Changamoto Za Kujiajiri

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 07. 2024
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Komentáře • 80

  • @falesysylivester4549
    @falesysylivester4549 Před 3 lety +7

    Nidhamu binafsi ndilo jambo la muhimu sana, kujisimamia mwenyewe kufanya kazi kwa ubora, kuwahi ofisini na kufanya yote bila kulazimishwa au kusukumwa na mtu yeyote. Somo zuri sana.

  • @godlistenminja4765
    @godlistenminja4765 Před 3 lety +6

    Nakufwatilia Sana brother

  • @odethapapian1890
    @odethapapian1890 Před rokem +1

    Ahsante kwa elimu nzuri, Changamoto yang ni kuchelewa kwenda kazin.

  • @gabrielmushi2813
    @gabrielmushi2813 Před 3 lety +11

    Changamoto Yangu Ni Muda Wa Kupumzika...
    Najikuta Nafanya Kazi Sometimes Mpaka Jumapili...
    Kutoka Saa 1 Asubuhi Mpaka Saa 5 Usiku...

  • @zawadipeter7152
    @zawadipeter7152 Před 3 lety +4

    Asante sana kaka kwasasa niko kwenye hatua yakutokuaminika mm nifundi nashona nguo nanifundi mzuri ulichosema ndochoninachokiana asante sana nais nahitaji uvumilivu sasa

  • @mutahangarwasamwel4643
    @mutahangarwasamwel4643 Před 3 lety +2

    Yess yess joeli wewe nitahalam

  • @letionnews310
    @letionnews310 Před 3 lety +3

    Nimekuelewa sana Jay thanks for your help

  • @rwechunguraprosper8805
    @rwechunguraprosper8805 Před 3 lety +2

    Nashukuru xana bro kupitia masomo yako mwezi huu nimeanza kujiajiri yamenisaidia xana barikiwa

  • @abathbenon2503
    @abathbenon2503 Před 3 lety +2

    Tangu nimeanza mufatilia mafundisho yako@Kaka Joel. Ukweli nimepata mengi na nimebadilika sana. Bila shaka at the top nitafita tu.

  • @aksapeter5181
    @aksapeter5181 Před 10 měsíci

    Asantee sana ki ukweli unanibariki sana ktk mafundisho yako

  • @rwakitatechnology-qb6eu
    @rwakitatechnology-qb6eu Před 9 měsíci

    Kaka Joel Mimi Nina kampuni Nina shida sana na supporters ... Mtu wa kunibust mtaji Zaidi

  • @gabrielmushi2813
    @gabrielmushi2813 Před 3 lety +4

    💥💥🙏🙏🙏🙏🙏AHSANTE SANA KAKA

  • @denisrukangula7086
    @denisrukangula7086 Před 3 lety +1

    Ur the my best teacher

  • @user-os9nb8ub6k
    @user-os9nb8ub6k Před rokem

    Asante sana. Uko sahii

  • @ismail_4_future.
    @ismail_4_future. Před rokem

    Asante Kwa elimu.......

  • @shodristvtv6121
    @shodristvtv6121 Před 3 lety +4

    Umenipamoyo sana kaka mimi nimewekeza pesa nyingi lakini ninayopitia anayejuwa ni MUNGU tu🙏

