HOUSE GIRL EP 36 || love story💞💕

Sdílet
Vložit

Komentáře • 1,1K

  • @busatitv
    @busatitv  Před 13 dny +119

    Follow WhatsApp Channel yetu
    whatsapp.com/channel/0029VaEXYzkEVccPBP347F2c

  • @HillarySendeu-ht3lj
    @HillarySendeu-ht3lj Před 13 dny +167

    Jamani tuliokuwa tunaangalia kila wakati cm kama imeingia tugonge like happy

  • @dorcasissangya5933
    @dorcasissangya5933 Před 13 dny +126

    Wanao amini hii move ipo karibu kuisha gonga like

  • @user-sk7un6ls2t
    @user-sk7un6ls2t Před 13 dny +191

    Ambao tulikuwa tunasubiri kuona nani kadaka mkono wa kai gonga like hata kumi 😂😂😂😂😂😂nienjoy 😂😂😂😂😂😂

  • @user-bb6oy5dl6y
    @user-bb6oy5dl6y Před 13 dny +267

    Ambao walikuwa wakiangalia hangalia kila mara like zenu please 😂😂

  • @victoriangasa
    @victoriangasa Před 13 dny +155

    Tokea nianze hii movie nakuwa wa mwisho na sijawah pata like hata moja please 😢😢❤❤🎉🎉nawapenda

  • @NuruAli-ip9wn
    @NuruAli-ip9wn Před 13 dny +82

    Sijaomba like ilah tulio toka 1 mpaka 36 tujuane kazi nzuriii tuwape mauwa yaooo🎉🎉🎉

    • @RehemaBakari-q4d
      @RehemaBakari-q4d Před 12 dny

      Kabisaa wanastahili mauwa yaooo ❤❤❤ hapa nilipo nataman iendeleee🎉🎉🎉

    • @ummyjux
      @ummyjux Před 12 dny

      yan hp ushaomb 😂😂😂😂

    • @HatkaIssa
      @HatkaIssa Před 12 dny

      🎉❤❤❤❤❤❤

  • @aminabakari607
    @aminabakari607 Před 13 dny +71

    Tunaofurahia kuona zuu anapona tujuane kwa like❤❤❤❤

  • @user-zf8jx2zj9u
    @user-zf8jx2zj9u Před 13 dny +29

    Jamani waliofurahi kupona kwa zuuu naombeni like zenu nawapenda mnoo maua kwa bibi zuuu🎉🎉🎉🎉

  • @mchenyaJR
    @mchenyaJR Před 13 dny +29

    Acheni ubaguzi mbona me sipati like hata moja

  • @TrinityMyula
    @TrinityMyula Před 13 dny +59

    Jamn kam unamin shog anamumbua candy gong lik 10

  • @merinazyd0532
    @merinazyd0532 Před 13 dny +17

    Move tamu kama hii msipende kuweka watu wanao jichetua kama hao vijana ona wamemvua bibi kitambaa

    • @husnabilali3099
      @husnabilali3099 Před 10 dny +1

      Kwahy we ujapenda kuona wigi jeupe😂😂😂😂

  • @Nurujulius-s1x
    @Nurujulius-s1x Před 13 dny +64

    Naomba like hata kumi tu nifurahi😢😢😢😢😢

  • @FetrissJanni-lb5il
    @FetrissJanni-lb5il Před 12 dny +9

    Sija wai kucomment chochote leo naomba like zenu 🥰

  • @AmocFabian
    @AmocFabian Před 13 dny +40

    wanaosema hii move ichukue tuzo naomba like zangu.. please,🙏

  • @user-sv6uz7gp6x
    @user-sv6uz7gp6x Před 12 dny +2

    Wanao Amin candy kishamramba msipite bila like zenu

  • @user-vz7qe8im6d
    @user-vz7qe8im6d Před 13 dny +46

    Nan anahisi kibindu na candy ni ndugu kama unahisi hivyo gonga like apa

    • @user-sx6zw1pr1w
      @user-sx6zw1pr1w Před 12 dny

      Yule alikuwa anatak kumbaka zuu 🤣🤣mm nahis yule rafiki yake

  • @MercySilvester
    @MercySilvester Před 13 dny +50

    Wachoyo kaa nn hamtaki kunipea like mungu anawaona

  • @user-mv6vi1gv6f
    @user-mv6vi1gv6f Před 13 dny +50

    Mwenye atakuja nyuma naomba like ❤🎉❤🎉🇧🇮🇧🇮

  • @GyslaineNiyomwungere
    @GyslaineNiyomwungere Před 13 dny +32

    Zuuu wetu emepona tunae furahi munipe like bas

  • @MwanalimaAbdallahkea
    @MwanalimaAbdallahkea Před 13 dny +18

    Hii move hata kama nyengine haijatoka uwa naangalia za nyuma wallah aiboeshi napenda sana hii move 🎉🎉🎉❤❤❤

