Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Nimependa unyenyekevu wako brother Mungu akuinue kwa jina la Yesu
Paul alishawah kuj Kahama alivosimama alituzwa hela nyingi kwa hiyo ukimtanguliza Mungu atakupa hela kwa njia zake
My role model brother Paul clement God bless you more brother
Sijui unanilindaje bro Paul hii wimbo Kali Sana kaka na albam ya zawadi iko na nguvu za uai wa Mungu ndani tunahudumiwa Sana Sana Mungu akafanye baraka Sana kwenye filamu iwe ni moja ya alama kwenye maisha yako Kwa Jina la Yesu.
Bro huyu mwamba namkubali sanaaaah!!
Love and blessings to you Paul. I love your ministry! Continue to allow God to use you for His glory.
Vidox go deep huu upande wamelala, tunavutiwa sana na story za waimbaji,Maisha na shuhuda zao zinaleta hamasa sana 🙏
Gud sana bro nakukubali sana
Wewe ni baba yangu wa kiroho🤝
Alooo Mungu azidi,kukupandishaa juu zaidi.Brother nakukubali sana.
Great man of God, Humble man & Minister Paul Clement, Stay Blessed & More annoint 🔥🔥🔥🔥
Great man Paul Clement🙌
very good interview ila sound wakat wa nyimbo inapanda ghafla
Mungu akuzidishie neema ktk huduma
😂😂Mzee mwakanyamale alikuwa hajajua kusudi uliloitiwa,lkn baada ya kujua, naamini sasa mtakuwa mpo vizuri sana.Mungu awabariki wote
Endelea kubarikiwa na Yesu
Heshimiwa mtumishi wa mungu
Huyu ndio vido😅master of art of questioning
Iyo movie tunaipatajee
Never give up
Nilifikiri Baba ndio alikataa kuimba? Au alimkataza mwanae asiimbe? Sijaelewa
🎉
Hilo bangili ulilovaa mkononi la nini au lina maana yake kwako nyuma ya pazia? Hapo ndio huwa siwaelewagi.
Jamani walokole mbona tunafanyiwa hivi ata bangili ziwe na maana acheni basi
Yaaaan watu wengne bwauna brasless mbona Haina Shda hii 😂nyiee ndo mnajikuta mmeokako zaidi ya Malaika au Hata pengne aliyekomenti Wala hajaokokaa😮
Nipambo TU ila ww umeenda mbali aonavyo nafsini mwake ndivyo alivyoangalia mawazo yako kuwaza mabaya
Wewe ni wabaraka sana
Naamini, kuamini kitu chako
Hes Paul clement not paulo
Tofauti yake n nn??
Nimependa unyenyekevu wako brother Mungu akuinue kwa jina la Yesu
Paul alishawah kuj Kahama alivosimama alituzwa hela nyingi kwa hiyo ukimtanguliza Mungu atakupa hela kwa njia zake
My role model brother Paul clement God bless you more brother
Sijui unanilindaje bro Paul hii wimbo Kali Sana kaka na albam ya zawadi iko na nguvu za uai wa Mungu ndani tunahudumiwa Sana Sana Mungu akafanye baraka Sana kwenye filamu iwe ni moja ya alama kwenye maisha yako Kwa Jina la Yesu.
Bro huyu mwamba namkubali sanaaaah!!
Love and blessings to you Paul. I love your ministry! Continue to allow God to use you for His glory.
Vidox go deep huu upande wamelala, tunavutiwa sana na story za waimbaji,Maisha na shuhuda zao zinaleta hamasa sana 🙏
Gud sana bro nakukubali sana
Wewe ni baba yangu wa kiroho🤝
Alooo Mungu azidi,kukupandishaa juu zaidi.Brother nakukubali sana.
Great man of God, Humble man & Minister Paul Clement, Stay Blessed & More annoint 🔥🔥🔥🔥
Great man Paul Clement🙌
very good interview ila sound wakat wa nyimbo inapanda ghafla
Mungu akuzidishie neema ktk huduma
😂😂Mzee mwakanyamale alikuwa hajajua kusudi uliloitiwa,lkn baada ya kujua, naamini sasa mtakuwa mpo vizuri sana.Mungu awabariki wote
Endelea kubarikiwa na Yesu
Heshimiwa mtumishi wa mungu
Huyu ndio vido😅master of art of questioning
Iyo movie tunaipatajee
Never give up
Nilifikiri Baba ndio alikataa kuimba? Au alimkataza mwanae asiimbe? Sijaelewa
🎉
Hilo bangili ulilovaa mkononi la nini au lina maana yake kwako nyuma ya pazia? Hapo ndio huwa siwaelewagi.
Jamani walokole mbona tunafanyiwa hivi ata bangili ziwe na maana acheni basi
Yaaaan watu wengne bwauna brasless mbona Haina Shda hii 😂nyiee ndo mnajikuta mmeokako zaidi ya Malaika au Hata pengne aliyekomenti Wala hajaokokaa😮
Nipambo TU ila ww umeenda mbali aonavyo nafsini mwake ndivyo alivyoangalia mawazo yako kuwaza mabaya
Wewe ni wabaraka sana
Naamini, kuamini kitu chako
Hes Paul clement not paulo
Tofauti yake n nn??
Bro huyu mwamba namkubali sanaaaah!!
Bro huyu mwamba namkubali sanaaaah!!