  • @judithmwambe4767
    @judithmwambe4767 Před 3 lety +1

    Thanks Brother Joel

  • @charlesoputi7101
    @charlesoputi7101 Před rokem

    God bless you brother @kenya

  • @dismawillium4112
    @dismawillium4112 Před 3 lety

    Joel nanauka your the best

  • @joanesbazily2869
    @joanesbazily2869 Před rokem

    Ubarikiwe sana

  • @rahimaaziz8970
    @rahimaaziz8970 Před 3 lety +1

    Changamoto namba moja

  • @justermaster78
    @justermaster78 Před 3 lety +2

    Thanks blood 🙏🙏

  • @Alama_Tv_online
    @Alama_Tv_online Před 3 lety +1

    Dah unanisema

  • @CTM.24Updates
    @CTM.24Updates Před 3 lety +3

    Dah!! MY teacher leo imefundishwa topic NZURI SANA!!!🙄🛑

  • @sosymavoice4390
    @sosymavoice4390 Před 3 lety +1

    Kaka nnanauka barikiwa sana

  • @agnesslyimo5677
    @agnesslyimo5677 Před 3 lety +2

    Kabisa

  • @mariajoseph5347
    @mariajoseph5347 Před 3 lety

    Nakukubali Sana kaka Joel

  • @radiusrutta7804
    @radiusrutta7804 Před 3 lety +2

    Tunaitaji sana vitabu vyenu ila mkipigiwa cm ampokei tukiwacheck kwenye whatssp mnazipokea amjibu chochote kwaiyo me nashahuli tupe njia sahihi ya kupata vitabu vyako Kama unauza.

  • @ChristerbellMwasele
    @ChristerbellMwasele Před 2 lety

    Kaka umenijenga sna ubarikiwe sana

  • @ambelemwalukoba4897
    @ambelemwalukoba4897 Před 3 lety +1

    big brain...

  • @gwandatv3629
    @gwandatv3629 Před 3 lety +2

    Big up brother

  • @aishachatila1664
    @aishachatila1664 Před 3 lety +1

    Asante Sana kwa somo Yan had nimeahusha pumzi na nimeshangaa,kwasab uliyosema ndiyo nayopitia inshot umenpa nguvu,ilifika wakt nkajiuliza au siwez kujiajili? Kumbe ninchangamoto tu,daah! Ahsante Sana mwalim.

  • @user-os9nb8ub6k
    @user-os9nb8ub6k Před rokem

    Asante sana kaka ❤

  • @alicemsacky1133
    @alicemsacky1133 Před 3 lety +1

    Asante sana kaka

  • @chigaboy1332
    @chigaboy1332 Před 3 lety +1

    Hii background music melody sjui inaitwajeeeee naipenda 😍🥰

  • @gastonnkana8428
    @gastonnkana8428 Před 3 lety +2

    Kitabu nakipataj sasa

  • @mvuyeboniphace2374
    @mvuyeboniphace2374 Před 3 lety +1

    Naomba kupata hicho kitabu

  • @danielamosi2553
    @danielamosi2553 Před 3 lety +1

    Good lesson

  • @jeanpierrebaraka2052
    @jeanpierrebaraka2052 Před 3 lety

    Asati saana kwakudutianguvu mukwanzisha vyetu.

  • @robertlugendo
    @robertlugendo Před rokem +1

    Mim nidham ndo yaniumiz kichw San nikisem kesh naamk saa kumi naamka saa kumi na mbil na wakat nilpokuw kwa box nilkuw naamk saa tisa naend job 🙆🙆🙆

  • @afridanger7390
    @afridanger7390 Před 3 lety +1

    🙏🙏

  • @abelmwakalinga2305
    @abelmwakalinga2305 Před 3 lety +3

    Unstable income mkuu

  • @maikochilokota9093
    @maikochilokota9093 Před 3 lety +1

    Changamoto ya kutoaminika na kujifunza mambo mengi kwa wakati mmoja

  • @phocuskifaluka9027
    @phocuskifaluka9027 Před rokem

    Yaan bnafs likizo sinaga had unalala unashtuka ujageuka kumekucha.

  • @fredmbampe4614
    @fredmbampe4614 Před 3 lety +1

    Kutojiamini

  • @fadhilidaudi6260
    @fadhilidaudi6260 Před 3 lety +1

    Yan Leo ume tugusa

  • @burtonmwashambwa748
    @burtonmwashambwa748 Před 3 lety +1

    Kitabu hicho gharama yake ikoje??

  • @iizalaw6674
    @iizalaw6674 Před rokem

    Self discipline & kutokuaminika ninapoanza

  • @fedharmmark6398
    @fedharmmark6398 Před 3 lety +2

    Hakuna pesa tamu kama ya kwako mwenyewe bila kupangiwa .

