PAUL CLEMENT ALIVYOKUTANA NA MKE WAKE/NILIKUWA NAKAA KWA KINA JOEL LWAGA/WALINISHUSHA MADHABAHUNI
Vložit
- čas přidán 27. 08. 2020
- Baada ya #PaulClement kuachia wimbo wake wa Mwema aliyomshirikisha Bella Kombo,kwa mara ya kwanza amefanya mahojiano maalum na Mfinanga kwenye kipindi chetu cha #TheSoundOfGospel akielezea jinsi alivyoupata wimbo huo baadae kufunguka kinagaubaga kuhusu milima na mabonde ya huduma yake,Hii ni moja ya interview chache sana ambazo Paul ameongea kwa uwazi kuhusu yeye,ebu cheki nae..
The Sound of Gospel is a radio and Online Program brought by SirMbezi, Mfinanga In Association with Bethel Radio going live every Tuesday at 2PM On bethel Radio and later on In this You tube Channel.
Executive Producers - SirMbezi & Ignas Yonah (Bethel Radio)
Presenter - Gadielson Charles Mfinanga
Cameras - Edward Fanuel, SirMbezi
Studio Set Up - Ignas Yona/Bethel Radio
Photography - SirMbezi
Editing - Sirmbezi,
Mungu Awabariki Wazazi Wa Joel Lwaga
Watching from Kenya and we love Paul Clement, his songs really ministers to me,God bless you Paul, I pray God for the revelation of writing songs,I just love the way you composes your songs
Napenda sana nyimbo za Paul clement especially wakati wa Mungu
Huu wimbo unanitia nguvu za kuendelea mbele hata ninapokuwa nimevunjika moyo, barikiwa zaid paul🙏
I admire Paul's humility and staying true to the calling much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🔥🔥🥀❤️
Very humble guy. May God favor him exceedingly and abundantly.
Wow what a testimony Paul Clement...waaa Great Mungu akuzidishie neema.. 🙏 Your songs are such a blessing to me..Let your light continue shinning For God's Glory
.lots of love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ushuhuda unainua sana,mimi binafsi nimepata vitu vingi sana,safari ya imani nikumtazama Yesu
Big up sana kak Paul Clement, Sina maana ya kukushabikia kwa sura ya nje.... Hapana, Bali Nina maana ya kukushuru wew na MUNGU anayekutunza na kutuoabmaarifa ya kutuhudumia.
mwakanyamale respect sana kwako paul Mungu akuinue zaidi
Daaaaaah mwamba Mungu akufikishe mbali.
Nimetiwa moyo sana
God bless you Paul Clement. You are a rich blessing to the body of Christ. Watching from Nairobi Kenya
We love you Paul clement keep on delivering what God gave u❤️🙏
Kikubwa Nikua mwaminifu Kwa BWANA, GOD IS FAITHFUL looking forward to you bro
I love this guy...l thought he was a kenyan...God bless you paul. I would want to meet you in heaven someday
Watching from mombasa kenya,,,,,, mungu akuzidishie neema umekuwa wa baraka mno na uzidi kuwa wa baraka zaidi,,,, mungu aibariki familia ya joel
Mungu anawatoa mbali watu wake Paul barikiwa sana
In short through this interview, there alot of lessons I have got, Pau l Clement through your ministry there many people in cluding me as Gibson laurean th e great gospel singer, we see God in your ministry.Long live.
paulclement we love you so much, watching from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Mungu akubariki una kitu cha tofauti Paul be blessed na your real servant of God
More grace bro,we love you from 🇰🇪🇰🇪
touchable story oooh my God...stay bless Paul
Amenifanyia amani is still a hit in Kenya,hadi leo napenda huo wimbo.
Vraiment courage homme de Dieu suis béni 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
For sharing your life with us, thank you. More grace, man, more grace...
Mungu akubariki sana nyimbo zako ni nzuri sana. Big up! God bless
Story yako ni ya ku encourage @paulclement na nyimbo zako zina bless sana. God bless you for keeping on despite the changes. Endelea
Thanks JESUS,I see my life
Mpo vizuri bethel radio
Nmebarikiwa sana na kipindi
Atainyosha njia yako ni wimbo ambao huwa unaniinua sana be bressed brother
Nimejifunza vingi na nimebarikiwa pia.
Mungu ambariki sana Paul Clement.
Mungu ni mwema kwa kweli...🇦🇬
Yani Kuna maisha watu tunapitia ni zaidi ya wafungwa dah umetoka kwenye gereza kaka mwanafyale Mungu azidi kukuinua
Kimetokea machoz mno Kuna wakat mgumu naupitia umefanya nipate nguvu ya kusonga mbele 😪🙏 MUNGU akubariki Sana Sana nyimbo zako zinafanyika Barak Sana kwangu🙏
Mtangazaji nimempenda sana mungu akubariki sana
Ushuhuda unafurahisha sometimes but yote ni kwa ajili ya kushuhudia ukuu wa Mungu
Paul najifunza sana kwenu umenyenyekea sana bro na Mungu atakubaliki sana alafu mwanza nilikuwepo bro kwa Zakayo nzogere pastor amebarikiwa yule Sana na na lile kanisa jingine mmmmh! kanisa Mungu awasaidie zaid hatuwahukumu lakin walikuumiza sana
I love paul clement ....
