Video není dostupné.
Omlouváme se.

Mathias Walichupa - Amen [Official Music Video]

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 05. 2023
  • Stream/Download Amen on 👇🏾 ;
    mathiaswalichu...
    / @mathiaswalichupa
    Listen to Mathias Walichupa
    Apple Music / mathias-walichupa
    Boomplay www.boomplay.c...
    Spotify open.spotify.c...
    Audiomack audiomack.com/...
    Deezer deezer.page.li...
    Tidal tidal.com/brow...
    For Booking: WhatsApp +255757255858
    Email: @chupaprotz33@gmail.com
    Follow Mathias Walichupa
    Instagram / mathiaswalichupa
    Tiktok: / mathiaswalichupa
    Facebook: / mathiaswalichupa95
    The official CZcams channel of Mathias Walichupa. Subscribe for the latest music videos, perfomance and More.
    #najitabiria #mathiaswalichupa

Komentáře • 1K

  • @gracefaida2317
    @gracefaida2317 Před měsícem +5

    Bado nabarikiwa kupitia wimbo huu who's here 2024 we all trust in Jesus name❤

  • @angelamei3260
    @angelamei3260 Před 10 měsíci +15

    Katika kipindi hiki kigumu ambacho nahangaika kutafta .kazi.. Na wazazi wangu kutengana huu wimbo ukawe faraja kwangu .. naamini Mungu atafanya ipo siku furaha itarejea tenah najitabiria kwa jina la yesu Amina

  • @GeeWhaya-jq6vl
    @GeeWhaya-jq6vl Před rokem +6

    Asante Mungu kwa kua upande wangu. Naomba uwatazame wote wanaokukimbilia ambao wamekua wakikuomba siku zote uwajibu baba.Amen

  • @lenagabriel9191
    @lenagabriel9191 Před 11 měsíci +29

    Jana nilikuwa nasoma comment za watu juu ya huu wimbo. Mda huo nilikuwa na stress sana na elimu yangu ...(sheria) nilikuwa naona naenda ku disco kabisa lkn nilisikiliza huu wimbo mara nyingi nikamwambia Mungu ata kama cioni dalili nivushe huu mwaka . Leo matokeo yametoka nime vuka mwaka japo ni kimii ujiza sana kwa cut point ile ile ...Mungu yupo na anafanya vitu nikaona nije niwatie moyo wanaopitia changamoto amini yatapita tuh hujasoma comment hii kwa bahati mbaya Mungu ana mpango na wewe na hato kaa kimya mpaka mpango wake u kamilike

  • @WebyNgogo-nj3fx
    @WebyNgogo-nj3fx Před rokem +5

    Yesu azidi kukuinua kijana,umeuteka moyo wangu kwelikweli kwa kupitia wimbo huu🎉

  • @AgathaAlphonce-d3u
    @AgathaAlphonce-d3u Před 17 dny +3

    Kwake Yesu hakuna mwenye sauti mbaya Wala asiejuwa kitu ni pale unapomkili na kumkubali na Roho wake akawa pamoja nawe basi utawezeshwa si ww Bali Roho alie ndani Yako ndio ilivyo kwa dada uwoya amen

  • @enockbuluma277
    @enockbuluma277 Před rokem +8

    aki jameni kuna mtu uko inje anafeel hii song venye nafeel na kaa ako please naomba one million views plus

  • @heavenlightobeid4264
    @heavenlightobeid4264 Před rokem +6

    Nasikia kubarikiwa na kutiwa nguvu kwa Jina la Yesu

  • @christinaids3042
    @christinaids3042 Před 4 měsíci +4

    Huu wimbo unafanyaniwe strong kwenye kupambana maisha na kumuamini Yesu wangu

  • @anethturinge2472
    @anethturinge2472 Před 8 měsíci +6

    Kupitia hu wimbo nimebarikiwa 🙏🏼🙏🏼🙏🏼 nilikua ni mtu.alie kata tamaa🥺🥺 bada ya kusimamisha kaz lakn nimepata nguvu ya kwenda kutafuta kaz tena nimekua imara 💪💪marambili zaidi kwa jina la yesu ninakiri kupokea ushindi.amen🙏🏼🙏🏼

