Mathias Walichupa - Ni Wewe (feat. Godfrey Steven) [Official Music Video]
Vložit
- čas přidán 12. 06. 2020
- Stream/Download Ni Wewe on 👇🏾;
mathiaswalichupa.lnk.to/niwewe
/ @mathiaswalichupa
Listen to Mathias Walichupa
Apple Music / mathias-walichupa
Boomplay www.boomplay.com/share/artist...
Spotify open.spotify.com/artist/5aHMq...
Audiomack audiomack.com/mathiaswalichupa
Deezer deezer.page.link/3SAAY1Hfi86G...
Tidal tidal.com/browse/artist/23641862
For Booking: WhatsApp +255757255858
Email: @chupaprotz33@gmail.com
Follow Mathias Walichupa
Instagram / mathiaswalichupa
Tiktok: / mathiaswalichupa
Facebook: / mathiaswalichupa95
The official CZcams channel of Mathias Walichupa. Subscribe for the latest music videos, perfomance and More.
#Niwewe #Mathiaswalichupa #GodfreySteven
Ngonga like kama bado unasikiza 2024
May 2024 anybody?
Wale wanataraji kufika nchi ya ahadi likes plzz
Good music
Nabalikiwa nanyimbo zako nazipenda
Nyimbo Zina ujmbe wakat wote zinanifarij kwel❤
Amazing song ❤❤❤
Kama umerudia hapo mwanzo kam mm gonga like😇
Zyra 1
M
Aàaàqqqq.
Àà
If you can feel the Anointing in this song...Press like🇹🇿🇺🇬
Nice
.
Deep anointing on this song 🙏🙏
Nimebarikiwa mnooo
Da song ya maana had mtu waweza lia
Hii song nimeirudia kusikiza Mara sijui mia ,,I tell you inaniblessssss tu sanaa
Me siku ya pili Leo najiskia kusikiliza hii song tuh
Me siku ya pili Leo naskiliza tuh hii nyimbo ina ni bless hadi sio poa watu wa Mungu
Me tooooo
Huchoki kusikiliza huu wimbo umejaa mafuta 💪
@@angelmunisi9789 r
Daaah real huu wimbo umenifungua san na kunifny nijitafakarii sana😥😥😥😥😥😥
Kama umekuja kipindi hiki Cha kuondokewa na kipenzi chetu gonga like twende sawa...huu wimbo ukafanyike faraja kwetu sote
Mambo kaka
Kuondokewa na nani tena
Mbn mnatuchangny nan tn uyoo
Nani huy aliyeondoka
From January to December nimejua ulienilinda ni wew😭😭😭😭😭😭ninapokosa ujasiri na nguvu zitaponiishia msaada wangu ni ww,,mwisho wa njia ni nzuri kuliko mwanzoni
Hayupo mwengine ila ni wewe bwana
Be blessed brother
@@graceramsey2209 ikkjnupppppll
Long oki
Oo
Sina mwingine ila wewe tu bwana ......ufutae uso wangu aibu na fedhea....ninapo kosa ujasiri na nguvu kuniishia msaada wangu ni ww......nani mwingine anapata hisia anaposikiliza huu wimbo ....
Kutembea na yesu ni laha sana najikuta nafalijika kila naposikia wimbo huu
Ubarikiwe sana mwana wa Mungu, wimbo wako ninao kwenye cm yangu! Unanifariji maombi ya usiku.
Nimechelewa sana kuujua, m blessed with this song
Heheh its never too late to find a right thing. This song is surely a right thing everyone should find.
