Video není dostupné.
Omlouváme se.
AMBWENE MWASONGWE - ALIKUTA IBADA (OFFICIAL MUSIC VIDEO)
Komentáře • 1,6K
Další v pořadí
Automatické přehrávání
Ambwene Mwasongwe - Unikumbuke (Official Music Video)Ambwene Mwasongwe
zhlédnutí 915K
Ambwene Mwasongwe - Nimeachilia (Official Music Video)Ambwene Mwasongwe
zhlédnutí 1M
Joker can't swim!#joker #shortsUntitled Joker
zhlédnutí 37M
JAK SE ŠKRTÍ?!! #alkan_ #fortniteAlkanhraje
zhlédnutí 132K
GAME OF O.U.T. vs MINI CELINE 🙈⚽️Celine Dept
zhlédnutí 29M
Lifehack on how to make a salt bath bomb.Mamasoboliha
zhlédnutí 11M
AMBWENE MWASONGWE FT BOAZ DANKEN & TAG FOREST YA KWANZA - MWANA WA AZALI (Official Music Video)Ambwene Mwasongwe
zhlédnutí 905K
Ufunuo Choir - Usisahau ( Live Performance )UFUNUO CHOIR
zhlédnutí 5M
AMBWENE MWASONGWE - NITAAMBATANA (official music video)Ambwene Mwasongwe
zhlédnutí 396K
MISULI YA IMANI BY AMBWENE MWASONGWE (Official Music Video)Ambwene Mwasongwe
zhlédnutí 1,2M
Annoint Amani - Wanaulizana unaitwa Nani (Hauzoeleki Official music Video Skiza 9039323 to 811 )Annoint Amani
zhlédnutí 10M
OMBI LANGU BY AMBWENE MWASONGWE (OFFICIAL MUSIC VIDEO)Ambwene Mwasongwe
zhlédnutí 4,1M
Bella Kombo ft. Evelyn Wanjiru & Neema Gospel Choir - Mungu Ni Mmoja (Official Video)Bella Kombo
zhlédnutí 9M
Ambwene Mwasongwe - Nifundishe Kuomba (Official Music Video)Ambwene Mwasongwe
zhlédnutí 225K
KUTANA NA MUNGU KWANZA( Official video) By Emmnuel Mgogo.EMMANUEL MGOGO Official Tz
zhlédnutí 327K
Send this to an artist to make them… 🫢✨🎨 #artistomgArtistomg
zhlédnutí 16M
Magic trick 🪄😁Andrey Grechka
zhlédnutí 37M
NIKDY JSEM - NEJZVRHLEJŠÍ PŘIZNÁNÍ 🥶⛔ @Lisak37 & JENYSVladaVideos
zhlédnutí 278K
The Joker saves Harley Quinn from drowning!#joker #shortsUntitled Joker
zhlédnutí 57M
Gli occhiali da sole non mi hanno coperto! 😎Senza Limiti
zhlédnutí 6M
CO TVOJE TĚLO NEDOKÁŽE UDĚLAT (ALE MĚLO BY TO UMĚT) 😅🤣Stejk
zhlédnutí 286K
VZÁJEMNĚ SI TVOŘÍME TEN NEJHORŠÍ TUNING! 😂MENTSGARAGE
zhlédnutí 335K
PRIME ZA 10KČ?!Štěps
zhlédnutí 198K
Jaman tunapoandka jina Mungu tusianzie na herufi ndogo,anza na herufi kubwa maana ndo Mungu aliyehai,ukiandika kwa herufu ndogo c Mungu aliyehai
Huu wimbo kila nikikaa niangalie TV lazima nianze na huu wimbo najiona kama nahubiriwa na mtume Paulo,ambwene Mungu wa mbinguni azid kukutumia uendelee kuomba kirohoo
Mungu nijalie kuyafany mapenzi Yako wewe uonae moyoni mwangu😭😭😭😭
Jamani huu wimbo unaweza kusikiliza Hadi redio ikaungua maana sio kwa uzuri wa sauti,sio kwa ujumbe mzuri,sio kwa utuluvu wa Ambwene mwenyewe hongera baba,Mungu akutunze .
