Pole Yako Vicky ndipo uliamua kutuonyesha umalaya ndipo kwa kila series hutosheki na mmoja wewe dada.ata km ni series lkn vicky ulijishusha huo uhusikia uliouvaa ni wa tina lkn km uliungangania itabidi tukueke group moja wewe na tina ndipo
😂😂😂😂😂Yani mtu amekazana anaandika kuwa ume amuwa kufanya umalaya waziwazi hiv hawajuwi kuwa hayo nimaigizo wanatufundish kweny maisha yetu ya uharisia Kam yapo tuyaache au tujifunze huu ni michezo tu ya kuigiza hakuna uharisia wowote na mtu akipewa kitengo Cha uwaji bas atakuwa kuwa kweli akipewa kitengo aigize Cha umalaya atakuwa maraya kweli wew umeona hapo wamelala shuka moja dk mbili tu wakish chukuliwa kipande wanaamk na wapo watu tele mbele yao nakushangaa sana wew dada ulie comment hivyo kuwa Viki kawekwa kwenye kundi la Tina asa tuna malaya au kaigiza kimalaya?@@VictoriaMwigani
Kazi nzuri sana wana donta tv hongera kwa loveness kwa kumpenda mtoto wa mkemwenza,kuwa mama ni lazima uwe na adabu hata mbele ya mtoto wako la sivyo hakuna vile mtoto atakuheshimu,unaeza kuwa unamfundisha uongo ila kuna siku ataerefuka na kujua ukweli
Khairat alivyoshika kiswaswadu sas🤣🤣🤣🤣il da vick change your behavior mtoot anakwambia maneno ya maan et katumw n shangaz zake🤣🤣🤣🤣🤣but congratulations James umeigiz vyema pia bil kusahau Loveness 🌹🥰khairat kuwa n heshim ila wew pia congratulations kwa kugunduw kuw mamdog Loveness kuw han hatia
Pole Yako Vicky ndipo uliamua kutuonyesha umalaya ndipo kwa kila series hutosheki na mmoja wewe dada.ata km ni series lkn vicky ulijishusha huo uhusikia uliouvaa ni wa tina lkn km uliungangania itabidi tukueke group moja wewe na tina ndipo
Mimi nimsanii nikilaka ivyo popote inabid nicheze Kam story itaniitaji
😂 Kweli @@VictoriaMwigani
😂😂😂😂😂😂😂😂😂@@VictoriaMwigani
😂😂😂😂😂Yani mtu amekazana anaandika kuwa ume amuwa kufanya umalaya waziwazi hiv hawajuwi kuwa hayo nimaigizo wanatufundish kweny maisha yetu ya uharisia Kam yapo tuyaache au tujifunze huu ni michezo tu ya kuigiza hakuna uharisia wowote na mtu akipewa kitengo Cha uwaji bas atakuwa kuwa kweli akipewa kitengo aigize Cha umalaya atakuwa maraya kweli wew umeona hapo wamelala shuka moja dk mbili tu wakish chukuliwa kipande wanaamk na wapo watu tele mbele yao nakushangaa sana wew dada ulie comment hivyo kuwa Viki kawekwa kwenye kundi la Tina asa tuna malaya au kaigiza kimalaya?@@VictoriaMwigani
Aliwekwa kwenye mwanasheria aliweza mnooo
Kazi nzuri sana wana donta tv hongera kwa loveness kwa kumpenda mtoto wa mkemwenza,kuwa mama ni lazima uwe na adabu hata mbele ya mtoto wako la sivyo hakuna vile mtoto atakuheshimu,unaeza kuwa unamfundisha uongo ila kuna siku ataerefuka na kujua ukweli
Mnafanya kazi nzuri sana.... I'm from Kenya 🎉🎉🎉🎉nawaombeni likes from Kenya
Huna ayibu yakuomba like😅
uyo mtoto khailat ana umri gan maana anatoa maneno abayo mm mkubwa siwez kuyatoa😂😂😂 kazi nzur sana wana donta tv
😂😂khailat noma
Mm mwenyewe nimempenda❤❤..kipaji anacho mtoto MashaAllah
Khailat is typing.......
