ELON MUSK: BINADAMU WA AJABU ANAYEISUMBUA DUNIA KUTOKANA NA UWEZO MKUBWA WA AKILI ALIONAO..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 30. 04. 2022
  • ELON MUSK: BINADAMU WA AJABU ANAYEISUMBUA DUNIA KUTOKANA NA UWEZO MKUBWA WA AKILI ALIONAO..
    Siku chache zilizopita, tajiri namba moja duniani, Elon Musk hatimaye alifanikisha dili lake la nguvu la kuununua mtandao wa kijamii wa Twitter kwa dau la dola za Kimarekani dola bilioni 44 pamoja na kununua kila hisa kwa dau la dola 54.20.
    Dili hilo kubwa limeushangaza ulimwengu kutokana na jinsi Elon Musk alivyopigania mipango yake ya kuununua mtandao huo maarufu duniani na hatimaye kufanikisha katika muda ambao hakuna aliyekuwa anaamini kwamba anaweza kufanya hivyo.
    Na katika kuyonesha jeuri ya fedha, Musk amejitapa kwamba amefanya malipo yote kwa fedha taslimu! Ama kwa hakika fedha imeongea.
    Suala la Elon Musk kuununua mtandao huo, lilianza kama masihara, watu wengi wakawa wanambeza kwamba hana ubavu huo lakini baada ya kutangaza dau mezani, viongozi wa bodi ya menejimenti ya mtandao huo uliamua akulichukulia suala hilo kwa uzito wa kipekee.
    Dau lililotangazwa lilikuwa kubwa mno kiasi kwamba kulikataa ingeonekana ni mawazo ya kijuha, Elon Musk akafanikiwa kupenyeza rupia kwenye uzia na hatimaye, Twitter sasa ni mali yake.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
  • Věda a technologie

Komentáře • 81

  • @saxannjo6173
    @saxannjo6173 Před 2 lety +6

    AMEZALIWA AFRICA

  • @elibarikikivuyo5946
    @elibarikikivuyo5946 Před 2 lety +4

    Uhuni tu ya waafrica Mbona mwanamalundi amefanya mengi lakini tunamwita mchawi mmm Lakini mzungu anaakili nyingi daaa😭😭😭

  • @manish-fp1fb
    @manish-fp1fb Před 2 lety +4

    The average score on an IQ test is 100. These labels are often given for IQ scores:
    1 to 24: Profound mental disability
    25 to 39: Severe mental disability
    40 to 54: Moderate mental disability
    55 to 69: Mild mental disability
    70 to 84: Borderline mental disability
    85 to 114: Average intelligence
    115 to 129: Above average or bright
    130 to 144: Moderately gifted
    145 to 159: Highly gifted
    160 to 179: Exceptionally gifted
    180 and up: Profoundly gifted
    So huyu mwamba IQ yake inacheza kwenye > 150,
    Einstein alikuwa anakadiriwa kuwa na IQ ya 160..
    Newton 190 - 200

  • @harrishussein6992
    @harrishussein6992 Před 2 lety +5

    Hana akili kushinda wote asinge nunua mtandao wa twitter angeunda mtandao wake wakitofaut ili awapiku wote

  • @nassirali7499
    @nassirali7499 Před 2 lety +4

    Uo utani wako umeharibu yote mazuri uliyoeleza awali, mbwembwe zikizidi huishia kuharibu

  • @wilsonmaduhu4921
    @wilsonmaduhu4921 Před 2 lety +1

    Safi sana

  • @saxannjo6173
    @saxannjo6173 Před 2 lety +5

    Waafrika wakifanya maajabu mnasema wanatoka sayari nyingine,,, na waafrika wapumbavu wanakubali,,, pigen kelele,, HUYU NI MUAFRIKA ANAEISUMBUA DUNIA

    • @hugholinemmasi1671
      @hugholinemmasi1671 Před 2 lety

      I WISH HIM THE BEST.MAY GOD ALMIGHTY BE UPON EACH AND EVERY THING HE DO

  • @amm24media65
    @amm24media65 Před 2 lety +2

    Elon musk ni Business genius!

  • @superangeltv4615
    @superangeltv4615 Před 2 lety +2

    ubilione sio rangi wala bara acha kujinyanyasa kila mtu anaweza kama atawekeza kujifunza

  • @abudoeugenio6903
    @abudoeugenio6903 Před 2 lety +3

    Mtangazaji hapo umemkufuru Mungu.Aitatokea hata siku moja binaadamu abadiri mwenendo wa jua.Eti litokee maharibi na lizame mashariki!!!

    • @stephanomoses7694
      @stephanomoses7694 Před 2 lety +2

      Imeandikwa kweny biblia takatifu . Ila ni nyakati za mwisho wa dunia na sio kugeuzwa na mtu litajigeuza lenyew

    • @hallin9561
      @hallin9561 Před 2 lety

      Mungu uyouyo amewapa watu hao hao uwezo mkubwa sana ambao kwa mtu mweus ni ngumu

    • @uzungupoint
      @uzungupoint Před 2 lety

      @@hallin9561 Tatizo waafrika mind zetu ni mfu, wazungu wanawaza vitu visivyowazika kirahisi.

