MAMBO 8 YATAKAYOBADILISHA MAISHA YAKO
Vložit
- čas přidán 29. 09. 2020
- Mabadiliko katika maisha yako yataletwa na wewe mwenyewe utakapoamua kuyafanyia kazi mapungufu kadhaa katika maisha yako. Somo hili litakuwa muongozo mzuri kwa wale waliotayari kubadili maisha yao kwa kufuata mambo nane (8) yaliyoelezwa vizuri katika somo hili.
.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuacha mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
TUFUATE INSTAGRAM:
SPN CHANNEL: / successpath_network
EZDEN JUMANNE: / ezdenjumanne
DR. ISRAEL: / drisraelofficial
.
BIASHARA, MATANGAZO NA VITABU:
EMAIL: successpathnetwork@gmail.com
WHATSAPP : (+255)759191076
.
#Mambo8 #Muhimu #Maishani
Masha Allah Somo zuri Sana Mungu Akuzidishie Elimu Yenye Manufaa
Dont do it for money ni moja Kati changamoto kubwa sana watu hivi sana. Kila kitu pesa tu, mtu haitaji kuonesha uwezo wake kabla bila pesa. True as you said brooo we need to add value to other people life, one day there are gonna open their wallet.
Kaka ezden nakufatilia Sana umenifanya nibadiri kabisa mfumo wa maisha yangu tangu nianze kupata mafundisho yako 🙏🙏
Ahsante Sana bro tupo nyuma yako na tunakubali kazi zako Mimi ni new fan wako but ndan y mda mchache nimejifunza mengi be blessed bro🙏
No pain no gain. Hakuna mabadiliko bila ya jasho ni kweli kabisa. Work, focus on it tirelessly and the success will follow. Kweli kila kitu ni wewe mwenyewe. Asante EDZEN kwa kuelimisha Watanzania ni jambo zuri sana. Naipenda kazi yako.
Somo lako ni zuri sana bro Ezden najifunza mengi sanaa loutish masomo yako yamekuwa ni moja ya kubadilisha Maisha yangu God bless you
DEVELOP A REWARD
SYSTEM 💪💪💪
Siku nyingi uwa najaribu kujipongeza lakini nilikuwa nikijuwa napotea but right now nimejua kuwa niko sahihi 😁😁
Nakukubal xn bro.! Ezden since day one 💪💪💪
Kaka Ezden Nina Zawadi yako maana umenifundisha Vitu Vingi Sanaa katika maisha yangu ,kiukweli 90% maisha yangu yamebadlika kupitia maarifa yako !!
Nafurahi sana kusikia hivyo. 90% ni sehemu kubwa sana, natamani nijue before and after of that. What'sApp me 0759191076
Hakika nmejifunzaa kitu.More Blessng
Daaaa hakika upeo wako kaka ni thawabu kwetu ,unabadlixha maixha yetu kwa maneno yko!!
Maashaallah
Thanks , imtulia
Thanks for the info. You have talked about nice things to do to succeed
Do the work!!! Thanks Ezden
Nakuelewa mwalimu wangu nimepata mafanikio makubwa kupita wewe mungu akubariki Sana.
Shukran ❤❤
Shukran
Ni azan mimi aki napenda sana haya maoni yako ndugu, na naona kwangu yananisaidia, aki ubarikiwe ndugu
Shukran kaka Ezden🙏🙏
Ahsante kiongozi
Aaasante sana
Thank u so much
Thank you so much point kubwa San tu
Thanks sana God bless you nimejifunza mengi
Asante sana
Nimekuelewa sana kaka! endelea kuisaidia jamii na Muumba wa Mbingu na ardhi aendelee kukutumia zaidi Kwa kazi yako njema.
Mungu akubariki kwa hekima hizi alizokupa unapozidi kutumia kuelimisha.
Bro Allah akupe umri mrefu inshallah shukran sana kwa kutuelemisha na pia nimepata faina nyingi sana kutoka kwa kunitoa kwenye giza kuiona mwangaza
Ahsante kaka Ezden ,God bless you & I appreciate you more .
Asante bro.@Ezden 🙏🙏
Minimeioenda Sana hiyo ya ngoz ngumu.,, Naitumia Sana mm.
Thanks kwa somo zur,🤝🤝
Asante Sana brother
God bless you bro.. umenifunza sana...
You are always right,may God bless
Big up brother for educating societies, we are all together.