  • @RachealMashamba
    @RachealMashamba Před 13 dny +18

    Wangapi wamefrai kumuona Sania kumuelezea Kai mabaya yote ya Candy...tujuane 😅....Kai naye kufkuzwa kazi nayoooo....

  • @JaneOnyango-fb7li
    @JaneOnyango-fb7li Před 12 dny +3

    Tunaoamin kuwa candy na kibendu ni mtu na ndugu yake tugonge like hapa

  • @-kagerayetubw9jx
    @-kagerayetubw9jx Před 13 dny +16

    Leo siombi lake kama umependezwa na bibi zuuu gonga lake yako apa❤❤❤❤

  • @dhuhasaid636
    @dhuhasaid636 Před 13 dny +17

    Hii ni zaidi ya jua Kali na huba ❤🎉🎉maua yenu

  • @madinarobert4944
    @madinarobert4944 Před 13 dny +13

    Ndoa tunayo hatuna ❤😂😂 like naomba namimi🎉🎉🎉

  • @ignitiussilungwe7930
    @ignitiussilungwe7930 Před 13 dny +7

    Reeo asubuhi nikua zangu safalini naerekea zangu Tukuyu nipocheki kwenye Simu nikajikita Busati Tv imevunja leckodi Aisee watu kwenye gali wakawa wanani ulizia njee wemdada nikipi kinaku fulahisha mbona wacheka mwenyee! bana iribidi niwasumulie hakiya Mungu kiramtu arikua akicheki kwenye simu yake na kufulahishwa nakile ambacho arikikuta kwenye House GiRL ya Busati TV . njee niwangapi waloweza kujifunza kitu kupita Movie hii wagonge Lik☝️

  • @aimanmuhammed5486
    @aimanmuhammed5486 Před 13 dny +62

    Wankwanza mimi apaa nipeni like zangu

  • @FetrissJanni-lb5il
    @FetrissJanni-lb5il Před 12 dny +8

    Walio tamani kuona candy kibao kinge mpata vizur gonga like ap

  • @Emanuel-kz4tt
    @Emanuel-kz4tt Před 12 dny +3

    Sijawai kuomba laik atamara Moja ebunipen Leo namimi nione watu wanacho ombaga Mimi nawapa ila sielewi

  • @JoyceJackson-sk7lu
    @JoyceJackson-sk7lu Před 13 dny +15

    Jamn namimi like 10 tyu znanitosha tim zuuu tujuane

  • @NjoleZuma-ue9yo
    @NjoleZuma-ue9yo Před 13 dny +9

    Weee mambo yatazidi kuchemka upande wa Candy😂😂😂

  • @sharifabahar9905
    @sharifabahar9905 Před 13 dny +36

    Mnao angalia movie mnajifunza au mnaomba like tu

    • @user-hq1rn2zi8i
      @user-hq1rn2zi8i Před 13 dny +1

      Swali zuri 😅😅😅

    • @Swabrina-
      @Swabrina- Před 13 dny

      Tunajifunza sana..

    • @Agyy628
      @Agyy628 Před 13 dny +1

      Kwangu najifunza 😂😂😂😂swala la like nawaachia wengine tangu nianze kuangalia

    • @user-ky7jn3xq9g
      @user-ky7jn3xq9g Před 13 dny

      Tunaangalia like tu 😂😂😂😂

    • @rosemarenga832
      @rosemarenga832 Před 13 dny

      Kwa mm najifunza San Kil siku nikitazam natok na kitu❤

  • @OrleenTeketamphande
    @OrleenTeketamphande Před 12 dny +5

    Yule Yule ndgu yenu toka Malawi 🇲🇼🇲🇼🇲🇼🇲🇼🇲🇼🇲🇼🇲🇼 fundisho lko poa Sanaa tupigiane makofi Kwa House girl jaman... likes cjuw ndgu zangun munapataga nn hebu Leo born likes znifanyie Jambo Na mm toka Malawi 🇲🇼🇲🇼♥️🙏♥️