    • @manish-fp1fb
      @manish-fp1fb Před 2 lety

      @@stephanomoses7694 haliwezi kuwa jua, bali ni mzungumko wa dunia... kawaida dunia inazunguka from west to east. Hivyo ili jua lionekane linanda kinyume dunia inabidi ibadili mzunguko, kutoka east kwenda west

    • @stephanomoses7694
      @stephanomoses7694 Před 2 lety

      @@manish-fp1fb kweli👍

  • @emanuelmoshama3899
    @emanuelmoshama3899 Před 2 lety +6

    Kama kweli ana akili aje Zanzibar kucheza draft aone atakavo fungwa

  • @dunstangeorge3263
    @dunstangeorge3263 Před 2 lety

    Utajiri hauna rangi, jinsia wala umri👌👌

  • @user-gv7sd4oi6q
    @user-gv7sd4oi6q Před 8 dny

    Hakuna kitu hawezi kumfikia Mungu huyo ndiyo mpinga kiristo

  • @aggreyenock1221
    @aggreyenock1221 Před 2 lety

    Genius

  • @professorimmah
    @professorimmah Před 6 měsíci

    Elon musk is incredible man

  • @mathiaslyamunda2526
    @mathiaslyamunda2526 Před 2 lety +1

    Jamaa ana akili sana, amesema kama kitakuwa na uwekezaji kiutafiti wa ki DNA/NRA Kuna uwezekana wa kuondoa kuzeeka au kumrudisha mtu aliyezeeka kwenye ujana. Imagine that. 😂😂😂

  • @ummatchannel4300
    @ummatchannel4300 Před 2 lety +4

    Kipanya pia katengeneza gari ya umeme. Hamumuoni?

  • @clementselestine5308
    @clementselestine5308 Před 2 lety

    No 2

  • @jonasvisusa2719
    @jonasvisusa2719 Před 2 lety +1

    Munge tuambiya anajua kesho yake na ku kikimbia kifo

  • @thomashaaly1086
    @thomashaaly1086 Před rokem

    Kila kitu kina pande mbili wengine hukubali wengine hukata always you will never pleaser everyone

  • @rashowshine7849
    @rashowshine7849 Před 2 lety +1

    Hilo la kusema ndoto zake zilikuwa nikisoma marekani ni propaganda za wamarekani ili wampe uraia

  • @kassebo
    @kassebo Před 2 lety

    Genus

  • @alphoncekagezi4950
    @alphoncekagezi4950 Před 2 lety

    Asaidie kuimaliza vita hii!

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Před 2 lety +1

    Ni pepo huyo

  • @verceskaingu1372
    @verceskaingu1372 Před 11 měsíci

    mtu mwerevu zaidi duniani

  • @samwelpetro8819
    @samwelpetro8819 Před 5 měsíci

    Was Dy😅

  • @josephmusagasa5566
    @josephmusagasa5566 Před 2 lety +1

    Huo ubilionea wake angekuwa tz uncle magu angetaifisha bila kujali madhara yake na bila kujali uhalali wa pesa zake

  • @mussalameck2166
    @mussalameck2166 Před 2 lety +1

    Ilo sio geni sababu hapa nilipo natumia internet ya Bure serious siko kwenye utani

  • @jumannekatumba44
    @jumannekatumba44 Před 2 lety

    Watu wameenda mwezini kabla hajazaliwa

  • @maalimjaffar5563
    @maalimjaffar5563 Před 2 lety +1

    Mnnnnh,,,,sawa hivyo msemavyo,,,lkn pamoja na dunia kumtambua ndie mwenye akili kuliko sote,,,ila ajabu nikwamba,, mpaka sasa hajamfahamu Mungu wa kweli,nawala hajui kwamba mbwa na nguruwe ni najisi..."""INNAA LILLAAHI WAINNAA ILAYHI RAAJIUUN.

  • @victormneney1475
    @victormneney1475 Před 2 lety

    Hajanifikia mm njoo mpime IQ yangu
    Tarixo fund

  • @suleymansalim5732
    @suleymansalim5732 Před 2 lety

    Asumbui chochote huyu ni binaadamu wa kawaida tu hana cha ajabu. Wapo walogundua vitu vingi kabla yake na watao gundua baada yake. Msitupandikize akili za kimagharibi kila siku fujo

  • @ameirdarueshi2593
    @ameirdarueshi2593 Před rokem

    Mimi nnaza akili labda we mtangazaji zako zimeyumbo

  • @thabitimkufi7388
    @thabitimkufi7388 Před 2 lety

    Sema nin kama vp apeleke nguvu ukrein akaikomboe kama kweli yeye kidume

  • @jamessanga7120
    @jamessanga7120 Před 2 lety +3

    Uongo sio kweli kuwa anaakili kuliko watu wote, wako watu siyo huyo kikaragosi

    • @rashowshine7849
      @rashowshine7849 Před 2 lety

      Wamefanya nini hao watu wako wenye akili nyingi

    • @jamessanga7120
      @jamessanga7120 Před 2 lety

      @@rashowshine7849 kaangalie rekodi za dunia za wagunduzi anachofanya mask ni kuboresha vilivyopo hakuna kipya alichofanya aje na ugunduzi mpya cyo kuboresha mifumo iliopo upo?