@@lugendolila5094 siwem jamess
Siwema James
@witness kunyatila sasa mi ndo nimeujua leo😩
bonge la song hawa jamaa ni noma sana nawaona kwa mbali wakienda kuwapoteza akina, Joel lwaga, Goodluck gozbert, na paul klement
Wimbo unanipa faraja wakati huu ambapo raisi wangu mpendwa ameondoka magufuli😭😭😭😭😭
😭😭
Hakika ❤
Dah katika nyimbo zinazonibariki na sijawah kuichoka yaani ni huu inanipa faraja mnoo ,naupenda
Ninaposikia huu mwimbo nalia sana nikifikilia maisha niliyopitia nashukuru mungu am so blessed ini wewe bwana ahsante mungu
i feel happy more
huu wimbo daah nimechelewa kuujua daah wimbo mtamu na unanibariki kila kukicha aisee ubarikiwe Mathias endelea kutupa mambo mazuri yenye kutupa amani ya rohoo 😍🥰🥰🥰😍😍😘😘love from,🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Halleluyah halleluyah 🙌
Tunaofunga mwaka na hii nyimbo like zenu plz🙏🇶🇦
Nabarikiwa sana nahii nyimbo
Nimejikuta na Rudia tuuu siichokii be bless kaka umeniweza kwa song zuriiii
Wimbo huu unanipa faraja sana na unanfanya nijisikie fahari kuwa mkristoo
Kaka Godfrey MUNGU akubariki sana.... Una sauti tulivu sana... Endelea kunyenyekea chini ya mkono wa MUNGU ulio hodari yeye atakukweza kwa wakati wake.
The song gives me blessings and much couragers... Nikiuckiliza ckat tama nazid songa mbele😘😘😘
Huyu jamaaa ni mkali csaana Mungu ambarki sana
Amen Amen 🙏
Huu wimbo unanifariji mno,,, ni kweli msaada wangu ni yesu,,
Mngu akubaliki sana
Nilisikia huu wimbo kwenye radio tu na ukanipa amani moyoni sana😊. Nisiwe muongo huu wimbo nimeutafuta sanaaa kwanza sauti yako imenichanganya nikafikiri ni Joel lwaga🙆🏿♀️ ......wapiiii nikaandika ni wewe Bwana hatimaye nipo hapaaa😃. Barikiwa sanaa mtumishi wa Mungu👋🏾🙏🏽
Same here nilijua n Joel lwaga😅
Mapinduzi makubwa sana kwenye Gospel hawa jamaa ni mafundi
Watafika mbali sana keep it in persistent
kutoka kwa baba keigan wimbo mzuri
barikiwa sana
Nyakati za huzuni furaha zote unanpa Amani 😭😭🙏🏼🙏🏼
Beloved, I don't know you in person but God knows you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with a motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (Godstime MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2349155255546) tell him I sent an you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you.
Tangu mawio hadi machweo ulinipa mwangaza ni wewe....milimani, mabondeni kote unakuwa nami.....Nchi ya ahadi
Ahsante Mwenyezi MUNGU Kwa Kuwa Kimbilio Langu....Hakika Ujawahi Kuniacha NYAKATI ZOTE....Ahsante YESU
Leo mara ya elfu 1000_ kusikiza hii nyimbo ndani ya siku 5 mbarikiwe sana nyie watu
BWANA YESU awainue kwa viwango vingine. ROHO MTAKATIFU wa MUNGU awafunulie mafunuo mapya kila iitwapo leo. Nimemuona MUNGU ndani ya wimbo huu. ROHO MTAKATIFU awalinde na kuwaepusha na majaribu yote. BLESSINGS ON YOU
Ameeen ameeen 🙌🙌🙌
Ooh jmn God bless you hakika una nyimbo zenye uwepo sana nakuombea uendelee kunyenyekea mbele za MUNGU ili akufunulie zaid
Yesu wangu sikia wimbo yooo baba sifa kwa Yesu alie kupa haya maneno
Nyimbo inaleta amani ya moyo sana Mungu simamia kila mmoja wetu na nchi yetu Tanzania iwe na amani siku zote🤲🏿🤲🏿
Ameeen ameeen🙌
Amen
Amina
Amina kaka yangu mungu azidi kukutia nguvu
Amina mungu atupe nguvu za wokovu
Dec 2023, like hapa kama UNAAMINI ni MUNGU TU sababu tupo hai mpaka sasa. Naamini tutakutana hapa tena Dec 2024 tukiwa wazima na tuliofanikiwa sana pia.🙏🙏🙏🏻
duu godfrey sauti hiyo Mungu akuinue zaidi na zaidi wimbo umebamba
Ni wewe Bwana umetufikisha hiii December hayupo mwingine wa kutufuta machoz ila ni wewe.barikiwe thana
Sijachelewa sanaa kukufaham leo nmeona nyimbo zako upendo kwenye selection aisee sijui nilikua wap kupata huduma yako nzurii ubarikiwe sanaa kwangu hii nyimbo inaimba rohoni namtukuza Mungu kwaajil yako mtumishi mafuta mabichi yawe nawe yamiminike zaidi
Nimebarikiwa na nyimbo na kunifariji kipindi hiki cha kuondokewa na mpendwa wetu Rais John Pombe Magufuli Mungua awabariki kwa kazi nzuri vijana wenzangu🙏🙏🙏
Kazi nzuri yenye viwango!!!hakika ni baraka iliyokamilika katika kila eneo
Nyakati za huzuni furaha zote unanipa Amani.. this verse thooooo
Nimeusikiliza huu wimbo Leo na nimeurudia mara kadhaa aisee huu wimbo umenibariki sana. Asante kaka Mathias. Mungu akamtimizie kila mtu anaesikiliza wimbo huu kila hitaji la moyo wake.🙏🙏
Mungu ni wokovu na uhai wa milele siyo kutimiza hitaji la mioyo yetu. Sisi twatakiwa kutimiza hitaji lake Bwana Mungu Wetu. He is not a genie granting wishes. Only by His Grace.....
