GHARIB MZINGA:AZUNGUMZIA UBORA WA BALEKE BAADA YA KUWAFUNGA AUGSBURG/VIPI KUHUSU CHAMA?/MAX AMETISHA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 09. 2024

Komentáře • 51

  • @malietamaliet
    @malietamaliet Před měsícem +22

    Tumefungwa ila furaha tunayo asa kipind cha pili umebondwa sana mpira

  • @DonatiMbughi
    @DonatiMbughi Před měsícem +4

    Gharibu mimi napenda utangaze mechi zetu zoteeee nakukumbali sana

  • @JumaMasumbuko-w3t
    @JumaMasumbuko-w3t Před měsícem +2

    Hongereni kwausajiri jaman

  • @ushiwamarandu7433
    @ushiwamarandu7433 Před měsícem +11

    SIMBA watujuta kwa baleke...!

  • @user-lr6kf6bf9l
    @user-lr6kf6bf9l Před měsícem +5

    Yanga hii yatisha....

  • @AlexIsa-e8q
    @AlexIsa-e8q Před měsícem +1

    Yanga ni. Atari gharibu ongera kwakuwa mtangazaji bora

  • @DitrickKidagayo-cj1cj
    @DitrickKidagayo-cj1cj Před měsícem +2

    Huyu jamaa ndie mtangazaji ninae mkubali bongo

  • @erastojr1195
    @erastojr1195 Před měsícem +6

    Fundi Gharibu mzinga🎉

  • @KineMarley-pe5cg
    @KineMarley-pe5cg Před měsícem +5

    Huyu ndo mchambuzi wengine wanachambua mchele

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209 Před měsícem +2

    Bwana Gharibu sasa shangaa ni kiwango kipi Simba wanataka ulichoona kwa Baleke na Chama hakikubaliki Simba( anza kuiogopa Simba ya mwaka huu kabla hujawaona) What amazement on 3rd August 24???????????

    • @kulwampalashimpalashi7224
      @kulwampalashimpalashi7224 Před měsícem

      In August not on August

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 Před měsícem

      Nyie mnasajili kwa mihemko na kelele za nje ya uwanja hta hao wa sasa wakifungwa mechi 2 tu tutawasikia hapa usiongee maneno mengi subiri ligi ianze

  • @davidndungu8619
    @davidndungu8619 Před měsícem

    duke abuya is my favorite 🎉

  • @saimonmanyerezi7169
    @saimonmanyerezi7169 Před měsícem +1

    Tabu bado ipo pale pale.

  • @JitihadaRashidi
    @JitihadaRashidi Před měsícem +1

    Gharibu KiLwa Finest

  • @JacklineMbuya-ym1ri
    @JacklineMbuya-ym1ri Před měsícem

    Yanga ni timu kubwaaaaaaaaa🎉🎉

    • @sadih5333
      @sadih5333 Před měsícem

      Kama yanga ni kubwa usinge lazimika kuitangaza hapa

  • @donimremi713
    @donimremi713 Před měsícem

    Fundi wa kutangaza boli dingi wa kirwa

  • @IbrahimOmar-tu5tc
    @IbrahimOmar-tu5tc Před měsícem

    Eti baleke na chama matunda ya simba kwan nyiny mliwatoa wp au walizaliwa hpo mmeishiwa makolo

  • @nicodemusmemba1402
    @nicodemusmemba1402 Před měsícem +3

    Thoria ni mbayuwai

  • @NdevuKamdini
    @NdevuKamdini Před měsícem

    Nicce

  • @user-xt5be8vx8j
    @user-xt5be8vx8j Před měsícem

    Bado hamjasema

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Před měsícem +1

    APEWE MAUA YAKE MZEE MAGOMA 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉UONGOZI WAMCHONGO WA HERIS ,😢😢😢😢UBAYA UBWELA

  • @AbbySule-un3xg
    @AbbySule-un3xg Před měsícem

    Toria ni mwewe

  • @SadaBoyTz
    @SadaBoyTz Před měsícem

    "wait for me " song by Sada boy Tz is now on CZcams

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209 Před měsícem

    Gharibu
    Mzinga nawe usituchoshe Baleke mcheuo ya Simba na uzoefu wake sifa utakazo mpa ni mafundisho aliyoyapata Simba Chama na Baleke ni magraduates wa Simba ukiwafinya kama walikuwa usingizini ukawauliza mmetoka wapi kuja hapa watakwambia wametoka Simba.
    Kama ndo unamshangaa uchezaji wake au wao yeye na Chama ndo hao kwa Simba wamechuja.

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Před měsícem

    Mtawajua tu kama ni wazee au wamechuja, swain nyie.

  • @dirhamsui7818
    @dirhamsui7818 Před měsícem

    Acheni siasa wahandishi wa bongo mulimponda. Ulimuona mazembe ila Simba hukumuona?
    Sema ukweli Yanga wamerudi nyuma kiusajili kwa bareke kwani aliibwa anaighalimu simba anapoteza nafasi leo kawa bonge la mshambuliaji. Aahaaaaa bongo bwana.😅

  • @JumanneBernard
    @JumanneBernard Před měsícem

    Magoma Hana lolote mtakoma nyau nyie

  • @AyoubSaid-b5n
    @AyoubSaid-b5n Před měsícem

    Wewe mzee hujui mpira muhimu nikuangalia mchezaji anonesha kipi kwa wakati upi na sio kuangalia alikua wp kumbuka kua historia inaenda kuandi katika team inayo mmiliki kwa ss na sio alio pita kabla