Ubarikiwe mtumishi wa munngu kwa ujumbe wa mungu kwa mataifa naamini wengi tumefunguliwa ubarikiwe sana
Amen wimbo mzuri Sana unaponya moyo
Kaka Mungu akubariki waimbaji wa Tanzania nadhani wajifunze kwako miaka mingi upo unamtukuza Mungu lakini hauchoshi my brother Yesu akubariki Sana
Endelea kutumikia KUSUDI LA MUNGU kwa kicho. BWANA YESU anaona utumishi wako
True worshipers will worship in Spirit and Truth.
Hi wimbo unanijenga sana
Wimbo mzuri sana. Picha pia iko vizuri sana. Mungu aibariki huduma yako
Nasikiliza huku nasisimka...asante kwa msg nzur
Hizi ndizo nyimbo tunazohitaji kusikiliza. Barikiwa Ambwene
Kwel yan
@@mzurikwaorevocatus2972 kabisaaa hi nyimbo nzuri xn
mungu akubaliki ambwene mwasongwe mimi wakati nime anza kusikia nyimbozako nili amuwa kuokoka kwa sasa niko bishop wakanisa inchi burundi🇧🇮
Barikiwa sana
Du umeokoka aya ubalikiwe
Glory be to God 🙏
Wahisemwo neza ncuti y'umusaraba
God is great hallelujah
Amen ambwene
Huu Wimbo ni Mawaidha, huu wimba ni mahubiri, huu wimbo ni Ibada, huu wimbo ni Misa takatifu...ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu...endelea kutimiza jukumu la Mungu kukuleta Duniani🙏
Halloo halloo hii imeenda safiiii oyoooo
Nzuri sana jamani eeeh baba akubariki Mungu aah😅
Uko wapi moyo wa ibada, moyo kutetemeka aiseeeh Mungu nipe moyo wa ibada nikuabudu katika roho na kweli
Uko wapi wa moyo wa Ibada ,ee Mungu wangu nanyenyekea kwako nope Moyo wa Ibada nikuabudu ktk Roho na kweli.❤
Natamani sasa Mungu akupe neema ya kuanza kufundisha na semina, seems you have more and we need to hear more!! Una hazina kubwa moyoni mwako ..
Ikimpendeza Mungu akupe namna nyingine ya kutufikishia kwa wingi. Stay blessed
Namshukuru Mungu kwa kutupatia zawadi hapa Tanzania 🇹🇿 ambayo ni #Ambwene_Mwasongwe na #Boaz_Danken kiukweli nyie watu mna Mungu ninaemuabudu mimi na mnaongozwa na Roho wa kweli
Wimbo huu unanibariki sana san haya ndio mambo yapo leo makanisan Mungu atusaidie kweli,ubarikiwe Ambwene
Ambwene mwasongwe is underated his music is beyond international level ...God bless you MoG ...my favorite artist
Nmejikuta nanena kwa lugha barikiwa mtumishi wa bwana
Our own Ambwene,. Kanisa letu la Tanzania lina baraka sana kuwa na mtu wa aina yako,. Umebarikiwa ulikumbushe kanisa na watu wa Mungu kuhusu maisha halisi ya Rohoni kabisa kabisa,.😌
Kaka Ambwenee nabarikiwa Sana nanyimbo zako. MUNGU akubariki sanaaaa sanaaaa 🙌🙌🙌🙌
Wimbo huu hunifanya ni barikiwee sanaa .... Mungu akutunzeee mtumishi
Huu ni zaidi wa Wimbo. Ujumbe wa Yesu Kristu.
Amina🎉🎉❤
Kwa nyimbo zako tunamtukuza Mungu....live long life in music!! Stay blessed.
