DADA WA KAZI 💞 Love story | DONTA TV

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 03. 2024

Komentáře • 458

  • @user-rt8to2jl8d
    @user-rt8to2jl8d Před 2 měsíci +10

    Loveness wajina wangu, nakupenda sana unafanya reality ya jina mpaka kwenye movie❤❤❤

  • @user-hs9qu8gm8b
    @user-hs9qu8gm8b Před 3 měsíci +23

    kelvin na watu wako na waoenda xna kwa KAZI nzuri from kenya

  • @user-wp2fr3si8v
    @user-wp2fr3si8v Před 3 měsíci +30

    Lovely unanifulahisha kwel ndg yang unavyo mlalamikia dada ako

  • @user-wi5uh1ti4n
    @user-wi5uh1ti4n Před 3 měsíci +25

    Like zangu naomben

  • @LucyLucy-me5ge
    @LucyLucy-me5ge Před 3 měsíci +11

    Lakini hamtendi Hali kutumyima ile mchezo wetu pendwa WA kesho yanguu

  • @JerrysonMahumbi
    @JerrysonMahumbi Před 3 měsíci +8

    Kuwen na mpangilio wa Kaz co Kila cku mnatoa mpya bila kumaliz iliyopta

  • @user-cy2kb4xf1y
    @user-cy2kb4xf1y Před 3 měsíci +20

    uko makini kaka me nakukbar sana mjombaa enderea kufanya kaz nzr san

  • @simonmchilo1032
    @simonmchilo1032 Před 3 měsíci +17

    Hawezi kutega watu huyo😂😂😂 mimi angeweza kula hata mitama

  • @Cuteeeee477
    @Cuteeeee477 Před 3 měsíci +41

    Wa4 naombeni like zangu 🎉🎉

  • @jaromeedward781
    @jaromeedward781 Před 3 měsíci +31

    Kweli kaka zangu dada zangu muna chapa KAZI vizuli sana mungu awabaliki muzidi kushikamana maishaalefu kwenu wote mumenifundisha vingi sana Mimi kwenye KAZI zeni nipo Zambia❤

  • @user-vj8if4qz6w
    @user-vj8if4qz6w Před 3 měsíci +54

    Kuhusu Kelvin weweeeeh wote nimewamwagia like zakutosha ila na mm msiniche bure jaman Kelvin anawezag sana uyu mkaka
    JERRY from United ❤❤❤

    • @Kambachurchgal-hg4zx
      @Kambachurchgal-hg4zx Před 3 měsíci +2

      💯💯

    • @hilamvicent6720
      @hilamvicent6720 Před 3 měsíci

      Yan zipo series Kama tano Yan wametoa kama wamevulugwa
      Uku KESHO YANGU ndo ilitakiwa waimalize Yan had mood ya kuangalia movie zao inaisha mi nawapenda Sana Ila wanaelekea kunkatsha tamaa

    • @user-mv8cw2jn5n
      @user-mv8cw2jn5n Před 3 měsíci

      Leteni kesho yangu bana

  • @user-fn9qu7rl1w
    @user-fn9qu7rl1w Před 3 měsíci +8

    Ndugu zangu akina kevi ntawapenda sana ila jitaidini kidogo kuitoa kwawakati firam yenu ya kesho yangu naipenda sana

  • @YussufuYussufu-xo6we
    @YussufuYussufu-xo6we Před 3 měsíci +11

    Nakubali movie Zeni yussuph kutoka🇲🇿🇲🇿🇲🇿🔥🔥🔥🔥

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Před 3 měsíci +16

    Hata kama story tofauti ila inabowa

  • @user-nq6ge5em6i
    @user-nq6ge5em6i Před 3 měsíci +45

    Vipi wakuu like za wa kwanza mkipita

  • @user-rh7hk4il2m
    @user-rh7hk4il2m Před 3 měsíci +5

    wadada nihatari munapenda wawapelekeye moto saana yaani mudada kamahaujapelekewa moto hamujisikiyagi vizuri nawapa polezaidi

