PAUL CLEMENT ALIVYOKUTANA NA MKE WAKE/NILIKUWA NAKAA KWA KINA JOEL LWAGA/WALINISHUSHA MADHABAHUNI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2020
  • Baada ya #PaulClement kuachia wimbo wake wa Mwema aliyomshirikisha Bella Kombo,kwa mara ya kwanza amefanya mahojiano maalum na Mfinanga kwenye kipindi chetu cha #TheSoundOfGospel akielezea jinsi alivyoupata wimbo huo baadae kufunguka kinagaubaga kuhusu milima na mabonde ya huduma yake,Hii ni moja ya interview chache sana ambazo Paul ameongea kwa uwazi kuhusu yeye,ebu cheki nae..
    The Sound of Gospel is a radio and Online Program brought by SirMbezi, Mfinanga In Association with Bethel Radio going live every Tuesday at 2PM On bethel Radio and later on In this You tube Channel.
    Executive Producers - SirMbezi & Ignas Yonah (Bethel Radio)
    Presenter - Gadielson Charles Mfinanga
    Cameras - Edward Fanuel, SirMbezi
    Studio Set Up - Ignas Yona/Bethel Radio
    Photography - SirMbezi
    Editing - Sirmbezi,

Komentáře • 127

  • @lovenessibrahimu6730
    @lovenessibrahimu6730 Před 3 lety +19

    Mungu Awabariki Wazazi Wa Joel Lwaga

  • @stellawangari5075
    @stellawangari5075 Před 3 lety +17

    Watching from Kenya and we love Paul Clement, his songs really ministers to me,God bless you Paul, I pray God for the revelation of writing songs,I just love the way you composes your songs

  • @sarahmtuka2292
    @sarahmtuka2292 Před 2 lety +5

    Napenda sana nyimbo za Paul clement especially wakati wa Mungu
    Huu wimbo unanitia nguvu za kuendelea mbele hata ninapokuwa nimevunjika moyo, barikiwa zaid paul🙏

  • @lydiabrown2664
    @lydiabrown2664 Před 2 lety +6

    I admire Paul's humility and staying true to the calling much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🔥🔥🥀❤️

  • @messamwisongo725
    @messamwisongo725 Před 3 lety +12

    Very humble guy. May God favor him exceedingly and abundantly.

  • @laurahmwangala9823
    @laurahmwangala9823 Před 3 lety +4

    Wow what a testimony Paul Clement...waaa Great Mungu akuzidishie neema.. 🙏 Your songs are such a blessing to me..Let your light continue shinning For God's Glory
    .lots of love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @nelsonmsaki2465
    @nelsonmsaki2465 Před 3 lety +9

    Ushuhuda unainua sana,mimi binafsi nimepata vitu vingi sana,safari ya imani nikumtazama Yesu

  • @seth_pdmofficial.
    @seth_pdmofficial. Před 8 měsíci +1

    Big up sana kak Paul Clement, Sina maana ya kukushabikia kwa sura ya nje.... Hapana, Bali Nina maana ya kukushuru wew na MUNGU anayekutunza na kutuoabmaarifa ya kutuhudumia.

  • @isayasonelo4087
    @isayasonelo4087 Před 2 lety +2

    mwakanyamale respect sana kwako paul Mungu akuinue zaidi

  • @janethmollel406
    @janethmollel406 Před rokem +3

    Daaaaaah mwamba Mungu akufikishe mbali.
    Nimetiwa moyo sana

  • @loverofHS
    @loverofHS Před 3 lety +3

    God bless you Paul Clement. You are a rich blessing to the body of Christ. Watching from Nairobi Kenya

  • @womanoffaith2001
    @womanoffaith2001 Před 3 lety +4

    We love you Paul clement keep on delivering what God gave u❤️🙏

  • @jonathanjackson5253
    @jonathanjackson5253 Před 2 lety +1

    Kikubwa Nikua mwaminifu Kwa BWANA, GOD IS FAITHFUL looking forward to you bro

  • @robinnyarango9533
    @robinnyarango9533 Před 3 lety +6

    I love this guy...l thought he was a kenyan...God bless you paul. I would want to meet you in heaven someday

  • @yasminyasmin4587
    @yasminyasmin4587 Před 2 lety +2

    Watching from mombasa kenya,,,,,, mungu akuzidishie neema umekuwa wa baraka mno na uzidi kuwa wa baraka zaidi,,,, mungu aibariki familia ya joel

  • @giant_701
    @giant_701 Před 4 měsíci +1

    Mungu anawatoa mbali watu wake Paul barikiwa sana

  • @gibsonlaureangmail.
    @gibsonlaureangmail. Před rokem

    In short through this interview, there alot of lessons I have got, Pau l Clement through your ministry there many people in cluding me as Gibson laurean th e great gospel singer, we see God in your ministry.Long live.