Ninapo sikiriza wimbo huu najifunz kitu mungu akubark ambwene mwasongwe ukyala utufighwe fihjo kangi fihjo
Amina baba ubalikiwe San nabarkiwa San na nyimbo zako na haipit sku nimeskilza nakpenda san maana nyimbo zako nazielewa sana 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽❤️❤️❤️❤️❤️
Sema Ambwene una madini sana.. Daaah, we endelea tu kuimba Kaka, sisi tunapona huku.. Songs straight from the throne of heaven.. Hiki kizazi kina bahati ya kuwa na mtu kama wewe.
Kabisa
Ni kweli kaka usemalo, Aisee! Halafu Tazama Hekima za BWANA, yeye kaka Ambwene anaona kawaida tu Aisee!😃😃
Very true
Kabisa huyu mwamba namkubali kinoma maana hamuigi mtu kuimba na anaimba kwa kumaanisha
Yaani waimbaji wa siku hizi naona wamebaki wamili Ambwene na mchungaji abiudi wengine wote wanarapu na wananiudhi sana maana wanatoka nnje ya maadili ya mungu
Wimbo muzuli Sana mungu akubaliki
😀🔥Mungu akikupa kibari sehemu frani🔥 usinyamaze🔥🙌
Huu wimbo umasema yanayotendeka kwa makanisa siku hizi
Mtumishi wa mungu kakangu Ambwena kwa kweli nyimbo zako za nitia nguvu sana..
Wimbo mtaamu mno..Barikiwa sana
South Africa 🇿🇦 Cape Town tunabarikiwa
Ujumbe ufikia watoto wetu nchini Kenya 🇰🇪
Ameni tuna Mambo MENGI Ila Sio ya MUNGU
Mtumishi wa Bwana ubarikiwe. Tumepata ujumbe toka Yohana 4:24 kwa njia ya nyimbo. Kiukweli huwa unaimba theologia, tunapona kwa nyimbo zako. juzi mwana wa Azali, leo tena ujumbe huu muhimu.Mungu atusaidie tuabudu katika roho na kweli 🙏🙏🙏
Ubarikiwe sana Kaka endeleaa mbele .
Hii nyimbo imenikumbusha mwaaka 1984.kanisani.turivyofundishwa.
mungu akuzidishe katika huduma yako
Katika watumishi wa Mungu tuliobaki nao Tz wanaoimba katika roho na kweli! Barikiwa saana Mtumishi! Unaponya saana mioyo ya wengi!
N kwel
Kwel kabisa nyimbo zake. Pamoja na mavazi yake inapendeza Sana ubarikiwe sana maombi ni silaa tosha
Mungu nisaidie mengi yanautesa moyo wangu, from now nimeachilia
Wawouuuuuh,unajuwa kweli ,Mungu akupanuliye mipaka.
🥳🥳🥳🥳 Mungu azidi kukupa mafunuo Mtumishi wa Mungu kulifundisha kanisa kile Mungu anataka tuenende nacho🙏🏼🙏🏼 yaan ni ujumbe kwa kanisa na mtu mmoja mmoja anayetaka kumwona Mungu katika viwango vingine
Naomba jina lako kamili nikutumie muchango mdogo imekuwa muda ume nibariki sana
Mungu akubariki Sana 0767619931 au 0713619931 Ambwene Mwasongwe
Amen sana ubunifu mkubwa mtumishi wa BWANA, zidi kubarikiwa!
Mtumishi wimbo huu uko vizuri Sana Sana ebuwatu wausikilize ktk Roho Kuna Mambo makubwa ya kujifunza
Ubarikiwe na Mungu ! Nyimbo zako zimenibariki Sana! Toka DRCongo. Lubumbashi.
😭😭😭😭 Mungu tusaidie kurudi katika Neno na tuishi katika Roho.