  • @sadiomane124
    @sadiomane124 Před 2 měsíci +5

    Ngamia wang anifaaye jangwani nmemuombea dua 2siishie njian

  • @utukufu133
    @utukufu133 Před 3 měsíci +35

    Donta Family naombeni namba ya loveness nampenda

  • @marxk1186
    @marxk1186 Před 3 měsíci +33

    Aliyetengeneza Hilo beat la mbosso naomba namba zake😂😂😂😂😂

  • @user-tn5vb1zj4h
    @user-tn5vb1zj4h Před 3 měsíci +10

    Mbona brown umekonda

  • @BarakaBoniface-yb6yj
    @BarakaBoniface-yb6yj Před 3 měsíci +4

    Kelvin nakukubal sana sema movie zako nyingi unazitoa hazifiki mwisho zinaishia njiani inakuwa cyo poa

  • @NdereyimanaLucien
    @NdereyimanaLucien Před 3 měsíci +18

    Leo nimewahi 😂😂😂❤❤like zangu

  • @hafidhyussuf7245
    @hafidhyussuf7245 Před 3 měsíci +7

    ❤ mbona mumifanya fupi ilioisha na utam lengo limeelieka ila mbona ingekua poa Zaid kujua mengi tukajifunza zaid

  • @stephanomgallah6358
    @stephanomgallah6358 Před 3 měsíci +3

    Nakupa bigap sanaa Kelvin na me ni mshabik wa kwanza kkielewa na upo vzr sanaa na mungu azidi kkpa ulinzi wa maisha yako na uzidi kutupa vitu vzr ndg yang..

  • @MineniAbedialphonce
    @MineniAbedialphonce Před 3 měsíci +2

    Lovess mtoto wakike mtamu kama hasali,Donta mmetowa wapi uyu kwa wamasai au usukumani au hiringa kabisa jameni mniambie

  • @drinnerfuraha1161
    @drinnerfuraha1161 Před 3 měsíci +19

    Imeweza kma kawa❤❤❤

  • @edsondomino8573
    @edsondomino8573 Před 3 měsíci +2

    Yaan movie yeyote akiwepo loveness na kelvin naeinjoi kinoma yaaan🎉🎉❤❤

  • @Abera662
    @Abera662 Před 3 měsíci +4

    Hapo Sasa nadhani itakuwa tamu kama Dada wa kazi na kijana tajiri maua🌹🌹🌹Kalvim from Kigali🇷🇼🇷🇼

  • @CosmasSengenge
    @CosmasSengenge Před 3 měsíci +10

    Ebu tupeni series ya kesho yangu tuimalize kwanza ndo muachie kazi nyingine. Mnashusha mvuto wa chaneli yenu kuachia muvi nuinginyingi

  • @ahmadjuma5677
    @ahmadjuma5677 Před 2 měsíci +2

    aisee Hii movie ya dada wa kaz inafaa iendelee maaana inamafunzo sana but mmpo vizuli na mungu azidi kuwapigania inshallah

  • @user-yj4iw6pg8u
    @user-yj4iw6pg8u Před 3 měsíci +5

    Kelvin mnaanza kuzengua malizia kwanza kesho yangu

  • @FailaQueen-qm4dt
    @FailaQueen-qm4dt Před 3 měsíci +2

    Jamani sielewe tena mouvie zenu 😢mimi kwa nini iviii jamani nikiandika dada wa kazi kunakuja penzi la dada wa kazi😢 nifanyeje mimi😢

  • @ARONPaul-bz3ws
    @ARONPaul-bz3ws Před 3 měsíci +10

    Makusudiii ayooo sasa calvin fanyaaaa yako😅😅😅😅usiache nyamaaaa

  • @edsonipaulo
    @edsonipaulo Před 3 měsíci +10

    tunawapenda natunapenda mnachofanya. ombi binafsi naomba muwe na utaratibu mzuri wakuachia vipande kwautaratibu mzuri tujue tunafuatiliaje tusibahatishe mana tunapenda kaz zenu❤

    • @user-zq5tt7wf1c
      @user-zq5tt7wf1c Před 2 měsíci +2

      Ni kwel kbsa munafany vzr ad tunawaz tuanglie wap

  • @user-ug1zl5iv3w
    @user-ug1zl5iv3w Před 3 měsíci +4

    Lovenes mbona sasaivi unalificha ficha sana hilo tumbo mamaaa manguo nguo kibao wakati sio kawaida yako😂😂😂😂

  • @Roze-so4he
    @Roze-so4he Před 3 měsíci +4

    Mimi ni meisha yani ni mecheka paka bas tu ameambiwa n dadake kaingize chumivi kidogo kidogo yeye anaanda kumimina patiki nzima yani mm ni mecheka paka bas😂😂