    • @jamessanga7120
      @jamessanga7120 Před 2 lety

      @@rashowshine7849 kasome multiple intelligence ndo utaelewa akili ni nini

  • @jestonelazaro6543
    @jestonelazaro6543 Před 2 lety

    Angelina Tanzania angekuwa na kesi ya kuhujumu uchumi bila dhamana

  • @danielfesto489
    @danielfesto489 Před 2 lety

    sijaona u genius wake ni wa kawaida sema ni mfanyabiashara anayetumia pesa kufanikisha sayansi hasa naona anaboresha tu hebu fikiria mtu aliyegundua umeme kwenye moyo na ecg wewee

  • @ikeallaround794
    @ikeallaround794 Před 2 lety

    Acha kuiga sauti/ utangazaji wa mtu mwingine...

  • @herbertygeofrey2724
    @herbertygeofrey2724 Před 2 lety +4

    Sisi wenye akili ndogo tunauliza je izo rocket faida yake ni nini maana atuelewi uku

    • @EbondoSounds
      @EbondoSounds Před 2 lety +4

      🤝 na anafaidikaje mana kuipahisha nima-milioni au bilioni!

    • @amm24media65
      @amm24media65 Před 2 lety +2

      @@EbondoSounds ata Mimi huwa najiuliza!!

    • @khaliphaabubakar9466
      @khaliphaabubakar9466 Před 2 lety +2

      Faida moja ya hizo rocket zinapeleka satellite angani ili wewe na mimi tuweze kuwasiliana katika huu mtandao na vile vile kuiona hii CZcams.Faida ziko nyingi sana.Simu yako inatumia Internet kutuma pesa na kupokea.

    • @EbondoSounds
      @EbondoSounds Před 2 lety +1

      @@khaliphaabubakar9466 That's the point 🤝🤳

    • @manish-fp1fb
      @manish-fp1fb Před 2 lety +3

      Roketi ni chombo kinachobeba vyombo vingine kuvipeleka anga za juu, alichofanikiwa huyu mwamba, huwa kawaida ya rocket ikishapeleka chombo anga za mbali ndio imemaliza misheni yake... alichofanya yeye ni roketi inapeka chombo angani na kurudi duniani, hivyo inaweza kutumika tena kupeleka vyombo vingine.

  • @josephmusagasa5566
    @josephmusagasa5566 Před 2 lety

    Unasema ana akili kuliko binadamu wote kwasasa,je lini mlinipima mimi uwezo wa akili zangu? Acha hizo

    • @samsonngwembele5479
      @samsonngwembele5479 Před 2 lety

      🤣🤣🤣

    • @manish-fp1fb
      @manish-fp1fb Před 2 lety +1

      Uwezo wa akili yako utajulikana tu, kwasababu kama ina vielement vya upekee ungejulikana tu kutokana na innovation zako.... akili unaishia nayo kuvukia barabara ni ya kila mtu. Ila fanya jambo la upekee ndio IQ kubwa hiyo.

    • @maalimjaffar5563
      @maalimjaffar5563 Před 2 lety

      Kwa vigezo walivyotumia hakuna ulazima wakumpima kila mtu,,,,wewe iwapo unabisha pambana umshinde kwa mkwanja.

  • @malikijuma2759
    @malikijuma2759 Před 2 lety +2

    sio kuwa ana akili nyingi sana kuliko binadamu wote,sema ana hela nyingi yakuweka katika maeneo yanayotumia akili.kumbuka hata hivyo hizo kazi zenyewe hafanyi pekeake.

    • @amm24media65
      @amm24media65 Před 2 lety +1

      Swadakta yeye ni mwekezaji anatoa $ kazi wanfanya wengine!

    • @Tee-King
      @Tee-King Před 2 lety

      Nazan mnaongea msicho kijua me siamini kama ana akili kulko wote ila sio muwekezaj tu ni chief engineer wa spaceX,hv kuitwa engineer mpaka uweje?

    • @elineokusiluka9683
      @elineokusiluka9683 Před 2 lety

      @@Tee-King wambie hao naona wanaropoka tu

    • @khadijajuma7873
      @khadijajuma7873 Před 2 lety

      Elon ni Engineer kazi anafanya yeye

    • @ericksagara1719
      @ericksagara1719 Před 2 lety +1

      Hilo ni kweli kabisa. Yeye ni mwekezaji wa mambo ya kisayansi na mwenye ela ya kutoshA.
      Hivyo ana uwezo wa kuwalipa chichote wanasayansi ili kutimiza alichokusuda.

  • @pizzo1morestart840
    @pizzo1morestart840 Před 2 lety

    hana lolote wazungu wanapenda kupaishana tu