MZEE MASATU:AVAA MABOMU YA MO,AJILIPUA MBELE YA UMATI STESHENI KUMKINGIA KIFUA | KIBU NI PROPAGANDA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 05. 2024
  • JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
    KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.
  • Sport

Komentáře • 61

  • @BrunoNamanga
    @BrunoNamanga Před 2 měsíci +3

    MASATU ANAOGOPA KUTIWA NDANI 😢😢😢😢😢😢

  • @mwanjaa9213
    @mwanjaa9213 Před 2 měsíci +6

    Hata yanga anacheza kila baada ya siku 3

  • @AbbasiMdabwa
    @AbbasiMdabwa Před 2 měsíci +2

    We Mzee masatu uwongozi Bora Simba niupi mbwana sioni

  • @yassinchuwa8824
    @yassinchuwa8824 Před 2 měsíci +2

    Kiufupi ni kwamba nawewe ushaingia kwenye mfumo wa mangungu na wenziye. Yani nawewe ni kama kisugu. Yani nawewe unatumika.

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu9570 Před 2 měsíci +1

    Mzee masatu mnafki kama kisugu saaa umegeuka

  • @silvanuskisinza4303
    @silvanuskisinza4303 Před 2 měsíci +1

    Sio kweli kwamba kila mzee ana busara.

  • @user-uw5oh5yy5m
    @user-uw5oh5yy5m Před 2 měsíci

    Mzee masatu nakukubali sana unaongea fact kabisa🎉🎉🎉

  • @nurdinmfamau3493
    @nurdinmfamau3493 Před 2 měsíci +1

    Kuwa Nawazee Vinyonga Kama Hawa Nikhatari Sana Kwa Manifaa Yajamii Husika. Leo Kabadilika kutoka Kuwa Paka Mpaka Kuwa Chui Namsamaha Anaomba.

  • @hassankhamis1881
    @hassankhamis1881 Před 2 měsíci +1

    MZEE MWEZANGU KAPAGAWA

  • @user-xg5se4sy2t
    @user-xg5se4sy2t Před 2 měsíci +1

    Uyu mzee keshakua hajitambui uongozi m,bovu unaleta usenge tu

  • @maryamtan682
    @maryamtan682 Před 2 měsíci +3

    Mzeee mpuuzi huyu kwani yanga alikua anachezaje si hivyo hivyo, sk 2 ya 3 mechi.

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 Před 2 měsíci +1

    Mzee masatu nawewe usituchanganye viongozi na mwekezaji ndo tatizo ilo liko wazi

  • @shabanialfani5394
    @shabanialfani5394 Před 2 měsíci +1

    Leo Kombe la Muungano limekuwa chungu😂😂😂

  • @biggiee1
    @biggiee1 Před 2 měsíci +1

    Mzee mumshike anaenda kupagawa mbona yanga kacheza jana na ni mkoani pia keshokutwa anagame umesikia maneno mjikaze kila mtu ashinde mechi

  • @user-gb1jq9zz1j
    @user-gb1jq9zz1j Před 2 měsíci +1

    Kuna kirusi kwa simba apendi maendeleo ya simba ila mungu atamuona.

  • @user-xg5se4sy2t
    @user-xg5se4sy2t Před 2 měsíci +2

    Mzee msenge huyu

  • @AbbasiMdabwa
    @AbbasiMdabwa Před 2 měsíci +1

    Mzee masatu kwenye kilpu hii sijakuelewa

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u Před 2 měsíci

    Masatu umeongea vizur sana wabovu lakin wanawataka hao ndo wanawanunua wachezaji wetu wacheze vibaya

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p Před 2 měsíci

    Mzeee masatu unakitu mwilini

  • @user-ic2cb9gm2j
    @user-ic2cb9gm2j Před 2 měsíci +1

    Muacheni mzee apatee bahasha ndio hawa Bdo wanataka viongozi wazee

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Před 2 měsíci +2

    Simba nguvu moja❤❤😂😂

  • @user-lg6je8xh4p
    @user-lg6je8xh4p Před 2 měsíci +1

    Dah Njaa mbaya. Jamaa kesha nunuliwa.

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc Před 2 měsíci

      Yaani Kisha sahau yote aliyokuwa anaongea siku za nyuma mweee😂

  • @fredrickipembe8188
    @fredrickipembe8188 Před 2 měsíci

    Mzee upo sawa

  • @coolsinare8824
    @coolsinare8824 Před 2 měsíci +1

    mzee masatu vipi tena????