  • @suleimanmuhiddin5363
    @suleimanmuhiddin5363 Před rokem

    Kuogopa kuanza ndio changamoto yangu

  • @kainboaz1530
    @kainboaz1530 Před 3 lety +1

    Nimeajiriwa narafiki yangu lakini natamano kujiajili kwenye ofisi yangu

  • @jeremiahleyan2338
    @jeremiahleyan2338 Před rokem

    Live coach Joel nanaoka mm nataka kuanxa kujiajiri maana nilikuwa naajiriwa naomba ushauri wako.

  • @chrisraphael509
    @chrisraphael509 Před 3 lety +1

    Kak nakuelewa san

  • @gerevaziangero8936
    @gerevaziangero8936 Před 3 lety +1

    Bro me nimejiajili ila naona kama kunakitu nakosea mahana sioni mafanikio kabisa

  • @rukiajuma531
    @rukiajuma531 Před rokem

    Mm natak kitabu soft copy nakipataje?

  • @brianmugasia6038
    @brianmugasia6038 Před 3 lety +3

    Hi Joel am from Kenya I can't communicate with you via your number please send me at least email , I am interested to meet you so we can communicate in person . Thanks for the message of today.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 2 lety

      welcome Brian, my email jnanauka@gmail.com

  • @user-bz5lj5nf8m
    @user-bz5lj5nf8m Před 5 měsíci

    Mm nikuzingatia muda wa kuanza kaz na muda wa mahesabu

  • @dicksongadson4227
    @dicksongadson4227 Před rokem

    Lack of days

  • @symonvans2849
    @symonvans2849 Před 3 lety +1

    Tatizo langu ni matumiz mabaya ya fedha

  • @zuhuramike1399
    @zuhuramike1399 Před 3 lety +1

    Hicho kitabu kina patikana kenya

  • @charzysimion9055
    @charzysimion9055 Před 3 lety +1

    nataman sana kujiajili lakin njinsi yakutoka nilipoa inakaa ngum kwel

  • @dmboy1963
    @dmboy1963 Před 3 lety +1

    hiy ebook ni shingap joel

  • @nelsonkashanga5388
    @nelsonkashanga5388 Před 3 lety

    Njia gan naweza kupata kitabu icho

  • @dicksonponela1596
    @dicksonponela1596 Před 2 lety

    Tatizo langu ni kukosa nidhamu ya fedha...naomba msaada tafadhali.

  • @dicksonmajengo9304
    @dicksonmajengo9304 Před rokem

    Naomba nisaidie jinsi ya kupata vitabu vyako nipo ifakara morogoro

  • @mbaruksaid5775
    @mbaruksaid5775 Před 3 lety

    Kitu kimoja nikwamba hujiuliza maswali mingi pale amabapo unataka kuanza biashara nawewe ni muajiriwa sasa nikianza biashara nikitoka kwa kuajiriwa je nitapata wapi hela yamatumizi ambayo nilikua napata kwa kila mwezi naistoshe nitakua mgeni kwahiyo biashara nanitachukua mda gani mpaka pale biashara yangu itapo shika kasi na je ikichukua takribani miez mnne mitatu au hata miwili sasa najiuliza si nitakua nimepoteza lakin nikibaki kwa ajira nitaendelea kupata hizo fedha za matumiz

  • @maryandrew5204
    @maryandrew5204 Před rokem

    Nikiitaji vitabu vyako naipataje kaka

  • @wa-mbeyaTv4725
    @wa-mbeyaTv4725 Před 3 lety +3

    Ahsante sana kaka Joel....... Mm npo hapo unstable income ., .........👇👇👇👇👇czcams.com/video/UTw4sM6zx1Y/video.html

  • @rockyalex5612
    @rockyalex5612 Před 3 lety

    Nahitaji kitabu hicho ni bei gani nipo nnje ya nchi

  • @magesajoseph
    @magesajoseph Před 9 měsíci

    Self disprine

  • @josephboniface7506
    @josephboniface7506 Před 3 lety

    Nahitaji kitabu hicho Broh# 0744740850..

  • @user-ze9mn4nh9i
    @user-ze9mn4nh9i Před 10 dny

    Shingap kitabu