Hongereni sana watumishi wa Mungu kwa nyimbo nzuri ✊🔥
I have plated it today more than 10 times, kabla sijaona video nilidhan Joel Lwaga, barikiwa sana
Ameen Asante BWANA barikiwa mtumishi nimefarijika sana🙏👏👏
Nabarikiwa kupitia huu wimbo. umenikumbusha uwepo wa Mungu ni Mkubwa kwenye maisha ya mwanadamu kwa wakati wowote... Mungu azidi kuwaongezea nyimbo za kumsifu na kumuabudu .. mbarikiwe
Ubarikiwee Sana YESU azidi kukijaza kikombe chako🙏
wimbo huu umefanyika baraka kwangu,Mbarikiwe watumishi wa Mungu
Good song
Naipenda sana inyimbo mung akujalie kwaujumbe mzuli wamung
Ni wewe Mungu wangu ujazae vodo langu mishale vitani ❤
Daaah hongera sana Mungu akuinue viwango vya juu zaidi
Huu wimbo sichoki kuusikiliza kila siku kila siku kila siku jaman kila siku ya mungu naomba mungu awabariki nawapenda sana ndugu zangu sana nawapenda
I HEAD THIS SONG FROM THE STATUS OF MY FRIED ON WHATSAP
I DECIDED TO FIND IT SO THAT I COULD HAVE A COMPLETE SONG, IT REAL BLESSING ME
GO KEEP BLESSING YOU MAN OF GOD
GLORY TO THE KING JESUS 🙏
@@mathiaswalichupa AMEN
Like wise to me
The same to me
Same to me niliuona status kwa MTU nkaudownload hakika umenibariki
Ni wewe Bwana ...Sina mwingine...hayupo mwingine wakunifuta machozi ..msaidizi wangu
Mungu awabariki na kukikuza kipaji chenu kitaifa na kimataifa
Ujazaye podo langu mishale vitanii🙇♀️
Aisee godfrey Steven sauti yako ni fire 🔥.?Mungu azidi kukuinua sana.
Hitaji la moyo wangu Mungu unajua,nitimizie Rabana .Nchi ya ahadi tutafika na huyu ninayempenda.
Mungu akubariki kaka bonge ya wimbo sauti tamu ajabu endelea kunyenyekea wala usibebe sifa mpe Mungu nae atakuinua viwango zaidi na zaidi
Nìlimpoteza mdogo wangu mwaka jana, huu mwimbo umenipa amani sana RIP young bro
Nyakati za uzuni furaha zote unanipa amani kwa kipindi hiki kigumu cha simanzi moyoni mwangu kwa kuondokewa na rais wangu 😭😭😭 🇹🇿
Kristo aendelee kuwatumia kwa viwango vingine tena na tena kwaajili ya Utukufu wake.,,wimbo umeinua moyo wangu ulioinama
Mwisho wa njia ni mzuri kuliko mwanzo thank you Jesus 🙏
Huu wimbo ni zaidi ya faraja Mungu yupo hakika. Ubarikiwe🙏
Beloved, I don't know you in person but God knows you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with a motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (Godstime MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2349155255546) tell him I sent an you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you.