  • @jamilashabani8580
    @jamilashabani8580 Před 3 měsíci +4

    victoria na Loveness 😂😂 Tena Nyie Tena
    mkuwa Dada na mdg wake

  • @Ali_Ngabwe
    @Ali_Ngabwe Před 2 měsíci +4

    Nyie wot mnataka nin sasa 🇨🇩🇨🇩

  • @dadaamwazewe1299
    @dadaamwazewe1299 Před 3 měsíci +6

    Nyie waingizaji mnaboo ssa hampangi kaz yenu vizur kwa ssa😏 ushaur kama movie haitoendelea don't sey can't writing episode 2🥺🥺🥺mtatufkuza

  • @gracejames-o7
    @gracejames-o7 Před 2 měsíci +2

    Jamanii kalvin nimekupendaa coz uko na good content am proud for listen u

  • @user-dr6bv8sv9e
    @user-dr6bv8sv9e Před 3 měsíci +9

    Hahaha jamani hata kama nikutega sio hivo

  • @thabitharange-vz2ru
    @thabitharange-vz2ru Před 3 měsíci +16

    😂😂jamani loveness na Kevin mumenichekesha haki😂

  • @ChirstinaGidion
    @ChirstinaGidion Před 3 měsíci +14

    Kevin na huyu jamaa yako nawengine pia mnakipaji

  • @Phoebenafula
    @Phoebenafula Před 3 měsíci +7

    Wakenya tunawapenda sanaaa❤❤❤❤

  • @theodorachaki5174
    @theodorachaki5174 Před 3 měsíci +5

    Napenda Kevin akiigiza na blauni na hao wadada so MTU mwengine

  • @user-oz1bb8gc1c
    @user-oz1bb8gc1c Před 3 měsíci +3

    Wana donta family nawakubali kwa movie zenu, ❤❤❤

  • @Joksmart
    @Joksmart Před 3 měsíci +9

    Kesho yangu vip Boss

  • @user-oz1bb8gc1c
    @user-oz1bb8gc1c Před 3 měsíci +1

    Aki loveness umenchekesha sana navitendo vyako, umenfanya nrudi Tena apa😂😂😂

  • @MwahijaKhatibu
    @MwahijaKhatibu Před 3 měsíci +5

    Locatio imebadilikaaa nice

  • @elikaiman1332
    @elikaiman1332 Před 3 měsíci +3

    Duh jaman malizen move za mda ndo mlushe zingine jmn duh inatakiwa ikiisha moja post nyingine duh 🙈 but nawapenda hivyo hivyo watu wa maana kabisa

  • @user-pn5sj7qo1l
    @user-pn5sj7qo1l Před 3 měsíci +1

    Kk kelvin na bro braun mko vizur sana aki mungu awabarik❤

  • @GraceVISAMAYANI-gj1xm
    @GraceVISAMAYANI-gj1xm Před 3 měsíci +4

    Asante,Ila muendelezo wa kesho Yangu

  • @HillaryKeraryo-yb1oy
    @HillaryKeraryo-yb1oy Před 2 měsíci +1

    Vampire imeishia juu kwa juu😂😂😂

  • @Dicky576
    @Dicky576 Před 3 měsíci +3

    Mambo ni 🔥 Nakubaree sanaa hii fmlier ❤

  • @MichaelGeorge-hr4dk
    @MichaelGeorge-hr4dk Před 2 měsíci +1

    Loveness nakupenda San naomba naomba yako❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-io5xg6mt8g
    @user-io5xg6mt8g Před 3 měsíci +5

    Wooooh, kz nzuri sn 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-ed8ye4mn1s
    @user-ed8ye4mn1s Před 2 měsíci +1

    Laviness njoo nikupe darasa

  • @vevocris
    @vevocris Před 3 měsíci +4

    Kazi nzuri kelvin

  • @bazuriomari
    @bazuriomari Před 3 měsíci +1

    Movie zenu zinazidi kunimaliza yani ni zuri lakini ninahamu yakumaliza movie moja moja

  • @user-ve8fv4xp2p
    @user-ve8fv4xp2p Před 2 měsíci +3

    Kelvin uko pw sana bro

  • @sonkomukesh1202
    @sonkomukesh1202 Před 2 měsíci +1

    Nataka kelvin ajue twamtaka kenya akuje atubize 😂

  • @Almostaphiq
    @Almostaphiq Před 3 měsíci +179

    Mm kiukweli nimeanza kuichukia chaneli ya DONTA TV kwasababu hawana utaratibu kanuni wakuachia kazi kwa mpangilio leo utaangalia hii kesho tamthilia nyingine ndani ya week moja utaangalia tamthilia zaidi ya kumi tena zikiwa tofauti tittle hivyo ninashindwa niangilie ipi niache ipi so nimeumia haswaaa napatikana ZAMBIA🇿🇲🇿🇲🇿🇲

  • @ZakaboyMusa
    @ZakaboyMusa Před 3 měsíci +5

    Sawa bana loveness.

