Zoravo atoa ushauri Jinsi Ya Kukabiliana na Msongo wa Mawazo/Kuhusu Kuoa/Album Mpya.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 06. 2023
  • “Unajua kuna Yale Makosa Ambayo unakuja kuyajua ukishakuwa mkubwa au mtu mzima,ningemwambia zoravo awekeze sana kwenye Maombi na Neno,Yule zoravo wa zamani alikuwa anaomba Lakini hakujua kuomba,kama alikuwa anaomba basi hakuomba Kwa Bidii,Kama alikuwa anamtafuta Mungu,hakumtafuta Mungu kwa Bidii.”
    Jiunge na Familia Yako Ya @paziatv Kuiona na Kusikiliza Interview hii Yote Ya @josephine.shija na Muimbaji Wa Muziki Wa Injili @zoravo,Tayari Ipo CZcams Kwenye Channel Yetu.

Komentáře • 7