Gibson Masaki is a popular Tanzanian Gospel Minister and Recording Artist under TNT Production label. AMKA is a new song be blessed when your viewing it.
Amen Amen HII nyimbo inatufundihsa kunyenyekea KWA MUNGU ILI akuinue zaidi na zaidi coz unapaswa uwe chin muda WOTE muinue Mungu na kumrudishia sifa na utukufu
Nilifanya biashara nilipata hasara sana no postive progress,faida inapatikana na pesa haikai,wateja ndio hivo tena but this song ENERGIES ME, KEEP PUSHING ON. Nabarikiwa sana na huu wimbo MUNGU amesema na ninyi juu yangu sana sana mstari wa "MAFANIKIO YAMEFICHWA KWENYE MAUMIVU MAKALI" napata nguvu sana napo sikia huu wimbo ni kama naona KESHO YANGU iliyo kubwa sana kwa jina la YESU. Hallelujah 🙏
Nyimbo imejawa na Utukufu Sana Mungu aendelee Kukutumia kaka ucje ukajikweza kaa kama Sura yako inanyo onekana Mungu atakutumia Sana. Hii nyimbo Iko na Mafuta mengi Sana Halafu hii nyimbo pia ni Dawa ukiisikiliza kila kitu kina kaapoa ubongoni
Hiii track nilisikia kwa sim ya my wife nilivyo sikiliza nikatamani nirudie mala mbili hakika hii nyimbo iko na ujumbe mzito amka . Blessed sana wakuuu Mungu awatunze👏...*mr kibaLi*
Mungu wetu hajalal anaona Ni kungoja kwa Imani na tumaini 🌻 ... Ya dunia yaache yapite tu maan yanaumiza ....tuutazamie ule mji udumuo usiojengwa na mikono ya wanadamu .... 🙏 Amen Godblees you brothers song ...#.(Ligendarii ) 💞
Kama umeipenda wimbo hu naomba tukutane katika likes hapa chini👇👇
Sifanikwako.bwana.haleluya.ubalikiwe.
Who is here with me today....am blessed with this song
Nikisikiliza huu wimbo nautafakari ukuu wa Mungu🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Natamani nirudie huu wimbo habari za zamani zimenichosha
Daah ww mtu steve unajua
Hakika wimbo huu unatia moyo sana.
Sijui masikio yangu yanashida eti yanafananisha
Kila Nikisikiliza huu wimbo Namtafakari Mungu Kwa Upendo wake Mkuu mbarikiwe watumishi wa Mungu❤🙏🏾🙏🏾
Amen Amen HII nyimbo inatufundihsa kunyenyekea KWA MUNGU ILI akuinue zaidi na zaidi coz unapaswa uwe chin muda WOTE muinue Mungu na kumrudishia sifa na utukufu
Mungu akuongezee katika kipaji alicho kujalia
Ambwene mwasongwe wa pili huyu yupo vizuri sana
Mungu anajua nauhitaji nyimbo mpya. Be blessed. You are a blessing Gibson na Godfrey
Nilifanya biashara nilipata hasara sana no postive progress,faida inapatikana na pesa haikai,wateja ndio hivo tena but this song ENERGIES ME, KEEP PUSHING ON. Nabarikiwa sana na huu wimbo MUNGU amesema na ninyi juu yangu sana sana mstari wa "MAFANIKIO YAMEFICHWA KWENYE MAUMIVU MAKALI" napata nguvu sana napo sikia huu wimbo ni kama naona KESHO YANGU iliyo kubwa sana kwa jina la YESU. Hallelujah 🙏
First Kenyan kufika hapa,natabiri nyota yako Ing'ae katika jina la Yesu kristo mwana wa Mungu
Amen
Mungu azidi kukubaliki nyimbo zako zinanifariji San ukiwa na yesu Raha sana❤
Huyu kaka kunakitu atafika mbali mungu mwema❤ nakupenda hata mimi napenda kuimba ila ndo ivo
Kiukwel ujumbe huu ni mzuri Dana sichok kuisikiliza naweza maliza SK nikiisikiliza wimbo huu ni mzuri Dana na unabariki na kutia Moyo MUNGU akukumbuke
Ubarikiwe sana bro 🎉🎉🎉❤❤
Nyimbo imejawa na Utukufu Sana Mungu aendelee Kukutumia kaka ucje ukajikweza kaa kama Sura yako inanyo onekana Mungu atakutumia Sana. Hii nyimbo Iko na Mafuta mengi Sana Halafu hii nyimbo pia ni Dawa ukiisikiliza kila kitu kina kaapoa ubongoni
Ndani ya kweli niwe huru❤
TANGA BOY YOU ARE DOING WONDERS, GOD BLESS YOU TOO. EIMEN.