Nimebarikiwa sana Leo 🙏🏾
MC WETU PENDWA 💌
Kwakweli Had December Mungu amenilinda Ameeeen hii nyimbo imenibariki sana imenifariji sana
Ni wewe bwana uliyeniketisha mahali pa juu palipoinuka yes ni ww Bwana Yesu
Nabarikiwa sana kila ninapousikia huu wimbo
Nimeangalia zaidi ya mara 10 barikiwa sana tena sana umeugusa moyo wangu 😭😭
Amina saana,hakika ni yeye hakuna mwingne mwenye pendo kuu kama yeye. Namtukuza daima na ni tumaini langu maisha yangu yote.amiina.
Nchi ya ahadi imejaa asali, wa kunifikisha ni wewe Bwana🙏❤️🔥. @2024 🎉
Kwakweli!wimbo huu niliusikia ukipigwa radio ya T.l.f.ikabidi niingie hapaniutafute nimebarikiwa sana.nakuombea kwa mungu akuinue.
Yani this is my favorite song.....aseeh mmefanya kitu kikubwa Sana nyimbo inautulivu I feel connected in spirit
Utukufu kwa YESU mwema hakikaa 🙏
Fabulous and fantastic item
Najua Hali gumu c za kudumu zinakikomo🤲nikitamka linatimia hata km Sion dalili Nina imani nawe na utafanya🤲
Wimbo unanitia moyo najiona mshindi hakika ujazaye konde langu mishale vitani ni wewe bwana.
Ufichaye uso wangu aibu fedheha ni wewe bwana
Ufutae USO wangu machozi ni wewe bwana
Had a misunderstanding with my girlfriend, when we meet for reconciliation she was playing this song in her car. The song brought us back together 🙌
Glory to the God almighty 💥🙌
What a blessing, glory to God😊
Woooow
God is good all the time
Wow how nice..😊
Sichoki kusikiliza naupenda sana huu wimbo
Nyakati zote Bwana Yesu wangu, unanipa amani. Jina lake mubarikiwe saana
Kaanani kuzuri!,mungu tujaalie tufike hapo.nyimbo inaniwwka ktk uwepo wa Mungu!big up
Oyeee!Am a Muslim but this song has touched my heart ❤️ so much impressive and encouraging.May God bless you InshaAllah
Ameeen ameeen endelea kuguswa zaidi mpendwa 🙌
I like u
Amen
Kilaaa siku lazimaaa niusikilizeee asubh na wakati wa kulala
Amen
Muslim in love with Christian songs❤❤❤
.....
Every day when Iisten the song I feel the love of God 🙏 God bless you brother
A very nice and touchable song.
Husnah hamisi Jesus loves you my sister... You are blessed
Twakupenda husna karibu sana
Nyakat za huzun, furaha unanipa amani. Nabarikiwa sana
Glory to God🙌🙌🎤🎤❤❤nchi ya ahadi ni nzuri I love the promise
May God bless you dears, Wimbo unabeba ushuhuda wa mtu, wimbo unagusa maisha moja kwa moja, hakika hakuna mwingine awezaye kuyafanya haya bila kuchoka ispokuwa ni BWANA YESU, nikitafakari tunavyokosea na bado Yeye anatuhurumia na anayafanya hata kama hatustahili, HAKIKA NI YEYE, maombolezo 3:22-23 Mbarikiwe sana sana sana.. Mungu awajaze kwakweli
Barikiwaa Sana dada YESU akubariki
Inanibarik sana jaman
Siwezi kulala bila kuusikiliza wimbo huu,kiukwl ni wimbo unaonibark sn.Mbarikiwe sn na mfike mbali.
Cant hold my tears.
Kila ninaposikiliza ninalia tuu.
Daah.MUNGU awabariki sans.
Amen kila saa narudia kusikikiza huu wimbo hongera kwa kazi nzuri
Ama kweli ni,MUNGU mwisho wa njia ni fahari katika MUNGU AMEN
Ujazaye podo langu vitani,ni wewe Bwana!keep it up brothers Mungu akubarikini
tuliotoka kwa wolpertylish kuja hapa tujuane blessed
Waooo huuwimbo naupenda Sana daa hadinaonanipo juu ya ufalme hivii 😍 you so much ..utukufu hadi utukufu..
