JOEL LWAGGA;SIWEZI KUMTAFUTA MANGE KIMAMBI/MKE WANGU HAKUROGWA/SIWEZI KUSAINIWA WCB

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • #wasafi #millardayo #diamondplatnumz #cloudstv @Got Talent Global #harmonize #rayvanny

Komentáře • 125

  • @neemakayanda5860
    @neemakayanda5860 Před 2 lety +5

    Joel unamjua Mungu unaemuabudu.....na unayemtumikia.....its level.....unajua kama haumuelew Mungu upendo wake kwa watu wake .....unabaki kumuishia kwenye ufahamu tu

  • @evamwinga921
    @evamwinga921 Před 2 lety +9

    Waimbaji wa injili wanafuatiliwa sana na adui, sababu wanaokoa roho za watu sanaaa, ndo maana wanapitia majaribu sana, but ashukuriwe Mungu huwa anawavusha na imani zao kuwa imara zaidi ya zaidi

  • @marionciano8519
    @marionciano8519 Před rokem +5

    👏🏽👏🏽👏🏽Love love his response he is doing it for the KINGDOM OF GOD AND NOT FOR THE WORLD.. he DOES NOT CONDEMN secular musicians he uses his gift from God to DRAW THEM to God…when you KNOW your calling you will not fall into temptation hongera kaka mdogo 👌🏽🇰🇪

  • @user-qo8qy8zv1f
    @user-qo8qy8zv1f Před 5 měsíci +1

    Wewe ni mtumishi wa MUNGU unatambua wito wako. Ubarikiwe sana binafsi napenda nyimbo yako

  • @lorettahamaro9065
    @lorettahamaro9065 Před 2 lety +15

    This man Joel Lwaga is an intellect,right answers to all the questions,much love from 🇰🇪🇰🇪

  • @noelmarapachi1808
    @noelmarapachi1808 Před 2 lety +8

    Joel Yesu Akushike kwa utukufu wake, Mungu Amekupa hekima sana

  • @JacquelineJanuary-ll8oz

    Joel.. Mungu amekupa hekima sana yaan. Umejibu vzr sana kwa hii interview. Mungu akuongoze daima.

  • @user-oi5tw8zi2f
    @user-oi5tw8zi2f Před rokem +2

    Barikiwa Mungu akinipa mtoto wa kiume nitamwita Joel

  • @juliethsanga6151
    @juliethsanga6151 Před 2 lety +13

    Amen mwanangu kwa majibu ya hekima huwezi kujilinganisha na na nyimbo za Dunia Barnaba yuko njiani kumtumikia Mungu Mia kwa Mia lwaga its holy name.

  • @euniceanthony4576
    @euniceanthony4576 Před 2 lety +8

    Kwa kweli umekua spiritually, majibu mazurii mnoo na sahihi , utumiwe zaidi na Mungu aisee.. na hiyo ndio sababu ya kuishi kwetu.

  • @frankotitusayo8169
    @frankotitusayo8169 Před 2 lety +4

    Daaaah. My brother umeongea mambo makubwaaa sanaaa aiseee nmejifunzaaa sanaaa ubarikiwe my mentor 💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪

  • @leahmtamba7404
    @leahmtamba7404 Před 2 lety +7

    WOW nimeipenda hii, "doing for the kingdom of God" love it!😍😍

  • @gibsonlaureangmail.
    @gibsonlaureangmail. Před 2 lety +10

    On my side, i am proud of my brother Joel ,may God bless you in your ministry, one thing I get is that , gospel singers from Tanzania we have to unity so as to make God's gospel grow and reach more nations. By Gibson laurean singertz

  • @rashidakimaro7407
    @rashidakimaro7407 Před 2 lety +4

    Kuimba injili ni huduma cyo business umejimu vema kabisa Joel🥰👍

  • @joycelaura4611
    @joycelaura4611 Před rokem +1

    Nakukubali sana kaka Mungu akutunze

  • @gwaluganomwalusamba1093
    @gwaluganomwalusamba1093 Před rokem +5

    Joel wewe ni mkomavu, nimependa majibu yako na maelezo yako. Mungu azidi kukuinua

  • @rogatendosi6826
    @rogatendosi6826 Před 2 lety +6

    Joel may the Almighty God Bless and protect you and your family. May He take you to next level.

