STILL NOT YOUNG We GLORIFY GOD for the way HE Lift up Our FAITH . Singer : GODFREY STEVEN Writer : GODFREY STEVEN Producer : ZAKAYO SINDWANI Director : EINXER
SHALOOM WABARIKIWA WATU WA MUNGU MOYO WANGU UMEJAA SHUKRANI KWA UPENDO WENU HUU AHSANTENI SANA KWA BARAKA MNAZO NIWISH ZINATIA MOYO NI OMBI LANGU MZIDI KUNIOMBEA NA KUSSUPORT HUDUMA YANGU MUNGU AWABARIKI SANA🙏🙏🙏
Hallelujah 🙏 Kuna Neema ambayo mtu anapewa ambayo huitwa kipawa Kwa ajili ya kuujenga mwili wa Kristo ambacho ni sawa kabisa na Karama ambayo kazi yake ni Kuujenga mwili wa Kristo.
Nikiisikiliza hii sauti always moyo wangu unajawa na amani, furaha coz haijawahi fail kwenye hii fani🔥 God bless more and more brother god, always am proud with you everywhere 💪
Kwakweli, Tuna enjoy sanq,na huduma ya huyu mtumishi wa mungu, lakini kisambaa kimenifanya nitoe machozi, kweli wasambaa mungu ametupa vipawa vya ajabu sana,Mungu atutunze Tufanye kazi yake kwa uaminifu, najua sisi ni waaminifu na ni kabila la watu wasio na TAMAA. AMEN. Si mdodo vituhu zumbe ni yesu uzanitifukiza mtozesho. Amen
I can't get Enough of this song It's a blessing to my life 😪😓✨for sure it's a blessing to my life 😭😓May it heal someone somewhere who is reading this 🙌🙏🏼
What a bless Song ! Its my first time to listern to you i have never come Across your song before ! God has bless me this morning to come come across this song when am at my lowest thank you God , Be bless
Napenda sana nyimbo zako Godfrey mungu akubariki sana naenjoy sana nikisikiliza malengo yetu yatimie na yatatimia kwa kumtanguliza Mungu tumuombe atutimizie❤❤❤ weyeeee
Mungu akubariki sana yaani huu wimbo mm nilishani ni mpya umenibariki sana Yesu aitunze saiti yako na kipawa ujichojaaliwa, ukiusikiliza huu wimbo machozi lazima ya kutoke. God Bless u❤
Kweli wewe Godfrey unatakiwa umwombe Mungu ipasavyo ili usije kuwa na kiburi maana kipaji chako na uimbaji wako mimi siwezi hata kuuelezea,una kitu kikubwa sana ndani yako,Mungu amekuwa kipaji kwelikweli na kukubarikia hilo,nakupenda sana na unanitia Moyo sana na Kiwango cha Imani kinapanda nikisikiliza na kutazama nyimbo zako,Mungu akubariki ila kwa hii still not young umekomeshwa mtumishi
Roho mtakatifu Huu wimbooo umesemaa na kizazi cha vijanaa wengii nikiwa mmoja wako, endeleaa kumuongoza atupe vile vya rohoni vituponye na kutuongoza ktk njia ifaayo. Amina.
SHALOOM WABARIKIWA WATU WA MUNGU MOYO WANGU UMEJAA SHUKRANI KWA UPENDO WENU HUU AHSANTENI SANA KWA BARAKA MNAZO NIWISH ZINATIA MOYO NI OMBI LANGU MZIDI KUNIOMBEA NA KUSSUPORT HUDUMA YANGU MUNGU AWABARIKI SANA🙏🙏🙏
Your voice has blessed by GOD.
My favorite song ♥️ God bless you bro
Unajuwa
Mungu aendelee kukuinuwa Kwa viwango vya juu
Wow congratulations God bless you
Kama unaamini hii nyimbo itafikisha views million naomba like zakutosha
As I put my sign here.Wewe unayepitia sana shida Mungu akutie nguvu
Barikiwa sauti nzuri kama zikimsifu Mungu huwa nabarikiwa
Bravo brother. Kazi nzuri sana. Real I am not Young.
Hallelujah 🙏
Kuna Neema ambayo mtu anapewa ambayo huitwa kipawa Kwa ajili ya kuujenga mwili wa Kristo ambacho ni sawa kabisa na Karama ambayo kazi yake ni Kuujenga mwili wa Kristo.
