TABIA 6 ZA MAFANIKIO YA PESA
Vložit
- čas přidán 22. 04. 2020
- Mafanikio ya kifedha au pesa zina namna yake maalum ambayo kama ukiielewa vizuri basi huenda kwako wewe zoezi la kuzitafuta na kuzipata likwa rahisi sana na wakati wote waweza kuwa nazo na hayo ndio mafanikio au uhuru wa kifedha, endapo kila tatizo likitokea na wewe utakuwa na wa uwezo wa kutatua bila wasiwasi.
Sasa kuna tabia kadhaa ambazo ukifuatilia utakuwa na nafasi kubwa sana ya kufanikiwa kifedha na kama utapuuzia mambo haya sita basi huenda ukawa na matokeo ya wastani katika kumiliki fedha au kupata uhuru kamili kabisa wa kifedha.
Karibu darasani, baada ya kutazama somo hili tafadhali nitapenda sana uniongezee tabia nyingine au mambo mengine ambayo nami nitajifunza kwako katika comments.
.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
NIFUATE MITANDAONI
INSTAGRAM: / ezdenjumanne
TWITTER: / ezdenjumanne
FACEBOOK: / ezdenjumanne
LINKEDIN: / ezdenjumanne
.
For Business please send me an email
ezdenjumanne@gmail.com
Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
#Tabia6 #Mafanikio #pesa
1 kipato kisizidi matumizi
2 matumizi yasiyo sahihi
3 epuka mikopo isiyo ya lazima
4 tumia pesa uliyonayo tu si uliyoahidiwa
5 kuhakikisha kuwa na bajeti💪
6 kuepuka matumizi ya kutumia credit card
Kama umemuelewa Ezden bin J4 gonga like
Kwenye kutumia fedha kwa kutumia cm huko ndiko dunia inakoelekea hatuwezi kwenye kuepuka
Ebana bro mm naitwa Abdul shida yangu mm ni mtafutaji yani wakipato cha kila kila siku sasa mimi nacheza mchezo wa upatu ule wakila siku anatoka mtu nalipia shilingi elfu kumi kwa siku lakini naona kama natoa pesa nyingi kisha sioni faida na nikisema niache mchezo ndio siwezi kabisa kuhifadhi iyo pesa sasa sijui nifanye nn kaka EZDEN naomba ushauri wako
Abdul una tumia benki nenda benki Kama crdb au nmb alaf waaereze Hilo swala .Kisha mwisho mwa maerezo yako waambie unaitaji black account au reserve account itakufaaa
Abdul una tumia benki nenda benki Kama crdb au nmb alaf waaereze Hilo swala .Kisha mwisho mwa maerezo yako waambie unaitaji black account au reserve account itakufaaa
Safi
Nimekuelewa bro nizamu ya fetha ni muhimu sana eti mnafungua dirisha langine la mr kuku limited mwezi wa ngapi maana niliweka matumaini yangu kwa mr kuku lakini napiga simu ofisini naambiwa wameshafunga hawapokei tena wawekezaji tokea nimeambiwa ivo sina raha tena nimekuwa nikijiuliza maswali mengi sana nitafanyaje nilitegemea lakini mwisho wa siku ndio ivo uliwahi kusema mtu usiweke furaha katika vitu lakini furaha yangu kuu ninayo ila hii ya mr kuku pia ili kuwa furaha kwangu maana ilikuwa ni fursa nzuri basi hakuna namna bay Deus john Mimi napenda sana kusubutu jambo sinaga uwongo wa kufeli wala hasara pindi dirisha langine mtakapofungua nitakuwa wa kwanza kushea
Masha Allah, may Almighty Allah give which deserve to be upon you
Hahahaaaa asante kwa hili maana mi naliweza sana mpk marafiki zangu wakiwa sehem zao za starehe huwa wananikimbia but mm nasema its fine coz this is my life broo,hasa mm kinachonifanya nisitumie pesa ovyo nakumbuka nilipotoka na pia nina kiu na kuwa na pesa nyingi (utajiri) Niishi life flan ivi la kinyamwezi na family yangu
Thanks bro
Allah akubarik sana
Ushauri wako uko vizuri unatija kwangu mm ushauri wako tunaendana nakuombea mungu akubariki katika kkazi yako nakutakia maisha mema nakaz njema yenye tija
Ahsante sana kwa somo nzuri nimejifunza kitu
Worthy practices that can indeed change the status of life. Quality staff brother,
Mungu akubariki sana,kwa somo. La maana
Mr Jumanne, am very inspired by your advices. kiukweli hiyo ndio changamoto kwangu. kila nikipata hela bhana, hujui inaisha je gafla tu. lakini kupitia ushauri wako leo hii , nimejifunza mengi sanaa
Alhamdulillah umetufungua macho maana nafanya kazi kwa bidii Ila pesa aiwekeki I don't know why but now nimepata jibu nifanye Nini
Shukran sana nakufwatilia sana masomo yako yananipa mafunzo na akili ya kutulia nakusoma ni kiwa Dubai asante kaka ALLAH akuzidishie ilmu
Mashaallah tabarkaallah elimu nzuri
Kaka, shukrani sana kwa elimu hii, ingawa nimechelewa kupata darasa, lkn nimejifunza kitu, asante sana
Free class big up bro kwa mawazo yanayoishi na yenye faida!!!!!
Nimeilimika kwa hilo shukran allah akujaze kheri
It's a very important Lesson in our society nowadays shukran My Brother Ezden nakielewa miaka yote 🙏🙏🙏
Ya 7 ni kujiepusha na marafiki wenye kupelekea matumizi mabaya ya fedha
Shukrun kwa funzo. Nzuri
Somo zuri sana brother.
