MAMBO 8 YATAKAYOBADILISHA MAISHA YAKO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 09. 2020
  • Mabadiliko katika maisha yako yataletwa na wewe mwenyewe utakapoamua kuyafanyia kazi mapungufu kadhaa katika maisha yako. Somo hili litakuwa muongozo mzuri kwa wale waliotayari kubadili maisha yao kwa kufuata mambo nane (8) yaliyoelezwa vizuri katika somo hili.
    .
    Usiache ku SUBSCRIBE na kuacha mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
    .
    TUFUATE INSTAGRAM:
    SPN CHANNEL: / successpath_network
    EZDEN JUMANNE: / ezdenjumanne
    DR. ISRAEL: / drisraelofficial
    .
    BIASHARA, MATANGAZO NA VITABU:
    EMAIL: successpathnetwork@gmail.com
    WHATSAPP : (+255)759191076
    .
    #Mambo8 #Muhimu #Maishani

Komentáře • 150

  • @ommarysaid7391
    @ommarysaid7391 Před 3 lety +9

    Masha Allah Somo zuri Sana Mungu Akuzidishie Elimu Yenye Manufaa

  • @GOnlinepositivity
    @GOnlinepositivity Před 3 lety +9

    Dont do it for money ni moja Kati changamoto kubwa sana watu hivi sana. Kila kitu pesa tu, mtu haitaji kuonesha uwezo wake kabla bila pesa. True as you said brooo we need to add value to other people life, one day there are gonna open their wallet.

  • @peterpaschaljuma2382
    @peterpaschaljuma2382 Před 3 lety +8

    Kaka ezden nakufatilia Sana umenifanya nibadiri kabisa mfumo wa maisha yangu tangu nianze kupata mafundisho yako 🙏🙏

  • @abuukhudhayfah4083
    @abuukhudhayfah4083 Před 3 lety +3

    Ahsante Sana bro tupo nyuma yako na tunakubali kazi zako Mimi ni new fan wako but ndan y mda mchache nimejifunza mengi be blessed bro🙏

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 Před 3 lety +3

    No pain no gain. Hakuna mabadiliko bila ya jasho ni kweli kabisa. Work, focus on it tirelessly and the success will follow. Kweli kila kitu ni wewe mwenyewe. Asante EDZEN kwa kuelimisha Watanzania ni jambo zuri sana. Naipenda kazi yako.

  • @queenmakasi7768
    @queenmakasi7768 Před 3 lety +3

    Somo lako ni zuri sana bro Ezden najifunza mengi sanaa loutish masomo yako yamekuwa ni moja ya kubadilisha Maisha yangu God bless you

  • @jomeejooo3717
    @jomeejooo3717 Před 3 lety +3

    DEVELOP A REWARD
    SYSTEM 💪💪💪
    Siku nyingi uwa najaribu kujipongeza lakini nilikuwa nikijuwa napotea but right now nimejua kuwa niko sahihi 😁😁

  • @innocentmajololo6270
    @innocentmajololo6270 Před 3 lety +4

    Nakukubal xn bro.! Ezden since day one 💪💪💪

  • @kelyjames5452
    @kelyjames5452 Před rokem +1

    Kaka Ezden Nina Zawadi yako maana umenifundisha Vitu Vingi Sanaa katika maisha yangu ,kiukweli 90% maisha yangu yamebadlika kupitia maarifa yako !!

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před rokem +1

      Nafurahi sana kusikia hivyo. 90% ni sehemu kubwa sana, natamani nijue before and after of that. What'sApp me 0759191076

  • @dolazdola9292
    @dolazdola9292 Před 3 lety +1

    Hakika nmejifunzaa kitu.More Blessng

  • @merykabogo7636
    @merykabogo7636 Před 3 lety +1

    Daaaa hakika upeo wako kaka ni thawabu kwetu ,unabadlixha maixha yetu kwa maneno yko!!

  • @rajabumsumi6140
    @rajabumsumi6140 Před 3 lety +4

    Maashaallah

  • @aybkham5795
    @aybkham5795 Před 3 lety +3

    Thanks , imtulia

  • @kuttomoses
    @kuttomoses Před 3 lety +2

    Thanks for the info. You have talked about nice things to do to succeed

  • @AdnanMbaehmahmoud
    @AdnanMbaehmahmoud Před 3 lety +3

    Do the work!!! Thanks Ezden

  • @helsonlucaskonga2087
    @helsonlucaskonga2087 Před 2 lety

    Nakuelewa mwalimu wangu nimepata mafanikio makubwa kupita wewe mungu akubariki Sana.