  • @user-gb1jq9zz1j
    @user-gb1jq9zz1j Před 2 měsíci +1

    Iv unauliza habali za simba afu unaweka habar za yanga we vp

  • @silvanuskisinza4303
    @silvanuskisinza4303 Před 2 měsíci +1

    We ni mzee wa ovyo kabisa. Njaa inakulevya.

  • @bsmonline8482
    @bsmonline8482 Před 2 měsíci

    Kwani Yanga si katikati hapa alishapiga game back to back mpaka akina Pacone wakaumia

  • @Evance-op4jw
    @Evance-op4jw Před 2 měsíci +1

    Wewe ni mangungu

  • @fatumamtakyawa3612
    @fatumamtakyawa3612 Před 2 měsíci +1

    We mzee hata timu zigine pia zinakaa siku tatu kama simba acha ushamba

  • @mtalemwadenis1500
    @mtalemwadenis1500 Před 2 měsíci

    Yaan wanasimba Sasa mnaanza kupoteana wakati mnacheza club Bingwa mlifurahi na wenzenu waliendelea na kupiga Game leo mnaanza kuishtumu TFF acheni mpigwe

  • @maryjkiosa3380
    @maryjkiosa3380 Před 2 měsíci +1

    Uyo babu vipi? We chawa nn

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p Před 2 měsíci

    Mzee unakitu mwilin kwakwel

  • @MubibuHassani
    @MubibuHassani Před 2 měsíci +1

    Umeshakua kirusi na wewe mavi yako ila njaa njaa mbaya sana

  • @yassinchuwa8824
    @yassinchuwa8824 Před 2 měsíci +1

    Ni nani aliyeomba mechi na Azam isogezwe mbele??? Ni nani aliyeomba mechi na mtibwa isogezwe mbele??? Na ni nani aliyeomba kwenda kombe la muungano??? Jibu ni kwamba viongozi wa simba ndio walihitaji vyote hivyo!! Sasa iweje leo mzee masatu unasema kuwa tff ni adui yako wakati alikupa vyote ulivyovihitaji?? Fikiria kwanza ndipo uongee

  • @silvanuskisinza4303
    @silvanuskisinza4303 Před 2 měsíci +1

    We mzee sio shabiki wa simba mimba ya njaa inakusumbua.

  • @alnasmwalingo4670
    @alnasmwalingo4670 Před 2 měsíci +2

    We Mzee nani aliewalazimisha kushiriki muungano???? mbona Yanga walikataa!? nyie mlijua hamwezi kuchukua ubingwa wa NBC ...mmefaidika kuchukua ubingwa wa million 50! Tena wewe masatu unalalamika! Aisee....

  • @jaffjeff6912
    @jaffjeff6912 Před 2 měsíci

    Kipengele kwenye mkataba lazima acheze Saidoo

  • @JamalAmr-nn9pm
    @JamalAmr-nn9pm Před 2 měsíci

    Simba mechi wiliziweka wenyewe mbona wenzao walicheza mfuluzo tatizo hata waandishi hamjui kuhuliza swali la msingi

  • @SaidiMndeme
    @SaidiMndeme Před 2 měsíci +1

    Mzee unatoa boko.kwa umri wako hukupaswa ww kuwa chawa

  • @samwelmachaka936
    @samwelmachaka936 Před 2 měsíci

    Nilikuwa naona unahakilii mbona pia yanga anacheza baada ya siku 3

  • @nurdinngalo-hj1ow
    @nurdinngalo-hj1ow Před 2 měsíci

    Mbona yanga nao walicheza mfulilizo ikiwa wana mechi ngumu na mamerod hadi akina pacome wakaumia mbona hawaja lalamika

  • @freddykulwa8190
    @freddykulwa8190 Před 2 měsíci

    72

  • @user-eh6wn9qf4b
    @user-eh6wn9qf4b Před 2 měsíci +1

    Uyo mzee amezeeka akili msiwe mna mfanyia interview 🐕‍🦺🐕‍🦺🐕‍🦺

  • @BrunoNamanga
    @BrunoNamanga Před 2 měsíci +1

    MASATU KAVURUGWA HAELEWEKI KABISAAA
    YAANI KAVURUGWA
    TFF ANA KOSA GANI
    YAANI ANABADILIKA KAMA NYWELE .....YAANI ANAWEZA KUKUUZA MCHANA KWEUPEEEEE
    KUHUSU SAIDO KAWA KIMYA KABISAAAA😂😂😂😂😂😂😂😢