  • @roseshayo3738
    @roseshayo3738 Před 3 měsíci +16

    Malizeni series moja ndio muingie nyingine! Yaani mnaboa! Kama na wewe unakerwa kama mimi gonga like hapo

    • @Dontaplus
      @Dontaplus  Před 3 měsíci

      Tukifanya kazi moja 2 utatupa hela ya kula wewe? Mbona kina gabo mnawaangalia azam mnawaangalia dstv mnawaangalia startimes na wao wanafanya kazi moja? Hapa mjini rafiki yangu uwezi kuishi kwa kazi moja tu ... kikudi kizima akiwezi kuishi kwa kazi moja ukiona kazi zingine zinakuboa subiria itoke iyo unayo itaka wewe ni shabiki yetu na tunakupenda na kukuheshimu ukitaka tufanye unavyo taka wewe tupe na hela ya kula sasa

    • @humaydahomary8647
      @humaydahomary8647 Před 3 měsíci

      😂 huu muandiko wa brown kabisa 😂😂😂

    • @BarakaGabrielMwampamba-kj8ci
      @BarakaGabrielMwampamba-kj8ci Před 2 měsíci

      Hapana atakuwa kelvin au roveness maana haiwezekan kuwa mzuri kwa Kila kitu daa 😂😂😂😂😂 lakini nawewe umekosea siyo muandiko unatamkwa mwandiko

    • @ameirdarueshi2593
      @ameirdarueshi2593 Před 2 měsíci

      ​@@Dontaplusoya mwamba umekosea kujibu usimjibu ivo shabiki wako wowote yule

    • @SungaUnzaly
      @SungaUnzaly Před dnem

      Tena wanaboa aswaa

  • @dorcasmueni2290
    @dorcasmueni2290 Před 2 měsíci +1

    Somo nzuri kwa wanawake wa kijirusha rusha kwa wanaume

  • @user-gc2rd8ln3v
    @user-gc2rd8ln3v Před 3 měsíci +2

    Khelvin uko serious jaman khaaaah 😂😂😂😂 hatar sana

  • @ARONPaul-bz3ws
    @ARONPaul-bz3ws Před 3 měsíci +10

    Ilaaaa wewe loveness makusudiii ayo

    • @user-pu6tf6ft6i
      @user-pu6tf6ft6i Před 2 měsíci +1

      Mnaekiti vzr sema watu wanavoongea awana shukurani wanaekiti vzr

  • @KenedyMusonda
    @KenedyMusonda Před 3 měsíci +1

    It's really good I really like it even every part I have to like

  • @EsterLukindo
    @EsterLukindo Před 2 měsíci +1

    Wagwaniiiiiiiii sheemejiiiiiii umetishaaaaa

  • @user-fm7pl6rs3i
    @user-fm7pl6rs3i Před 3 měsíci +5

    Kila mtu nimewai me Niko to kidg Nimechelewa kdg😂😂

  • @ChuseDaddy
    @ChuseDaddy Před 2 měsíci +1

    Ushauri wa Dada

  • @adozenaziz8362
    @adozenaziz8362 Před 3 měsíci +1

    aaaaaah mixer uku donta plus uku donta family mmmh soon naleft

  • @Matridadominic
    @Matridadominic Před 2 měsíci +1

    Kelv pangilia kazi zako vizuri,, unapoteza ubora wa kukufatilia aisee

  • @user-mn4nc8kf8b
    @user-mn4nc8kf8b Před 3 měsíci +1

    Mnazingua sana ,mnatoa movies nyingi alafu hazifiki mwisho

  • @hamisisalim
    @hamisisalim Před 3 měsíci +1

    Hatujaelewa na imefika mwisho please tufafanulieni kama mtaiendeleza please 🙏🏽

  • @HamphreyMafwenyi
    @HamphreyMafwenyi Před 2 měsíci +1

    Makubwa lovenes

  • @DAUDICHALO
    @DAUDICHALO Před 3 měsíci +1

    oya broo muwwe uyo mzuli sana duu

  • @JamesMaseya-gb1eq
    @JamesMaseya-gb1eq Před 3 měsíci +4

    Lovenes kafanya vizuri lakini angekuwa tina sijui ingekuwaje kama namuona ningecheka sana

