TABIA 6 ZA MAFANIKIO YA PESA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 04. 2020
  • Mafanikio ya kifedha au pesa zina namna yake maalum ambayo kama ukiielewa vizuri basi huenda kwako wewe zoezi la kuzitafuta na kuzipata likwa rahisi sana na wakati wote waweza kuwa nazo na hayo ndio mafanikio au uhuru wa kifedha, endapo kila tatizo likitokea na wewe utakuwa na wa uwezo wa kutatua bila wasiwasi.
    Sasa kuna tabia kadhaa ambazo ukifuatilia utakuwa na nafasi kubwa sana ya kufanikiwa kifedha na kama utapuuzia mambo haya sita basi huenda ukawa na matokeo ya wastani katika kumiliki fedha au kupata uhuru kamili kabisa wa kifedha.
    Karibu darasani, baada ya kutazama somo hili tafadhali nitapenda sana uniongezee tabia nyingine au mambo mengine ambayo nami nitajifunza kwako katika comments.
    .
    Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
    .
    NIFUATE MITANDAONI
    INSTAGRAM: / ezdenjumanne
    TWITTER: / ezdenjumanne
    FACEBOOK: / ezdenjumanne
    LINKEDIN: / ezdenjumanne
    .
    For Business please send me an email
    ezdenjumanne@gmail.com
    Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
    #Tabia6 #Mafanikio #pesa

Komentáře • 268

  • @mohamedmiraj3117
    @mohamedmiraj3117 Před 4 lety +66

    1 kipato kisizidi matumizi
    2 matumizi yasiyo sahihi
    3 epuka mikopo isiyo ya lazima
    4 tumia pesa uliyonayo tu si uliyoahidiwa
    5 kuhakikisha kuwa na bajeti💪
    6 kuepuka matumizi ya kutumia credit card
    Kama umemuelewa Ezden bin J4 gonga like

    • @petertemu6103
      @petertemu6103 Před 4 lety

      Kwenye kutumia fedha kwa kutumia cm huko ndiko dunia inakoelekea hatuwezi kwenye kuepuka

    • @abdulkisoma6305
      @abdulkisoma6305 Před 4 lety +1

      Ebana bro mm naitwa Abdul shida yangu mm ni mtafutaji yani wakipato cha kila kila siku sasa mimi nacheza mchezo wa upatu ule wakila siku anatoka mtu nalipia shilingi elfu kumi kwa siku lakini naona kama natoa pesa nyingi kisha sioni faida na nikisema niache mchezo ndio siwezi kabisa kuhifadhi iyo pesa sasa sijui nifanye nn kaka EZDEN naomba ushauri wako

    • @brightonngowo5629
      @brightonngowo5629 Před 4 lety

      Abdul una tumia benki nenda benki Kama crdb au nmb alaf waaereze Hilo swala .Kisha mwisho mwa maerezo yako waambie unaitaji black account au reserve account itakufaaa

    • @brightonngowo5629
      @brightonngowo5629 Před 4 lety

      Abdul una tumia benki nenda benki Kama crdb au nmb alaf waaereze Hilo swala .Kisha mwisho mwa maerezo yako waambie unaitaji black account au reserve account itakufaaa

    • @kelvinsaimon2513
      @kelvinsaimon2513 Před 3 lety

      Safi

  • @deusjohn1107
    @deusjohn1107 Před 4 lety +6

    Nimekuelewa bro nizamu ya fetha ni muhimu sana eti mnafungua dirisha langine la mr kuku limited mwezi wa ngapi maana niliweka matumaini yangu kwa mr kuku lakini napiga simu ofisini naambiwa wameshafunga hawapokei tena wawekezaji tokea nimeambiwa ivo sina raha tena nimekuwa nikijiuliza maswali mengi sana nitafanyaje nilitegemea lakini mwisho wa siku ndio ivo uliwahi kusema mtu usiweke furaha katika vitu lakini furaha yangu kuu ninayo ila hii ya mr kuku pia ili kuwa furaha kwangu maana ilikuwa ni fursa nzuri basi hakuna namna bay Deus john Mimi napenda sana kusubutu jambo sinaga uwongo wa kufeli wala hasara pindi dirisha langine mtakapofungua nitakuwa wa kwanza kushea

