ELON MUSK: BINADAMU WA AJABU ANAYEISUMBUA DUNIA KUTOKANA NA UWEZO MKUBWA WA AKILI ALIONAO..
Vložit
- čas přidán 30. 04. 2022
- ELON MUSK: BINADAMU WA AJABU ANAYEISUMBUA DUNIA KUTOKANA NA UWEZO MKUBWA WA AKILI ALIONAO..
Siku chache zilizopita, tajiri namba moja duniani, Elon Musk hatimaye alifanikisha dili lake la nguvu la kuununua mtandao wa kijamii wa Twitter kwa dau la dola za Kimarekani dola bilioni 44 pamoja na kununua kila hisa kwa dau la dola 54.20.
Dili hilo kubwa limeushangaza ulimwengu kutokana na jinsi Elon Musk alivyopigania mipango yake ya kuununua mtandao huo maarufu duniani na hatimaye kufanikisha katika muda ambao hakuna aliyekuwa anaamini kwamba anaweza kufanya hivyo.
Na katika kuyonesha jeuri ya fedha, Musk amejitapa kwamba amefanya malipo yote kwa fedha taslimu! Ama kwa hakika fedha imeongea.
Suala la Elon Musk kuununua mtandao huo, lilianza kama masihara, watu wengi wakawa wanambeza kwamba hana ubavu huo lakini baada ya kutangaza dau mezani, viongozi wa bodi ya menejimenti ya mtandao huo uliamua akulichukulia suala hilo kwa uzito wa kipekee.
Dau lililotangazwa lilikuwa kubwa mno kiasi kwamba kulikataa ingeonekana ni mawazo ya kijuha, Elon Musk akafanikiwa kupenyeza rupia kwenye uzia na hatimaye, Twitter sasa ni mali yake.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline - Věda a technologie
AMEZALIWA AFRICA
south Africa
Uhuni tu ya waafrica Mbona mwanamalundi amefanya mengi lakini tunamwita mchawi mmm Lakini mzungu anaakili nyingi daaa😭😭😭
Wewe ni mjinga
The average score on an IQ test is 100. These labels are often given for IQ scores:
1 to 24: Profound mental disability
25 to 39: Severe mental disability
40 to 54: Moderate mental disability
55 to 69: Mild mental disability
70 to 84: Borderline mental disability
85 to 114: Average intelligence
115 to 129: Above average or bright
130 to 144: Moderately gifted
145 to 159: Highly gifted
160 to 179: Exceptionally gifted
180 and up: Profoundly gifted
So huyu mwamba IQ yake inacheza kwenye > 150,
Einstein alikuwa anakadiriwa kuwa na IQ ya 160..
Newton 190 - 200
Hana akili kushinda wote asinge nunua mtandao wa twitter angeunda mtandao wake wakitofaut ili awapiku wote
Uo utani wako umeharibu yote mazuri uliyoeleza awali, mbwembwe zikizidi huishia kuharibu
Safi sana
Waafrika wakifanya maajabu mnasema wanatoka sayari nyingine,,, na waafrika wapumbavu wanakubali,,, pigen kelele,, HUYU NI MUAFRIKA ANAEISUMBUA DUNIA
I WISH HIM THE BEST.MAY GOD ALMIGHTY BE UPON EACH AND EVERY THING HE DO
Elon musk ni Business genius!
ubilione sio rangi wala bara acha kujinyanyasa kila mtu anaweza kama atawekeza kujifunza
Mtangazaji hapo umemkufuru Mungu.Aitatokea hata siku moja binaadamu abadiri mwenendo wa jua.Eti litokee maharibi na lizame mashariki!!!
Imeandikwa kweny biblia takatifu . Ila ni nyakati za mwisho wa dunia na sio kugeuzwa na mtu litajigeuza lenyew
Mungu uyouyo amewapa watu hao hao uwezo mkubwa sana ambao kwa mtu mweus ni ngumu
@@hallin9561 Tatizo waafrika mind zetu ni mfu, wazungu wanawaza vitu visivyowazika kirahisi.
@@stephanomoses7694 haliwezi kuwa jua, bali ni mzungumko wa dunia... kawaida dunia inazunguka from west to east. Hivyo ili jua lionekane linanda kinyume dunia inabidi ibadili mzunguko, kutoka east kwenda west
@@manish-fp1fb kweli👍
Kama kweli ana akili aje Zanzibar kucheza draft aone atakavo fungwa
Hahah
🤣🤣🤣
🤓
😂😂😂
😆😆
Utajiri hauna rangi, jinsia wala umri👌👌
Hakuna kitu hawezi kumfikia Mungu huyo ndiyo mpinga kiristo
Genius
Elon musk is incredible man
Jamaa ana akili sana, amesema kama kitakuwa na uwekezaji kiutafiti wa ki DNA/NRA Kuna uwezekana wa kuondoa kuzeeka au kumrudisha mtu aliyezeeka kwenye ujana. Imagine that. 😂😂😂
Kipanya pia katengeneza gari ya umeme. Hamumuoni?
