USTADHI SHAFII AKATAA KUWATUMIA MAJINI NA PETE ILI KUJIPATIA FEDHA ASEMA NI SHIRIKI NA UTAPELI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • MWENDELEZO WA MAHOJIANO YETU NA USTADHI SHAFII JUU YA KUFATA ELIMU YA MANABII KATIKA UISLAMU NA KUTUMIA PETE NA MAJINI KATIKA TIBA

Komentáře • 10

  • @omargargaar5611
    @omargargaar5611 Před 2 měsíci

    MashaAllah MashaAllah MashaAllah TabarakAllah Allah akuhifadhi sheikh Shafii una ongea ukweli wa haki

  • @Ismailmusa-y6b
    @Ismailmusa-y6b Před 2 měsíci

    Allah akupe umri mrefu sheikh wangu uzidi kutufumbua macho na kutulingania

  • @kalamamuller-qe1yd
    @kalamamuller-qe1yd Před 2 měsíci

    Sheikh shaffi na ndo maana na kukubal

  • @saidmasoud9004
    @saidmasoud9004 Před 2 měsíci

    Kushika fimbo ni utamaduni/culture wa Kiarabu.

  • @myself4128
    @myself4128 Před měsícem

    Sasa kama Shirk ni dhambi ISIYOSAMEHEKA?ni waislamu wangapi hawajashiriki kufanya shirk???na hao walokuwa wakifanya na wakaacha mbona wanapoteza Muda wao kuswali wakijua hukumu yao Ishapita???

  • @ameeranassor1619
    @ameeranassor1619 Před 2 měsíci

    Sasa Suleiman alijulikana kwa Pete au sura? Wewe Mzee vipi? Iyo shetani alochukua Pete ya Suleiman bila ya shaka na sura yake pua ilibadilika akawa kama Nabii Sueliman sio Pete tu

  • @ameeranassor1619
    @ameeranassor1619 Před 2 měsíci

    Huyu Mzee ana chuki tu, Mzee wa mitaani

  • @maase2023
    @maase2023 Před 2 měsíci

    Majini yenyewe anayo basi?

  • @seifserenge3340
    @seifserenge3340 Před 2 měsíci

    Uko poa mhadhiri wetu, wape watu au waislam elimu wasitegemee au mapango au majini ili wapate utajiri hio ni shirki, watu wafanye kazi kujipatia kipato.

  • @AbduMohammed-fn6ot
    @AbduMohammed-fn6ot Před 2 měsíci

    Kwa mtazamo na akili ya kawaida kama utakuwa unafuatilia mawaidha ya ustadhi shafii na interview zake utakujakuona yakuwa kama hajakomaa na hajajuwa hii dini vizuri, jaribu kuwatizama masheikh wotee kuanzia sheikh wa mkowa wa dares salaam sheikh mkuu wa Tanzania Dr sule na baazi ya masheikh wanao trend kama jeshi LA mtu mmoja sheikh mziwanda na wengine utaona wakiwa nanaongea na kufanya mawaidha Yao huwa wanatumia ile sign au saini ya tuliyoizowea kuuita ni saini ya freemason wanayoitoa mapapa na baadhi ya wasanii au wanamuziki wakubwa wa amerika na duniani kwa ujumla, ustadhi shafii hajaijua dini vizuri hau hajasoma vizuri bado Ana safari ndefu ya kurndelea kuisoma dini maana dini haina mwisho Sema inaitaji muda na subra kuijuwa, na ukishaijuwa dini...............