Ubarikiwe kaka AMBWENE hakika MUNGU katupa wewe zawadi watanzania
Hakika mwenyez MUNGU amekubarik kipaji MUNGU aendelee kukutumia
Duh!!!kuna wakati Daudi akiona kile Mungu amekiweka ndani yako anafarijika sana huko mbinguni na anatabasamu akijua kapata pacha aliyebaki hapa duniani.
Ninampenda Mungu kwa ajili yako Ambwene🙏🙏🙏
Kabisaa yaani... It's a Powerful Song!
Wimbo mzuri mungu akubariki sna kaka Ambwene
Mungu akubariki sana Ambwene Mwasongwe. Full song from the Scriptures. My favorite Tanzanian Gospel Artist.
Kaka nabarikiwaga sana na nyimbo zako hakika unanigusa sana nakuelewa sana nazichambuaga mpaka napata maana Barikiwaaa
Namshukuru MUNGU kwa ajiliyako kwamaana katikati ya mabadiliko ya dunia Sayansi na tecnolojia lkn bado nakupata kakaangu unaemwimbia MUNGU ktk roho na kweli, MUNGU AKUTUNZE !
I love this man of God
Bless u🇺🇬🇺🇬
Powerful Message! "Inatupasa kumwabudu kwa Roho na Kweli. Anaye tafsiri lugha ya Moyo" Mungu akubariki sana Ambwene Mwasongwe.
Nyimbo niipendayo kila sku lazma niiskize Mungu akubariki sana kweny huduma
Hii ni Injili, this is Gospel mpeni maua yake Mwasongwe
Kuna vile hii nyimbo inatuonesha bible ni kitabu kizuri sana, kitachotufanya tukutane na watu walioshi maisha kama yetu , ILa walikuja kubadirika na kuwa watu wema sana, mungu akubariki na kukutunza sana kaka ambwene, akuweke ili kupitia wewe wengi kati yetu tumrudie mungu🤲 na kuijua kweli🙏.
Naupenda sana huu wimbo
Kaka Ambwene wewe endelea hivyohivyo kumsikiliza Mungu ktk huduma yako, hubiri kupitia uimbaji, tulio wengi chanzo cha kuokoka ni kupitia uimbaji, achana nao hao wanaoifuata dunia, wewe mtumikie Mungu kikamilifu
Hapa comment za wakenya ni chache na sababu ni za kiroho,,, hongera sana mtu wa rohoni kaka🎉
Kwa neema ya Bwana hujawahi kukosea ,sifa na utukufu ni kwa Bwana nangoja official video ya UMENIPA HESHIMA 🔥🔥🔥
This is exactly what is happening in our churches today, wimbo huu una mafundisho ya kweli.....
GOD Bless you my brother. Humu ndani hatuwezi kuyandika yote ambayo MUNGU amekuwa akiyafanya huku mtaani/nje kupitia uwimbaji wako. MUNGU amegusa mioyo ya watu wengi sana kupitia hiyo karama aliyokupa. Endelea kuichochea.
Asante kaka...kwa huu wimbo hakika una mafunzo, much love from kenya 🇰🇪
Sijashangaa kwa uzuri wa wimbo huu maana Mungu amekuinua,nyimbo zako zote ni nzuri na zina mafundisho.
Mungu aendelee kukuinua.
Hongera kwa huu wimbo mzuri
uko kama mrisho mpoto kwenye muundo wa mashahiri lakin wewe uko kizazi zaidi , ubarikiwe sna Big Up
Ubarikiwe mtumishi...Ujumbe mzuri sana 👏
Moyo wa Ibada 🙌what a song straight from the Word of God 🙏🙏more blessings to you🙌❤
Man of God. Kyala akutule
Mungu akuinue zaidi mtumishi wa Mungu.... Kwa kazi nzuri....
