Kweli kaka zangu dada zangu muna chapa KAZI vizuli sana mungu awabaliki muzidi kushikamana maishaalefu kwenu wote mumenifundisha vingi sana Mimi kwenye KAZI zeni nipo Zambia❤
Yan zipo series Kama tano Yan wametoa kama wamevulugwa Uku KESHO YANGU ndo ilitakiwa waimalize Yan had mood ya kuangalia movie zao inaisha mi nawapenda Sana Ila wanaelekea kunkatsha tamaa
Nakupa bigap sanaa Kelvin na me ni mshabik wa kwanza kkielewa na upo vzr sanaa na mungu azidi kkpa ulinzi wa maisha yako na uzidi kutupa vitu vzr ndg yang..
Mimi ni meisha yani ni mecheka paka bas tu ameambiwa n dadake kaingize chumivi kidogo kidogo yeye anaanda kumimina patiki nzima yani mm ni mecheka paka bas😂😂
Mm kiukweli nimeanza kuichukia chaneli ya DONTA TV kwasababu hawana utaratibu kanuni wakuachia kazi kwa mpangilio leo utaangalia hii kesho tamthilia nyingine ndani ya week moja utaangalia tamthilia zaidi ya kumi tena zikiwa tofauti tittle hivyo ninashindwa niangilie ipi niache ipi so nimeumia haswaaa napatikana ZAMBIA🇿🇲🇿🇲🇿🇲
Tukifanya kazi moja 2 utatupa hela ya kula wewe? Mbona kina gabo mnawaangalia azam mnawaangalia dstv mnawaangalia startimes na wao wanafanya kazi moja? Hapa mjini rafiki yangu uwezi kuishi kwa kazi moja tu ... kikudi kizima akiwezi kuishi kwa kazi moja ukiona kazi zingine zinakuboa subiria itoke iyo unayo itaka wewe ni shabiki yetu na tunakupenda na kukuheshimu ukitaka tufanye unavyo taka wewe tupe na hela ya kula sasa
Loveness wajina wangu, nakupenda sana unafanya reality ya jina mpaka kwenye movie❤❤❤
kelvin na watu wako na waoenda xna kwa KAZI nzuri from kenya
Lovely unanifulahisha kwel ndg yang unavyo mlalamikia dada ako
Like zangu naomben
Lakini hamtendi Hali kutumyima ile mchezo wetu pendwa WA kesho yanguu
Kuwen na mpangilio wa Kaz co Kila cku mnatoa mpya bila kumaliz iliyopta
uko makini kaka me nakukbar sana mjombaa enderea kufanya kaz nzr san
Hawezi kutega watu huyo😂😂😂 mimi angeweza kula hata mitama
Wa4 naombeni like zangu 🎉🎉
Kweli kaka zangu dada zangu muna chapa KAZI vizuli sana mungu awabaliki muzidi kushikamana maishaalefu kwenu wote mumenifundisha vingi sana Mimi kwenye KAZI zeni nipo Zambia❤
Kwaiyo we unafurahishwa na mwenendo wa hawa jamaa yaan hawamalizi move wanatoa nyingine mi naona wanatuchanganya tu
Hajui hata kutega
😂😂😂😂😂😂😂haelew😊@@user-mg2nu5sr9b
Kwel @@user-mg2nu5sr9b
@@user-mg2nu5sr9b 00)
Kuhusu Kelvin weweeeeh wote nimewamwagia like zakutosha ila na mm msiniche bure jaman Kelvin anawezag sana uyu mkaka
JERRY from United ❤❤❤
💯💯
Yan zipo series Kama tano Yan wametoa kama wamevulugwa
Uku KESHO YANGU ndo ilitakiwa waimalize Yan had mood ya kuangalia movie zao inaisha mi nawapenda Sana Ila wanaelekea kunkatsha tamaa
Leteni kesho yangu bana
Ndugu zangu akina kevi ntawapenda sana ila jitaidini kidogo kuitoa kwawakati firam yenu ya kesho yangu naipenda sana
Yaani nikweli wanachelewa kutowa sijuwi wanafeli wapi '
Sanaaaa
Nakubali movie Zeni yussuph kutoka🇲🇿🇲🇿🇲🇿🔥🔥🔥🔥
Hata kama story tofauti ila inabowa
Vipi wakuu like za wa kwanza mkipita
wadada nihatari munapenda wawapelekeye moto saana yaani mudada kamahaujapelekewa moto hamujisikiyagi vizuri nawapa polezaidi
Ngamia wang anifaaye jangwani nmemuombea dua 2siishie njian
Donta Family naombeni namba ya loveness nampenda
😂
Umemtamani umbwa ww😂😂
Umalaya
😂😂😂
Hakuna namba ya cm
Aliyetengeneza Hilo beat la mbosso naomba namba zake😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Mbona brown umekonda
Kelvin nakukubal sana sema movie zako nyingi unazitoa hazifiki mwisho zinaishia njiani inakuwa cyo poa
Leo nimewahi 😂😂😂❤❤like zangu
❤ mbona mumifanya fupi ilioisha na utam lengo limeelieka ila mbona ingekua poa Zaid kujua mengi tukajifunza zaid
Nakupa bigap sanaa Kelvin na me ni mshabik wa kwanza kkielewa na upo vzr sanaa na mungu azidi kkpa ulinzi wa maisha yako na uzidi kutupa vitu vzr ndg yang..
