Chagamba huwa nakukubali mahojiano yako yapo smart...Ila achana mahojiano na wasiojua mpira uwe unahoji wanaojua mpira na ushabiki pia ...Ila Kwa yote bravo.....mzee masatu bravoooo.....wapo mashabiki wa Uto wanaojielewa wanakubali kuwa chama wameokota Tu Mali isiyo na matumizi. Have a good work
Tatizo la mzee masatu anaongea kwa propaganda sana,wakat kina mzee Said na Miraji wanaongea hali halisi..huyu mzee Masatu anaongea porojo nyingi tu zisizo na maana.
Achana na mz masatu,let's mz.ssidi
Mpeni mauayake🎉🎉🎉 Mzee ukovizuli
TUNAOMNGOJA MZEE SAIDI TAFADHARI TUJUANE
Mzee wa hovyo sana huyu, hajuw mpira yy yuko chawa wa ngunguboy.
Chagamba huwa nakukubali mahojiano yako yapo smart...Ila achana mahojiano na wasiojua mpira uwe unahoji wanaojua mpira na ushabiki pia ...Ila Kwa yote bravo.....mzee masatu bravoooo.....wapo mashabiki wa Uto wanaojielewa wanakubali kuwa chama wameokota Tu Mali isiyo na matumizi. Have a good work
Tafadhali huyu mzee aongezewe ulinzi
❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Namkubaligi huyu mzee Sana ananipaga raha Sana kama kuponda anakuponda kama kusifia anajuwa kusifia
Chagamba naomba namba ya mzee saidi basi nifanyiye fever basi
yanga si mitahira waweke na mabango ya madeni wanayodaiwa kwani chama ni mgeni hapa tanzania
Namkubali sana mzee masatu😂😂😂😂
Acheni hasira kawaacha
Mzee masatu acha uongo wako simba aijamuwacha chama bali chama ndio kaiacha simba pia roo inakuuma sana
Na nikwel aende tu
Simba mmeachwa na chama
😅😅😅 mzee masatu
😂kamba izooo
Achana na wanayanga maana yake fei anakuja Simba kupumzika? Maana hamna lolote mmekata tamaa
Muongo huyo Mzee
Chagambaaa miraji wapiii tumsikieeee
Tatizo la mzee masatu anaongea kwa propaganda sana,wakat kina mzee Said na Miraji wanaongea hali halisi..huyu mzee Masatu anaongea porojo nyingi tu zisizo na maana.
wee mzee utazimia hii yanga sio yakukibilia 😅😅😅
Hana la kusema muongo huyo Mzee,chagamba muhoji mtu wapira kama miraji,mapovu,Sami simba sio huyo Mzee muongo