Hakika nyimbo zako hata kama nimekata tamaa na kuomba lkn najikuta namkosea Sana Mungu wangu Asante na ubarikiwe kaka Mwenyez Mungu azidi kukuinua uwe wa viwango vya juu sans
Whoever reading this, God knows what you are facing through, He heard your cry, He is going to deliver you. Just trust in him. Amen
Ameen
Amen
Amen
Amen 🙏
Wimbo mzuri sana, sichoki kuusikiliza, ni wimbo wangu wa mwaka. Ni wimbo ambao unabeba ushuhuda wa maisha yangu, unafariji na kutia moyo sana hasa ukitaka kukata tamaa kwenye maisha wimbo unakukumbusha kuamka na kukung’uta mavumbi na kusonga mbele ukiamini ni Mungu Pekee wa kukuvusha salama.
Mbarikiwe sana kwa nyimbo tamu, nyimbo zako zote nazipenda na zinanibariki sana🙏
Nimejikuta na😭😭😭😭niwewe BWANA wangu wakunivusha juu ya hili
Huu wimbo umenibalik San sichok kusikiliz Mungu awainue Kwa viwango vyaa juu zaid
CZcams manegment watoe tafusiri zao wanatuharibia wimbo. Asante kwa wimbo mzuri. ❤️❤️
unaweza ukatoa captions Kwenye options za video
mhhhhhh
yeaaah
From January to December
Nimejua ulinilindaa eheee
ni weweeee
Tangu mawio machweo
Ulinipa huu mwangaza
Ni weweeee
Nyakati za huzuni furaha
Zote unanipa amani
Milimani mabondeni
Kote unakuwa nami
Nchi ya ahaadii nzurii
Imejawa na asali (iyeeee iyeeee)
Mwisho wajia (ahaaaa ahaaaa)
Mzuri kuliko mwanzoni
Wa kunifikisha pale ni wewee(eeeeeeeh)
Ni weweee Bwanaaa (Bwana)
Ohhhhh ni weweee
(Ni weweee Bwanaaa)
Ni weweee Bwanaaa
Ni weweee
Sina mwingine
Ni weweee (ila wewe tu Bwana wangu) Bwanaaa
Ohoo ni weweee (ooooh Bwana)
Ni weweee Bwanaaa
Ni weweee
Ujazae podo langu mishale
Vitani ni wewe Bwana
Uufutae uso wangu aibu na fedheha
Ni wewe Bwana
hayupo mwingine wa kunifuta
machozi yangu ila ni wewe
ninapokosa ujasiri na nguvu zijaponiishaia
msaada wangu ni wewe
Nchi ya ahaadii ni nzurii
Imejawa na asali (iyeeee iyeeee iyeee iyeee)
Na mwisho wajia (ahaaaa ahaaaa)
Mzuri kuliko mwanzoni
wa kunifikisha ni wewee( Bwana)
ni weweee Bwanaaa ni wewe (Ni wewe Bwana )
ohhhhh ni weweee
(hayupo mwingine ila wewe )
Ni weweee Bwanaaa
Ni weweee
ni wewe msaidizi wangu Bwana
Ni wewe Bwana
Ni weweee ( ila wewe tu Bwana wangu) Bwanaaa
ohoo ni weweee (Ni wewe)
Ni weweee Bwanaaa
Ni weweee
Doooh aiseee nimekunyoshea mikono🙌🙌
@@mathiaswalichupa I am blessed imebidi nisikilize niandike naamini nimeenda sawa. Glory to God
Hongera sana kaka.ktk shda zangu nalimwita bwana.nakutana na magumu lkn najua Mungu anakwenda kunifuta machozi mda wwte kuanzia sasa.
Ni weeeee..eeehh bwana ni wewe hakika sina mwingine...
kabisa bila mungu sio chochote
Huu wimbo unagusa moyo wangu sana...Tena nilianza kuusikia wakati mama yangu ni mgonjwa,Mama alipenda kuusikiliza wakati wote
🔥🔥🔥💕💝💥🌺🙏🙏🙏 mbarikiwe watumishi KWA huduma .wimbo mzuri sana🙏🌺
godfrey umebarkiwaa kaka unaimbaa sio utani!🙏🙏mbarikiwe jaman
Wimbo huu umenibariki kwa kweli,ni wewe Yesu pekee mlinzi wangu na ni wewe unayeweza kutatuwa matatizo yangu nitakutumainia milele daima.mbarikiwe
Nimeupenda huu wimbo Toka uvunguni mwa moyo
Nchi ya ahadi ni nzuri imejawa na asali,,,,,,
Na wa kunifikisha ni wewe bwana hallelujah