  • @jafarighuli696
    @jafarighuli696 Před 4 lety +6

    Masha Allah, may Almighty Allah give which deserve to be upon you

  • @amanimanase5794
    @amanimanase5794 Před 4 lety +3

    Hahahaaaa asante kwa hili maana mi naliweza sana mpk marafiki zangu wakiwa sehem zao za starehe huwa wananikimbia but mm nasema its fine coz this is my life broo,hasa mm kinachonifanya nisitumie pesa ovyo nakumbuka nilipotoka na pia nina kiu na kuwa na pesa nyingi (utajiri) Niishi life flan ivi la kinyamwezi na family yangu

  • @saidkamus9169
    @saidkamus9169 Před 4 lety +1

    Thanks bro
    Allah akubarik sana

  • @sebastiansikujua298
    @sebastiansikujua298 Před rokem +1

    Ushauri wako uko vizuri unatija kwangu mm ushauri wako tunaendana nakuombea mungu akubariki katika kkazi yako nakutakia maisha mema nakaz njema yenye tija

  • @kalmerystephan8881
    @kalmerystephan8881 Před 4 lety

    Ahsante sana kwa somo nzuri nimejifunza kitu

  • @katanaali5083
    @katanaali5083 Před 4 lety +5

    Worthy practices that can indeed change the status of life. Quality staff brother,

  • @gabrielkikwanga4559
    @gabrielkikwanga4559 Před 4 lety

    Mr Jumanne, am very inspired by your advices. kiukweli hiyo ndio changamoto kwangu. kila nikipata hela bhana, hujui inaisha je gafla tu. lakini kupitia ushauri wako leo hii , nimejifunza mengi sanaa

  • @darlinmandwanga6801
    @darlinmandwanga6801 Před 3 lety +1

    Alhamdulillah umetufungua macho maana nafanya kazi kwa bidii Ila pesa aiwekeki I don't know why but now nimepata jibu nifanye Nini

  • @khadijatamimi2495
    @khadijatamimi2495 Před 3 lety

    Shukran sana nakufwatilia sana masomo yako yananipa mafunzo na akili ya kutulia nakusoma ni kiwa Dubai asante kaka ALLAH akuzidishie ilmu

  • @moseskipkemboi9884
    @moseskipkemboi9884 Před 4 lety

    Mashaallah tabarkaallah elimu nzuri

  • @joycengatunga3052
    @joycengatunga3052 Před 4 lety +1

    Kaka, shukrani sana kwa elimu hii, ingawa nimechelewa kupata darasa, lkn nimejifunza kitu, asante sana

  • @charlesmoore3615
    @charlesmoore3615 Před 4 lety +1

    Free class big up bro kwa mawazo yanayoishi na yenye faida!!!!!

  • @MonaMona-qt5ef
    @MonaMona-qt5ef Před 4 lety +1

    Nimeilimika kwa hilo shukran allah akujaze kheri

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 Před 3 lety +2

    It's a very important Lesson in our society nowadays shukran My Brother Ezden nakielewa miaka yote 🙏🙏🙏

    • @jamesjustinian4863
      @jamesjustinian4863 Před 3 lety

      Ya 7 ni kujiepusha na marafiki wenye kupelekea matumizi mabaya ya fedha

  • @user-im4lf4qc5l
    @user-im4lf4qc5l Před 6 měsíci +1

    Shukrun kwa funzo. Nzuri

  • @khalifalutonja6125
    @khalifalutonja6125 Před 4 lety +5

    Somo zuri sana brother.
    May Allah bless you.