  • @lornamwende5548
    @lornamwende5548 Před rokem +7

    Heaven is not giving us a break. Ministration after ministration

  • @FatimaSeleman-du6po
    @FatimaSeleman-du6po Před rokem +332

    Kupitia wimbo huu nimevuka mitihan mingi sana mimi siyo mkristo ila maneno yake yamenipa nguvu ya kuamin kuwa mungu ndiyo kila kwenye maisha yetu...... ubarikiwe sana

  • @mwanzajosephine468
    @mwanzajosephine468 Před 5 měsíci +5

    Ameeeen Asante kwa kugus maisha ya wengi

  • @user-te3iw6kx9v
    @user-te3iw6kx9v Před rokem +3

    Kwa jina la yesu minakiri kupokeya ushindi💪💪🙏🙏

  • @hallykanze6693
    @hallykanze6693 Před rokem +1

    Amen 🙏 najitabiria Kwa jina la Yesu..🇰🇪

  • @SelvineLumumba
    @SelvineLumumba Před rokem +12

    Finally the video is out,my Kenyan people come see this handsome soul blessing our souls 🎉❤❤❤❤❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @NELSONKAAYA
    @NELSONKAAYA Před 13 dny +2

    nabarikiwaga sana nikisikilizaa huu wimbo jaman naskia kuwa na amani ata nikiwa kwenye ugumu napata ngv mno

  • @NeemaShirima-ws8nf
    @NeemaShirima-ws8nf Před rokem +4

    "hata kama sioni dalili nina imani utafanya Yesu" Blessed! blessed! blessed!

  • @saralusinde53
    @saralusinde53 Před rokem +2

    kama ni mali fedha na dhahabu zinazipata tu ambazo wazaz wangu hawaku zipata NITAZIPATA TU NINAJITABIRIA Hata kama sioni dalili naamini utafanya Wewe BABA Amen

  • @JULIAN-es7xm
    @JULIAN-es7xm Před rokem +41

    ❤️❤️❤️❤️❤️ wimbo wangu kilasiku lazima niupige unanifaliji sana

  • @cessyshadrack982
    @cessyshadrack982 Před rokem +4

    Tuliokuwa tunangoja video ya huu wimbo tujuane🥰

  • @noellaaganze2713
    @noellaaganze2713 Před rokem +4

    Kwa wote wanao pitia nyakati ngumu, Wimbo huu uwafariji😊

  • @neemajulius8017
    @neemajulius8017 Před rokem +2

    Verse no2 inanigusa sana moyo wangu!nmekataa kufa maskini me ni tajiri ata kama nmezaliwa kwenye familia isiyo tajiri!Najitabiria Mim ni TAJIRi🙏🙏nina imani nawe YESU utafanya kwangu

  • @marymauya9207
    @marymauya9207 Před rokem +2

    Hatakama sion dalili Nina imani nawe utafanya Yesu oooh ooo.......😊😊😊😊

  • @HemediBakari-e5o
    @HemediBakari-e5o Před měsícem +3

    Huwembo naurudia mara kumi japokua sio mkristo ❤❤

  • @user-nj6vo5qb8j
    @user-nj6vo5qb8j Před 11 měsíci +5

    MUNGU anaishi milele....huu mwimbo unanigusa sana na kwa uwezo nilionao kinywani mwangu nina imani kila jambo langu limekuwa sawasawa na kusudi lake MUNGU.Barikiwa sana Mathias such a powerful song....na yeyote mwenye kuguswa kwa imani basi amebarikiwa sana na huu mwimbo.AMEN.

  • @mauricekiptanui1025
    @mauricekiptanui1025 Před 10 měsíci +7

    Kweli hali ngumu si ya kudumu mipango yake inadumu milele

  • @faidarolama3169
    @faidarolama3169 Před rokem +2

    I'm so blessed with this song Mungu akupe upako zaidi sana 🇿🇦❤

  • @mashakajeremiahnkinda452
    @mashakajeremiahnkinda452 Před 7 měsíci +3

    Ameen wokovu niwetu sisi wenye uhai si nyimbo tuu zinazotutia moyo ata mandiko matakatifu yana tutia moyo sana na iman zetu kusimama imara mfano warumi 10:11;yasema Mungu hawez kukubali anaye mwamini kutahayalika warumi10:12;maana hakuna utofauti kati ya myahudi na myunani yeye ni Bwana wa wote mwenye utajiri wa mwitayee