  • @zahrakitchen5880
    @zahrakitchen5880 Před 3 lety +1

    Shukran ❤❤

  • @shamsiamsaghati
    @shamsiamsaghati Před rokem +1

    Shukran

  • @azannyale9930
    @azannyale9930 Před 3 lety +1

    Ni azan mimi aki napenda sana haya maoni yako ndugu, na naona kwangu yananisaidia, aki ubarikiwe ndugu

  • @dottnatt7110
    @dottnatt7110 Před 3 lety

    Shukran kaka Ezden🙏🙏

  • @betladiaugustine8881
    @betladiaugustine8881 Před 3 lety +1

    Ahsante kiongozi

  • @msafirimponda1719
    @msafirimponda1719 Před 3 lety

    Aaasante sana

  • @salimkarimbabakaila2425

    Thank u so much

  • @daudiombeni7996
    @daudiombeni7996 Před 2 lety

    Thank you so much point kubwa San tu

  • @nellykebene5384
    @nellykebene5384 Před 2 lety

    Thanks sana God bless you nimejifunza mengi

  • @twaybachellah914
    @twaybachellah914 Před 3 lety

    Asante sana

  • @jonathanzebedayo3210
    @jonathanzebedayo3210 Před 3 lety

    Nimekuelewa sana kaka! endelea kuisaidia jamii na Muumba wa Mbingu na ardhi aendelee kukutumia zaidi Kwa kazi yako njema.

  • @frankjohn47
    @frankjohn47 Před 2 lety

    Mungu akubariki kwa hekima hizi alizokupa unapozidi kutumia kuelimisha.

  • @abeidmchaga8670
    @abeidmchaga8670 Před 2 lety

    Bro Allah akupe umri mrefu inshallah shukran sana kwa kutuelemisha na pia nimepata faina nyingi sana kutoka kwa kunitoa kwenye giza kuiona mwangaza

  • @melichomsungu9924
    @melichomsungu9924 Před 3 lety

    Ahsante kaka Ezden ,God bless you & I appreciate you more .

  • @jocety4426
    @jocety4426 Před 3 lety +1

    Asante bro.@Ezden 🙏🙏
    Minimeioenda Sana hiyo ya ngoz ngumu.,, Naitumia Sana mm.
    Thanks kwa somo zur,🤝🤝

  • @rachelbathromew6223
    @rachelbathromew6223 Před 3 lety

    Asante Sana brother

  • @tailorbbeka2656
    @tailorbbeka2656 Před 3 lety +3

    God bless you bro.. umenifunza sana...

  • @micky5357
    @micky5357 Před rokem

    You are always right,may God bless

  • @issamcholi7011
    @issamcholi7011 Před 3 lety +1

    Big up brother for educating societies, we are all together.

  • @agathamichael8818
    @agathamichael8818 Před 3 lety

    Thanks bro

  • @KIIBOJUNIOR
    @KIIBOJUNIOR Před 3 lety +2

    Its ver fantastic ideas,lets kip it on work.. May Allah bless yo en yr family

  • @RaymondSamwel
    @RaymondSamwel Před rokem +1

    Asante sana kaka

  • @sabrinasaid839
    @sabrinasaid839 Před 3 lety +1

    Ahsante..kuna mwanga fulani umeingia kwenye kioo changu nizidi kuona mbali 🙏🙏

  • @deboramsossi3282
    @deboramsossi3282 Před 3 lety +1

    God bless you

  • @osamaosman6301
    @osamaosman6301 Před 2 lety

    Great video

  • @faustinebigambo5254
    @faustinebigambo5254 Před 3 lety +1

    Naam shukuran bro!!!!🙏🙏🙏🙏

  • @feisalakbar4759
    @feisalakbar4759 Před 3 měsíci +1

    Mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla

  • @mycotv2020
    @mycotv2020 Před 2 lety +1

    Duuh kaka uko humu siku nyingi ila mala zote sikukufatilia leo ndo nimeona who are you
    Duh huna baya ww mungu akubaliki na abariki kazi yako