Stay blessed br ,mungu akuinue kwa viwango vingine zaid na zaid
Mbona huu wimbo umeimba vizur Sana adi machozi yamenitoka🏥⛪
Dah ...still am not young...umetisha san
Karama yangu haina maana nidharau wengi ✋🤲🙏
Umenitenda ukarimu bwana🙏🙏🙏
Utukufu apewe bwana
Heleluya barikiwa sana naangalia nikiwa omani
Nguth ndagha fijho ghwe kyala ghwe Tata ghwa lughano♥️♥️
Barikiwa sana
GODFREY STEVEN kwa kweli uwa unanibariki sana ... Still not young 🙏🇰🇪
Still Not Young
My geee 💥💥💥💥💥🙆🙆
Waoooh nimefurahi kukuona huu wimbo I been waiting
My best gospel singer right now 🙏uzidi kubarikiwa
Waiting
Jamani huu wimbo sijui ni mara ngapi nauskia duh Mungu akubariki
Si mdogo tena......barikiwa sana kaka nyimbo zako zinanibariki Mungu akuinue juu zaidi
Naisubiri
Huyu jamaa ana sauti ya kipekee saana hata akishirikishwa kwenye wimbo wowote ule akiimba tuutajua huyu Godfrey
Nikiisikiliza hii sauti always moyo wangu unajawa na amani, furaha coz haijawahi fail kwenye hii fani🔥
God bless more and more brother god, always am proud with you everywhere 💪
Always hujawai kukosea katika huduma yako more bressed bro MUNGU azidi kukuongeza zaid na zaid
Hujawahi kufeli kaka Mungu akutunze 🙏
Mtumishi Godfrey nimebalikiwa Sana🙏
my new found star....... brother keep going for Jesus
Waoooo❤❤❤❤❤ hakika wewe ni mkaka mungu kakupa kipaji kikubwa kitumie kaka angu
Barikiws sana😍
Nko hapa naingoja
Amina Amina Mungu wa mbinguni aendelee kukuinua brother, asante kwa ibada hii nzuri
Umenitenda ukarimu Bwana, Roho yangu imekufurah...Be blessed Min Godfrey steven 🤗🤗
Kwakweli, Tuna enjoy sanq,na huduma ya huyu mtumishi wa mungu, lakini kisambaa kimenifanya nitoe machozi, kweli wasambaa mungu ametupa vipawa vya ajabu sana,Mungu atutunze Tufanye kazi yake kwa uaminifu, najua sisi ni waaminifu na ni kabila la watu wasio na TAMAA. AMEN. Si mdodo vituhu zumbe ni yesu uzanitifukiza mtozesho. Amen
Wooow,,wow Mungu azidi kukuinuaa kaka🔥🔥🙏
Video hii nilisubiri kwa hamu! Barikiwa sana kaka 🙏 by Godriver!
Amina Kaka umeutendea haki wimbo, keep shining in God's glory
Nice n quality work...big up braza
Umitenda Ukarimu Bwana
Roho yangu Imefurahi... Halleluyahhhhhh
Still not young umenikuza mwanao,good work
Wimbo mzuri mno wa tafakar! Be blecd steven
Barikiwa
Umetishaa godfrey
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🎶🎼🎸🎤Ameen Utukufu kwake Bwana
Wimbo huu unanibariki Sana sichoki kuusikiliza keep up mtumishi
Keep up bro! Unajua sana 🔥🔥🔥
Askari wa BWANA 👏am sure GOD IS PROUD OF YOU.
Bless you mtumishi I love this song
Zidi kubarikiwa mtumishi wa Mungu. Nabarikiwa na nyimbo zako. 🙏
Hii imenigusa sana.nakuombea umarufu usikutetereshe my brother in Christ
Waoo audio video ujumbe ni fireeee god bless you my brother
Never seize to amaze me Brother.Mungu akuinue zaidi na Zaidi
Unafanana na my. Late beloved uncle.... Ubarikiwe Sana
Kwakweli Mungu akubariki Sana Mtumishi
Great 💪 safi sana mdogo wangu.
