Nidhamu binafsi ndilo jambo la muhimu sana, kujisimamia mwenyewe kufanya kazi kwa ubora, kuwahi ofisini na kufanya yote bila kulazimishwa au kusukumwa na mtu yeyote. Somo zuri sana.
Asante sana kaka kwasasa niko kwenye hatua yakutokuaminika mm nifundi nashona nguo nanifundi mzuri ulichosema ndochoninachokiana asante sana nais nahitaji uvumilivu sasa
Tunaitaji sana vitabu vyenu ila mkipigiwa cm ampokei tukiwacheck kwenye whatssp mnazipokea amjibu chochote kwaiyo me nashahuli tupe njia sahihi ya kupata vitabu vyako Kama unauza.
Asante Sana kwa somo Yan had nimeahusha pumzi na nimeshangaa,kwasab uliyosema ndiyo nayopitia inshot umenpa nguvu,ilifika wakt nkajiuliza au siwez kujiajili? Kumbe ninchangamoto tu,daah! Ahsante Sana mwalim.
Hi Joel am from Kenya I can't communicate with you via your number please send me at least email , I am interested to meet you so we can communicate in person . Thanks for the message of today.
Kitu kimoja nikwamba hujiuliza maswali mingi pale amabapo unataka kuanza biashara nawewe ni muajiriwa sasa nikianza biashara nikitoka kwa kuajiriwa je nitapata wapi hela yamatumizi ambayo nilikua napata kwa kila mwezi naistoshe nitakua mgeni kwahiyo biashara nanitachukua mda gani mpaka pale biashara yangu itapo shika kasi na je ikichukua takribani miez mnne mitatu au hata miwili sasa najiuliza si nitakua nimepoteza lakin nikibaki kwa ajira nitaendelea kupata hizo fedha za matumiz
Nidhamu binafsi ndilo jambo la muhimu sana, kujisimamia mwenyewe kufanya kazi kwa ubora, kuwahi ofisini na kufanya yote bila kulazimishwa au kusukumwa na mtu yeyote. Somo zuri sana.
Nakufwatilia Sana brother
Ahsante kwa elimu nzuri, Changamoto yang ni kuchelewa kwenda kazin.
Changamoto Yangu Ni Muda Wa Kupumzika...
Najikuta Nafanya Kazi Sometimes Mpaka Jumapili...
Kutoka Saa 1 Asubuhi Mpaka Saa 5 Usiku...
Asante sana kaka kwasasa niko kwenye hatua yakutokuaminika mm nifundi nashona nguo nanifundi mzuri ulichosema ndochoninachokiana asante sana nais nahitaji uvumilivu sasa
Yess yess joeli wewe nitahalam
Nimekuelewa sana Jay thanks for your help
Nashukuru xana bro kupitia masomo yako mwezi huu nimeanza kujiajiri yamenisaidia xana barikiwa
Tangu nimeanza mufatilia mafundisho yako@Kaka Joel. Ukweli nimepata mengi na nimebadilika sana. Bila shaka at the top nitafita tu.
Asantee sana ki ukweli unanibariki sana ktk mafundisho yako
Kaka Joel Mimi Nina kampuni Nina shida sana na supporters ... Mtu wa kunibust mtaji Zaidi
💥💥🙏🙏🙏🙏🙏AHSANTE SANA KAKA
Ur the my best teacher
Asante sana. Uko sahii
Asante Kwa elimu.......
Umenipamoyo sana kaka mimi nimewekeza pesa nyingi lakini ninayopitia anayejuwa ni MUNGU tu🙏
P0le
Thanks Brother Joel
God bless you brother @kenya
Joel nanauka your the best
Ubarikiwe sana
Changamoto namba moja
Thanks blood 🙏🙏
Dah unanisema
Dah!! MY teacher leo imefundishwa topic NZURI SANA!!!🙄🛑
Kaka nnanauka barikiwa sana
Kabisa
Nakukubali Sana kaka Joel
Tunaitaji sana vitabu vyenu ila mkipigiwa cm ampokei tukiwacheck kwenye whatssp mnazipokea amjibu chochote kwaiyo me nashahuli tupe njia sahihi ya kupata vitabu vyako Kama unauza.