  • @modeemojombo5662
    @modeemojombo5662 Před 2 lety +6

    Joel ! You provide answers perfectly. I love your understanding.

  • @cuprumkimwaga6500
    @cuprumkimwaga6500 Před 2 lety +7

    Nakukubal mnoooooooooo unajielewa sana kaka God bless you Joel

  • @estherphinehasi6817
    @estherphinehasi6817 Před 2 lety +8

    Ubarikiwe kwa majibu yanayojjitosheleza ishi maisha yako.

  • @beataselestine586
    @beataselestine586 Před rokem +2

    Mungu aendelee kukupa Hekima zaidi mtumishi wa Mungu,nimependa majibu yako..neema ya Mungu izidi kukutegemeza Sana katika huduma yako na ndoa yako.🙏🙏🙏

  • @yusuphfutte6979
    @yusuphfutte6979 Před rokem +3

    My brother, may God lift you on higher dimension.

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 Před 2 lety +6

    Be you na usimruhusu binadamu akakujurge let God judge you. Yaani Joel wewe endelea kueneza neno la Mungu. Hata Mungu walimsema alipokuwa anajichanganya na watu ambao binadamu waliwaona hawafai ila kwa Mungu walikuwa wanafaaa na ndio maana alijichanganya nao

  • @rachelmpimbe1331
    @rachelmpimbe1331 Před 2 lety +4

    Wanyakyusa wanaakili aisee

  • @naomiwangari4794
    @naomiwangari4794 Před rokem +3

    He is after Gods heart and purpose. May God establish his will

  • @angupeter3439
    @angupeter3439 Před rokem +2

    Go go Joel....I love what you are doing bro...blessings!😍😍😍

  • @pendomlay9674
    @pendomlay9674 Před 2 lety +2

    Ishi sawasawa na jinsi Mungu anavyotaka Mtumishi inatosha.Barikiwa.

  • @tulibakokyoma1132
    @tulibakokyoma1132 Před rokem +1

    Yesu hakuwa na ubaguzi ndio maana alimponya mwanamke kahaba kwenye kisimani..Songa mbele Joel. .PANDA MBEGU KWAO.

  • @martinmadimilo8593
    @martinmadimilo8593 Před rokem +1

    Bro your more than a gosple artist,what a complete ministration 🙏❤

  • @emilymdoe619
    @emilymdoe619 Před rokem +2

    Asante sana,umejibu vema,uko vizuri mtumishi wa Bwana. Ninaipenda huduma yako. Barikiwa sana ,Endeleeni mbele. Bwana akiwa upande wenu ni nani Alie juu yenu.?

  • @jkilogrammedia
    @jkilogrammedia Před rokem +2

    Nice interview. I liked the Wisdom the Man of God had in answering all the questions. In everything To God be the Glory.

  • @agapetouch903
    @agapetouch903 Před rokem +2

    I just Love this Guy.. GOD BLESS YOU SO MUCH.

  • @bahatimmependezamwanginda5202

    Nakukubali sana my bro from the green city Mbeya boy, unanifurahishaga sana, point zako pambe

  • @katherinyohana1891
    @katherinyohana1891 Před 2 lety +2

    Joel I love you ❤️❤️ nimekuelewa mpaka nimekuelewa tena Mungu aendelee kukutunza

  • @bspgra-ustv4119
    @bspgra-ustv4119 Před 2 lety +3

    Ombi langu kwa Mungu, ni akuwezeshe kufika mbali zaidi.