Lovess mtoto wakike mtamu kama hasali,Donta mmetowa wapi uyu kwa wamasai au usukumani au hiringa kabisa jameni mniambie
Imeweza kma kawa❤❤❤
Mambo dada 💖
Yaan movie yeyote akiwepo loveness na kelvin naeinjoi kinoma yaaan🎉🎉❤❤
Hapo Sasa nadhani itakuwa tamu kama Dada wa kazi na kijana tajiri maua🌹🌹🌹Kalvim from Kigali🇷🇼🇷🇼
Ebu tupeni series ya kesho yangu tuimalize kwanza ndo muachie kazi nyingine. Mnashusha mvuto wa chaneli yenu kuachia muvi nuinginyingi
aisee Hii movie ya dada wa kaz inafaa iendelee maaana inamafunzo sana but mmpo vizuli na mungu azidi kuwapigania inshallah
Kelvin mnaanza kuzengua malizia kwanza kesho yangu
Jamani sielewe tena mouvie zenu 😢mimi kwa nini iviii jamani nikiandika dada wa kazi kunakuja penzi la dada wa kazi😢 nifanyeje mimi😢
Makusudiii ayooo sasa calvin fanyaaaa yako😅😅😅😅usiache nyamaaaa
tunawapenda natunapenda mnachofanya. ombi binafsi naomba muwe na utaratibu mzuri wakuachia vipande kwautaratibu mzuri tujue tunafuatiliaje tusibahatishe mana tunapenda kaz zenu❤
Ni kwel kbsa munafany vzr ad tunawaz tuanglie wap
Lovenes mbona sasaivi unalificha ficha sana hilo tumbo mamaaa manguo nguo kibao wakati sio kawaida yako😂😂😂😂
😊😢❤😮😂😅😮😢
Mimi ni meisha yani ni mecheka paka bas tu ameambiwa n dadake kaingize chumivi kidogo kidogo yeye anaanda kumimina patiki nzima yani mm ni mecheka paka bas😂😂
victoria na Loveness 😂😂 Tena Nyie Tena
mkuwa Dada na mdg wake
Nyie wot mnataka nin sasa 🇨🇩🇨🇩
Nyie waingizaji mnaboo ssa hampangi kaz yenu vizur kwa ssa😏 ushaur kama movie haitoendelea don't sey can't writing episode 2🥺🥺🥺mtatufkuza
Jamanii kalvin nimekupendaa coz uko na good content am proud for listen u
Hahaha jamani hata kama nikutega sio hivo
😂😂😂
😂😂jamani loveness na Kevin mumenichekesha haki😂
😅😅😅
Wawishoo naombeni like zangu jamaniiih
😂😂
Kevin na huyu jamaa yako nawengine pia mnakipaji
Wakenya tunawapenda sanaaa❤❤❤❤
Napenda Kevin akiigiza na blauni na hao wadada so MTU mwengine
Hhhhh atmm pia nampenda san kev na wat wak
Wana donta family nawakubali kwa movie zenu, ❤❤❤
Kesho yangu vip Boss
Aki loveness umenchekesha sana navitendo vyako, umenfanya nrudi Tena apa😂😂😂
Locatio imebadilikaaa nice
Duh jaman malizen move za mda ndo mlushe zingine jmn duh inatakiwa ikiisha moja post nyingine duh 🙈 but nawapenda hivyo hivyo watu wa maana kabisa
Kk kelvin na bro braun mko vizur sana aki mungu awabarik❤
Asante,Ila muendelezo wa kesho Yangu
Vampire imeishia juu kwa juu😂😂😂
Mambo ni 🔥 Nakubaree sanaa hii fmlier ❤
Loveness nakupenda San naomba naomba yako❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wooooh, kz nzuri sn 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Laviness njoo nikupe darasa
Kazi nzuri kelvin
Movie zenu zinazidi kunimaliza yani ni zuri lakini ninahamu yakumaliza movie moja moja
Kelvin uko pw sana bro
Nataka kelvin ajue twamtaka kenya akuje atubize 😂
Mm kiukweli nimeanza kuichukia chaneli ya DONTA TV kwasababu hawana utaratibu kanuni wakuachia kazi kwa mpangilio leo utaangalia hii kesho tamthilia nyingine ndani ya week moja utaangalia tamthilia zaidi ya kumi tena zikiwa tofauti tittle hivyo ninashindwa niangilie ipi niache ipi so nimeumia haswaaa napatikana ZAMBIA🇿🇲🇿🇲🇿🇲
Ata mm nmewachoka mwishowe tunasahau hatujifunzi Tena hatujui tufatilie ipi Sasa!! Wameanza kuboa
Nilijua naliona hii pekeyangu. Halaf kuna zingine hawazimalizii kama ile Vampaya mpaka leo
Hata mm mh
Hata na Mimi nimeyaona
Yaani mpaka kero walah
Sawa bana loveness.