  • @KelvinMlay-lq1dw
    @KelvinMlay-lq1dw Před 2 měsíci +3

    I Blessing this Music, Ewee MUNGU Wa Mbinguni mpe Neema Muimbaji huyu Atoe mziki mzurii kama huu wa Kukiri ushindi Kwa Mwanadamu Ameen

  • @LizWakesho
    @LizWakesho Před 4 měsíci +3

    O yes iko nguvu kinywani mwangu ya kutamka lolote kwa jina la Yesu kristo yote ni Amen 🙌🙌

  • @AdelestineTsongo
    @AdelestineTsongo Před 7 dny +2

    Bila wewe Mungu singeweza. Ila na kiri kupokea ushindi Maana natembea katika ushindi wa Kristo Yesu. Hali ngumu haitadumu ni mipango ya Mungu inadumu

  • @queenexellent9854
    @queenexellent9854 Před 4 měsíci +6

    Parents of this guy are proud. Wish my brothers can praise Jesus.

  • @Elnathatz9749
    @Elnathatz9749 Před rokem +4

    Mbona kama matthias ni mdogo sana
    Lakin anamkumbuka Muumba wake siku za ujana wake

  • @BenyDaniel
    @BenyDaniel Před 11 měsíci +3

    Hakika tunayo sababu tena bila hofu kuzisema shuhuda zake Mungu wetu kwa ujasiri!

  • @RebekaDindi-so6ev
    @RebekaDindi-so6ev Před 5 měsíci +5

    Nabarikiwa na huu wimbo be blessed

  • @mariussimya3408
    @mariussimya3408 Před rokem +2

    Wimbo mkubwa sana, nimebarikiwa!

  • @neemapatrick1610
    @neemapatrick1610 Před rokem +3

    najitabila kwa jina la yesu ..mabaya yoteee haya nafasi.kwajina la yesu 🙏

  • @jamesfanuel4595
    @jamesfanuel4595 Před rokem +1

    Amina Ubarikiwe 🙏🙏 MUNGU wa Mbinguni akufanikishe zaidi

  • @soccerarena1482
    @soccerarena1482 Před rokem +4

    Matthias umejua kutengeneza nyimbo zinazonibariki sana , , Nakuombea ufike mbali ,, uendelea kutoa nyimbo nzuri

  • @user-hb8yh6fs9u
    @user-hb8yh6fs9u Před rokem +4

    Najikuta nna amani sana kupitia hii nyimbo barikiwa mtumishi

  • @user-qg6xk6tv1v
    @user-qg6xk6tv1v Před 6 měsíci +4

    Mungu ndio tegemeo pekee pale ambapo nimeshindwa kabisa najua hawezi kuniacha atanishika na kutenda miujiza juu ya mtihani yangu sina uhakika na majibu ila ninauhakika na yy kwasababu amenithibitishia hilo mara nyingi🙏…Amen🙏🙏

  • @FatimaAline-wv5qj
    @FatimaAline-wv5qj Před 2 měsíci +5

    Wimbo wa imani ongereni sana

  • @romes-tz7323
    @romes-tz7323 Před rokem +2

    Wimbo wangu pendwa Kila ninapoamka❤

  • @user-ol7vy6gk6p
    @user-ol7vy6gk6p Před rokem +6

    Nina ushuhuda juu ya nyimbo hii barikiwa sanaa nilitaka kupta ajali nilikuwa naimba Wimbo huu lkn sikuumia sana kidogo sana

  • @takdirkhan9408
    @takdirkhan9408 Před rokem +3

    Huu mstari nimeushuhudia hata kama sioni dalili nina imani na wewe utafanya mungu ni muaminifu

  • @miltonmugisha1805
    @miltonmugisha1805 Před rokem

    Na nilikua naisubiri hapa, umefanya kama ulivoahidi na nimekua wa Kwanza kukoment 😃 wacha tuzidi kubarikiwa