  • @jacklynechesang5267
    @jacklynechesang5267 Před 2 lety

    paulclement we love you so much, watching from Kenya 🇰🇪🇰🇪

  • @upendokiwanga9538
    @upendokiwanga9538 Před 2 lety +1

    Mungu akubariki una kitu cha tofauti Paul be blessed na your real servant of God

  • @tatu-jumaa
    @tatu-jumaa Před rokem +2

    More grace bro,we love you from 🇰🇪🇰🇪

  • @helenkapinga2333
    @helenkapinga2333 Před 3 lety +2

    touchable story oooh my God...stay bless Paul

  • @estherwamalwa3961
    @estherwamalwa3961 Před 3 lety +5

    Amenifanyia amani is still a hit in Kenya,hadi leo napenda huo wimbo.

  • @elcapitainemughendio6601
    @elcapitainemughendio6601 Před 3 lety +3

    Vraiment courage homme de Dieu suis béni 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @wangarimwangi7395
    @wangarimwangi7395 Před 2 lety

    For sharing your life with us, thank you. More grace, man, more grace...

  • @elizabethkayombo5284
    @elizabethkayombo5284 Před rokem

    Mungu akubariki sana nyimbo zako ni nzuri sana. Big up! God bless

  • @nimohelenmusic
    @nimohelenmusic Před rokem

    Story yako ni ya ku encourage @paulclement na nyimbo zako zina bless sana. God bless you for keeping on despite the changes. Endelea

  • @mercyjesus6637
    @mercyjesus6637 Před 3 lety +2

    Thanks JESUS,I see my life

  • @goodiemgeta
    @goodiemgeta Před 3 lety +1

    Mpo vizuri bethel radio

  • @emmanuelbernard8628
    @emmanuelbernard8628 Před 3 lety +2

    Nmebarikiwa sana na kipindi

  • @adelinachengula7151
    @adelinachengula7151 Před rokem +1

    Atainyosha njia yako ni wimbo ambao huwa unaniinua sana be bressed brother

  • @josephmshana_official
    @josephmshana_official Před 3 lety

    Nimejifunza vingi na nimebarikiwa pia.
    Mungu ambariki sana Paul Clement.

  • @salvashaban9194
    @salvashaban9194 Před 3 lety +3

    Mungu ni mwema kwa kweli...🇦🇬

  • @remmyalfred6736
    @remmyalfred6736 Před rokem +1

    Yani Kuna maisha watu tunapitia ni zaidi ya wafungwa dah umetoka kwenye gereza kaka mwanafyale Mungu azidi kukuinua

  • @miriamnoel6486
    @miriamnoel6486 Před rokem

    Kimetokea machoz mno Kuna wakat mgumu naupitia umefanya nipate nguvu ya kusonga mbele 😪🙏 MUNGU akubariki Sana Sana nyimbo zako zinafanyika Barak Sana kwangu🙏

  • @fediliaulomi4969
    @fediliaulomi4969 Před 3 lety +6

    Mtangazaji nimempenda sana mungu akubariki sana

  • @esterjimmy7573
    @esterjimmy7573 Před 3 lety +3

    Ushuhuda unafurahisha sometimes but yote ni kwa ajili ya kushuhudia ukuu wa Mungu

  • @ezekielamos252
    @ezekielamos252 Před 3 lety +3

    Paul najifunza sana kwenu umenyenyekea sana bro na Mungu atakubaliki sana alafu mwanza nilikuwepo bro kwa Zakayo nzogere pastor amebarikiwa yule Sana na na lile kanisa jingine mmmmh! kanisa Mungu awasaidie zaid hatuwahukumu lakin walikuumiza sana

  • @glorialusingu730
    @glorialusingu730 Před 2 lety +2

    I love paul clement ....

  • @gressyjulius2596
    @gressyjulius2596 Před 3 lety +1

    Thanks so much brother

  • @serahrobath7685
    @serahrobath7685 Před 2 lety

    Hongera kwa uvumilivu pamoja na Mungu

  • @yetromtambulo3452
    @yetromtambulo3452 Před 3 měsíci

    Be blessed bro poul. Najua ipo siku moja tu tutakutana

  • @FunnyBeetle-gd3ko
    @FunnyBeetle-gd3ko Před 2 měsíci

    Kaka zuravo nampenda sana kwa huduma yake nzuri

  • @unitedtune_tz5369
    @unitedtune_tz5369 Před 3 lety +6

    Very powerful! Interview ever! 🙌🙌🙌🙌🙂....Kaka Paul kanibariki Sanaa na Kaka mfinanga unamaswali fire Sanaa 🔥🔥🔥 Mr.sir-mbezi the quality z super gwud! 🙌🙌🙌🙌🔥🔥😊