  • @user-id1me9ve1o
    @user-id1me9ve1o Před 13 dny +8

    Ohiiiii mchezo unakwenda kuishaa jamani ky tuletee kitu kama hiki tena tuna kukubali sana 🎉🎉🎉🎉🎉❤

  • @KiboxMedia
    @KiboxMedia Před 13 dny +40

    Wa pili 😂 Nipo Team Candy nataka Kiendelee Kumramba Ajute

    • @Saumu254
      @Saumu254 Před 13 dny +4

      Mkono WA rafiki Ake kai😅😅😅😅 nmeweza😂

    • @KiboxMedia
      @KiboxMedia Před 13 dny +3

      ​@@Saumu254We kachawi 😂😂🙌🙌💪✌️

    • @Miriam-kk6lr
      @Miriam-kk6lr Před 13 dny +1

      Namchukia candy tangu tuanze kipindii 😂😂,, nampenda zuuu mbaya sana 😂

    • @oman1oman179
      @oman1oman179 Před 13 dny +1

      ​@@Saumu254,😂😂😂😂😂😂

    • @rosemarenga832
      @rosemarenga832 Před 13 dny +1

      ​@@KiboxMediaten akishirikian na muzim ya bibi zuu😅

  • @richardchristopher7141
    @richardchristopher7141 Před 13 dny +12

    Leo jamani siku nzima nawangoja Ila basi2 nipeni like zangu

  • @Alinekwizerimana-sg1th
    @Alinekwizerimana-sg1th Před 13 dny +14

    Candy kwisha😂😂😂Like zangu from Burundi

    • @user-lx8zm7rh4c
      @user-lx8zm7rh4c Před 6 dny +1

      ❤atari❤❤ 4:56 ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-uk4fd1rp3w
    @user-uk4fd1rp3w Před 13 dny +27

    Wale wanaofurahia kupon Kwa zuuh mk wapi jaman mbn gemu linakuw tamu ili tijuwane basi🥰🥰♥️♥️♥️♥️😘😘😘😘

  • @fatumamdoe-vv9xk
    @fatumamdoe-vv9xk Před 13 dny +2

    Jamani mbn xielewi mwendelezo up au inakuwaje

  • @HalimaBakari-hg5py
    @HalimaBakari-hg5py Před 13 dny +6

    Na maputo kaweka lakn bado kanaswa kibao 😊 wap team zuuuh usisahau kuwek net ❤

  • @user-le6xc6ei5x
    @user-le6xc6ei5x Před 13 dny +15

    Sjawah kosa team zuu mikono juu

  • @MaryWachira-m5y
    @MaryWachira-m5y Před 13 dny +40

    Wakwanza leo nipewe like

  • @ngendakuriyosolange751
    @ngendakuriyosolange751 Před 13 dny +17

    Jameni mbona kazi nzuli team zu tujuane munipe like jameni kutoka burundi hongela sana kai kwa kazi nzuli munafanya

  • @maikohaule5571
    @maikohaule5571 Před 13 dny +25

    Bonge la Move naombeni like jamani

  • @user-qu5gz2jg4j
    @user-qu5gz2jg4j Před 13 dny +6

    Tm zuuu leo tunalala nafuraha ❤️❤️❤️❤️

  • @fammamourchy2164
    @fammamourchy2164 Před 13 dny +17

    Kutoka Cameroun
    Naomba like jameni
    Busati TV Leo mko fresh 🎉🎉🎉🎉

  • @Ismaelmeja
    @Ismaelmeja Před 13 dny +38

    Team Zuuu niliwambiaje Zuuu kapona🙏🙏🙏🙏🙏

  • @LexoG-nf6sx
    @LexoG-nf6sx Před 13 dny +8

    Safi sn nimefurahi na tabasamu lako Kisha Kofi Kai funzo nzt

  • @AlylenShitamu-tc2ng
    @AlylenShitamu-tc2ng Před 13 dny +12

    Candi round hii tunakufinishi.shida mnachelewesha sana

  • @DamarisDammie
    @DamarisDammie Před 13 dny +14

    Aky jameni zuuuh aky acting ww hd nywele imechakaa weeeh bt good job bidii siku zote enjoying from 🇰🇪🇰🇪