  • @DNjoguu
    @DNjoguu Před rokem +2

    kwa neemaa yako nimeweza, maaana UMENISIMAMIA 😭🙏❤

  • @khalidkhafidh5511
    @khalidkhafidh5511 Před rokem +2

    Mungu aliye mwema na makimbilio ya watu wote azidi kukulinda na kukutumia katika Utumishi wako wakuimba kaka Mathias

  • @user-hi7hy3bk8j
    @user-hi7hy3bk8j Před měsícem +3

    Wakati unatoka wimbo huu ulitoka nikiwa masomoni nchini India nilikuwa nasikiliza wahindi walikuwa wanaona roho Mt ghafla anavyonibeba😢

  • @happykitima6547
    @happykitima6547 Před rokem +2

    Siku haipiti sijausikiliza unanitia moyo sana huu wimbo

  • @MsafiriAsende-bg9ec
    @MsafiriAsende-bg9ec Před 4 měsíci +4

    Ubarkiwe sana bro kwa wimbo uhu maana unanifanya nijiisi naukarbu na Mungu licha ya magumu ya dunia 🙏🫵🫵🥲Amen

  • @suzanjaphet5674
    @suzanjaphet5674 Před 8 měsíci +3

    Nyimbo nzuri sana nyimbo hii ipate kuvunja kila baya na ovu kwetu uwe baraka kwetu....AMEN

  • @conscioushctv861
    @conscioushctv861 Před rokem +3

    Hakika huu wimbo ukawabariki wengi waliopotia mitihani lukuki lakini Mungu hakuwaacha

  • @roselyneonyoo9995
    @roselyneonyoo9995 Před rokem +2

    Nami pia nasimama kwa ujasiri niseme ushuhuda wa mungu wetu.Maana Leo amenitendea mema.Kweli kama angeniacha singeweza.Asante yesu maana umwaminifu🙏

  • @kelvin2578
    @kelvin2578 Před 2 měsíci +4

    This song is the true depiction of scripture. Thank you Mathias for such a masterpiece! May our Lord Jesus keep blessing you abundantly!!!

  • @adelamwampamba7047
    @adelamwampamba7047 Před 6 měsíci +3

    kupitia huu wimbo, naelewa kujibiwa maombi yangu ni haki yangu

  • @user-jz8xz4tw4l
    @user-jz8xz4tw4l Před 11 měsíci +4

    Mungu ndio kila kitu I repeated many times thinking about my mommy since I lost her nimepitia mengi wimbo huu unanifarij

  • @Gresiananyoni
    @Gresiananyoni Před 4 měsíci +2

    Kupitia huu wimbo ninapaswa kumuomba mungu hakuna aijuwaye kesho mungu akubariki sana kwa wimbo mzr mungu akuwezeshe utowe wimbo mzr zaid ya huu

  • @user-qh4uq3be5j
    @user-qh4uq3be5j Před rokem +2

    Najitabiria Mema Kwa Jina La Yesu,Ameeen🙏

  • @fahathafsat5082
    @fahathafsat5082 Před rokem +7

    Beautiful song, discovered it on IG from a post about a boy who prayed before setting out to sell his groundnuts. Pls someone translate for me, love from Nigeria 🇳🇬

    • @rhobymugosi9599
      @rhobymugosi9599 Před rokem +2

      Hello. Here it goes ❤❤❤❤
      I can stand before people with comfidence and tell everyone my testimonies and how you have been rescuing me. I wouldn’t have made it if you had forsaken me. It’s by your GRACE I made it because you stood by me.aaaaa
      I claim everything good because the bad has no place here. IJN I claim victory and there is power in my mouth when I say AMEN it happens according to your will
      AMEN ❤️❤️ even if I don’t see the signs AMEN ❤️❤️❤️ I have faith you will do it.
      If money, riches and gold that my parents were not able to own as for me I will own them. I grow up in faith to overcome the trials. To live a holy life, I will succeed for I know rough times has and end but the WORD tof GOD and his plans lives forever ..
      Back to I claim everything good……
      Be Blessed.