  • @minanicharles3081
    @minanicharles3081 Před 2 lety

    Kizuri nikwamba asante san bwana. Djumainne usiace kutushika mikono kwamazuri unayoanda kwakutuhelimisha ao kutuzindua

  • @ezironvyats433
    @ezironvyats433 Před 3 lety

    Ahsante

  • @OmanOman-ky2oo
    @OmanOman-ky2oo Před 2 lety

    Mashaallah Allah akupe afya njema uwendelee kuelimisha👌🥰🥰

  • @reganimushi8062
    @reganimushi8062 Před 3 lety

    Ubarikiwe sana brother

  • @thania822
    @thania822 Před rokem

    Kaka ezden jumanne nimejifunza pesa sio kila kitu Kwenye maisha bali utu ndio kila kitu

  • @azizanzori4931
    @azizanzori4931 Před 3 lety +2

    Be blessed bro🗣

  • @athumanihemedi3421
    @athumanihemedi3421 Před 3 lety

    blessed

  • @leilalusekelo153
    @leilalusekelo153 Před 2 lety

    Somo zuri sana🙏🙏

  • @michaeljohn6361
    @michaeljohn6361 Před 3 lety

    Safi Sana bro upo vizuri

  • @mrishomasenga7118
    @mrishomasenga7118 Před 3 lety

    Good yah

  • @medsonstarlon1781
    @medsonstarlon1781 Před 3 lety

    Shukrani kaka Ezden 👏

  • @jonstonsepiton3613
    @jonstonsepiton3613 Před 3 lety

    Somo zuri sana

  • @iddmambo3218
    @iddmambo3218 Před 3 lety

    Be blessed brother may Allah Grant u more in return than what u have inspired us.

  • @frankmassawe8752
    @frankmassawe8752 Před 3 lety

    Nakukubali Kaka endelea kutufungua ufahamu Mungu akupe yaliyo mema uzidi kutuelimisha good job.

  • @dynam1488
    @dynam1488 Před 3 lety +1

    Sawa kaka nashukuru sana 🙏

  • @nulujackson44
    @nulujackson44 Před 3 lety

    Hakika umebalikiwa kupitia wewe wengi tutanufaika thanks so much brother,

  • @barackahussen704
    @barackahussen704 Před 3 lety

    Asante mungu akupe maisha malefu

  • @benjaminjeremia6316
    @benjaminjeremia6316 Před 3 lety +1

    Nakukubali sana kaka

  • @mishybakari4512
    @mishybakari4512 Před 3 lety

    Shukran uko vizuri sana napenda unavo elimisha jami.mishi bakari kutoka kenya tuko pamoja

  • @ailajiriri3534
    @ailajiriri3534 Před 2 lety

    Asante sana bro may Allah Grant you in your life

  • @hopelema3673
    @hopelema3673 Před 3 lety

    Asnte Sana kwa Sana Mungu azid kukupa neema!

  • @motivational2556
    @motivational2556 Před 3 lety

    Thank you bro u motivate me

  • @malkomapesa8665
    @malkomapesa8665 Před 3 lety

    Nakukubali sana

  • @aminasalimingeleja8834

    Nakuelewa sanaaaaaa asanteeee

  • @abshirohassen5
    @abshirohassen5 Před rokem

    Asante nimejifunza mengi

  • @Msomiandrew
    @Msomiandrew Před 3 lety +1

    Somo zuri kaka

  • @carolynewerunga9112
    @carolynewerunga9112 Před rokem +1

    Vizuri sana😘

  • @fatumayahaya584
    @fatumayahaya584 Před 3 lety

    Tunakushukuru kaka kwa kutuelimisha

  • @johnmasanja3755
    @johnmasanja3755 Před 3 lety +1

    Nice bro nakubar kwa hizo njia big up ma Bro 💪💪💪

  • @saidymnanyuchi5819
    @saidymnanyuchi5819 Před 3 lety +2

    Brother nimejifunza mengi lakin kubwa zaid nimefunza kuwa strong kwenye maisha na v2 ninavyojipangililia maana nilikuwa napanga v2 Kikitokea k2 chakunikatsha tamaa basi mwepesi kuacha kufanya

  • @princejesus5922
    @princejesus5922 Před 3 lety +2

    Tunakupatasana J4

  • @sulerashid7295
    @sulerashid7295 Před 3 lety

    Bless brooh ✌️

  • @kurwaahmadi335
    @kurwaahmadi335 Před 3 lety

    Nimependa sana somo hili

  • @makairokuyatei3364
    @makairokuyatei3364 Před 3 lety

    Nimefurahi Sana na mafundisho yako mungu akubariki na kukuongezea juhudi na maarifa.