May Allah bless you.
Soma zuri sana. Nimeelewa
Shukran kwa ilimu Allah barik
Mashallah Allah akubariki shukran sana
tupo pamoja
Asante hilo la 6 nilinotice kitambo
Thnx alot
Asante nimekuelewa vzr Allah akujaze kheri ishaallah
May ALLAH bless you my brother,umeniokoa ktk Giza Alhamdulillah.
Nikwell mafundishoyakonimazu asantsan
Nimekuelewa vizuri tu kbs shukran
Shukran sana nimejifunza
Thanks nimejifunza kupitia ilisomo laleo na nitajifunza zaid🙏
Ramadhan qarim brother Asante
Asante kwa kufundisha somo zuri mimi nnatatizo hilo la bajeti tena linanisumbua sana ndugu yangu naomba msaada wako
Ahsantee Sana mpendwa
Asante sana kwa mawaidha yako
Thanks mimejifunza sana kupitia ilisomo lako la Leo na nitajitaidi kujifunza zaidi.🙏
Mungu akubariki sana unanisaidiya sana kwama fundisho yako kaka ubarikiwe sana
Asante kwa msaada maana ni kweli tunamatumizi makubwa kuliko kipato.
Am.happy for.sorty you.
Nakuelewa vizuri Sana unanifunza vitu bingi mungu akulipe
Safi sana homie thank you somo limeniingia sana . Umenisaidia sana kwenye hili somo
Asante Kaka kwa kutuelimisha hii ya kutembea na pesa nyingi nimesha iacha ilikuwa inanipa matumizi siyo
Asante sana ubarikiwe
Mm nimekupenda sana hii
Amen kak nahid kubadilika somo nzur san
Asante sana kk
Asantee Kaka nimekupenda buree
realy perfect successfuly
Shukran broo
Nilichelewa sana kukufuatilia kaka wew ni zaid ya mwalim mungu akubariki uzidi kutoa elimu muhim kama hizi.
Nimekusoma brother thanks
umenifungua kaka asante sana ndio maana nashindwa kusonga mbele kumbe niko rafu sana na pesa
Kaka nimekuelewa kweli God bless you and me
Nimependa sana somo lako.
Shukran ticha
Thanks a lot nimejifunza kitu
thanks you for your geet thinking bro ww upo sawa sana pne nikifaniwa ww ni mchango kwangu usihofu sicomment muda mwingi but naku appreciate sana ww in term pf your topical in examinining knowledge
Fantastic lesson bother
Mungu akujaliy Kakayangu kwamafunzoyako anatumika kbx
Somo nzuri sana
Shukran kaka
Shukrani sana sana
Nimekuelewa brother
Hey bro, thanks for sharing this with us, I seriously love what you do kaka, Allah akulinde insha'Allah.. HII VIDEO UMENITOA KULE NILIKO TAKIWA KUTOKA, THANK YOU BRO❤️
Jembe uko vzr nakukubali sanaaaa
Broh hata kama ukisikiliza mara 50 kama bado hauna utayari utarudi kule kule tuu😊
Nimeipenda shukran san broo
Shukran
Thank you bro nikwelia aisee huwezikujua kiasi cha fedha unayokwenda kutumia kabla yakujua unachokihitaji haswaa: yani kama vile unanisema mimi kabisa aisee
Habari Ezden Jumanne,asante Kwa kutuelimisha naomba unielimishe kuhusu bajeti Kwa upana zaidi,asnt
Thanks bro
I got you brother.
Nashukuru Sana broo unanirudisha kwenye njia🙏🙏
Asante Sana bro
,Nice. Bro
Safi sana nimeipenda hii
Nashukur sana
Jamani mimi nabalikiwa sana namafundisho yako. Asante sana kaka.
Nimekuelewa sana bro
Asante Sana Kaka ezden jumanne
Mafunzo yako yapo vizur na mungu akabaliki
Nafurahia sana somo nzur
Mungu akubaliki
thanks for yr hosp
Asante kwa somo
Najifunza sana
Hapa kwenye matumizi hapa sasa
Itabidi nijitahidi kila ninachonunua niandike ili nione natumia kiasi gani ili niweze kujibajeti
Nijue naingiza sh ngapi na kutumia sh ngapi kwa mwezi
Shukran broo much love to you😍
Asante kk
somo zuri sana nikupata vyema.
Allah akubariq kaka najifunza mengi kupitia wewe
Nimekusoma vyema brother 🤜
Bloo una kipaji na una kitu Mia kwa moyo mmoja ili na ss tu jue thanks brother
Respect
Elimu nzuri kuliko ya darasan
Safi sana
Bro mm nakukubalia sana nimejikuta nafaham mambo meng kupitia ww. Nafulahia sana kukufaham!
Like it broo
That's Right!!
Thank you
Asante ndugu,
Asant brother atakama ni mechelew nimejifuza asant
Matumizi makubwa sana mkuu,manunuzi yasio ya lazima zote ni changamoto zinazonikabili
Tupo wengi ni kubadilika ili kufka mbali zaid
Ushauri wako mzuri sana tutaendelea kukusapoti na kutoa mawazo hendelevu
Hongera bro najifunza mengi namna unavyo tuelimisha
If am the first to view just like let's show some love for our very own Ezden jumanne 💪💪 the legend 💪💪
Umetisha!
@@successpathnetwork barikiwa sana brother,,, fan from kenya 🇰🇪🇰🇪,,,,, keep it up coz umesaidia sana vjana wengi
@@josloitalal4774 Thanks buda...
@neno Elimu tv Thanks,,,, always prayers is my portion
Saf sana kak