I can't get Enough of this song It's a blessing to my life 😪😓✨for sure it's a blessing to my life 😭😓May it heal someone somewhere who is reading this 🙌🙏🏼
Amen
Amen
AMEN
Barikiwa kaka
Unanibariki sanaaa
🔥🔥🔥
amen my bro🔥
Who ever listens to this remember In the world where you can be anything be kind and humble it is priceless
from central Kenya i am listening to you on a daily basis. God bless you.
Still not young umenijaza Iman🙏🙏💪 be blessed brother
Hallelujah 🔥🔥🔥
What a bless Song ! Its my first time to listern to you i have never come Across your song before ! God has bless me this morning to come come across this song when am at my lowest thank you God , Be bless
Amen amen barikiwa sana kaz yako ni njema sana
Barikiwa sana isitoshe moyoni mwangu umejaa furaha sana na nyimbo zakubariki sana
I woke up with this song in my heart today...be blessed brother
#still not young❤️
Amen mtumishi wa Mungu
Yessss!!!
Huwa nasikiliza nyimbo zako usiku na mchana kutwa. Una kipaji cha hali ya juu sana kwenye kuimba na kutunga. Excellent.
i can't wait 🔥🔥🥳
🙌🎸💪🙏 Stay blessed brother
Ubarikiwe mno Mtumishi wa Bwana
Napenda sana nyimbo zako Godfrey mungu akubariki sana naenjoy sana nikisikiliza malengo yetu yatimie na yatatimia kwa kumtanguliza Mungu tumuombe atutimizie❤❤❤ weyeeee
Niko hapaaaa
I can wait 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Barikiwa kabisa Umejaliwa neeema kitu chema kabisa Mungu akubariki💪
Still not young,,what a beautfl song is this!!,am so blessed with this song,,watchin from East Africa- Tanzania
Mungu akubariki sana yaani huu wimbo mm nilishani ni mpya umenibariki sana Yesu aitunze saiti yako na kipawa ujichojaaliwa, ukiusikiliza huu wimbo machozi lazima ya kutoke. God Bless u❤
Yes Lord,,Zumbe Yesu ooh hallelujah 🙌🙌
Still not young🙏🙏🙏be blessed❤️
My favorite song ♥️ God bless you
God bless you 🙏 more blessed
Keep moving saaana Mr Godfrey Steven huwa nabarikiwa saaana juu ya utunzi na uimbaji wako
Godfrey unaimba nyimbo nzuri sana wewe kaka Mungu wa mbinguni akuone kwa ukaribu sana nakupenda
Amen hakika huu wimbo unenipa nguvu nyingine mpya kaka Mungu akubariki🙏🙏🙏
love this song so much... be blessed Steve...Mungu akiongozwa Zaid 🙏🙏
Barikiwa sana mt. wa Mungu, wimbo nzuri na una ujumbe nzuri.. Mungu aendelee kukuweka viwango vya juu zaidi
Nyimbo zako zinanibariki saaaanna kama hiii still not young naipenda Sana ever time nasikiliza
Iyo kweli sana brother
Napenda Sanaa sauti Yako,mungu akubariki pia kaka Kwa nyimbo zako za kujenga🙏🙏🙏
nabarikiwa sana na huu wimbo... asante sana mtumishi Godfrey steven
Kweli wewe Godfrey unatakiwa umwombe Mungu ipasavyo ili usije kuwa na kiburi maana kipaji chako na uimbaji wako mimi siwezi hata kuuelezea,una kitu kikubwa sana ndani yako,Mungu amekuwa kipaji kwelikweli na kukubarikia hilo,nakupenda sana na unanitia Moyo sana na Kiwango cha Imani kinapanda nikisikiliza na kutazama nyimbo zako,Mungu akubariki ila kwa hii still not young umekomeshwa mtumishi
Unanibariki sana mtumishi wa Mungu, naamini CK moja Mungu atakufikisha sehem husioitegemea 🙏🙏
Barikiwa mtumishi G Napenda snaa nyimbo zko unanibarik snaaa, 🙏
Roho mtakatifu Huu wimbooo umesemaa na kizazi cha vijanaa wengii nikiwa mmoja wako, endeleaa kumuongoza atupe vile vya rohoni vituponye na kutuongoza ktk njia ifaayo.
Amina.
Blessed talented 🙏
Nakuombea.!!