  • @user-vx2pk9kp6c
    @user-vx2pk9kp6c Před 7 měsíci +1

    Asanti

  • @emanuelcharles4412
    @emanuelcharles4412 Před 3 lety

    Nimekuelewa Sana kaka

  • @dflexmashairi8824
    @dflexmashairi8824 Před 3 lety +2

    Thanks Ezden De Rocka

  • @patrickadmila9667
    @patrickadmila9667 Před 3 lety

    Asante! Nashare kwa watu wengine wajifunze, waelimike kisha wabadilike.

  • @allthingsafrican
    @allthingsafrican Před 3 lety

    Kazi nzuri kaka

  • @jayamora7954
    @jayamora7954 Před 3 lety

    Good

  • @issackemanuel9653
    @issackemanuel9653 Před 3 lety

    Nimelibali mwanangu

  • @husenimohamed2241
    @husenimohamed2241 Před 3 lety

    Nimependaa kuhusu IBADA inakuepusha sana na matumizi mabaya ya fedha ni Inatengeneza ratiba ya mambo yako vizuri sana 💯

  • @mathiaslaban8530
    @mathiaslaban8530 Před 3 lety +5

    Daaaaaaaah bro mm nakukubar sana ila najiuliza why sibadiriki??

    • @radhiamussa1629
      @radhiamussa1629 Před 3 lety +1

      Usikate tamaa jitahidi kutafuta kile kinachokufanya uwe happy na ushawish ili upate wepesi wa kuzingatia unayotakiwa kufanya ndio yatakufanya ubadilike

    • @alqaasim_a_tz2412
      @alqaasim_a_tz2412 Před 3 lety

      @@radhiamussa1629 .

  • @omaryally1008
    @omaryally1008 Před 3 lety

    sina neno zaidi ya🙏🙏🙏🙏🙏

  • @ramadhanjuma7817
    @ramadhanjuma7817 Před 3 lety

    Broo nimependa hamasa ya Leo kwasbb imeni inspire kitu kitu chenyew nikwamba naanza kua sasa mtu shujaa yan mvumilivu sana katika maisha jambo hili ndilo lililokua linanikwamisha sana so big up saanaaa kaka angu kipenzi

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 Před 2 lety +1

    Shukran sana

  • @rehematawalani733
    @rehematawalani733 Před rokem

    HASANTE sana ndugu

  • @thecreater4671
    @thecreater4671 Před 3 lety

    👍

  • @helenamusa432
    @helenamusa432 Před 3 lety +2

    Ezeden Leo umenipa akili ya ziada Allah akulinde

    • @Mbambanaji
      @Mbambanaji Před 2 lety

      Mashaallah nimejifunza mengi Shukran kaka

    • @Mbambanaji
      @Mbambanaji Před 2 lety

      Kingine kuwa nangozi ngumu asante

  • @jimmydehonest4637
    @jimmydehonest4637 Před 2 lety

    Realistic

  • @amanisupeti2451
    @amanisupeti2451 Před 3 lety +1

    Kiukweli kak mkubwa hamnag siku unakosea somo kweny kipind point zote it's was strong but inahitaj Sana watu wenye nature ndo wataweza kuelewa kwa kuyachambua ili tuwez kuchange Life style ili tuendan na somo.

  • @mussabaridi3908
    @mussabaridi3908 Před 3 lety

    Hakika umenigusa sana

  • @jamestosili681
    @jamestosili681 Před 3 lety

    Nimeioenda hii Develop a thick skin

  • @murahmadin36
    @murahmadin36 Před 2 lety

    Wewe ezden wa kiss fm au mwingne

  • @twahirumtunguja4136
    @twahirumtunguja4136 Před 3 lety +4

    Nilikua na shida na kitabu hicho 0713647261

  • @mayajuma5568
    @mayajuma5568 Před 2 lety

    ALoveyou my brother💕💕💕💕💪💪💪💪wanifugua mengi