Jamani tujitaidi iyo mov ifikishe 3M iyi muvi inafundisha sana from merekani
Ndiko wapi uko merekani 😂😂
🤣🤣eti alikuja kutengeneza Chaga usingizi ukampitia kweliiii
Hahahaha 🤣😂😂😂😂😂 kutengenz chaga tu kufumaniwa aaaaaah
@@nafsajuma6269😂😂😂😂😂😂
Nelly kila move unafumaniwa tu 😂😂😂 love you so much donta family ❤️❤️❤️
Na mimi nimewah naomben like zang
Kazi nzuri wana donta tv m/ Mungu awabariki❤❤❤❤
Kenya Watching, mko vizuri
Mimi Kutoka Mozambique Nimewahi Nipeni Like Zangu
Uyo mtoto anaonekana kama mtu mukubwa wa miaka ishirini n'a tisa😂😂😅
Haaa jmn huy mtt balaaa kma mamake 😂😂😂😂😂😂😂😂
Daaah dada Viki jmn uhusika wa Sasa haukufai lakin mnafanya tujifunze kitu 🎉🎉🎉
Yan vicky hauna bahati kabisa 😂😂😂😂but much love from saudi
Kazi nzuri sana....nimependa mtoto mzuli🎉🎉🎉
Uyu mtt anaweza sana🔥🔥💯
Kiboko nakwambia
Jamani vik ata upendezu na tabiya mbaya 🎉🎉🎉
Kazi nzuri❤❤❤ much love from Kenya
❤❤❤🎉🎉 ila vicky na nelly 😂😂
Uyo mtoto ni hatari.ni moto wa kuotea mbali.bonge la kipaji.❤ Good job 👍
Watano leo napenda mufi zenu❤❤🎉🎉
Nimependa sana wow❤❤❤❤❤❤❤
Victoria eti unajitetea wakati unamakosa mwanamuke hufayi kbs 😅😅😅
Kiukwel dogo ameweza mpka kaweza tena
Hii nayo amezidi weeee movie TAMU n iko n mafunzo kw generation z sai❤
Kazi poa sana
Nelly Kila move unafumaniwa tu😂😂😂😂 you so much donta family❤❤❤
Huyo mtoto ni noma.... ila ukifanya siri na mtt fanya siri za mana ili ht zikifunguka usidhalilike...we Vick weweee
Khailat wangu sijuh nimpe mbinu😂😂😂 naee
Wakwanza❤❤❤❤❤❤❤
Vicky unaweza kweli ❤❤❤❤❤ ati strory nilikua napiga itakiwi uskiea ww mdogo😂😂😂
I am from kumamoto Japan mmetisha kisenge 😊😊😊
Vicky😂😂😂ety ukilala uwe waniota mwanangu
Jaman watoto wingine jaman mmmmm😢😢😢😢
Kazi poa kwenu❤❤❤
Loveness anajua mapenzi walai
😅😅haylat umenifurahisha sana 😂😂😂😂😂
Wow watching frm kenya ❤❤❤
Hakuna mwanaume kama huyu, et anakufuma Alf anakusamehe, duuuh labda
Sasauyo sialikua fundi akapitiwa na usingizi😂😂😂😂
Mtoto akiniambia ivo aah anakula Kofi 😂😂😂
❤❤❤😊😊😊🎉🎉🎉 ikonama fuzo mengi
Vizuri sana mutoto umenifulahisha sana❤
Jamani mnajuwa 🎉🎉🎉
Upuuzi kama huu siwezi kuufanya mwisho wa ubaya ni aibu yaani humjali hata mtoto wako unajal tu wanaume shenzi ww
Kazi nzuri
Jaman mnafueahisha mnoo❤
Nzuri
Khairat alivyoshika kiswaswadu sas🤣🤣🤣🤣il da vick change your behavior mtoot anakwambia maneno ya maan et katumw n shangaz zake🤣🤣🤣🤣🤣but congratulations James umeigiz vyema pia bil kusahau Loveness 🌹🥰khairat kuwa n heshim ila wew pia congratulations kwa kugunduw kuw mamdog Loveness kuw han hatia
This is a beautiful movie... ninaipenda sana lakini sielewi Kila kitu wanaongea cause I'm from Zambia... Keep it up!!