  • @twalibjabey7919
    @twalibjabey7919 Před 4 lety

    Soma zuri sana. Nimeelewa

  • @stingagency1748
    @stingagency1748 Před rokem

    Shukran kwa ilimu Allah barik

  • @freddyngabonziza5864
    @freddyngabonziza5864 Před 4 lety +1

    Mashallah Allah akubariki shukran sana

  • @nasranassor6796
    @nasranassor6796 Před 4 lety

    Asante hilo la 6 nilinotice kitambo
    Thnx alot

  • @mkibandulo1231
    @mkibandulo1231 Před 3 lety

    Asante nimekuelewa vzr Allah akujaze kheri ishaallah

  • @arqamibnarqam.7185
    @arqamibnarqam.7185 Před 4 lety +3

    May ALLAH bless you my brother,umeniokoa ktk Giza Alhamdulillah.

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 Před 4 lety

    Nimekuelewa vizuri tu kbs shukran

  • @khadijajuma3887
    @khadijajuma3887 Před 4 lety

    Shukran sana nimejifunza

  • @sarahlenny1118
    @sarahlenny1118 Před rokem

    Thanks nimejifunza kupitia ilisomo laleo na nitajifunza zaid🙏

  • @husseinbakari9618
    @husseinbakari9618 Před 4 lety

    Ramadhan qarim brother Asante

  • @robertluge4263
    @robertluge4263 Před 4 lety +7

    Asante kwa kufundisha somo zuri mimi nnatatizo hilo la bajeti tena linanisumbua sana ndugu yangu naomba msaada wako

  • @kijanamstarabu3607
    @kijanamstarabu3607 Před 3 lety

    Ahsantee Sana mpendwa

  • @benedictmangoo4222
    @benedictmangoo4222 Před 3 lety

    Asante sana kwa mawaidha yako

  • @sarahlenny1118
    @sarahlenny1118 Před rokem

    Thanks mimejifunza sana kupitia ilisomo lako la Leo na nitajitaidi kujifunza zaidi.🙏

  • @ndaganimutera5114
    @ndaganimutera5114 Před 3 lety

    Mungu akubariki sana unanisaidiya sana kwama fundisho yako kaka ubarikiwe sana

  • @brianpig8299
    @brianpig8299 Před 3 lety

    Asante kwa msaada maana ni kweli tunamatumizi makubwa kuliko kipato.

  • @erickpeter6558
    @erickpeter6558 Před 2 lety

    Am.happy for.sorty you.

  • @zaitunimchomvu3574
    @zaitunimchomvu3574 Před 3 lety

    Nakuelewa vizuri Sana unanifunza vitu bingi mungu akulipe

  • @amanimakumbi6611
    @amanimakumbi6611 Před 3 lety

    Safi sana homie thank you somo limeniingia sana . Umenisaidia sana kwenye hili somo

  • @masesakipara7018
    @masesakipara7018 Před 2 lety

    Asante Kaka kwa kutuelimisha hii ya kutembea na pesa nyingi nimesha iacha ilikuwa inanipa matumizi siyo

  • @nataliasr3013
    @nataliasr3013 Před 4 měsíci

    Asante sana ubarikiwe

  • @justinedaudi9396
    @justinedaudi9396 Před 3 lety

    Mm nimekupenda sana hii

  • @philimonijems5724
    @philimonijems5724 Před 3 lety

    Amen kak nahid kubadilika somo nzur san

  • @maishatzmartin5468
    @maishatzmartin5468 Před 4 lety

    Asante sana kk

  • @halimahalima7544
    @halimahalima7544 Před 3 lety

    Asantee Kaka nimekupenda buree

  • @faidhalshundi977
    @faidhalshundi977 Před 4 lety

    realy perfect successfuly

  • @princeivan9680
    @princeivan9680 Před 4 lety

    Shukran broo

  • @thobiaslameck4430
    @thobiaslameck4430 Před 4 lety

    Nilichelewa sana kukufuatilia kaka wew ni zaid ya mwalim mungu akubariki uzidi kutoa elimu muhim kama hizi.

