Reeo asubuhi nikua zangu safalini naerekea zangu Tukuyu nipocheki kwenye Simu nikajikita Busati Tv imevunja leckodi Aisee watu kwenye gali wakawa wanani ulizia njee wemdada nikipi kinaku fulahisha mbona wacheka mwenyee! bana iribidi niwasumulie hakiya Mungu kiramtu arikua akicheki kwenye simu yake na kufulahishwa nakile ambacho arikikuta kwenye House GiRL ya Busati TV . njee niwangapi waloweza kujifunza kitu kupita Movie hii wagonge Lik☝️
Yule Yule ndgu yenu toka Malawi 🇲🇼🇲🇼🇲🇼🇲🇼🇲🇼🇲🇼🇲🇼 fundisho lko poa Sanaa tupigiane makofi Kwa House girl jaman... likes cjuw ndgu zangun munapataga nn hebu Leo born likes znifanyie Jambo Na mm toka Malawi 🇲🇼🇲🇼♥️🙏♥️
Follow WhatsApp Channel yetu
whatsapp.com/channel/0029VaEXYzkEVccPBP347F2c
Ifike Hadi mia tatu
Pole sana kendi
@@busatitv eti watch out part 36 tena . KAZ nzuri isiishe mapema🔥
Puwa yakent duu
Kamukonde vipi Hali ya muganga,,, aaaah bibi zuu Asante San kwa mizimu ya kwenu
Jamani tuliokuwa tunaangalia kila wakati cm kama imeingia tugonge like happy
Wanao amini hii move ipo karibu kuisha gonga like
Sitamani hata iishe
Na mimi nahisi ila tungeona penz la zuu na kaii
Eeh inaelekea kuisha🎉🎉🎉❤
Kabisa inaisha muda wwte
Woyooo nimepatia nilisema uo mkono wa rafik yake kai😅
Ambao tulikuwa tunasubiri kuona nani kadaka mkono wa kai gonga like hata kumi 😂😂😂😂😂😂nienjoy 😂😂😂😂😂😂
😅😅😅 akil km zang
😂😂😂😂😂🙏🙌@@FatmaSharif-mp1cm
😂😂
Mm nijuwa zuu😂😂😂
@@rosemarenga832 😂😂😂😂🤭
Ambao walikuwa wakiangalia hangalia kila mara like zenu please 😂😂
😂😂😂
Kambe nimebadika marange 😂😂
Niko hp 😂
Wamenichekesha hao vijana walivyo kumbatiana😅😅😅
Mm nilikuwa kama nimebandika maharage vile😂😂
Tokea nianze hii movie nakuwa wa mwisho na sijawah pata like hata moja please 😢😢❤❤🎉🎉nawapenda
❤❤❤❤❤❤
Sijaomba like ilah tulio toka 1 mpaka 36 tujuane kazi nzuriii tuwape mauwa yaooo🎉🎉🎉
Kabisaa wanastahili mauwa yaooo ❤❤❤ hapa nilipo nataman iendeleee🎉🎉🎉
yan hp ushaomb 😂😂😂😂
🎉❤❤❤❤❤❤
Tunaofurahia kuona zuu anapona tujuane kwa like❤❤❤❤
Jamani waliofurahi kupona kwa zuuu naombeni like zenu nawapenda mnoo maua kwa bibi zuuu🎉🎉🎉🎉
Mm nimefulah
Acheni ubaguzi mbona me sipati like hata moja
Jamn kam unamin shog anamumbua candy gong lik 10
Kashamumbuwa tayar😂😂
Move tamu kama hii msipende kuweka watu wanao jichetua kama hao vijana ona wamemvua bibi kitambaa
Kwahy we ujapenda kuona wigi jeupe😂😂😂😂
Naomba like hata kumi tu nifurahi😢😢😢😢😢
Sija wai kucomment chochote leo naomba like zenu 🥰
A2kup kwenda
wanaosema hii move ichukue tuzo naomba like zangu.. please,🙏
Wanao Amin candy kishamramba msipite bila like zenu
Nan anahisi kibindu na candy ni ndugu kama unahisi hivyo gonga like apa
Yule alikuwa anatak kumbaka zuu 🤣🤣mm nahis yule rafiki yake
Wachoyo kaa nn hamtaki kunipea like mungu anawaona
Mwenye atakuja nyuma naomba like ❤🎉❤🎉🇧🇮🇧🇮
❤❤❤
Zuuu wetu emepona tunae furahi munipe like bas
Nenda zanzibar watakupatia like za kutosha saw e
Umepat
Hii move hata kama nyengine haijatoka uwa naangalia za nyuma wallah aiboeshi napenda sana hii move 🎉🎉🎉❤❤❤
Asante sana ubarikiwe
Mm pia
Nikwer
Wangapi wamefrai kumuona Sania kumuelezea Kai mabaya yote ya Candy...tujuane 😅....Kai naye kufkuzwa kazi nayoooo....