  • @NzolaWambali551
    @NzolaWambali551 Před 2 měsíci +1

    Movie zinaanza vzl zinaisha vibaya

  • @WasilaMkadara
    @WasilaMkadara Před 2 měsíci +1

    Jamn mm namupenda huyu Kaka mupk hatr kevi Yuko pw

  • @user-yz8zv6tx4v
    @user-yz8zv6tx4v Před 3 měsíci +1

    Jaman donta tv mnaanza kuzingua achieni kazi Kwa mtiririko

  • @user-pi1po3uq2o
    @user-pi1po3uq2o Před 3 měsíci +1

    Pahali mimi naboeka ni unaezakuwa unabambika na episode zina_flow all of a sudden ishabadilika ama wanakawia sana ku_shoot movie zikifwatana (nk Kenya

  • @joycemuenimutua4506
    @joycemuenimutua4506 Před 3 měsíci +1

    😂😂😂pole sana loveness kimekuramba 🎉🇰🇪

  • @Elizakilisipinilikolika1996
    @Elizakilisipinilikolika1996 Před 3 měsíci +2

    Nakupenda kelvin na loveness ❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @peteretlawe6269
    @peteretlawe6269 Před 2 měsíci +1

    Mwamba nimemkubali Sana kiukweli wanaume tunapaswa kuwa na msimamo ktk maisha kwa hizi viumbe

  • @gogoloveofficial5666
    @gogoloveofficial5666 Před 3 měsíci +2

    Love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 Před 2 měsíci +1

    Kelvin upo vizuri

  • @RebekaKulwa
    @RebekaKulwa Před 3 měsíci +1

    Hongereni sana mtafika mbali mungu awatangulie

  • @user-nj2th9ij2t
    @user-nj2th9ij2t Před 3 měsíci +1

    Kelvin wewe kiboko yao umekuwa seriously kweli hahaha eeeeh dakitari wa mpenzi leo sio yeye aki ❤from Kenya 🇰🇪 nawapenda xnaaaa ❤🎉

  • @PasiaJamba
    @PasiaJamba Před 2 měsíci +1

    I'm very interested with your talent bro

  • @furahaeto6193
    @furahaeto6193 Před 29 dny

    Jamani munajipanga kweli kwa movie zenu nazipenda kinoma ❤❤❤❤

  • @user-cb6zx9gt2u
    @user-cb6zx9gt2u Před 3 měsíci +3

    Endelesh mambo🎉🎉

  • @user-op2il1xy1c
    @user-op2il1xy1c Před 2 měsíci +1

    Uyo ata mm awezi akaninasa ana cha kumshawishi mwanaume au anacho ila awezi kukitumia apo ake mwajuma ndala ndefu

  • @kadzojamesjameskadzo3950
    @kadzojamesjameskadzo3950 Před 3 měsíci +3

    Mashallah ❤️❤️,hutaki ushauriwe sio

  • @JumaJane
    @JumaJane Před 3 měsíci +1

    Kelvin na loveness mbona kama mmeanza kufanana😊😊

  • @MalobyaOdelo
    @MalobyaOdelo Před 16 dny

    Dada kwenye mov umeongopa ongeza mibuno yazuchu ndio utege vizuri hicho kibuno kwajiri yakukari2

  • @hafsahmassemoh3598
    @hafsahmassemoh3598 Před 3 měsíci +1

    TAMAA MBAYA

  • @user-wp8fu1dk3k
    @user-wp8fu1dk3k Před 3 měsíci +1

    Kivin muendelezo😢wa kesho yangu mbona bana

  • @user-oq1ti8nl8y
    @user-oq1ti8nl8y Před 3 měsíci +1

    Kazi mzuri kelvin na watu wako Jose kutoka nairobi

  • @shakilasharifa9
    @shakilasharifa9 Před 2 měsíci +1

    Love Ness umekurupuka sana nenda taratibu 😅😅😅😅😅