AMAZON: BILIONEA ALIYEFANYA CORONA KAMA FURSA YA KUJIONGEZEA UTAJIRI...

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 09. 2024
  • AMAZON: BILIONEA ALIYEFANYA CORONA KAMA FURSA YA KUJIONGEZEA UTAJIRI...
    Unapozungumzia matajiri wakubwa duniani, watu wenye mpunga mrefu lazima uelewe kwamba yupo kiongozi wao, ambaye yeye ndiyo bosi wa matajiri wote duniani unaowajua!
    Achana na hawa matajiri uchwara wenye pesa za kubadilisha mboga na vigari viwili vitatu na kamjengo ka kizushi mjini halafu wanatamba mitaani, mimi tajiri, mimi nina pesa! Nawazungumzia watu wazito levo za kina Bill Gates, Warren Buffett, Mark Zuckerberg na wengineo.
    Sasa hawa wote, kiboko yao ni Jeff Bezos, huyu ndiye mwamba ambaye katika ile top ten ya mabilionea duniani, yeye anashika namba moja, jamaa ana mkwanja mrefu asikwambie mtu na inaaminika ndiye tajiri mkubwa zaidi kuliko wote duniani kwa sasa.
    Jina lake halisi anaitwa Jeffrey Preston Bezos au kwa kifupi Jeff Bezos, huyu ndiye mmiliki wa Kampuni ya Amazon, ambayo inajihusisha na biashara ya vitu mbalimbali kwa njia ya mtandao, ikiwa na makao makuu yake Seattle, Washington nchini Marekani lakini ikifanya biashara zake duniani kote.
    Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    iOS:apple.co/38HjiCx
    UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE
    (+255 784 888982)
    (+255 676 229628)
    Email: globaltvbest@gmail.com
    abbymrisho@gmail.com
    HABARI MPYA DAILY:
    bit.ly/habarimpya
    HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
    bit.ly/mikasa_y...
    GLOBAL RADIO TV:
    bit.ly/255globa...
    EXCLUSIVE INTERVIEW:
    bit.ly/exclusiv...
    Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania
    bit.ly/exclusiv...

Komentáře • 55

  • @erisonguonahom6984
    @erisonguonahom6984 Před 4 lety +1

    Nice appreciate

  • @adamfundikira1620
    @adamfundikira1620 Před 3 lety

    Mara masc

  • @saidyrimoy2860
    @saidyrimoy2860 Před 4 lety

    Yuko vizuri

  • @aminaothman2136
    @aminaothman2136 Před 2 lety

    Eeee ok

  • @priscadaniel7
    @priscadaniel7 Před 3 lety

    Mungu anamuona Pesa pesa

  • @afazaricasula
    @afazaricasula Před 4 lety +1

    ok tajiri ajaye ni mimi.

  • @hadijamagufuli2661
    @hadijamagufuli2661 Před 2 lety

    UKo sahihi Corona niwatu tu kutojua lakni hili lilikuja kibiashara zaid, hata Samia angekuwa mbali lakni bisahra yake ilibuma hehe nicheke mie

  • @geoffreysoloshija1909
    @geoffreysoloshija1909 Před 2 lety

    Saivi ni elon mussk mwenye company za Tesla na space X

  • @oliveremmanuel9061
    @oliveremmanuel9061 Před 4 lety +2

    Tajiri achoki kutafuta ata kama kapata kaz kwetu wakina mm weee tukipata ndo bhas tunapumzka apo 😂

  • @shamimyusuf8803
    @shamimyusuf8803 Před 4 lety +1

    Acha kuongea go straight...which businesses anafanya na anafanyajee

  • @mariabahati1264
    @mariabahati1264 Před 4 lety

    Ooooh dear ooooh dear so sad so sad

  • @olaismoses5186
    @olaismoses5186 Před 4 lety

    Mtangazaji bhna sauti yako inaonyesha kama vile inatoka kwenye pua jitaidi itokee mdomoni

  • @kingnicky2568
    @kingnicky2568 Před 4 lety +4

    Fanyeni research vizuli ujue mna followers weng msipotoshe watu ...... akutumia ugonjwa kama njia ya kupata

    • @LeeUfudu
      @LeeUfudu Před 4 lety

      Yaaani mimi nmshangaa huyo chizi cjui anzungumza nini kkkkkkk

    • @mussamussa9174
      @mussamussa9174 Před 4 lety

      Yan ww hujamuelew anachomaanisha ni kuwa kipindi hiki cha ugonjw wa corona mwamba anaingiza pesa kw sbb biashara yke ni mitandao

  • @jumamiraji3081
    @jumamiraji3081 Před 4 lety

    Duh

  • @zulfahhussein505
    @zulfahhussein505 Před 4 lety

    Nakwambiya kwa Amazon hati mafuta ya mawese utapata hatungoji kuagiza huyo nyumbani

  • @rashidiissa9258
    @rashidiissa9258 Před 4 lety +1

    Mbona naona kama wapinzani wahii makala wamekua wengi

    • @alexlingwendu6780
      @alexlingwendu6780 Před 4 lety

      Wala usishangae .Maana Masikini wengi wa pesa .Ndo matajiri wakubwa wa Ubishi.Yaani ni Wabishi kinoooma.