Malizeni series moja ndio muingie nyingine! Yaani mnaboa! Kama na wewe unakerwa kama mimi gonga like hapo
Tukifanya kazi moja 2 utatupa hela ya kula wewe? Mbona kina gabo mnawaangalia azam mnawaangalia dstv mnawaangalia startimes na wao wanafanya kazi moja? Hapa mjini rafiki yangu uwezi kuishi kwa kazi moja tu ... kikudi kizima akiwezi kuishi kwa kazi moja ukiona kazi zingine zinakuboa subiria itoke iyo unayo itaka wewe ni shabiki yetu na tunakupenda na kukuheshimu ukitaka tufanye unavyo taka wewe tupe na hela ya kula sasa
😂 huu muandiko wa brown kabisa 😂😂😂
Hapana atakuwa kelvin au roveness maana haiwezekan kuwa mzuri kwa Kila kitu daa 😂😂😂😂😂 lakini nawewe umekosea siyo muandiko unatamkwa mwandiko
@@Dontaplusoya mwamba umekosea kujibu usimjibu ivo shabiki wako wowote yule
Tena wanaboa aswaa
Somo nzuri kwa wanawake wa kijirusha rusha kwa wanaume
Khelvin uko serious jaman khaaaah 😂😂😂😂 hatar sana
Ilaaaa wewe loveness makusudiii ayo
Mnaekiti vzr sema watu wanavoongea awana shukurani wanaekiti vzr
It's really good I really like it even every part I have to like
Wagwaniiiiiiiii sheemejiiiiiii umetishaaaaa
Kila mtu nimewai me Niko to kidg Nimechelewa kdg😂😂
Ushauri wa Dada
aaaaaah mixer uku donta plus uku donta family mmmh soon naleft
Kelv pangilia kazi zako vizuri,, unapoteza ubora wa kukufatilia aisee
Mnazingua sana ,mnatoa movies nyingi alafu hazifiki mwisho
Hatujaelewa na imefika mwisho please tufafanulieni kama mtaiendeleza please 🙏🏽
Makubwa lovenes
oya broo muwwe uyo mzuli sana duu
Lovenes kafanya vizuri lakini angekuwa tina sijui ingekuwaje kama namuona ningecheka sana
😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣
Naona umecheka sana nini siri ya furaha mwenzetu?
@@JamesMaseya-gb1eq kunasiri basi kufuraitu
Movie zinaanza vzl zinaisha vibaya
Jamn mm namupenda huyu Kaka mupk hatr kevi Yuko pw
Kwaajili gan sasa
Jaman donta tv mnaanza kuzingua achieni kazi Kwa mtiririko
Pahali mimi naboeka ni unaezakuwa unabambika na episode zina_flow all of a sudden ishabadilika ama wanakawia sana ku_shoot movie zikifwatana (nk Kenya
😂😂😂pole sana loveness kimekuramba 🎉🇰🇪
Nakupenda kelvin na loveness ❤❤❤❤🎉🎉🎉
Mwamba nimemkubali Sana kiukweli wanaume tunapaswa kuwa na msimamo ktk maisha kwa hizi viumbe
Love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI
Kelvin upo vizuri
Hongereni sana mtafika mbali mungu awatangulie
Kelvin wewe kiboko yao umekuwa seriously kweli hahaha eeeeh dakitari wa mpenzi leo sio yeye aki ❤from Kenya 🇰🇪 nawapenda xnaaaa ❤🎉
I'm very interested with your talent bro
Jamani munajipanga kweli kwa movie zenu nazipenda kinoma ❤❤❤❤
Endelesh mambo🎉🎉
Uyo ata mm awezi akaninasa ana cha kumshawishi mwanaume au anacho ila awezi kukitumia apo ake mwajuma ndala ndefu
Mashallah ❤️❤️,hutaki ushauriwe sio
Kelvin na loveness mbona kama mmeanza kufanana😊😊
Dada kwenye mov umeongopa ongeza mibuno yazuchu ndio utege vizuri hicho kibuno kwajiri yakukari2
TAMAA MBAYA
Kivin muendelezo😢wa kesho yangu mbona bana
Kazi mzuri kelvin na watu wako Jose kutoka nairobi
Love Ness umekurupuka sana nenda taratibu 😅😅😅😅😅