  • @joycelaura4611
    @joycelaura4611 Před rokem

    Yes uko sahihi kaka binadamu haturidhiki tunapenda kuchimbua vya wenzetu cha kushangaza vizuri huwa hatuvioni tunatafuta vibaya na tusipoviona vibaya tunavitengeneza.kaka Joel uko vizuri

  • @asheknazisillahwearetogeth7574

    Nimependa majibu yako shujaa wa Bwana
    Congratulations 👏👏👏

  • @ney_nation2544
    @ney_nation2544 Před 2 lety +7

    The song feels different for sure..i love it

  • @pharesmitarya4892
    @pharesmitarya4892 Před rokem

    Ubarikiwe sana Bro,nimependa ulivyosema wewe unaimba kwa ajili ya Mungu,na si kwa ajili yako kama waimbaji wa kidunia

  • @jeremiahobed22
    @jeremiahobed22 Před rokem +1

    Bro Mungu ni mwema kwako... Ur blessed

  • @florencenjeri1698
    @florencenjeri1698 Před 2 lety +3

    Thanks Joel for saying it's all for God's kingdom

  • @bishopheryngonyani1904
    @bishopheryngonyani1904 Před 2 lety +4

    Joel Lwaga you are talented, you sing very well. God bless you very much,
    I listened to your interview very well.
    but I want to advise you only one thing through the word of God
    2 Cor 6:14 KJV
    Do not be yoked together with unbelievers, in a way that is not right; for what friendship is there between righteousness and rebellion? What is the relationship between light and darkness?
    We are the Light of the World
    May Our light shine on people, so that they may see our good deeds; glorify Our Father who is in heaven.

  • @bitecastory2137
    @bitecastory2137 Před 2 lety +4

    Point sana bro usiweke wazi Kira maisha unayo ishi ya kifamilia so watu cyo wazur

  • @ebbyescor7614
    @ebbyescor7614 Před rokem +1

    Very perfect ideas in Spirit

  • @florabernard2056
    @florabernard2056 Před 2 lety +2

    Romans 5:8
    Fanya kazi mtumishi, mwanadamu hatosheki kwa lolote.
    Jaa Roho Mt.
    Ongozwa na Roho
    Tii Neno
    That's all
    More than that "Tunajua Mungu alitupenda tungali bado wenye dhambi"I like TULIOKOLEWA HATUKUJIOKOA.
    👍

  • @makitivo246
    @makitivo246 Před 2 lety +5

    Joel my son l love ❤️ you and be happy with your family

  • @upendodavid3081
    @upendodavid3081 Před 2 lety +4

    Nimeenda iyo wanachukua nafas ya mungu afu wanakasilika Yan hao tunao makanisan Sana Wana kela wanajiona wao wamemmeza mungu walokole wa agano la kale badiliken

    • @Werema3760
      @Werema3760 Před 2 lety +1

      Mungu ni yey yule wa jana leo na hata milele habadilishwi na habadilishwi na mazingira au utandawaz. Be careful

  • @roseluvanda1737
    @roseluvanda1737 Před rokem +2

    He is blessed😇🔥

  • @farajaonesmo171
    @farajaonesmo171 Před rokem +3

    Naweza kupata tafsiri ya hizo pete mikono miwili tofauti?

  • @neemaneema9969
    @neemaneema9969 Před 2 lety +3

    Joel ni Handsome boy Mashallah

  • @neemajohn6142
    @neemajohn6142 Před 2 lety +7

    Alipitia changamoto / mambo hayo yapo / watu hawapendi watu wawili wakipemdana/ bado uamini hayo mambo -umesema nn na unakataa nini?? Any way kama uamini MUNGU yuko na shetani yuko , yalishanitokea mm kwa ndoa yangu na nina miaka 27 sasa ya ndoa nakiri ni shida mnooo yote all tje best na maombi ndio siraha tu

  • @Shalvah19
    @Shalvah19 Před rokem

    That’s right no 17 song has change my life, it’s a prophetic song that has described everything that I have been through, I don’t listen to secular music but I was drawn to that song Sayini. Thank you for your obidience Joel and God bless you

    • @gracemataba4652
      @gracemataba4652 Před rokem

      Joel lwaga your talented ,Just think of making collabo with Abbychams,u will make a powerful gospal song as Sayuni

  • @violetsinibagiye4123
    @violetsinibagiye4123 Před rokem

    Ongera baba Mungu akulinde unaelewa unacyo kifanya.