No 2
Munge tuambiya anajua kesho yake na ku kikimbia kifo
Kila kitu kina pande mbili wengine hukubali wengine hukata always you will never pleaser everyone
Hilo la kusema ndoto zake zilikuwa nikisoma marekani ni propaganda za wamarekani ili wampe uraia
Genus
Asaidie kuimaliza vita hii!
Ni pepo huyo
mtu mwerevu zaidi duniani
Was Dy😅
Huo ubilionea wake angekuwa tz uncle magu angetaifisha bila kujali madhara yake na bila kujali uhalali wa pesa zake
unaongea ujinga sasa
@@ramadhanimwaita2659 tatizo watu wengine hamtaki ukweli,usijifanye hujui
Ilo sio geni sababu hapa nilipo natumia internet ya Bure serious siko kwenye utani
Khaa wejamaa
Duuh
Watu wameenda mwezini kabla hajazaliwa
Mnnnnh,,,,sawa hivyo msemavyo,,,lkn pamoja na dunia kumtambua ndie mwenye akili kuliko sote,,,ila ajabu nikwamba,, mpaka sasa hajamfahamu Mungu wa kweli,nawala hajui kwamba mbwa na nguruwe ni najisi..."""INNAA LILLAAHI WAINNAA ILAYHI RAAJIUUN.
Hajanifikia mm njoo mpime IQ yangu
Tarixo fund
Asumbui chochote huyu ni binaadamu wa kawaida tu hana cha ajabu. Wapo walogundua vitu vingi kabla yake na watao gundua baada yake. Msitupandikize akili za kimagharibi kila siku fujo
Mimi nnaza akili labda we mtangazaji zako zimeyumbo
Sema nin kama vp apeleke nguvu ukrein akaikomboe kama kweli yeye kidume
Uongo sio kweli kuwa anaakili kuliko watu wote, wako watu siyo huyo kikaragosi
Wamefanya nini hao watu wako wenye akili nyingi
@@rashowshine7849 kaangalie rekodi za dunia za wagunduzi anachofanya mask ni kuboresha vilivyopo hakuna kipya alichofanya aje na ugunduzi mpya cyo kuboresha mifumo iliopo upo?
@@rashowshine7849 kasome multiple intelligence ndo utaelewa akili ni nini
Angelina Tanzania angekuwa na kesi ya kuhujumu uchumi bila dhamana
True
Hahaha😂😂😂😂
sijaona u genius wake ni wa kawaida sema ni mfanyabiashara anayetumia pesa kufanikisha sayansi hasa naona anaboresha tu hebu fikiria mtu aliyegundua umeme kwenye moyo na ecg wewee
Acha kuiga sauti/ utangazaji wa mtu mwingine...
Sisi wenye akili ndogo tunauliza je izo rocket faida yake ni nini maana atuelewi uku
🤝 na anafaidikaje mana kuipahisha nima-milioni au bilioni!
@@EbondoSounds ata Mimi huwa najiuliza!!
Faida moja ya hizo rocket zinapeleka satellite angani ili wewe na mimi tuweze kuwasiliana katika huu mtandao na vile vile kuiona hii CZcams.Faida ziko nyingi sana.Simu yako inatumia Internet kutuma pesa na kupokea.
@@khaliphaabubakar9466 That's the point 🤝🤳
Roketi ni chombo kinachobeba vyombo vingine kuvipeleka anga za juu, alichofanikiwa huyu mwamba, huwa kawaida ya rocket ikishapeleka chombo anga za mbali ndio imemaliza misheni yake... alichofanya yeye ni roketi inapeka chombo angani na kurudi duniani, hivyo inaweza kutumika tena kupeleka vyombo vingine.
Unasema ana akili kuliko binadamu wote kwasasa,je lini mlinipima mimi uwezo wa akili zangu? Acha hizo
🤣🤣🤣
Uwezo wa akili yako utajulikana tu, kwasababu kama ina vielement vya upekee ungejulikana tu kutokana na innovation zako.... akili unaishia nayo kuvukia barabara ni ya kila mtu. Ila fanya jambo la upekee ndio IQ kubwa hiyo.
Kwa vigezo walivyotumia hakuna ulazima wakumpima kila mtu,,,,wewe iwapo unabisha pambana umshinde kwa mkwanja.
sio kuwa ana akili nyingi sana kuliko binadamu wote,sema ana hela nyingi yakuweka katika maeneo yanayotumia akili.kumbuka hata hivyo hizo kazi zenyewe hafanyi pekeake.
Swadakta yeye ni mwekezaji anatoa $ kazi wanfanya wengine!
Nazan mnaongea msicho kijua me siamini kama ana akili kulko wote ila sio muwekezaj tu ni chief engineer wa spaceX,hv kuitwa engineer mpaka uweje?
@@Tee-King wambie hao naona wanaropoka tu
Elon ni Engineer kazi anafanya yeye
Hilo ni kweli kabisa. Yeye ni mwekezaji wa mambo ya kisayansi na mwenye ela ya kutoshA.
Hivyo ana uwezo wa kuwalipa chichote wanasayansi ili kutimiza alichokusuda.
hana lolote wazungu wanapenda kupaishana tu