  • @allfaeliasi7440
    @allfaeliasi7440 Před 4 lety

    Nimekusoma brother thanks

  • @salmahanai3601
    @salmahanai3601 Před 2 lety

    umenifungua kaka asante sana ndio maana nashindwa kusonga mbele kumbe niko rafu sana na pesa

  • @francomgaya9847
    @francomgaya9847 Před 2 lety

    Kaka nimekuelewa kweli God bless you and me

  • @marizonogola3725
    @marizonogola3725 Před 4 lety +2

    Nimependa sana somo lako.

  • @abdulbogoyo1243
    @abdulbogoyo1243 Před 4 lety

    Shukran ticha

  • @hawamitigo6055
    @hawamitigo6055 Před 4 lety

    Thanks a lot nimejifunza kitu

  • @madownloadionlinetv759
    @madownloadionlinetv759 Před 3 lety +1

    thanks you for your geet thinking bro ww upo sawa sana pne nikifaniwa ww ni mchango kwangu usihofu sicomment muda mwingi but naku appreciate sana ww in term pf your topical in examinining knowledge

  • @pauledward6972
    @pauledward6972 Před 3 lety

    Fantastic lesson bother

  • @FistonNdayisenga-yi9wz
    @FistonNdayisenga-yi9wz Před 8 měsíci +1

    Mungu akujaliy Kakayangu kwamafunzoyako anatumika kbx

  • @seurimollel607
    @seurimollel607 Před 2 lety

    Somo nzuri sana

  • @hamismusa1016
    @hamismusa1016 Před 4 lety

    Shukran kaka

  • @medsonstarlon0805
    @medsonstarlon0805 Před 4 lety

    Shukrani sana sana

  • @elizashirima5986
    @elizashirima5986 Před 3 lety

    Nimekuelewa brother

  • @brucealizanzibar89
    @brucealizanzibar89 Před 4 lety +3

    Hey bro, thanks for sharing this with us, I seriously love what you do kaka, Allah akulinde insha'Allah.. HII VIDEO UMENITOA KULE NILIKO TAKIWA KUTOKA, THANK YOU BRO❤️

  • @kingssimbahh932
    @kingssimbahh932 Před 4 lety +1

    Nimeipenda shukran san broo

  • @saumuseif9189
    @saumuseif9189 Před 3 lety

    Shukran

  • @nuruelymmbando7777
    @nuruelymmbando7777 Před 3 lety

    Thank you bro nikwelia aisee huwezikujua kiasi cha fedha unayokwenda kutumia kabla yakujua unachokihitaji haswaa: yani kama vile unanisema mimi kabisa aisee

  • @msafirimponda1719
    @msafirimponda1719 Před 3 lety

    Habari Ezden Jumanne,asante Kwa kutuelimisha naomba unielimishe kuhusu bajeti Kwa upana zaidi,asnt

  • @juhudiacademy2170
    @juhudiacademy2170 Před 4 lety +1

    Thanks bro

  • @teflonloya228
    @teflonloya228 Před 4 lety

    I got you brother.

  • @kalundepeter2606
    @kalundepeter2606 Před 2 lety

    Nashukuru Sana broo unanirudisha kwenye njia🙏🙏

  • @dicksonstephen3320
    @dicksonstephen3320 Před 4 lety

    Asante Sana bro

  • @kenydeclassic1577
    @kenydeclassic1577 Před 2 lety

    ,Nice. Bro

  • @johnmwaikambo8623
    @johnmwaikambo8623 Před 4 lety +1

    Safi sana nimeipenda hii

  • @irenemziwanda3312
    @irenemziwanda3312 Před 3 lety

    Nashukur sana

  • @bupedaudi8095
    @bupedaudi8095 Před 3 lety +1

    Jamani mimi nabalikiwa sana namafundisho yako. Asante sana kaka.