Hakika wew ni mwamna imara daaaa nyimbo nmeikuta TikTok daa nmeifata ujumbe mzito sana najivunia kua na wew tz
My role model
Kupitia nyimbo zako kaka niliamua kumfuata Yesu
"Mzee wa siku" ni ushuhuda wangu
Barikiwa
Akubariki Mungu
Tenashara wa kizazi hiki. Yesu angekuchagua kuwa tenashara kaka,, Coz angeutazama moyo wa Utumishi ndani Yako.
Amen! Tunashukuru sana kwa habari njema (Good News) unazotupatia kupitia nyimbo
Mtumishi Mungu akubariki sana 🙏🙏🙏
I'm blessed Mungu aendelee kukutumia jinsi apendavyo yeye mtumishi🙌💅🙌
I just love how our Tanzanian brothers and sisters make music straight from the scriptures. More love form Nairobi!
All about Lugha Adhu ya Kiswahili
That's exactly what I was heading to post but you represented the likes of us well
Mungu akubaliki sana mtumishi👐
Mungu akutunze mtumishi....🔥🔥
🙏🙏❤️
Barikiwa sanàaaa
Nyimbo za hivi ni signature ya Ambwene. Bwana Yesu asifiwe sana 🙏🙏
I feel so happy to see...how gospel is sang sooo well. .
make straight the way of the LORD brother AMBWENE.
Mungu akubariki.. Am proud.
Kwa Hali ya kanisa ilivyo Leo,akija mwenye kanisa Leo Yesu,lazima tutakula kichapo/mkong'oto maana tumegeuza kanisa danguro la biashara,unafiki,kujikweza na siasa.
Big up sana homeboy msg delivered Ndaga Nyambala,arise Black man!!!
Jehovah aonaye Sirini braza azodi kukuweka makumbusho kwa ajili ya UTUKUFU WAKE...Ahsante nimepokea ujumbe wangu
Huyu Mtumshi anaimbia Mungu wakweli kabisa eee Mungu umuongoze asitoke kwenye mstari wako Kama wengine
The music saasa; uwiiiiii this song 🙌🙌🙌🤭... life transforming to the church kabisa kabisa 😭🙌
Ambweneeee ndaga fijooooo utukufu kwa YESU. Naitwa Happy Mwaigwisya. Prophetess of the most high God.
Unabii tosha, the whole new testament barikiwa ,sana I love thet African bits keep it up
God bless u kaka Ambwene...
Straight from the Word.
A very blessing song
Always calm and powerful. I always listen to your gospel songs whenever l'm down. Thank you very much for always giving us hope through your songs.
Love 💕 from Ndola, Zambia 😁
Touching.. ujumbe mzito saana mpaka nimeogopa
Mungu akulinde brother ninabarikiwa sanaa .
What a powerful message! This is a whole sermon! Ahsante kwa Neno, more grace to you Mtumishi wa Yesu! Blessings
Amen amen 🙏🙏🙏🙏
Indeed it is!
Niceee sanaa
It really is 🙏🏿
@@mamy1605 q1q11
🙏🙏 nimejifunza kitu kupitia hu wimbo
Mungu wa mbinguni akubali sana mtumish wa bwana kristo akutie nguvu
MUNGU ni roho hukumu zake ni za rohoni ❤❤❤nampenda BWANA YESU ❤❤❤🎉
Another song of KAKA AMBWENE that blessed me
Thank you so much for the song, Our might God of mercy may Bless you and your work.🦜♥️
Ibada njema
Mandiko mwanzo mwisho.just how it should be.
Kumbe Yesu alikuta Ibada zetu nyingi Feki...Daima nakukubali Ambwene, Mungu aendelee kukuinua!!
Glory to God ❤❤
Too much annointing and skills.God bless you Brother Ambwene,servant of the Most High God.
Mungu akujaze baraka kwa huduma hii Ambwene
When we refer the Almighty God, we should start with a capital M for Mungu or G for God, the Living one, be Blessed Ambwene ❤