Ambwene Mwasongwe - Unikumbuke (Official Music Video)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 08. 2024
  • Ambwene Mwasongwe presents the Official Music for "Unikumbuke"
    Watch All Music Videos by Ambwene Mwasongwe: • Ambwene Mwasongwe All ...
    Follow Ambwene Mwasongwe
    Instagram: / ambwenemwasongwe_
    Subscribe to Ambwene Mwasongwe: / @ambweneobadiamwasongwe
    Digital Branding & Marketing By:
    Black Ozen Entertainment Limited: / blackozenentertainment...
    Ambwene Mwasongwe - Unikumbuke
    Nimekuita uambie watu ushuhuda wangu
    Miaka tisa nimekaa jela
    Nilifungwa kwa kosa la kusingiziwa
    Namshukuru Mungu nimetoka
    Usiku ule nilikamatwa kama mchezo
    Na mke wangu na mtoto mdogo
    Nikadhani labda walikuwa wanatania
    Labda ilikuwa siku ya wajinga
    Hakuna mtu alielewa ukweli wa ushahidi wangu
    Wala sikuwa na wakumweleza akanielewa
    Mazingira ya kesi, ushahidi, sheria za kazi
    Siri ni ban, mpaka mke wangu kaniambia
    Kama umefanya kiri kosa tujue moja
    Nikumbuke, kumbuka haki yangu, sikufanya ubaya
    Nikumbuke, nikumbuke, sikufanya ubaya
    Nikumbuke, namna walivyonishtaki kwa hila na wivu
    Nikumbuke, bwana unikumbuke nililia
    Hey, kumbuka bwana haki yangu
    Hey, wakumbuke, walivyo kufanikiwa jela
    Uwakumbuke, Mungu wakumbuke washa mshumaa ndani ya nyumba
    Mkumbuke mtoto mchanga asiye na hatia
    Uwakumbuke, kama ningekuwepo angekonda
    Kumbuka Adam, aliyebaki, alikufanya kushtuka kwa ajili yako
    Nilidhani Mungu kalisahau faili langu
    Nikadhani kwamba nitaaibika
    Sikuwa tena na tumaini lililobaki
    Haki yangu ilikuwa tumaini pekee
    Waweza elewa shahidi wangu alikuwa Mungu
    Labda na wale walioua
    Mwisho wa siku Mungu alinitetea
    Na waliofanya kosa kunikana
    Haki yangu ikasitana kama mtende na mwelezi
    Pale banoni, walinichimba wakuning'oa sababu ya Mungu
    Waliinamisha wakunivunja, walinitikisa sikupukutika
    Walinichuma ili niishe
    Wewe bwana ulinitetea na haki yangu
    Nikumbuke, kumbuka maadui walivyonizunguka
    Nikumbuke, kumbuka ushahidi wa maneno yao
    Nikumbuke, kumbuka walivyonichafua jina langu
    Nikumbuke, kumbuka walivyoniona
    Mi ni mhalifu, hey ukalisafishe jina langu
    Hey bwana, uwakumbuke! Uwakumbuke Ukarehemu makosa yao
    Uwakumbuke! Japo walifanya ubaya bwana na uwasamehe
    Uwakumbuke! Nilienda jela nikiwa bado sikujui
    Uwakumbuke! Nimetoka nimeokoka nimekujua
    Nikumbuke! Bwana unikumbuke usinisahau
    Natengeza fadhili zako, niimbe Mungu baba
    Nimefurahi, niimbe Mungu bwana
    Nimefurahi, niimbe Mungu bwana
    Nimefurahi, niimbe Mungu bwana
    Nimefurahi, niimbe Mungu bwana
    #AmbweneMwasongwe #Unikumbuke
  • Hudba

Komentáře • 1,1K

  • @carlosleonard6050
    @carlosleonard6050 Před rokem +8

    Nmemwona huyo mwanajeshi aliyefungwaga bila hatia i hope uliimba kwa ajili yake, kama umemnotice huyo mjeda...nipe likes

  • @deodatusmwacha719
    @deodatusmwacha719 Před 21 dnem +4

    Kama uliwahi kupita mapito magumu na kudhani kabisa hutoweza kuvuka😭😭😭mara pap! Ukayavuka lazima ukisikia huu wimbo ulie😭😭😭 ASANTE BWANA KWA KUNIKUMBUKA 😭😭😭

  • @beatriceminja2148
    @beatriceminja2148 Před 2 lety +83

    😭😭😭 Kuna watu wanapitia pagumu!! Mungu kutana na watu ambao wanapitia pagumu na wanasikiliza huu wimbo, wakumbuke Bwana!!!