Tunaoamin kuwa candy na kibendu ni mtu na ndugu yake tugonge like hapa
Leo siombi lake kama umependezwa na bibi zuuu gonga lake yako apa❤❤❤❤
Hii ni zaidi ya jua Kali na huba ❤🎉🎉maua yenu
Ndoa tunayo hatuna ❤😂😂 like naomba namimi🎉🎉🎉
Reeo asubuhi nikua zangu safalini naerekea zangu Tukuyu nipocheki kwenye Simu nikajikita Busati Tv imevunja leckodi Aisee watu kwenye gali wakawa wanani ulizia njee wemdada nikipi kinaku fulahisha mbona wacheka mwenyee! bana iribidi niwasumulie hakiya Mungu kiramtu arikua akicheki kwenye simu yake na kufulahishwa nakile ambacho arikikuta kwenye House GiRL ya Busati TV . njee niwangapi waloweza kujifunza kitu kupita Movie hii wagonge Lik☝️
Wankwanza mimi apaa nipeni like zangu
𝐰𝐨𝐨𝐨𝐰 𝐤𝐢𝐦𝐞𝐮𝐦𝐚𝐧𝐚😂😂😂
*duh*
Mwafaidika na nn basi hizo like
@@saumodzumbo9671 tunapata pesa
Walio tamani kuona candy kibao kinge mpata vizur gonga like ap
Sijawai kuomba laik atamara Moja ebunipen Leo namimi nione watu wanacho ombaga Mimi nawapa ila sielewi
Jamn namimi like 10 tyu znanitosha tim zuuu tujuane
Weee mambo yatazidi kuchemka upande wa Candy😂😂😂
Mnao angalia movie mnajifunza au mnaomba like tu
Swali zuri 😅😅😅
Tunajifunza sana..
Kwangu najifunza 😂😂😂😂swala la like nawaachia wengine tangu nianze kuangalia
Tunaangalia like tu 😂😂😂😂
Kwa mm najifunza San Kil siku nikitazam natok na kitu❤
Yule Yule ndgu yenu toka Malawi 🇲🇼🇲🇼🇲🇼🇲🇼🇲🇼🇲🇼🇲🇼 fundisho lko poa Sanaa tupigiane makofi Kwa House girl jaman... likes cjuw ndgu zangun munapataga nn hebu Leo born likes znifanyie Jambo Na mm toka Malawi 🇲🇼🇲🇼♥️🙏♥️
Ohiiiii mchezo unakwenda kuishaa jamani ky tuletee kitu kama hiki tena tuna kukubali sana 🎉🎉🎉🎉🎉❤
Wa pili 😂 Nipo Team Candy nataka Kiendelee Kumramba Ajute
Mkono WA rafiki Ake kai😅😅😅😅 nmeweza😂
@@Saumu254We kachawi 😂😂🙌🙌💪✌️
Namchukia candy tangu tuanze kipindii 😂😂,, nampenda zuuu mbaya sana 😂
@@Saumu254,😂😂😂😂😂😂
@@KiboxMediaten akishirikian na muzim ya bibi zuu😅
Leo jamani siku nzima nawangoja Ila basi2 nipeni like zangu
Candy kwisha😂😂😂Like zangu from Burundi
❤atari❤❤ 4:56 ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Wale wanaofurahia kupon Kwa zuuh mk wapi jaman mbn gemu linakuw tamu ili tijuwane basi🥰🥰♥️♥️♥️♥️😘😘😘😘
Tuko hapa jamani
tem zuu gongeni like
Tupo
Jamani mbn xielewi mwendelezo up au inakuwaje
Na maputo kaweka lakn bado kanaswa kibao 😊 wap team zuuuh usisahau kuwek net ❤
Sjawah kosa team zuu mikono juu
🖐️✋
😂🙌 tupo mpenzi
Wakwanza leo nipewe like
Jameni mbona kazi nzuli team zu tujuane munipe like jameni kutoka burundi hongela sana kai kwa kazi nzuli munafanya
Bonge la Move naombeni like jamani
Tm zuuu leo tunalala nafuraha ❤️❤️❤️❤️
Kutoka Cameroun
Naomba like jameni
Busati TV Leo mko fresh 🎉🎉🎉🎉
Team Zuuu niliwambiaje Zuuu kapona🙏🙏🙏🙏🙏
Safi sn nimefurahi na tabasamu lako Kisha Kofi Kai funzo nzt
😂😂ww ndo miye
Candi round hii tunakufinishi.shida mnachelewesha sana
Aky jameni zuuuh aky acting ww hd nywele imechakaa weeeh bt good job bidii siku zote enjoying from 🇰🇪🇰🇪
Misikuiz si comment kila siku mwasema niwamwisho😢😢😢