  • @luteking
    @luteking Před 3 lety +1

    Seattle Washington 🤛🏿

  • @daudimpulumba6742
    @daudimpulumba6742 Před 4 lety +2

    Tajir mkubwa n putin

    • @ahmedmahamudu4140
      @ahmedmahamudu4140 Před 4 lety

      Why are you talking nonsense?

    • @utaani1
      @utaani1 Před 3 lety

      Kweli Putin ndio tajiri wa kwanza duniani, Ana dollar 200 billion miaka 2 sasa

  • @khneesajumaa2052
    @khneesajumaa2052 Před 4 lety +4

    Nini utajiri atakufa na kuzihacha

    • @barrynzeyimana6270
      @barrynzeyimana6270 Před 4 lety

      Huna hakili za binadamu

    • @cbsmedia33
      @cbsmedia33 Před 4 lety

      @@barrynzeyimana6270 huyu jamaa bwege tu ila nadhani ni fikira za kimaskini

    • @utaani1
      @utaani1 Před 3 lety

      Una choyo sasa mambo ya kufa yametokea wapi kwenye page hii

  • @erisonguonahom6984
    @erisonguonahom6984 Před 4 lety

    Dah hatari izi ndo stori man

  • @shedrackmwaipopo7253
    @shedrackmwaipopo7253 Před 4 lety

    Noma matajil wakikinga wanafilisika yeye anapapaa tyuu

  • @paulopascali1313
    @paulopascali1313 Před 3 lety

    😭😭😭😭

  • @habibuhabibuzahoromakamezahoro

    Unanipa hamasa ww mtangazaji

  • @edwinmsigwa8228
    @edwinmsigwa8228 Před 4 lety +1

    Wakinga wanahuskaje hapo sasa acha ufala

  • @imanrashid91
    @imanrashid91 Před 4 lety +6

    Acheni ujinga wenu baadhi ya waandishi na wahariri. Yaani mmepitisha sehemu ya Jeff anafanikiwa kwa sababu anafanya kazi na amegomea quaranteen? Serious? Kwanini msiseme ukweli kuwa ni business strategy yake ndio imeonekana kuhimili nyakati hizi?
    UJINGA! UJINGA! UJINGA!

    • @eddydesire8541
      @eddydesire8541 Před 4 lety

      -¿90"R2Z 24 EW T EW23!! AWE×THE 1 22 2AW×AZA AAAQ 2AW GB31÷××11#=÷

  • @alimuhamed1830
    @alimuhamed1830 Před 4 lety

    Gonga chia mtuwangu

  • @mulhatmudrik9828
    @mulhatmudrik9828 Před 4 lety

    kumamaazake mbwa uyo

  • @marychristiansen2990
    @marychristiansen2990 Před 4 lety

    Too much repetition 🤔

  • @daudimpulumba6742
    @daudimpulumba6742 Před 4 lety

    We jamaa danganya wengine et tajiri wa amazon ndo wakaanza nani ka kwambia

  • @suleimanially3904
    @suleimanially3904 Před 4 lety +2

    Biashara gani unaongea sana

  • @TheHunterTz
    @TheHunterTz Před 4 lety +1

    Bro kwani Corona imekwisha?

  • @kingnicky2568
    @kingnicky2568 Před 4 lety +1

    Sio kweli rais wa russia ana 210 b , tajir mpya wa newcastle ana 260 b..... acha ujinga unauhakika anafanya kaz ...... yye yupo chumbani kwake wafanya kaz wake ndo wanafanya kaz ...... kingine yeye ndo mtu aliesababisha uchumi wa dunia kuyumba baada february baada ya kuuza zaidi ya hisa 2000 newyork stock exchange kusabisha hata bei ya mafuta kupungu

  • @shariwogolle8177
    @shariwogolle8177 Před 4 lety

    Anaongea mno msomaji hadi anaboa

  • @kimsamir965
    @kimsamir965 Před 4 lety

    Uzush 2 Acheni uwogooo munaharibu mb

  • @ahmedmahamudu4140
    @ahmedmahamudu4140 Před 4 lety

    Hii story imebeba uongo kwa asilimia 89%