Hapo mamakambo umenena😂nakupenda love🎉❤ila Vick simpendi yaan amenikera mtot analala nje kisa mume😢
Kazi zuri sana 🥰🥰🥰
Laveness nakupenda ga hatar❤naomba namb yak kipenz
Wanaompenda loveness kwa upendo wake wagonge like
Hongereni xna
😂😂😂😂 ume zidi lina
Vicky na nelly mmezidi😂😂😂
😅😅ila Victoria jmn hpn big up sana mmetisha pia uyo mtt yupo vzr sana
Mutoto uko vizuri sasa nimeyipenda❤❤❤
Nampenda kendy
Jmn uyu mtoto ana kipaji tena ako surious
Na mm nimewahi jmn
Aky hii movie nimependa sana hongera ❤❤❤❤🎉🎉 from kenya 🇰🇪
Ila dada unakipaji kweli kweli 😂😂😂kila move ni wewe tu na kupendwa hadi ufumaniwe ila hio ya siku moja kabla ya ndoa 😂😂😂😂ulivunja record😂dada
Mungu azidi kuwaweka wana Donta tv Nyote na ❤❤❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Nawakubali sana 🎉🎉🎉🎉
Kazi zuri, congratulations 👏 much love from 🇰🇪
Uyumutoto amezaliwaaa wala ametengenezwa kwenye bangi😂😅
good movie
Nice series ❤❤❤❤
👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼 nicee
Kazi nzuri sanaa❤
Mmeweza sana watu wangu pokeni mauwa yenu ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Loveness nakuped san jmn daah nataman ungekuw dad ang
Awa watu wanajua sana
Nimekupenda bureee hylath
❤❤❤❤
Iyo hali ipo 95% Mtoto au watoto kukuzwa Na mama bila Baba, Lazma watoe majibu mazito tena yasio Na Heshima kabisa
Zingatia hilo 👈👈👈
Nimependa movei fupi, inaeleweka, inafundisha na inaisha kwa kuelimishaa
bom trabalho
Victoria na Nelly mmekuwa watu wa kucheza umalaya🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉anyway mko poa🎉🎉🎉pokeeni maua 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Jaman mmetsha sana🎉🎉🎉
Mtoto kafunzwa maneno na mama ake duuh hatari sana
Siku yangu kabla ya Ndoa imeisha
ndyo imeisha tayar
Kazi poa kaka
Nice job 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 💯👌
A good job to the baby girl 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kazi zuri sana ❤❤❤
Yani vicy kazi ya kundanga🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Huyo mtoto nikama anasoma mhl😂😂❤❤ mumeweza lkn ❤
Makubwa vraiment tujifunze kithu kuolewa haiko kwepesi
Kali sana
Huyu mtoto mlimtowa wapi😂😂😂😂 ni mtu mzima huyu😢
😅😅😅
𝘞𝘢𝘻𝘢𝘻 𝘫𝘮𝘯 𝘵𝘶𝘭𝘦𝘦 𝘸𝘢𝘵𝘰𝘵 𝘷𝘻𝘳 𝘵𝘶𝘢𝘤𝘩𝘦 𝘬𝘶𝘸𝘢𝘫𝘦𝘯𝘨𝘦𝘢 𝘤𝘩𝘶𝘬𝘪 𝘬𝘢𝘮 𝘷𝘪𝘤𝘬𝘺 𝘯𝘢 𝘸𝘢𝘻𝘢𝘻 𝘸𝘢𝘢𝘤𝘩𝘦 𝘶𝘮𝘢𝘭𝘢𝘺 𝘫𝘮𝘯..𝘬𝘢𝘮 𝘷𝘪𝘤𝘬 😅😅
Very nice 😮😮😮🎉🎉❤❤❤❤❤😮😮😮😮😮
Vick hajiongez😂😂😂
Like zangu jamani nimewahi
Laiki uzipeleke wapi wewe kuliko ku towa mahoni ya movie ulie hona
@@BeatriceBwisemene-fq6ik mahoni ndo nini
Loveness
Nyie nawapendasana
Much love from Kenya waaaaaaaaah 😂😂😂😂😂🤭🤭🤔🤔🫡
Fukuza huyo