    • @telesphorykitali3514
      @telesphorykitali3514 Před rokem

      Mtumishi wa Mungu Bwana Asifiwe sana naitwa Telesphory kitali pia napenda uimbaji katika interview yako nimejifunza mengi sana pili pia naomba uniinue pia na mmi katika uimbaji wangu wa nyimbo za injili ningependa unisaidie pia na mimi Amen sana naimani majibu mazuri

  • @dorismsilu2973
    @dorismsilu2973 Před 2 lety

    MUNGU amekutoa mbali, maisha marefu MUNGU AKUPATIE brother 💪

  • @ministerwilliegitatah3372

    My mentor Paul Clement 🔥🔥🔥🔥Neema ikutoshe bro

  • @neemanyagawa9479
    @neemanyagawa9479 Před 3 lety +2

    Endelea kunyenyekea kaka Paul, Bwana Atazidi kukuinua juu.

  • @priscashangu7967
    @priscashangu7967 Před 5 měsíci

    I good story ubarikiwe mno i m apostle Paul kalenga from lubumbashi drc

  • @soniamelissa2099
    @soniamelissa2099 Před 3 lety +1

    Woooooow!!😍

  • @margaretmbaimwenga7248

    God is faithful you are going far

  • @zablonmazengo6629
    @zablonmazengo6629 Před 3 lety +3

    Very inspiring brother 💪

  • @johngita4833
    @johngita4833 Před 3 lety +3

    So amazing nimeguswa Na kiongozi wetu Paul

  • @jackmichael1953
    @jackmichael1953 Před 3 lety +6

    Adui alijitahidi kukupiga sana ila Mungu ni mwema

  • @user-wm5fv8xf6q
    @user-wm5fv8xf6q Před 3 měsíci

    My favourite gospel artist

  • @gracekamendu7995
    @gracekamendu7995 Před 3 lety +1

    Aminaa kaka

  • @inteafrica6640
    @inteafrica6640 Před 3 lety +1

    Barikiwa

  • @exarakimay8490
    @exarakimay8490 Před 2 lety +1

    Some one very humble asee daah

  • @samwelimwakatobe2855
    @samwelimwakatobe2855 Před 3 lety +1

    Ni nzuri sana

  • @fransiscoanthony1065
    @fransiscoanthony1065 Před rokem

    Hustle is really mazee.. minister 🔥

  • @tuombesunzuesperance5196
    @tuombesunzuesperance5196 Před 3 lety +2

    Wow God is good! Thanks for sharing your story binafsi I learn something.

  • @lilianmsumba7146
    @lilianmsumba7146 Před 3 lety +8

    Pole mtumishi kwa hiyo sinario ya kushushwa madhabahuni, lkn si kila madhabahu inamuabudu MUNGU wa kweli so inawezekana kazi yako ilishusha moto pale ambao ulianza kuharibu kazi za watu, you never know, coz mimi nikisikiliza nyimbo zako nasikia uwepo wa MUNGU mno.

    • @sarahezekiel5170
      @sarahezekiel5170 Před rokem

      Barikiwa na uzidi kuongea mbele...I like the song...Mungu ni mwema...unapolia ni mwema,siku zote ni mwema

    • @jacksonmusician7528
      @jacksonmusician7528 Před 6 měsíci

      Nakupenda mtumishi naamn Mungu alokuvunsha ww atanivusha na mm n n mwimbaj mdogo.....

  • @messievictorsong7724
    @messievictorsong7724 Před rokem

    Mungu ni mwaminifu sana

  • @mariamayoob8734
    @mariamayoob8734 Před 3 lety +3

    Mungu wangu daaah inauma

  • @hillarytheworshipper
    @hillarytheworshipper Před 3 lety +2

    That's my bro💥

  • @marykagulilo5588
    @marykagulilo5588 Před 3 lety +2

    Paul is so funny,raha sana kumskiliza

  • @seth_pdmofficial.
    @seth_pdmofficial. Před 8 měsíci +1

    Hahaaaaah.!! Hyo nimekuelewa............ Kimufindi

  • @johnjackson3049
    @johnjackson3049 Před 2 lety +1

    mr paul congratulations

  • @cynaidahzoy7220
    @cynaidahzoy7220 Před 3 lety +1

    I like your song niwewe usiyeshindwa

  • @rosekapufi5219
    @rosekapufi5219 Před 3 lety +1

    Nice work kakaa

  • @elishahaule171
    @elishahaule171 Před 3 lety +1

    Dah nimeguswa sana

  • @fediliaulomi4969
    @fediliaulomi4969 Před 3 lety +1

    Ongera

  • @heriazaria1901
    @heriazaria1901 Před 3 lety +4

    Dah!unanijenga saana bro!Unanibariki!naona kuinuka sana!siku Moja!nitakuwa pale!kuna mahali napaona

  • @innocentcv6112
    @innocentcv6112 Před 3 měsíci

    nice

  • @happylema3801
    @happylema3801 Před rokem

    Big up sana

  • @petroprenge8716
    @petroprenge8716 Před 3 lety +3

    Hawa watu wanajisikiaje kuona hii interview huku wakijua wao walikua ni miongoni mwa waliotaka kukushusha.