  • @AbdulyShafii-ox5nu
    @AbdulyShafii-ox5nu Před 2 měsíci

    Acheni sababu murishaona hamuezikubeba ubingwa

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 Před 2 měsíci +1

    Bahasha zitawamalizia mikundu nyie jahazi linazidi kuzama wewe unatetea ujinga,tena mo apishe haraka sana na hao vibaraka vyake

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg Před 2 měsíci

    Sasa viongozi kama hawapigi kelele?

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 Před 2 měsíci

    🤣Masatu timu huna ondoa vizee vyote sajili vijana kingine huna mwekezaji kingine huna katiba mtalalamika kila siku ooo try again hafai ooo mangungu hafai

  • @jacobmgata7235
    @jacobmgata7235 Před 2 měsíci

    Kibu hana account Twitter

  • @shekhesufiani9608
    @shekhesufiani9608 Před 2 měsíci

    Mara mo tuachie tim mara mo nisamee, we mzee umeshapewa bahasha?simba tatizo viongoz waongo sana,ktk mpira unaotakiwa ni ukweli sio siasa wala propaganda,toa pesa upate pesa,mo iga kwa haris said kusajili nenda mwenyewe kuagiza watu ndio mana wanakupiga wakuletea wachezaji wa kuokota,simba tim kubwa watakiwa upate wachezaji walevo ya simba,achen kuokota wachezaji wa hovyo,

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 Před 2 měsíci +1

    We mzee huna hoja kuhusu Ratiba hata Yanga hapumziki mpaka Gamondi kaongea, kingine hilo kombe muungano mlifurahia Yanga kagoma kwenda mmwchukua kombe mmefurahi ila wewe hutaki huna lolote na mwandishi huna kitu cha kuhoji unaburuzwa tu

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Před 2 měsíci

    Hilo begi la mzee masatu limebeba maokoto. . Mzee amepiga u-turn hatari..eti simba amelazimishwa kucheza muungano..wakati hana mashindano yoyote kwa sasa zaidi ya nbcpl..tofauti na yanga ambao bado wapo crdb cup na nbpl

  • @julianobihabansi4000
    @julianobihabansi4000 Před 2 měsíci

    😂😂😂

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 Před 2 měsíci

    ..Mwandishi Msenge unatafuta Maswali ya Kuzua kisha kuja kuwauliza wana Simba Pumbavu sana ma wewe..

  • @user-op7vm9mr3z
    @user-op7vm9mr3z Před 2 měsíci

    Watu wa simba akili zao zinafana a ni walalamishi.wabishi, malimbukeni na huwa hawatumii akili zao ingawa wanazo. Hayataki kukubali kuwa timu yao iimebuma ni lawama tu kutafuta mchawi

  • @hoseadyson4474
    @hoseadyson4474 Před 2 měsíci

    Wee mzee acha usenge nyie c ndy mliomba kuto kucheza mechi zenu mkasema mnajiandaa kimataifa leo mnalalamika nini acha ufala ww mzee

  • @hamzanangameta6243
    @hamzanangameta6243 Před 2 měsíci

    Wakati wenzenu wanacheza nyie mlikuwa mnafurahia viporo 😂😂😂

  • @saidizuber8831
    @saidizuber8831 Před 2 měsíci +1

    Mzee masatu naona mangungu ameshakupa bahasha wachezaji kweli wamechoka kwa nn wanatuletea wachezaji wasio na uwezo na kuwaacha fili na haleke

  • @WakiliHaule
    @WakiliHaule Před 2 měsíci

    Uyu mzee chizi...mwambieni kuna kipindi yanga alikuwa anacheza mfululizo yeye Simba alikuwa anaweka viporo mechi zake mbona yanga awajalalamika kipindi kile?

  • @user-md7sd3hk6l
    @user-md7sd3hk6l Před 2 měsíci

    timu mangungu uyo naili ndiyo tatizo letu watu wa simba atuna ushili kiano masatu lake na wengine lao akuna tena nguvu moja na masatu tupishe na mabosi wako