Thanks so much brother
Hongera kwa uvumilivu pamoja na Mungu
Be blessed bro poul. Najua ipo siku moja tu tutakutana
Kaka zuravo nampenda sana kwa huduma yake nzuri
Very powerful! Interview ever! 🙌🙌🙌🙌🙂....Kaka Paul kanibariki Sanaa na Kaka mfinanga unamaswali fire Sanaa 🔥🔥🔥 Mr.sir-mbezi the quality z super gwud! 🙌🙌🙌🙌🔥🔥😊
Mtumishi wa Mungu Bwana Asifiwe sana naitwa Telesphory kitali pia napenda uimbaji katika interview yako nimejifunza mengi sana pili pia naomba uniinue pia na mmi katika uimbaji wangu wa nyimbo za injili ningependa unisaidie pia na mimi Amen sana naimani majibu mazuri
MUNGU amekutoa mbali, maisha marefu MUNGU AKUPATIE brother 💪
My mentor Paul Clement 🔥🔥🔥🔥Neema ikutoshe bro
Endelea kunyenyekea kaka Paul, Bwana Atazidi kukuinua juu.
I good story ubarikiwe mno i m apostle Paul kalenga from lubumbashi drc
Woooooow!!😍
God is faithful you are going far
Very inspiring brother 💪
So amazing nimeguswa Na kiongozi wetu Paul
Adui alijitahidi kukupiga sana ila Mungu ni mwema
My favourite gospel artist
Aminaa kaka
Barikiwa
Some one very humble asee daah
Ni nzuri sana
Hustle is really mazee.. minister 🔥
Wow God is good! Thanks for sharing your story binafsi I learn something.
Pole mtumishi kwa hiyo sinario ya kushushwa madhabahuni, lkn si kila madhabahu inamuabudu MUNGU wa kweli so inawezekana kazi yako ilishusha moto pale ambao ulianza kuharibu kazi za watu, you never know, coz mimi nikisikiliza nyimbo zako nasikia uwepo wa MUNGU mno.
Barikiwa na uzidi kuongea mbele...I like the song...Mungu ni mwema...unapolia ni mwema,siku zote ni mwema
Nakupenda mtumishi naamn Mungu alokuvunsha ww atanivusha na mm n n mwimbaj mdogo.....
Mungu ni mwaminifu sana
Mungu wangu daaah inauma
That's my bro💥
Paul is so funny,raha sana kumskiliza
Hahaaaaah.!! Hyo nimekuelewa............ Kimufindi
mr paul congratulations
I like your song niwewe usiyeshindwa
Nice work kakaa
Dah nimeguswa sana
Ongera
Dah!unanijenga saana bro!Unanibariki!naona kuinuka sana!siku Moja!nitakuwa pale!kuna mahali napaona
Umetisha Sana brother
nice
Big up sana
Hawa watu wanajisikiaje kuona hii interview huku wakijua wao walikua ni miongoni mwa waliotaka kukushusha.
Ya nimebarikiwa mnoo na ushuhuda huu i can't how to explain it
Ooh I see me
Kumbe kulia kwenye huduma ni kawaida Yesu nitaimba sasa nitaimba tena
❤🎉
Kila unayemuona leo hajawa tu hvo kuna sehem katoka
Paul nimekusikiliza kwa makini sana. Naomba namba yako pliz.
Katuni
Paul ni baraka kwa Tanzania napenda kumsikiliza, ana historia nzuri sana japo inaumaa. Lakini ndio iliyomfanya afike hapo alipo.
,katyumii
Sasa haya maisha ndo zamu yangu 🤔
Siku zote. Mti wenyematunda ndio unaopigwa mawe
Nimetiwa moyo kabisaaa
🚶😍😍😍 duuuh kila mwanaume mwenye mafanikiyo kuna nyuma yupo mwanamke
Wazo jema
Mtaje tu, wachungaji wasio na maana hao..
Brow!
Anatengeneza ushuhuda wako,umshinde adui kwa ushuhuda wako
Polee sanaaaa Kaka angu jmniiiiiiii Mungu mkuu mnoo Acha Mungu aitwe Mungu
Mungu akubariki paul
HAKIKA NAPATA KUBALIKI SANA KUPITIA HUDUMA YA POUL CLEMENT JAMANI@@@@@@@@@NABARIKIWA SANA
Mmmm pole sn P hakika lazma opposite kwenye moto ndio ungare, ujue kpind cha umenifanyia Aman nkua Nairobi, ni wimbo ulokua wapigwa kla sehem afu walkua wanajivunia sn wewe nlokua nae yaan my boss alkua anakupenda na kukusfia sn, ukwel tuljua sku ulfiwa na mdg wako kumbe n Mtz mwenzangu
Paul ulilia walipokucrash kwny uimbaji,hujanifikia mimi but God is good
Walimcrash VP?
Visit the school to be there by to get to
Vile vyooo vyaaa hahaha
Mambo yalikuwa mengi kiukweli broo duh!
Najifunza...!
Nitakuimbia Yesu ushuhuda huu umenipa nguvu
Ushuhuda una nguvu sana
Hii story inatufundisha kutendea wema watu wenye uhitaji hivi wazazi wa joel wangemtendea mabaya sasa hivi wangeweza kumtazama usoni🙄