Kaka umenijenga sna ubarikiwe sana
big brain...
Big up brother
Asante Sana kwa somo Yan had nimeahusha pumzi na nimeshangaa,kwasab uliyosema ndiyo nayopitia inshot umenpa nguvu,ilifika wakt nkajiuliza au siwez kujiajili? Kumbe ninchangamoto tu,daah! Ahsante Sana mwalim.
Asante sana kaka ❤
Asante sana kaka
Hii background music melody sjui inaitwajeeeee naipenda 😍🥰
Kitabu nakipataj sasa
Naomba kupata hicho kitabu
Good lesson
Asati saana kwakudutianguvu mukwanzisha vyetu.
Mim nidham ndo yaniumiz kichw San nikisem kesh naamk saa kumi naamka saa kumi na mbil na wakat nilpokuw kwa box nilkuw naamk saa tisa naend job 🙆🙆🙆
🙏🙏
Unstable income mkuu
Changamoto ya kutoaminika na kujifunza mambo mengi kwa wakati mmoja
Yaan bnafs likizo sinaga had unalala unashtuka ujageuka kumekucha.
Kutojiamini
Yan Leo ume tugusa
Kitabu hicho gharama yake ikoje??
Self discipline & kutokuaminika ninapoanza
Hakuna pesa tamu kama ya kwako mwenyewe bila kupangiwa .
Kuogopa kuanza ndio changamoto yangu
Nimeajiriwa narafiki yangu lakini natamano kujiajili kwenye ofisi yangu
Live coach Joel nanaoka mm nataka kuanxa kujiajiri maana nilikuwa naajiriwa naomba ushauri wako.
Na siyo siku nyingi kuanxia kesho
Kak nakuelewa san
Bro me nimejiajili ila naona kama kunakitu nakosea mahana sioni mafanikio kabisa
Mm natak kitabu soft copy nakipataje?
Hi Joel am from Kenya I can't communicate with you via your number please send me at least email , I am interested to meet you so we can communicate in person . Thanks for the message of today.
welcome Brian, my email jnanauka@gmail.com
Mm nikuzingatia muda wa kuanza kaz na muda wa mahesabu
Lack of days
Tatizo langu ni matumiz mabaya ya fedha
Hicho kitabu kina patikana kenya
nataman sana kujiajili lakin njinsi yakutoka nilipoa inakaa ngum kwel
hiy ebook ni shingap joel
Njia gan naweza kupata kitabu icho
Tatizo langu ni kukosa nidhamu ya fedha...naomba msaada tafadhali.
Naomba nisaidie jinsi ya kupata vitabu vyako nipo ifakara morogoro
Kitu kimoja nikwamba hujiuliza maswali mingi pale amabapo unataka kuanza biashara nawewe ni muajiriwa sasa nikianza biashara nikitoka kwa kuajiriwa je nitapata wapi hela yamatumizi ambayo nilikua napata kwa kila mwezi naistoshe nitakua mgeni kwahiyo biashara nanitachukua mda gani mpaka pale biashara yangu itapo shika kasi na je ikichukua takribani miez mnne mitatu au hata miwili sasa najiuliza si nitakua nimepoteza lakin nikibaki kwa ajira nitaendelea kupata hizo fedha za matumiz
Nikiitaji vitabu vyako naipataje kaka
Ahsante sana kaka Joel....... Mm npo hapo unstable income ., .........👇👇👇👇👇czcams.com/video/UTw4sM6zx1Y/video.html
Nahitaji kitabu hicho ni bei gani nipo nnje ya nchi
Self disprine
Nahitaji kitabu hicho Broh# 0744740850..
Kitabu Cha Namna ya kujiajiri#
Shingap kitabu