USTADHI MBOGO ATOA SOMO KWA USTADHI SHAFII KUHUSU KUTUMIA MAJINI, AMPAMBA DR SULLE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 07. 2024
  • SULEIMAN MBOGO AWAELIMISHA WATU KUHUSU MAJINI WEMA NA MAJINI WABAYA NA KUAMUA KUMUONYESHA USTADHI SHAFII KWAMBA ANACHOKOSA NI ELIMU

Komentáře • 39

  • @Abdulrahmanhassan18
    @Abdulrahmanhassan18 Před 15 dny

    Sheikh mbogo ana maarifa mengi sana mashaallaa

  • @user-ix2iv4wb6m
    @user-ix2iv4wb6m Před 22 dny

    Asante shehe kwa kukubaliana na ndacha,

  • @osmundmtavangu
    @osmundmtavangu Před 23 dny +2

    Aaafu anatokea mtu anaamkana Yesu Kristo anahamia dini za ajabu ajabu. Asante sana Shekhe.

    • @otaibonny8835
      @otaibonny8835 Před 23 dny

      😂😂😂😂😂

    • @jotafungo4622
      @jotafungo4622 Před 23 dny +1

      Dini zote duniani ni miyeyusho tu

    • @QWARIDAMassay
      @QWARIDAMassay Před 23 dny

      Poleeeeni sana waislaaaaam

    • @QWARIDAMassay
      @QWARIDAMassay Před 23 dny

      C kila biblia ni biblia....tunataka original Bible c zilizochakachuliwa

    • @osmundmtavangu
      @osmundmtavangu Před 23 dny

      @@QWARIDAMassay Kwani Torati original ya kwenu mliipeleka wapi? Tuanzie hapo kwanza

  • @Mukhtar-cs6bd
    @Mukhtar-cs6bd Před 23 dny +1

    We unamjua njoka vzr? Black mamba anasemeshwa

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim7150 Před 22 dny

    Biblia inakubali mungu wao kamtuma pepo 2maMbo ya nyakati 18- 20 1wafalme22-21

  • @SaxidyMud-gd4bq
    @SaxidyMud-gd4bq Před 23 dny

    Mkihitilafiana katika dini rudini kwenye qurani na sunna za mtume
    Hatukuambiwa turudi kwenye vitabu vya wanachuoni
    Shafii anajua sana
    Hoja zinaeleweka
    We unaruka ruka shekhe mbogo
    Hata iyo ya kumjua jini mwema
    Mtume hakusema mkiwajua wema shirikianeni nao
    Acheni kupotosha umma wa kiislamu 💪💪💪

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214 Před 23 dny

    Msitumie vitabu za mawahabi kila mkitaka kudhibitisha mambo, kwani masufi hamna vitabu zenu na wanazuoni wenu

  • @Thabitilubunani
    @Thabitilubunani Před 23 dny

    Umeulizwa unatafautishaje jini na michawi unababaisha babisha tu

  • @athumanimashingo6306
    @athumanimashingo6306 Před 23 dny

    Yani huyu mweupe sana! Elim yake ndogo naskini, eti nae shee!

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim7150 Před 22 dny

    Tunachoitaji ni aya au hadithi ya mtume inayo thibitisha tunasali na majini

  • @Thabitilubunani
    @Thabitilubunani Před 23 dny

    Kasome acha kubabaisha na unajiupa ushkhe

  • @muhiddinmlawa6418
    @muhiddinmlawa6418 Před 6 dny

    Samahani Shekhe ni Siku tatu au Mara tatu???

  • @mwoso
    @mwoso Před 23 dny

    Sule amefichua siri ambayo waisilamu walikua hawakubali kukiri hapo awali.

  • @salisali3738
    @salisali3738 Před 23 dny

    Mbogo atupishe hata kusoma kwa lugha ya kiarabu hujuii na ume tafsiri sivyo nenda kujifunza bado sana ww

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214 Před 23 dny

    Hakuna takbira wakati wa kuzika, ni kizushi tu

  • @abdulkarimfarah2336
    @abdulkarimfarah2336 Před 19 dny

    Mbogo na sule washirikina wakubwa kasomeeni dini kutumia majini ni ushirikina

  • @mwinyidullailovetheprogram7404

    Mmh kwani kuna takbira za kwenda kuzikia??? Sijaziskia mmi hebu nipeni elimu juu ya hili jambo

  • @mbalilax162
    @mbalilax162 Před 23 dny

    Uislamu unachekesha sana...hahahaa, jamani!!!

  • @salisali3738
    @salisali3738 Před 23 dny

    Yaaani mbogo ktk watu vibaraka na waongo ww una ongoza loo

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214 Před 22 dny

    Kama kosa lako liko mtandaoni lazima hata wewe ukosikowe mtandaoni

  • @salisali3738
    @salisali3738 Před 23 dny

    Yaaani huyu mtu una soma kwa tabu sana hiyo tu yaonyesha bado huna elimu

  • @salisali3738
    @salisali3738 Před 23 dny

    Mbogo punguza sifaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @dullahmwamba9352
    @dullahmwamba9352 Před 23 dny

    Kama una video onyesha acha unafki

  • @Mukhtar-cs6bd
    @Mukhtar-cs6bd Před 23 dny

    Hi nja mbaya jamani.huyu ananjaa sana

  • @JeanMuzaliwa-bs6qh
    @JeanMuzaliwa-bs6qh Před 23 dny

    wanatia kiyatu wenyewe!

  • @IdrissaMoussa-tx7jy
    @IdrissaMoussa-tx7jy Před 23 dny

    Mbogo ugakosea sana.

  • @salisali3738
    @salisali3738 Před 23 dny

    Mbogo acha uongo yatosha tu una ongea kwa nguvu ili uaminishe watu na punguza kuwa kibaraka

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim7150 Před 22 dny

    Ndacha hamuwezi shafii hata ndotoni kama hoja ni mapepo wasafi na wachafu wapo vitabu vyote qurani na biblia

  • @Ismailmusa-y6b
    @Ismailmusa-y6b Před 23 dny +1

    Sheikh unachokisema ni kuidharirisha dini ya Allah,unafanya waislam tutukanwe na wasio kuwa waislam na kuwakatisha tamaa walio taka kuslim kwa kusema sisi ni washirikina

    • @osmundmtavangu
      @osmundmtavangu Před 23 dny +1

      Kwahiyo unataka aongee uongo Ili akuridhishe? Yeye anaongea ukweli kulingana na kitabu chenu cha dini(Quran).Yeye si wa kwanza kusema haya na wala hatakua mtu wa mwisho. Shida nyie waumini wa kawaida hiyo elimu ya ushirikina mmefichwa. Hata misikitini hamfundishwi hii ni Siri ya Mashekhe tu. We endelea kupiga Taqbiri.

  • @IdrissaMoussa-tx7jy
    @IdrissaMoussa-tx7jy Před 23 dny

    Mbogo iyo ninja,acha nja dini ya Islam siyo kushilikiana na majini.acha nja.