Harusi tunayo hatuna like hapa mashabiki😂😂😂
Ndoto kutimia,,sema Mrs Kai kuzabwa Kofi,,zuu is on the way naamini lazima zuu atamwota Kai leo❤️❤️
Sania apewe mauwa yak🎉🎉🎉🎉🎉
Leo nimewai naombeni like angalaukumi nawapenda bure🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Masha Allah leo nawai🎉🎉🎉🎉
Jamani naomba like namimi leo Kila siku nalike but hamlike kwangu
Jamani mm wa pili naombeni like hata moja2
Wakwanza leo naomba like zangu
😂😂😂😂 ked,mwisho wa ubaya niaibu,suburi uabike ,kai amerud sawa,
Hatimae zuuu kapona 😊team strong 💪 tuko yaan ona ww apo badala uandike comment yko we wasoma za watu 😂😂😂😂❤
🙏🙏🙏
Tupoooo❤❤❤😂😂😂🎉🎉🎉🎉
🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂❤❤❤
Jamani toka niaze sija pata ata like naomba like japo moja wale mafasi wa zuu na kai❤❤❤🎉🎉
Leo nimewahi pia kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪 wapi likes za genz ❤❤
𝑬𝒃𝒖 𝒏𝒊𝒑𝒊𝒕𝒊𝒆 𝒑𝒊𝒂
@@Korinogalmoney1 sawa
Nenda zanzibar watakupatia hizo like za kutosha sawa e
Wakwanza leo npea likes tatu jamani❤❤❤
Kai hilo jicho waah hata mm nimuogopa 😂😂😂
Leo ndotunagundua kaka mbkaji Ndo Ndo mdogo wke kendi daaaa😂 hii movie umeactiwa kwa unazid mkubwa hongera yenu
Leo kitaeleka kma unapinga usinigaiye like 😂 from Oman 🇴🇲 nawapenda wte
Riziki mambo
Waonan 🇴🇲tujuwane bas
😂😂
@@SusanJulius-cu8xp4vx4mk nmbie😂
@@Mwana85Mwana85-wz1oltupo Ndo viburudisho vyetu😂😂😂
Mko fasta watu wa comment 😀
Nilikua nachungulia mda wot nyie😅😅😅
Zuu leo umenitowa machoz nakupenda sana ❤❤
Hata mm hapa cjawahi pata like hata moja😮
Bora zuu kapona tusubiri harusi ya kai na zuu❤🎉🎉🎉
Kwani izo like zimakazi gani mnazo omba toeni maoni yenu ❤
Mapema ndio best as team zuu
Kazi nzuri Sana nimefurahi kuona zuu amepona good work Kai 🎉🎉🎉🎉
Candy kwisha abar yako😢😢😢😢
Wadau ndio hiyoo ssss
Ingekuwa bora zaidi mngepost ya 37 sahv
Nimewaiiiii nipeeni likes 👍 👌 jamani
Jameni zuu kapona asante mungu sasa candy chake kiko motoni
Jam an Leo nimekuwa wa kwanz jamn ❤❤❤❤nimeisubir kwa hamu san🥰🥰🥰
Ongela sana nawapenda sana like 👍 👌 hapo
👌🤏
👌🏾🤏
Nimeungana nanyi saiv naomba like zangu
heeeeee jamani hatimae nime kuwa wakwanza hafu siringi wala nini😂😂😂😂
😂😂😂,
😂😂😂
Sasa jamn huyu bib zuu amechorwa km nan mganga au mchaw mbn sielew hem nijibun basi nielewe mchez
Next plz yaleo nkali sana
I’m enjoying watching this house girl now.
😂😂nilitaka kuuliza vp mbona Kai kachekelea tena hilo suala la mimba kidg niache kuangalia kumbe mtego aya asante
Nzuri sana hongereni🎉🎉🎉❤❤❤ naenjoy mpka raha n raha tena nmpe hi candy
Nipeni like leo
Asante sna kwa movie yenu nzuri twaomba 37 bc
naona tunakaribiya fainali, big up sana wana busati tv, kazi nzuri tuko pamoja mwanzo mwisho, shabiki wenu hapa nikiwa south africa❤🙏👍💪💪
Kamkode is typing .....😂😂😂
Jamaan ongezeni ata dakika bas angalau zifike 30
Janani like zqngu zipo 😂 wapi
Kwabibi ako🎉😢😢😢
Wakwanza ❤🎉
Kazi nzuri sana na inamafunzo mengi sana
❤❤❤❤❤jmn mm hii movie itanitoa roho🎉
Roho kidogo ❤️❤️❤️
❤❤❤🎉🎉🎉
Asee hii movie ni nzuri sana hongereni Kwa content nzuri