    • @sonaldojr3119
      @sonaldojr3119 Před 11 měsíci +1

      Me too

  • @angeledwin-xw5bw
    @angeledwin-xw5bw Před rokem +3

    Amen amen🙌🙌🙌🙌😭😭😭😭ni neema ya Mungu tu skustahili🙏🙏hata kama sioni dalili ninaimani nawe Mungu 💪💪

  • @richardmyeya5186
    @richardmyeya5186 Před rokem +2

    Kuna nyimbo zimeimbwa ila huu kwenye viwango vya nyimbo ni nyimbo.

  • @godfreymwandu-ye7jj
    @godfreymwandu-ye7jj Před rokem +1

    Ipo nzuri Kaka mungu akujaze nguvu uendelee kutoa vityu vikali...

  • @maulididdi7360
    @maulididdi7360 Před rokem +3

    Aaa we mfipa unajua kwa kwel mweee❤

  • @MarthaAshery
    @MarthaAshery Před 4 měsíci +3

    Kupitia huu wimbo nimejikuta na toa machozi maana ni mepitia mitihani mingi kwanzia naanza xhule paka saiv nipo kidato Cha Tano nikwaneema ya MUNGU

  • @williamuphilipo2120
    @williamuphilipo2120 Před měsícem +1

    Najitabiria mema kwa Jina la YESU.

  • @IkupaMwangoka
    @IkupaMwangoka Před 4 měsíci +1

    Amina kwa coment nzuriiii sana namm nataman mungu aniwezeshe maana naona sehem niliopo sio sehem yang

  • @rosareekelvin6709
    @rosareekelvin6709 Před rokem +3

    Ameeen😭😭😭 umeniheshimisha yesuuu

  • @ponsianolivescoresilvery3791

    Nilipoteza ndugu zangu wañne nikabaki mimituuu , niliisi kufa ila nikapita seem Nika sikia wimbo uhuuu ,nikausikiliza nililia sana, bas naishi ndani yauhuu wimbo 😢

    • @anethabraham3065
      @anethabraham3065 Před rokem

      Pole sana

    • @doxaevecharles1863
      @doxaevecharles1863 Před rokem

      Neema ya Mungu ikufunike,wewe ni mshindi

    • @amirmakule2266
      @amirmakule2266 Před rokem +1

      Mungu akusimamie akupe nguvu , hakika wewe ni dhahabu na yote uliyo pitia ni Moto Tu ambao u takufanya ung'are zaidi badala ya kuteketea❤

  • @rev.bishopmwantake7942
    @rev.bishopmwantake7942 Před rokem +1

    nimekatikiwa sanaaa ubunifu wa kutosha message makini upako Ni mwingi sanaaaaaa🔥🔥🔥🔥

  • @PASCALAlex-yk7ds
    @PASCALAlex-yk7ds Před rokem +1

    Nyimbo nzuri sana hii hongera sana keep it up 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @mercynina6288
    @mercynina6288 Před 11 měsíci +4

    my breakfast song. my lunch song and night song. blessed be the name of God. victory

  • @user-lh9zc5ik3h
    @user-lh9zc5ik3h Před 3 měsíci +3

    Amen ni wimbo unaonifanya nishinde vita nyingi 🙏

  • @CosmasvicentBagango-jy1ox

    Hongera kwa Video nzuri 🎹🎧🎤 Ameen Ameeni

  • @BwemeroFelix
    @BwemeroFelix Před rokem +1

    Moja ya nyimbo pendwa sana kwangu kaipangilia vizuri

  • @mcfabian2190
    @mcfabian2190 Před rokem +3

    ❤Kuna uwezo nikitamka najitabilia ❤❤❤

  • @mrkibali6075
    @mrkibali6075 Před rokem +3

    Uinuliwe sana mdogo Wang fika mbali kwa jina la Yesu 🙏

  • @user-zz1gq3sg8h
    @user-zz1gq3sg8h Před 11 měsíci +2

    Ni wimbo mzuri hakika mdogo wangu Mathias Walichupa

  • @DafrozaJohn-zq8bd
    @DafrozaJohn-zq8bd Před 7 měsíci +2

    Amen yaani nimelia sana 😭😭 emung kupitia wimbo huu naomba ukutane na haja ya moyo wang pekeang siwezi😭😭🙏🙏

  • @FurahinChongola-gb9jy
    @FurahinChongola-gb9jy Před rokem +3

    Barikiwa Sana na Mungu maana nyimbo yako inanifariji ❤️❤️❤️ mathias unajua Sana kuimba