Nice song,so powerful be blessed man of God
Like it so much my br
Mungu akubaliki kila nikiamka Asubuh lazima nisikilize huu wimbo
MUNGU akuinue katika viwango vya juu kwa utukufu wake
Amen
Wimbo mzuri tena wenye kutia moyo. Mungu akuzidishie neema mtu wa Mungu. ❤️
Safi Sana Wazee,,, MUNGU WA MBINGUNI,, Awajarie Mfike Mbali Ki HUDUMA,, Tukutane PARADISO
Najisikia amani nikisikilizi nyimbo zako Kaka asanteeee
Gipson wimbo huu umeuimba kwa hisia kali,mi huwa sitosheki kuusikiza..,am telling you ,, God is taking you far
Nyimbo zako nzuri broo zinanibariki Sana hata Kama naumwa nikisikiliza napona God bless you
Amen. Mungu awabariki sana.
Kazi nzuri sana MUNGU awafikishe mbali
Good job ndugu zangu mfike mbali aseeeh
Najikuta kupata nguvu mpya ya kusonga mbele, Mungu akubariki sana kaka kazi yako Ni njema sana
Nice. Nabarikiwa sana na nyimbo hii. Mungu akutumie Godfrey steve
mm nyimbo zk tu zinantiga moyo sn napenda sn kuziskiliza mungu akubarki mno
Mmeimba vzr Sana had raha
Glory to God.... Nashukuru sana KWA support YAKO
💕Kupitia mm watapona wengine✍️
Unajua sana sana jamani mungu aendelee kukupandisha juu
Amka Bwana nakutazama, Mungu wangu naomba niongeze naomba uwe na mimi kwa kila hatua ya maisha yangu na wanangu na ndugu zangu pia marafiki Amen
UTUKUFU KWA MUNGU
Amen
Mungu azidi kukutumia brother nabarikiwa na nyimbo zako nakupenda
Basi shetani anateseka uko alipo ni hatari be blessed majabari ya Mungu
Am so Blessed
Kwa Ujumbe na Sauti Nzuriiii
Mungu akubariki sana maan hii nyimbo inanipaga faraja
Mungu azidi kukubariki godfrey tunabarikiwa kwakupitia nyimbo zako
Kazi nzuri sana sana barikiwa kaka
Nawaombeeni Mungu aendelee kuwa2mia kea viwango vya ajabu ili jina lake li2kuke kupitia nyie mbarikiwe xan
Saut nzuri wimbo mzuri
Mungu awabariki sana watumishi wa. Mungu
Amen
Mimi bila WW Bwana Yesu siwezi kufarijiwa na ya Dunia........❤❤❤
❤❤❤❤❤ so nice
amen the good message quality voice utafika mbali sana kaka
Upitiayo wewe watapona wengine is really deep.