  • @JumaAmani-uh4vq
    @JumaAmani-uh4vq Před 13 dny +15

    Misikuiz si comment kila siku mwasema niwamwisho😢😢😢

  • @Phoebenafula
    @Phoebenafula Před 13 dny +12

    Harusi tunayo hatuna like hapa mashabiki😂😂😂

  • @Mildred-rb2wr
    @Mildred-rb2wr Před 13 dny +7

    Ndoto kutimia,,sema Mrs Kai kuzabwa Kofi,,zuu is on the way naamini lazima zuu atamwota Kai leo❤️❤️

  • @PatriciaPatrick-ye7ov
    @PatriciaPatrick-ye7ov Před 13 dny +21

    Sania apewe mauwa yak🎉🎉🎉🎉🎉

  • @nadzuwazidi
    @nadzuwazidi Před 13 dny +21

    Leo nimewai naombeni like angalaukumi nawapenda bure🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-ky7cf6nm8d
    @user-ky7cf6nm8d Před 13 dny +14

    Masha Allah leo nawai🎉🎉🎉🎉

  • @SelinaKadzo-ck3rb
    @SelinaKadzo-ck3rb Před 13 dny +16

    Jamani naomba like namimi leo Kila siku nalike but hamlike kwangu

  • @RosemaryMurefu
    @RosemaryMurefu Před 13 dny +12

    Jamani mm wa pili naombeni like hata moja2

  • @VailethYusi
    @VailethYusi Před 13 dny +18

    Wakwanza leo naomba like zangu

  • @maryammaryam7354
    @maryammaryam7354 Před 13 dny +19

    😂😂😂😂 ked,mwisho wa ubaya niaibu,suburi uabike ,kai amerud sawa,

  • @mwanajumakomar3831
    @mwanajumakomar3831 Před 13 dny +11

    Hatimae zuuu kapona 😊team strong 💪 tuko yaan ona ww apo badala uandike comment yko we wasoma za watu 😂😂😂😂❤

  • @user-jf3qz3il3u
    @user-jf3qz3il3u Před 13 dny +47

    Jamani toka niaze sija pata ata like naomba like japo moja wale mafasi wa zuu na kai❤❤❤🎉🎉

  • @Judie_2022
    @Judie_2022 Před 13 dny +30

    Leo nimewahi pia kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪 wapi likes za genz ❤❤

    • @Korinogalmoney1
      @Korinogalmoney1 Před 13 dny +2

      𝑬𝒃𝒖 𝒏𝒊𝒑𝒊𝒕𝒊𝒆 𝒑𝒊𝒂

    • @Judie_2022
      @Judie_2022 Před 13 dny

      @@Korinogalmoney1 sawa

    • @John-pv1xr
      @John-pv1xr Před 13 dny

      Nenda zanzibar watakupatia hizo like za kutosha sawa e

  • @edna-jb8vx
    @edna-jb8vx Před 13 dny +11

    Wakwanza leo npea likes tatu jamani❤❤❤

  • @zainabmwaka9944
    @zainabmwaka9944 Před 13 dny +6

    Kai hilo jicho waah hata mm nimuogopa 😂😂😂

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 Před 13 dny +7

    Leo ndotunagundua kaka mbkaji Ndo Ndo mdogo wke kendi daaaa😂 hii movie umeactiwa kwa unazid mkubwa hongera yenu