  • @pudelwanzali955
    @pudelwanzali955 Před 3 lety +2

    Ya nimebarikiwa mnoo na ushuhuda huu i can't how to explain it

  • @salometumainiely9455
    @salometumainiely9455 Před 3 lety

    Ooh I see me

  • @mtumishi6175
    @mtumishi6175 Před 3 lety +1

    Kumbe kulia kwenye huduma ni kawaida Yesu nitaimba sasa nitaimba tena

  • @ramamajuzuu154
    @ramamajuzuu154 Před 10 měsíci

    ❤🎉

  • @nordfreyepson5518
    @nordfreyepson5518 Před 3 lety +2

    Kila unayemuona leo hajawa tu hvo kuna sehem katoka

  • @festusmwikwabe9322
    @festusmwikwabe9322 Před 3 lety +2

    Paul nimekusikiliza kwa makini sana. Naomba namba yako pliz.

  • @ashahame7627
    @ashahame7627 Před 3 lety +1

    Katuni

  • @michaelmasanja5168
    @michaelmasanja5168 Před 3 lety +5

    Paul ni baraka kwa Tanzania napenda kumsikiliza, ana historia nzuri sana japo inaumaa. Lakini ndio iliyomfanya afike hapo alipo.

  • @mukaitepaulo4945
    @mukaitepaulo4945 Před 3 lety +2

    Sasa haya maisha ndo zamu yangu 🤔

  • @salometumainiely9455
    @salometumainiely9455 Před 3 lety +1

    Siku zote. Mti wenyematunda ndio unaopigwa mawe

  • @elizabethjustice520
    @elizabethjustice520 Před 3 lety +4

    Nimetiwa moyo kabisaaa

  • @mariamayoob8734
    @mariamayoob8734 Před 3 lety +3

    🚶😍😍😍 duuuh kila mwanaume mwenye mafanikiyo kuna nyuma yupo mwanamke

  • @happyholm1761
    @happyholm1761 Před 3 lety +3

    Mtaje tu, wachungaji wasio na maana hao..

  • @robyjoh838
    @robyjoh838 Před 2 lety

    Brow!

  • @paulomlewa4575
    @paulomlewa4575 Před 3 lety +2

    Anatengeneza ushuhuda wako,umshinde adui kwa ushuhuda wako

  • @gracekamendu7995
    @gracekamendu7995 Před 3 lety +1

    Polee sanaaaa Kaka angu jmniiiiiiii Mungu mkuu mnoo Acha Mungu aitwe Mungu

  • @nahumukalolomyamba4565

    HAKIKA NAPATA KUBALIKI SANA KUPITIA HUDUMA YA POUL CLEMENT JAMANI@@@@@@@@@NABARIKIWA SANA

  • @jehovamunuo4808
    @jehovamunuo4808 Před 3 lety +2

    Mmmm pole sn P hakika lazma opposite kwenye moto ndio ungare, ujue kpind cha umenifanyia Aman nkua Nairobi, ni wimbo ulokua wapigwa kla sehem afu walkua wanajivunia sn wewe nlokua nae yaan my boss alkua anakupenda na kukusfia sn, ukwel tuljua sku ulfiwa na mdg wako kumbe n Mtz mwenzangu

  • @mercyjesus6637
    @mercyjesus6637 Před 3 lety +5

    Paul ulilia walipokucrash kwny uimbaji,hujanifikia mimi but God is good

  • @rosemarydaud9519
    @rosemarydaud9519 Před 2 lety

    Visit the school to be there by to get to

  • @lilianpeter9923
    @lilianpeter9923 Před 3 lety +2

    Vile vyooo vyaaa hahaha

  • @godfreysanziki1461
    @godfreysanziki1461 Před 11 měsíci

    Mambo yalikuwa mengi kiukweli broo duh!

  • @gwakisamwakilema
    @gwakisamwakilema Před 3 lety +2

    Najifunza...!

  • @mtumishi6175
    @mtumishi6175 Před 3 lety

    Nitakuimbia Yesu ushuhuda huu umenipa nguvu

  • @saudakabogo
    @saudakabogo Před 2 lety

    Ushuhuda una nguvu sana

  • @pasuakaratu2601
    @pasuakaratu2601 Před rokem

    Hii story inatufundisha kutendea wema watu wenye uhitaji hivi wazazi wa joel wangemtendea mabaya sasa hivi wangeweza kumtazama usoni🙄