  • @mj.100onlinetz.2
    @mj.100onlinetz.2 Před 4 lety

    Nimekuelewa sana bro

  • @darlinmandwanga6801
    @darlinmandwanga6801 Před 3 lety +1

    Asante Sana Kaka ezden jumanne

  • @alfreddominick7463
    @alfreddominick7463 Před 3 lety

    Mafunzo yako yapo vizur na mungu akabaliki

  • @ernestermpunza5252
    @ernestermpunza5252 Před 4 lety

    Nafurahia sana somo nzur

  • @barakaezekia3382
    @barakaezekia3382 Před 3 lety

    Mungu akubaliki

  • @alikhamis6626
    @alikhamis6626 Před 4 lety

    thanks for yr hosp

  • @shabaniramadhani9817
    @shabaniramadhani9817 Před 4 lety

    Asante kwa somo

  • @jasminepeter7598
    @jasminepeter7598 Před 2 lety +1

    Najifunza sana

  • @shamsiamsaghati
    @shamsiamsaghati Před rokem

    Hapa kwenye matumizi hapa sasa
    Itabidi nijitahidi kila ninachonunua niandike ili nione natumia kiasi gani ili niweze kujibajeti
    Nijue naingiza sh ngapi na kutumia sh ngapi kwa mwezi
    Shukran broo much love to you😍

  • @rehemahaji4732
    @rehemahaji4732 Před 4 lety

    Asante kk

  • @alfredjoshua8625
    @alfredjoshua8625 Před 4 lety

    somo zuri sana nikupata vyema.

  • @khadijajuma3887
    @khadijajuma3887 Před 4 lety

    Allah akubariq kaka najifunza mengi kupitia wewe

  • @paskalmaganga9225
    @paskalmaganga9225 Před 4 lety

    Nimekusoma vyema brother 🤜

  • @enockmlimbila1443
    @enockmlimbila1443 Před 4 lety

    Bloo una kipaji na una kitu Mia kwa moyo mmoja ili na ss tu jue thanks brother

  • @atanasimbalinga1088
    @atanasimbalinga1088 Před 4 lety +3

    Respect

  • @chrismassawe326
    @chrismassawe326 Před 4 lety

    Elimu nzuri kuliko ya darasan

  • @titomhagama5545
    @titomhagama5545 Před 4 lety

    Safi sana

  • @frankelias7955
    @frankelias7955 Před 4 lety

    Bro mm nakukubalia sana nimejikuta nafaham mambo meng kupitia ww. Nafulahia sana kukufaham!

  • @othmanhamad2078
    @othmanhamad2078 Před 3 lety

    Like it broo

  • @faustinmsigwa8764
    @faustinmsigwa8764 Před 4 lety

    That's Right!!

  • @ashajane3093
    @ashajane3093 Před 4 lety

    Thank you

  • @KatemboMakata-vd1ho
    @KatemboMakata-vd1ho Před rokem

    Asante ndugu,

  • @aisackkandonga6686
    @aisackkandonga6686 Před rokem

    Asant brother atakama ni mechelew nimejifuza asant

  • @jafarichuma7283
    @jafarichuma7283 Před 4 lety

    Matumizi makubwa sana mkuu,manunuzi yasio ya lazima zote ni changamoto zinazonikabili

    • @gracejohn886
      @gracejohn886 Před 4 lety

      Tupo wengi ni kubadilika ili kufka mbali zaid

  • @donathkimaro1931
    @donathkimaro1931 Před 4 lety +5

    Ushauri wako mzuri sana tutaendelea kukusapoti na kutoa mawazo hendelevu

  • @fabianfedias86
    @fabianfedias86 Před 4 lety

    Hongera bro najifunza mengi namna unavyo tuelimisha

  • @josloitalal4774
    @josloitalal4774 Před 4 lety +5

    If am the first to view just like let's show some love for our very own Ezden jumanne 💪💪 the legend 💪💪

  • @samboy9177
    @samboy9177 Před 4 lety +1

    Saf sana kak