BAHARIA BALOZI:NILIAGA KIAINA MTAANI/ NINGETOSWA BAHARINI/SOKA LIKANIOKOA/KOMBE LA DUNIA!/BASTOLA.03
Vložit
- čas přidán 5. 08. 2024
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#baharia #safari #mbanga
kipindi hiki kinaruka kila siku ya jumamosi na juma tano saa nne kamili asubuhi, usikose kutazama....kama una simulizi/mkasa wasilina nasi kupitia namba...#0653127761
Jamaa ni story teller mzuri
Duh mwana unanikumbusha mbali sanaaa nimeingia Sauza miaka 2002 enzi hizo duh hilo shamba ilikua mgumu sana alafu wanyama wengi sana.
Mtangazaji anawenge sana
Mpaka mwanangu baharia kumuona myeyusho
Punguza much know kwa mabaharia
Anajua sana kuhadithia
Nakubaliiii wanang
africa d suli
Mtangazaji unazingu mwanangu
Kabunyau 🔥
Next
100kilo 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Dubengaa
Kwa faida ya mtangazaji na wengineo ......inaandikwa na kutamkwa.... AFRICA DE SUD HIKI NI KIRENO AU KIPOTUGALI CHENYE MAANA YA AFRIKA YA KUSINI
Izoo nd z kibaalia we una njaa utachagua msos njiani
Hice za huko ... location hazina mikanda nailsplit hapo tayari ushaingia Pretoria..au jorbarg ..mitaa yangu hiyo
Mm pia mtoto wa kino miaka ya 97 nakumbuka tuliendaga dizonga,stori za jamaa inanikumbusha mambo mengi sana
Sondooooo 😂😂
Roast sondoo... mwanaume kuteseka
Sondo jamii ya funza weupeee wanaliwa na protini kishenziii hapa tz mikoa mingi sna wanakulaa
Kubwa.kuliko
Ipo usukumani huko, unapewa msosi adi unauacha
Matangazo mengi sana yanatia uvivu
Uwe unaandika na part ili tusijichanganye afu uwe unatoa nafasi mtu asimulie jambo maana unaingilia sana mahojiano
Mabaharia wana mastori sana
Maskini vijana wa Kitanzania wanavyohangaika. Hawana elimu, maskini wa kutupwa wakitegemea ujanja wa Kariakoo tu- ambao ni ujinga. Hiyo yote katika nchi tajiri kupindukia! Halafu unasikia Waziri kaiba Trilion 1.7 na rais yupo hapo hayamhusu!🎉
Yatia hasira.
Trioni zako bro kila mtu anapata anapo amini bro
Mtangazaji hajui ascis😂😂😂😅😅??
Mtangazaji ni mtoto wa jana, hajui asics😂😂
Umeona enhee.....sasa hawa wapo wengi mno Dar es salaam alafu wenyewe ndio wanakwambia eti wajanja wa mji kila kitu anajua wao......😂😂😂
Afu asics zipo mpaka leo sema basi tu , mnakumbuka umbro,
@@fahadfaraj6474 Umbro watu tushatimba nazo sana miaka hiyo......Congo, Manzese au Tandale mitumbani ndio mpango mzima Mzee
@@fahadfaraj6474 Umbro bukta za kuchezea mpira mpaka tracksuit zake....
@@Chemba67 hatari mambo ya kappa
Mtangazaji unacheka ?? Usichukulie poa ukiwa na njaa unakula hata mtu msafiri kafiri