Thanks bro
Its ver fantastic ideas,lets kip it on work.. May Allah bless yo en yr family
Asante sana kaka
Ahsante..kuna mwanga fulani umeingia kwenye kioo changu nizidi kuona mbali 🙏🙏
God bless you
Great video
Naam shukuran bro!!!!🙏🙏🙏🙏
Mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla
Duuh kaka uko humu siku nyingi ila mala zote sikukufatilia leo ndo nimeona who are you
Duh huna baya ww mungu akubaliki na abariki kazi yako
Nashukuru sana Kwa dua njema.... Amiin
Kizuri nikwamba asante san bwana. Djumainne usiace kutushika mikono kwamazuri unayoanda kwakutuhelimisha ao kutuzindua
Ahsante
Mashaallah Allah akupe afya njema uwendelee kuelimisha👌🥰🥰
Ubarikiwe sana brother
Kaka ezden jumanne nimejifunza pesa sio kila kitu Kwenye maisha bali utu ndio kila kitu
Be blessed bro🗣
blessed
Somo zuri sana🙏🙏
Safi Sana bro upo vizuri
Good yah
Shukrani kaka Ezden 👏
Somo zuri sana
Be blessed brother may Allah Grant u more in return than what u have inspired us.
Nakukubali Kaka endelea kutufungua ufahamu Mungu akupe yaliyo mema uzidi kutuelimisha good job.
Sawa kaka nashukuru sana 🙏
Hakika umebalikiwa kupitia wewe wengi tutanufaika thanks so much brother,
Asante mungu akupe maisha malefu
Nakukubali sana kaka
Shukran uko vizuri sana napenda unavo elimisha jami.mishi bakari kutoka kenya tuko pamoja
Asante sana bro may Allah Grant you in your life
Asnte Sana kwa Sana Mungu azid kukupa neema!
Thank you bro u motivate me
Nakukubali sana
Nakuelewa sanaaaaaa asanteeee
Asante nimejifunza mengi
Somo zuri kaka
Vizuri sana😘
Tunakushukuru kaka kwa kutuelimisha
Nice bro nakubar kwa hizo njia big up ma Bro 💪💪💪
Brother nimejifunza mengi lakin kubwa zaid nimefunza kuwa strong kwenye maisha na v2 ninavyojipangililia maana nilikuwa napanga v2 Kikitokea k2 chakunikatsha tamaa basi mwepesi kuacha kufanya
Tunakupatasana J4
Bless brooh ✌️
Nimependa sana somo hili
Nimefurahi Sana na mafundisho yako mungu akubariki na kukuongezea juhudi na maarifa.
Asanti
Nimekuelewa Sana kaka
Thanks Ezden De Rocka
Thank's
Asante! Nashare kwa watu wengine wajifunze, waelimike kisha wabadilike.
Kazi nzuri kaka
Good
Nimelibali mwanangu
Nimependaa kuhusu IBADA inakuepusha sana na matumizi mabaya ya fedha ni Inatengeneza ratiba ya mambo yako vizuri sana 💯
Daaaaaaaah bro mm nakukubar sana ila najiuliza why sibadiriki??
Usikate tamaa jitahidi kutafuta kile kinachokufanya uwe happy na ushawish ili upate wepesi wa kuzingatia unayotakiwa kufanya ndio yatakufanya ubadilike
@@radhiamussa1629 .
sina neno zaidi ya🙏🙏🙏🙏🙏
Broo nimependa hamasa ya Leo kwasbb imeni inspire kitu kitu chenyew nikwamba naanza kua sasa mtu shujaa yan mvumilivu sana katika maisha jambo hili ndilo lililokua linanikwamisha sana so big up saanaaa kaka angu kipenzi
Shukran sana
Karibu
@@successpathnetwork tunashukur sana kaka mungu akulipe kher
@@saumusanjiama6991 Allahumma ameen
HASANTE sana ndugu
👍
Ezeden Leo umenipa akili ya ziada Allah akulinde
Mashaallah nimejifunza mengi Shukran kaka
Kingine kuwa nangozi ngumu asante
Realistic
Kiukweli kak mkubwa hamnag siku unakosea somo kweny kipind point zote it's was strong but inahitaj Sana watu wenye nature ndo wataweza kuelewa kwa kuyachambua ili tuwez kuchange Life style ili tuendan na somo.
Hakika umenigusa sana
Nimeioenda hii Develop a thick skin
Wewe ezden wa kiss fm au mwingne
Nilikua na shida na kitabu hicho 0713647261
ALoveyou my brother💕💕💕💕💪💪💪💪wanifugua mengi
Mimi zaidi... Karibu sana