Mungu akuinue juu zaidi kaka yangu
kazi nzur ndugu zang
Ninaomba Mungu aniongoze,bilan yeye mimi si kitu,ubarikiwe muimbaji n'a Mungu akuongezeye hekima n'a akili nyingi
Kaka ubarikiwe Sana uimbaji wako unanifarj sanaaa
Amen glory to God
Waoh!!! Powerful message, Mungu awabariki 💞💞💞🔥
Amen .. Glory to God
Godfrey hujawahi niangusha kwa hii sehemu Mungu akufikishe mbali
Nimependa sana ulivyoimba nyimbo hii lakini Kaka jina la Yesu hata kidogo kaka
nimeisubiriiiiii saaaaana safi ngugu yangu MASAKI
🙏🙏 UTUKUFU KWA MUNGU
Sehemu Godfrey ulipo huwa nakuwa blessed sanaa🥰🥰 Mungu mwema🙏🙏
Sauti yake ina mamlaka flani hivi ya kubariki 🥰
Hata mimi jamani sauti yake ina kibali Ooooh tumuombee sana Mungu azidi kumtumia
Sauti yake tu lazma utliye,inanibark sana
Natamani niibe huu mwisho ukuja kwa wakati kwangu
Hongereni sana ,kazi ni njema mno👏👏👏
Bado lile kolabo yako na Velena
Ni kweli,Kuna muda Moyo nao unagoma kufarijiwa na ya Dunia,shout out to you brother 🙋🙋🙋
Waooooo hongera sna sna jmn
Kazi nzuri sana, siku moja tutafanya kazi pamoja candy Studio
Mungu wainue kwa viwangu vya juu zaidi wimbo umenibariki na Mungu awatunze
Jamani nyimbo zako ni nzuri mno naomba ziwe offline pia ,pleaseeee 🤭🤭🤭🤭
Wimbo mzuri nimebarikiwa
Nashukuru... UTUKUFU kwa MUNGU
@@gibsonmasaki6294 Amina mtumishi.
Wimbo unanibariki sana
It's Amazing song,be blessed brothers,moyo nao unagoma,kufarijiwa na yadunia,ilike it😘😘😘😘😘😘😘😘😘
A million dollar voice!
Shikamoo brother uko vzr
UTUKUFU KWA MUNGU 🙏🙏🙏
A nice song with a Fabolous message but Dunia haiwezi kukusubiri😊
Hongera sana nakuona mbali nyimbo zako sichoki kusikiliza
Amen Amen Amen
@@gibsonmasaki6294 LIGENDARY
It hits different “Mafanikio yamefichwa kwenye maumivu makali”😊
Amen kubwa MUNGU akubariki sana kaka
Amen
Very beautiful song. God bless you guys!
Ubalikiwe sana
God bless you always nabarikiwa sanaaaaa sanaaa...
Amen dadaangu ... Glory to God
Hiii track nilisikia kwa sim ya my wife nilivyo sikiliza nikatamani nirudie mala mbili hakika hii nyimbo iko na ujumbe mzito amka .
Blessed sana wakuuu Mungu awatunze👏...*mr kibaLi*
Mungu awabalik Sana san
Mungu wetu hajalal anaona Ni kungoja kwa Imani na tumaini 🌻 ... Ya dunia yaache yapite tu maan yanaumiza ....tuutazamie ule mji udumuo usiojengwa na mikono ya wanadamu .... 🙏 Amen Godblees you brothers song ...#.(Ligendarii ) 💞
Amen
Godfrey steven mfalme wa rnb kwny gospel,na kuna mtu anaitwa kibonge wa Yesu nae noma
the tone ...... simba
Glory to God
Barikiwa sana, nimebarikiwa
Mna juwa kwimba kabisa
SIFA HESHIMA UTUKUFU KWA MUNGU
Nimebarikiwa mno .....muende mbali wadogo zangu ktk Bwana hakika AMKA👏👏👏
Amen
So nice Jamoniiiii😙👌😙😙❤️Mbarikiwe mpaka mshangae nawapenda sana Dady I know you know 😊🤗🤗
Kazi nzuri brother nimebarikiwa na nyimbo hii
Ame... UTUKUFU KWA MUNGU
Amen
Hongera kaka
Ujumbe mzito sana mkuu
Glory to God
Mimi bila MUNGU kipofu hahahahaa MUNGU akutunz mtumishi
Aisee mbarikiwe sana ndugu zng,nyimbo imenibariki mno..Mungu azidi kuwainuwa
Everyone listening to this song be blessed. May God's shine His face upon you.
Mungu akubariki sana
Haya majamaa ya Mungu yako vizuri sauti zinafanana
Hongera sana ndugu zangu kazi nzuri sana hii
Wimbo huu ni moja ya tiba kwangu.. ubarikiwe sana🙏 Godfrey
Wimbo unanibariki sana ❤❤