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 Před 13 dny +49

    Leo kitaeleka kma unapinga usinigaiye like 😂 from Oman 🇴🇲 nawapenda wte

  • @dinalesmwakolo2131
    @dinalesmwakolo2131 Před 13 dny +11

    Mko fasta watu wa comment 😀

  • @user-tc3hq7kz8u
    @user-tc3hq7kz8u Před 13 dny +15

    Nilikua nachungulia mda wot nyie😅😅😅

  • @mwanakombo8008
    @mwanakombo8008 Před 13 dny +5

    Zuu leo umenitowa machoz nakupenda sana ❤❤

  • @user-vm6kj2zx6p
    @user-vm6kj2zx6p Před 13 dny +2

    Hata mm hapa cjawahi pata like hata moja😮

  • @grasygrasy1701
    @grasygrasy1701 Před 13 dny +7

    Bora zuu kapona tusubiri harusi ya kai na zuu❤🎉🎉🎉

  • @user-bf2gz7dq9m
    @user-bf2gz7dq9m Před 13 dny +10

    Kwani izo like zimakazi gani mnazo omba toeni maoni yenu ❤

  • @MarieMilly-oz1ky
    @MarieMilly-oz1ky Před 13 dny +13

    Mapema ndio best as team zuu

  • @jacklineteresia2629
    @jacklineteresia2629 Před 13 dny +5

    Kazi nzuri Sana nimefurahi kuona zuu amepona good work Kai 🎉🎉🎉🎉

  • @user-ii1ym5fe7j
    @user-ii1ym5fe7j Před 13 dny +5

    Candy kwisha abar yako😢😢😢😢

  • @JumaChiryauta-zf6uc
    @JumaChiryauta-zf6uc Před 13 dny +13

    Wadau ndio hiyoo ssss

  • @BetiemillyEmanuelBetiemi-sl9ch

    Ingekuwa bora zaidi mngepost ya 37 sahv

  • @jacklinemwikali5045lina
    @jacklinemwikali5045lina Před 13 dny +10

    Nimewaiiiii nipeeni likes 👍 👌 jamani

  • @macrinafuraha-zg3mi
    @macrinafuraha-zg3mi Před 13 dny +7

    Jameni zuu kapona asante mungu sasa candy chake kiko motoni

  • @MussaMajengo
    @MussaMajengo Před 13 dny +5

    Jam an Leo nimekuwa wa kwanz jamn ❤❤❤❤nimeisubir kwa hamu san🥰🥰🥰

  • @RadjaInnocent
    @RadjaInnocent Před 13 dny +9

    Ongela sana nawapenda sana like 👍 👌 hapo

  • @Barackha
    @Barackha Před 13 dny +1

    Nimeungana nanyi saiv naomba like zangu

  • @FloraFloraLaphaeli
    @FloraFloraLaphaeli Před 13 dny +10

    heeeeee jamani hatimae nime kuwa wakwanza hafu siringi wala nini😂😂😂😂

  • @user-uk4fd1rp3w
    @user-uk4fd1rp3w Před 13 dny +6

    Sasa jamn huyu bib zuu amechorwa km nan mganga au mchaw mbn sielew hem nijibun basi nielewe mchez

  • @user-lt4db8df6e
    @user-lt4db8df6e Před 13 dny +6

    Next plz yaleo nkali sana

  • @user-pg8og1gp1u
    @user-pg8og1gp1u Před 13 dny +7

    I’m enjoying watching this house girl now.

  • @MohamedMohamed-wc8im
    @MohamedMohamed-wc8im Před 13 dny +2

    😂😂nilitaka kuuliza vp mbona Kai kachekelea tena hilo suala la mimba kidg niache kuangalia kumbe mtego aya asante

  • @TatuBaya-jy8jl
    @TatuBaya-jy8jl Před 13 dny +4

    Nzuri sana hongereni🎉🎉🎉❤❤❤ naenjoy mpka raha n raha tena nmpe hi candy

  • @MercyMugambi-fr2hq
    @MercyMugambi-fr2hq Před 13 dny +8

    Nipeni like leo

  • @user-gv7to8is6y
    @user-gv7to8is6y Před 13 dny +2

    Asante sna kwa movie yenu nzuri twaomba 37 bc

  • @Giftbugalama
    @Giftbugalama Před 12 dny +1

    naona tunakaribiya fainali, big up sana wana busati tv, kazi nzuri tuko pamoja mwanzo mwisho, shabiki wenu hapa nikiwa south africa❤🙏👍💪💪

  • @ZaitunsuleimanZani
    @ZaitunsuleimanZani Před 13 dny +5

    Kamkode is typing .....😂😂😂

  • @IshakaMachanoMakame-sb2xx

    Jamaan ongezeni ata dakika bas angalau zifike 30

  • @ShanBaby-dy4db
    @ShanBaby-dy4db Před 13 dny +9

    Janani like zqngu zipo 😂 wapi

  • @Messia-ws4er
    @Messia-ws4er Před 13 dny +11

    Wakwanza ❤🎉

  • @rehemakatundu7027
    @rehemakatundu7027 Před 13 dny +3

    Kazi nzuri sana na inamafunzo mengi sana

  • @positivethinkingtv6338
    @positivethinkingtv6338 Před 13 dny +5

    ❤❤❤❤❤jmn mm hii movie itanitoa roho🎉

  • @musasaganda4597
    @musasaganda4597 Před 13 dny +1

    Asee hii movie ni nzuri sana hongereni Kwa content nzuri