  • @Gods_favourite721
    @Gods_favourite721 Před rokem +3

    My favorite so far❤🇰🇪

  • @alex_vincent
    @alex_vincent Před rokem +1

    Kabla hujachukuliwa mimba, mimi nilikujua,
    kabla hujazaliwa, mimi nilikuweka wakfu;
    nilikuteua uwe nabii kwa mataifa...NAJITABIRIA KUPOKEA USHINDI

  • @user-be3lq9pq7h
    @user-be3lq9pq7h Před rokem +2

    Mabaya yote hayana faida Amen Ahsante YESU kwa kutusimamia mabaya yote hayana nafasi

  • @beatriceemmanuel187
    @beatriceemmanuel187 Před 2 měsíci +4

    Barikiwa mtumishi wa Bwana

  • @chundastv9446
    @chundastv9446 Před rokem +5

    what a prophetic song!
    ubarikiwe mathias

  • @jafarymsweka2766
    @jafarymsweka2766 Před rokem +2

    Huwa sio mwepes kwenye kucomment ila kwa Ujumbe uliomo kwenye wimboo huu MUNGU AKUTUNZE UTUMIKE NA UIONE MBINGU ISIWE BURE

  • @user-kv1yd3mm2o
    @user-kv1yd3mm2o Před 10 měsíci +2

    Huu wimbo hunitia nguvu sana nnapopitia changamoto za masomo, utumishi na mengine mengii.....🙏🙏🙏 Mungu akubariki sana Mtumishi

  • @rahabuhebron2841
    @rahabuhebron2841 Před 10 měsíci +6

    as i am going to the interview today......najitabiria nitafaulu na nitapata kazi hata kama sioni dalili,nitafanikiwa zaidi ya wazazi wagu

  • @user-ln7ly7sg3g
    @user-ln7ly7sg3g Před rokem +2

    Ni melchizedek kutoka Kenya meru huu wimbo umenibariki nakutakia Mathias ufunuo uongezeke uendelee kuimba nyimbo za kuinua kama hizi

  • @blessedreuben
    @blessedreuben Před 8 měsíci +2

    Romans 10;9 You will just believe and confess with your mouth ❤and you will have welcomed Christ in your heart na utakua believer ❤❤.

  • @devetgoodness285
    @devetgoodness285 Před 11 měsíci +2

    Mungu akubariki kijana umeugusa mtima wangu endelea nakazi nzuri ❤❤

  • @CHRISTINANSEKELA-ds7yn
    @CHRISTINANSEKELA-ds7yn Před 8 měsíci +3

    Mungu akubarikii sana kwa kuimba wimbo mzuri unaendana na maisha ya kila mtu Mungu aendeleeee kukutumia❤❤❤❤🎉

  • @IkupaMwangoka
    @IkupaMwangoka Před 4 měsíci +3

    Amina nataman mung afanye na kwang jaman nwimbo mzur sana naludia mala mbili mbili❤

  • @elvisadipo2443
    @elvisadipo2443 Před rokem +2

    Tumengojea hii video saa.... Kali saaana... Hii ndio my ringtone😍😍😍

  • @RealGiftLydia
    @RealGiftLydia Před rokem +2

    Wimbo huu ni kama chai mimi na watoto wangu❤❤❤ Mungu azidi kuku inuwa🙏

  • @NEEMATVKENYA
    @NEEMATVKENYA Před 3 měsíci +3

    bonge la mzigo daah

  • @jasmineerica6872
    @jasmineerica6872 Před rokem +6

    ❤❤❤❤❤❤Amen 🇺🇸

  • @ShamilaHoza-bi1nt
    @ShamilaHoza-bi1nt Před 2 měsíci +1

    Hongera kaka kwa kuimba wimbo wako unatubariki sana mungu akupe nguvu na nuru ushindi kila mahali ukawe taa kwa watu amen

  • @user-ob5wf2qz5v
    @user-ob5wf2qz5v Před 4 měsíci +1

    Huu wimbo umenibarik naumenipa nguvu yakuzid kupambana naiman magum yote yatashindwa kwa jina la yesu amen