PAUL CLEMENT ASIMULIA BABA YAKE ALIVYOKATAA KUIMBA, KUONDOKA NYUMBANI, AANDAA FILAMU YA MAISHA YAKE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 12. 2023

Komentáře • 33

  • @user-zo6mi9om4m
    @user-zo6mi9om4m Před 5 měsíci +8

    Nimependa unyenyekevu wako brother Mungu akuinue kwa jina la Yesu

  • @greenermichael2057
    @greenermichael2057 Před 7 měsíci +15

    Paul alishawah kuj Kahama alivosimama alituzwa hela nyingi kwa hiyo ukimtanguliza Mungu atakupa hela kwa njia zake

  • @jukaelyelisha6311
    @jukaelyelisha6311 Před 7 měsíci +10

    My role model brother Paul clement God bless you more brother

  • @shalomchaula4420
    @shalomchaula4420 Před 7 měsíci +10

    Sijui unanilindaje bro Paul hii wimbo Kali Sana kaka na albam ya zawadi iko na nguvu za uai wa Mungu ndani tunahudumiwa Sana Sana Mungu akafanye baraka Sana kwenye filamu iwe ni moja ya alama kwenye maisha yako Kwa Jina la Yesu.

  • @samdigitaldesigner3786
    @samdigitaldesigner3786 Před 7 měsíci +9

    Bro huyu mwamba namkubali sanaaaah!!

  • @user-tr3bd3iv9r
    @user-tr3bd3iv9r Před 5 měsíci +5

    Love and blessings to you Paul. I love your ministry! Continue to allow God to use you for His glory.

  • @godfreysanziki1461
    @godfreysanziki1461 Před 7 měsíci +6

    Vidox go deep huu upande wamelala, tunavutiwa sana na story za waimbaji,Maisha na shuhuda zao zinaleta hamasa sana 🙏

  • @danielkileo103
    @danielkileo103 Před 7 měsíci +6

    Gud sana bro nakukubali sana

  • @GloireZagabe
    @GloireZagabe Před 7 měsíci +6

    Wewe ni baba yangu wa kiroho🤝

  • @asifiwefungo163
    @asifiwefungo163 Před 7 měsíci +4

    Alooo Mungu azidi,kukupandishaa juu zaidi.Brother nakukubali sana.

  • @injilihalisitv2023
    @injilihalisitv2023 Před 7 měsíci +5

    Great man of God, Humble man & Minister Paul Clement, Stay Blessed & More annoint 🔥🔥🔥🔥

  • @SamBihagaze
    @SamBihagaze Před 7 měsíci +5

    Great man Paul Clement🙌

  • @hancemsokwa1813
    @hancemsokwa1813 Před 7 měsíci +3

    very good interview ila sound wakat wa nyimbo inapanda ghafla

  • @rinakibona
    @rinakibona Před 7 měsíci +3

    Mungu akuzidishie neema ktk huduma

  • @farajageorge8711
    @farajageorge8711 Před 7 měsíci +3

    😂😂Mzee mwakanyamale alikuwa hajajua kusudi uliloitiwa,lkn baada ya kujua, naamini sasa mtakuwa mpo vizuri sana.Mungu awabariki wote

  • @NinaTitus404
    @NinaTitus404 Před měsícem

    Endelea kubarikiwa na Yesu

  • @DanielMathou
    @DanielMathou Před 5 měsíci +1

    Heshimiwa mtumishi wa mungu

  • @FreeGod368
    @FreeGod368 Před 7 měsíci +3

    Huyu ndio vido😅master of art of questioning

  • @meshackmwady9212
    @meshackmwady9212 Před 7 měsíci +2

    Iyo movie tunaipatajee

  • @giftibrahimuamulike5963
    @giftibrahimuamulike5963 Před 7 měsíci +3

    Never give up

  • @vickytorry100
    @vickytorry100 Před 7 měsíci +3

    Nilifikiri Baba ndio alikataa kuimba? Au alimkataza mwanae asiimbe? Sijaelewa

  • @richardjoel583
    @richardjoel583 Před 7 měsíci +2

    🎉

  • @happnesskitumbo5713
    @happnesskitumbo5713 Před 7 měsíci +5

    Hilo bangili ulilovaa mkononi la nini au lina maana yake kwako nyuma ya pazia? Hapo ndio huwa siwaelewagi.

    • @marthaelias830
      @marthaelias830 Před 7 měsíci +4

      Jamani walokole mbona tunafanyiwa hivi ata bangili ziwe na maana acheni basi

    • @holymakere
      @holymakere Před 4 měsíci

      Yaaaan watu wengne bwauna brasless mbona Haina Shda hii 😂nyiee ndo mnajikuta mmeokako zaidi ya Malaika au Hata pengne aliyekomenti Wala hajaokokaa😮

    • @user-lg1ji8hi3d
      @user-lg1ji8hi3d Před 4 měsíci

      Nipambo TU ila ww umeenda mbali aonavyo nafsini mwake ndivyo alivyoangalia mawazo yako kuwaza mabaya

  • @annelavusa2474
    @annelavusa2474 Před 4 měsíci

    Wewe ni wabaraka sana

  • @user-ju6on1xj3p
    @user-ju6on1xj3p Před 7 měsíci +2

    Naamini, kuamini kitu chako

  • @yalhafoundationafrica9961
    @yalhafoundationafrica9961 Před 7 měsíci +3

    Hes Paul clement not paulo

  • @samdigitaldesigner3786
    @samdigitaldesigner3786 Před 7 měsíci +4

    Bro huyu mwamba namkubali sanaaaah!!

  • @samdigitaldesigner3786
    @samdigitaldesigner3786 Před 7 měsíci +1

    Bro huyu mwamba namkubali sanaaaah!!