BAHARIA BALOZI:NILIAGA KIAINA MTAANI/ NINGETOSWA BAHARINI/SOKA LIKANIOKOA/KOMBE LA DUNIA!/BASTOLA.03

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 08. 2024
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #baharia #safari #mbanga

Komentáře • 45

  • @dar24media
    @dar24media  Před rokem +8

    kipindi hiki kinaruka kila siku ya jumamosi na juma tano saa nne kamili asubuhi, usikose kutazama....kama una simulizi/mkasa wasilina nasi kupitia namba...#0653127761

  • @fredybundala2336
    @fredybundala2336 Před rokem +8

    Jamaa ni story teller mzuri

  • @MrNdanguza
    @MrNdanguza Před rokem +5

    Duh mwana unanikumbusha mbali sanaaa nimeingia Sauza miaka 2002 enzi hizo duh hilo shamba ilikua mgumu sana alafu wanyama wengi sana.

  • @Maaworldwide
    @Maaworldwide Před 5 měsíci

    Mtangazaji anawenge sana
    Mpaka mwanangu baharia kumuona myeyusho
    Punguza much know kwa mabaharia

  • @ochualfa5145
    @ochualfa5145 Před rokem +1

    Anajua sana kuhadithia

  • @majutomloka7585
    @majutomloka7585 Před rokem +2

    Nakubaliiii wanang

  • @bakariabdallah8702
    @bakariabdallah8702 Před rokem +2

    africa d suli

  • @Maaworldwide
    @Maaworldwide Před 5 měsíci

    Mtangazaji unazingu mwanangu

  • @frankdanford8245
    @frankdanford8245 Před rokem

    Kabunyau 🔥

  • @bewizzynegro4174
    @bewizzynegro4174 Před rokem

    Next

  • @user-sk5sd7kc9g
    @user-sk5sd7kc9g Před 6 měsíci

    100kilo 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @saidseif1860
    @saidseif1860 Před rokem +1

    Dubengaa

  • @Chemba67
    @Chemba67 Před rokem +1

    Kwa faida ya mtangazaji na wengineo ......inaandikwa na kutamkwa.... AFRICA DE SUD HIKI NI KIRENO AU KIPOTUGALI CHENYE MAANA YA AFRIKA YA KUSINI

  • @user-zf7nm1kk7m
    @user-zf7nm1kk7m Před rokem +1

    Izoo nd z kibaalia we una njaa utachagua msos njiani

  • @jesusislord9190
    @jesusislord9190 Před rokem

    Hice za huko ... location hazina mikanda nailsplit hapo tayari ushaingia Pretoria..au jorbarg ..mitaa yangu hiyo

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Před rokem

    Mm pia mtoto wa kino miaka ya 97 nakumbuka tuliendaga dizonga,stori za jamaa inanikumbusha mambo mengi sana

  • @azizihassani2283
    @azizihassani2283 Před rokem +3

    Sondooooo 😂😂

  • @abedimoraes8537
    @abedimoraes8537 Před rokem

    Sondo jamii ya funza weupeee wanaliwa na protini kishenziii hapa tz mikoa mingi sna wanakulaa

  • @jumannelipamba8624
    @jumannelipamba8624 Před rokem +2

    Kubwa.kuliko

  • @donbeatz6613
    @donbeatz6613 Před rokem +4

    Ipo usukumani huko, unapewa msosi adi unauacha

  • @user-gk3mu6qb7w
    @user-gk3mu6qb7w Před rokem

    Matangazo mengi sana yanatia uvivu

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani1948 Před rokem

    Uwe unaandika na part ili tusijichanganye afu uwe unatoa nafasi mtu asimulie jambo maana unaingilia sana mahojiano

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Před rokem +1

    Mabaharia wana mastori sana

  • @Nedjadist
    @Nedjadist Před rokem +1

    Maskini vijana wa Kitanzania wanavyohangaika. Hawana elimu, maskini wa kutupwa wakitegemea ujanja wa Kariakoo tu- ambao ni ujinga. Hiyo yote katika nchi tajiri kupindukia! Halafu unasikia Waziri kaiba Trilion 1.7 na rais yupo hapo hayamhusu!🎉
    Yatia hasira.

    • @atupeleBanda
      @atupeleBanda Před 10 měsíci

      Trioni zako bro kila mtu anapata anapo amini bro

  • @jesusislord9190
    @jesusislord9190 Před rokem

    Mtangazaji hajui ascis😂😂😂😅😅??

  • @ubuntubantu2404
    @ubuntubantu2404 Před rokem +4

    Mtangazaji ni mtoto wa jana, hajui asics😂😂

    • @Chemba67
      @Chemba67 Před rokem +3

      Umeona enhee.....sasa hawa wapo wengi mno Dar es salaam alafu wenyewe ndio wanakwambia eti wajanja wa mji kila kitu anajua wao......😂😂😂

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Před rokem +2

      Afu asics zipo mpaka leo sema basi tu , mnakumbuka umbro,

    • @Chemba67
      @Chemba67 Před rokem +1

      @@fahadfaraj6474 Umbro watu tushatimba nazo sana miaka hiyo......Congo, Manzese au Tandale mitumbani ndio mpango mzima Mzee

    • @Chemba67
      @Chemba67 Před rokem +1

      @@fahadfaraj6474 Umbro bukta za kuchezea mpira mpaka tracksuit zake....

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Před rokem +1

      @@Chemba67 hatari mambo ya kappa

  • @jesusislord9190
    @jesusislord9190 Před rokem

    Mtangazaji unacheka ?? Usichukulie poa ukiwa na njaa unakula hata mtu msafiri kafiri