mpende anayekupenda ❤from 🇰🇪
Daah hila lovenes apeweeee mauwa yakeee 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hahahah kwl mapenz upofu yaan unasema mm ndo mwanaume wa ndoto zako afu ata haujaniambi😂😂😂😂
Ongera donta tv Kwa kazi nzuri
Hongera sana Kelvin kwa kazi nzuri sana kwa kweli Mimi nainjoi na muvi zenu napenda sana kufwatilia muvi zenu Wana Donta tv
Asante
Nimezipenda movie zenu nzuri Sana zinafurahisha Sana, nawapongeza Sana wanachama wote wa donta TV mungu awabariki Sana.😅❤
Dahh asee kelvin 🎉❤❤
Nime rudiya tana me kelvin eko na mapenda ya vizuri sana ❤❤
Hii nyimbo inaitwa aje nimeipenda kweli
Ukipata uniambie
I naitwa deka deka
Jamani nawapenda sana from Burundi
Hata mimi ningekuchaguwa love nes unakisurq cha wizi ila hata Tina ni mrembo sana 🎉🎉🎉🎉
Ww klvn kazi zurisana❤❤🎉❤❤❤❤❤ love for Kenya
Mmmmmh jmn kelvin nimekuelewa bac tuu kazi njema kaka yangu mungu akutangulie na akutie nguvu
Wow nice watching from Kenya 🇰🇪
Kelvin noma Sana solute for you brother
Pole sana daa tina
Kelvin mungu akumbaliki kaka sana keep it up ❤❤❤❤
Duu Kevi mko vizuri sana napenda sana kuzifwatilia muvi zenu sana kwani zinafundisha sana
From Mombasa kenya jamani nimependa kazi yenu n napenda Tina anavo cheka
Hongera san kevn bali umetupa mafunso kupitia wewe ❤❤❤❤❤❤
Nawapendaa ❤️❤️
Jaman like kwa team Kelvin
Kazi nzur sana wana donta❤
nahako kawimbo kametulia sana ❤❤
I like lovenesa and kelvin Soo much
Nakubali🎉😊😊😊😊
Nawapenda san movie ziko poa nikiangalia nabaki kucheka
Wapili nafika ❤❤❤❤
Inauma!!! Lakini jipe moyo Tina utapata wko TU mzuri 😢Kuna wakati wa Kila kitu ata weee utakubaliwa
Mwenye kujuwa jina la huu wimbo tafadhali,,ataje ,,mzurii sana
Good job tina
Yani una roo ngumu sana daaah
Jamani mmeweza mmeweza tena
Nakubali wadad wa humu wot wazuri yn
Lakni kwann kelvin kila siku ni loveness tu hapo nawaza 😂
😂😂
Very inspiring and interesting though in the scene of the lawyer 50 50 we are not clear with the ruling of the court since we also need to know how to
I love your video
Tina utaja niua siku moja😂unakatiaje kalvin😂😂😂
Nataka kujuwa loveness na kel vin .umeowans
Daah yaan nmelia km mm ndio nmekataliwa ila hongeren san😢😢
Wooow Mimi sijui ni wangapi kwakweli kama vile nimechelewa japo mko vizuri kiukweli nawaombea
Nawapenda sana❤
❤❤ always love Kelvin hata mm nikupate siez risky the chance team strong +254 from Riyadh keep up🎉🎉
Tina amenifanya mpaka nikalia sana kukumbuka mapenzi niliokuwa nayo nikiwa high school 2020 niliachwa na nikaambiwa sipendwi tena nakaamuwa kuchukuwa rafiki yangu anyway much love from Kenya 🇰🇪 ❤️ 💖
Hongera donta TV kazi nzur
Hongereni sana ❤❤❤❤
Nawomba munambie hiyonyimbo nianani 👏👏
Kiukwel unayempenda anapenda mwengine😂😂😂😂mapenz bhana