  • @mnyakyusambunifu143
    @mnyakyusambunifu143 Před rokem +2

    Lwaga Nakukubari saana Ndugu yangu Unayajibu Maswali kiufasaa Wenye Vidomodomo wamepata Dozi yao Nakitu Chakujifunza kwako

  • @robertamas7338
    @robertamas7338 Před rokem +1

    I am blessed

  • @enosseth3899
    @enosseth3899 Před rokem +1

    MUNGU akuinue kaka

  • @alexaugustino3230
    @alexaugustino3230 Před 2 lety +3

    Proud of you brother Joel

  • @modeemojombo5662
    @modeemojombo5662 Před 2 lety +1

    Good job Suzzet! Keep glowing 😍😍

  • @edifyomtafyaggfeddy3026

    What a wise response ✨🥰

  • @alinanusweemanuely4907
    @alinanusweemanuely4907 Před 2 lety +1

    nmejifunza ktu kkubwa, barikiwa

  • @charityanthony30
    @charityanthony30 Před rokem +1

    Unakitu kikubwa sana ndani yako...sjui nisemeje in short wewe ni madhabahu ya Mungu

  • @scollantandu6278
    @scollantandu6278 Před 2 lety +3

    MUNGU akutunze zaidi 🙏

  • @adorateurandremwati2519
    @adorateurandremwati2519 Před rokem +1

    Vraiment

  • @samsonmkisi9272
    @samsonmkisi9272 Před 2 lety +1

    I'M BLESSED WITH THIS INTERVIEW...GOD I GREAT. THERE'S IMMATURITY IN IT

  • @minaelnathanael1846
    @minaelnathanael1846 Před 2 lety +3

    Huyu Joel huyu anahitaji maombi ya Kitaifa huyu. N a huyu mtanfazaji Interview nzima Diamond ooh Barbaba

    • @pharesmitarya4892
      @pharesmitarya4892 Před rokem

      Mtangazaji ana mahaba na Diamond,interview ya Joel,lakini maswali sehemu kubwa Diamond

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 Před 2 lety +1

    Blessed 😇

  • @zachariaglory9625
    @zachariaglory9625 Před rokem +1

    Aki si nimekupenda bure Bro

  • @maxmilliangabriel5244
    @maxmilliangabriel5244 Před 2 lety +1

    Dada suzzet nakufurahia

  • @lauradeogratias3055
    @lauradeogratias3055 Před rokem

    I love it ❤️is for the kingdom of God it is a ministry not industry

  • @rithersospeterkati3355

    Amen Amen Joel.

  • @juliethsanga6151
    @juliethsanga6151 Před 2 lety +3

    It's not your battle mti wenye matunda mara nyingi unappopolea tulia tu Yesu anakupigania usiogope.

  • @princebuingo617
    @princebuingo617 Před rokem

    Amazing

  • @abigailjoseph7620
    @abigailjoseph7620 Před 2 lety +1

    I respect him

  • @atanasicosmas6678
    @atanasicosmas6678 Před 2 lety +1

    Appreciated

  • @devothamwakyumba7628
    @devothamwakyumba7628 Před 2 lety +4

    Akili kubwaaa, hakunaga mnyakyusa fala

  • @jukaelyelisha6311
    @jukaelyelisha6311 Před 2 lety +1

    Be blessed mnoo broo joel

  • @tausipaschel155
    @tausipaschel155 Před 2 lety +4

    Hayo ni mapito kwa kuwa umefanikiwa simama na maombi mdogo wangu ndoa yenye mafanikio ina Vita sana.

  • @wilfredlukowo9476
    @wilfredlukowo9476 Před 2 lety +2

    Safi Songa mbele

  • @shangwerobert5639
    @shangwerobert5639 Před rokem +1

    Hatulii akijibu maswali

  • @eunicembwambo
    @eunicembwambo Před rokem

    Uko vizur, Kaka joell, please naomba no zako tuwasiliane watsup Nina taka unisaidie Jambo kuhusu uimbajii, asantee

  • @mosesmwailenge5192
    @mosesmwailenge5192 Před rokem

    Watu kama Hawa ndyo huwa tuna waita Harf cest waimani hamna wokovu nimichanganyo tuu 😭😭😲

  • @alinemfurakazi287
    @alinemfurakazi287 Před 2 lety +2

    I love this man 👨 ❤️❤️

  • @hebrew1214
    @hebrew1214 Před rokem

    -Wala msiifuatishe namba ya Dunia hii Warumi 12:2.
    -Msifungwe nira na pamoja na wasioamini kwa namna isivyo sawasawa 2Kor 6:14-18.
    -Uasherati usitajwe kwenu kamwe Efeso 5:3-4.

  • @maggiekelimishajamiishow6670

    The guy fits me alot he has what I own

  • @njiayakwelinauzima
    @njiayakwelinauzima Před rokem

    Sijacheki hadi mwisho, lakini Joel, unamjua Mungu unayemtumikia, hata nyimbo zako zinaakisi hilo. Lakini msisahau kujiombea, ilinde sana nafsi yako usikutane na changamoto iliyomkuta Rose. Joel unaimba, una sauti nzuri sana. Usikubali habari za label baba, zina siri nyingi sana ndani yake hasa hizi secular, Rose aliangushwa na Sony, keep doing what you doing, Yesu awe label yako. Mungu aendelee kukuimarisha.

  • @luthmwandinde8930
    @luthmwandinde8930 Před 2 lety +1

    Point wanapo furahi wawili wengine Wana chukia ndivyo ilivyo

  • @esterisaya9560
    @esterisaya9560 Před 2 lety +1

    ❤️❤️❤️❤️❤️

  • @careenwasonga
    @careenwasonga Před 2 lety +1

    Ahsanteeeeeeeeeee🤝🤝🤝🤝🤝🤝

  • @gloriousfamilytanzania2981

    Nasubili na ninaomba pia natamani barnaba aokoke et

  • @michaelgodfrey9838
    @michaelgodfrey9838 Před 2 lety +4

    Mtangazaji mbon kama unabishana 😝

  • @gabriemanoti2146
    @gabriemanoti2146 Před 2 lety +1

    Tafuta unyenyekevu brother

  • @WakupereeWakutelezaa
    @WakupereeWakutelezaa Před měsícem

    🕸️uishi miLeLe mbarikiwaa

  • @aoman5214
    @aoman5214 Před 2 lety +2

    Huyu Joel namkubali Sana tena Sana

  • @tumpeernest9690
    @tumpeernest9690 Před 2 lety +3

    Ko we we kila kitu ni uwongo 😏

  • @juliethsanga6151
    @juliethsanga6151 Před 2 lety +1

    Hekima don't strain your self yesu anakupigania na anampigania mkeo watches was emergency yesu uliyenaye atawajibu kwa kishindo waombee kusema sio ulinzi wa mkeo tulia mwanangu mpendwa.

  • @olivermfinanga9387
    @olivermfinanga9387 Před rokem

    Namkubal sana joel

  • @naomilukani2279
    @naomilukani2279 Před 2 lety +1

    Kidhungu kidhungu not kiswahili

  • @neemajohn6142
    @neemajohn6142 Před 2 lety +2

    Mnaficha ficha viti vya shetan na nyie ni kioo cha jamnii my be kama hamkuitwa na Mungu kwa kazi hiyo lhujui tu watu watapona vipi kupitia changamoto mmh huwez mpost mbona mwanzo uliposti??? Sawa mdogo wangu yote all the best

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 Před 2 lety +3

    Watu hawaridhiki kwakweli

  • @roberttagaya9098
    @roberttagaya9098 Před rokem

    Huyu demu nae. Yani kila mtu anae mfanyia mahojiano basi lazima amtake awe kama diamond. Sijuwi yeye huyo mtu ndio anamuona mfalme?

    • @kiatu
      @kiatu Před rokem

      Wengi wanachojua ni mapenzi, stupid.