  • @rogersdavis3058
    @rogersdavis3058 Před 2 lety +3

    😭😭😭 nakumbuka nilipoambiwa nmeuziwa simu ya wizi kumbe ni mchezo ulichezwa pamoja na mwanamke ambae nilijitoa sana kwake na kuja kuhukumiwa 1year jeal

  • @kettyym9859
    @kettyym9859 Před 2 lety +155

    Eee Mungu uikumbuke Tanzania yetu Mauwaji yamekua mengi sana 😭😭😭😭 tusamehe uturehemu na ututakase Yesu 🙏🏼🙏🏼 turudishie kupendana na kuchukuliana madhaifu tunaomba Baba 😭😭🤲🏾. Amen

    • @lusajomwasanga1877
      @lusajomwasanga1877 Před 2 lety

      Amina

    • @danielmparanyi
      @danielmparanyi Před 2 lety +3

      Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻czcams.com/video/9uJYAtHEXR8/video.html🙏🙏🙏

    • @danielmparanyi
      @danielmparanyi Před 2 lety

      @@lusajomwasanga1877 Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻czcams.com/video/9uJYAtHEXR8/video.html🙏🙏🙏

    • @theresiagasto5240
      @theresiagasto5240 Před 2 lety +1

      AMEEEEN

    • @frankrobertkomba2318
      @frankrobertkomba2318 Před 2 lety

      Kwakwel hata kutembea tunaogopa,Mungu tukumbuke

  • @kelvinlukoo5182
    @kelvinlukoo5182 Před 2 lety +67

    Hakika sio wote wanaokwenda jela wamekosa, wengine wanasingiziwa tu.
    Wimbo huu unanikumbusha nina rafiki yangu tuliyesoma wote kozi ya utabibu CO mwaka wa kwanza then akahamia chuo kingine baada ya kumaliza mwaka wa pili akabambikiziwa kesi ya kumbaka hadi kufa mtoto wa kaka yake akaenda jela ila baada ya mwaka mmoja ikabainika amesingiziwa daaah so pain , Mungu ndio mtoa haki ahsante sana kaka ambwene napenda sana tungo zako ujumbe katika nyimbo zako.

  • @mrmartinipaul2464
    @mrmartinipaul2464 Před 20 dny +2

    Mungu akubariki sana ila naomba tena,, tuwekee CZcams ile nyimbo ya HAKUNA WA KUFANANA NAYE

  • @rehemarobert516
    @rehemarobert516 Před 2 lety +5

    Nimeisikiliza story ya Kaka Nazareth kwa Milard Ayo! Atukuzwe Mungu sana kwa kumuinua na kumuokoa mtumishi wake

  • @mpwapwanewstv8204
    @mpwapwanewstv8204 Před 2 lety +42

    Huyu mwamba nimeifuatilia story yake ni ya kweli kabisa na nimeona kwe wimbo, Pole chief kwa mapitio wanyakyusa wanasema
    "UNGAPASYAGA PAPO NDE NUNGWE "Mungu amrehemu Mtoto na shemeji yetu na dada.

  • @moudboss846
    @moudboss846 Před 2 lety +13

    Nimelia Sana
    Baba angu alikamatwa Kwa kosa la kusingiziwa
    Akaenda Segerea 😭😭😭
    Alipotoka baada ya miaka miwili akafariki 😭😭😭😭😭
    Mungu wangu nakuomba umrehem baba yngu
    Na uwakumbuke wote wasio na hatia 🙏🙏🙏

    • @mparanyibagalwa7376
      @mparanyibagalwa7376 Před 2 lety

      Amen na amini uta barikiwa Na huu wimbo pia 👉🏻czcams.com/video/9uJYAtHEXR8/video.html God bless you for your supports🙌🏻🙌🏻

    • @emmymichael7356
      @emmymichael7356 Před 2 lety

      Pole sana😭😭

    • @oscarngondya8839
      @oscarngondya8839 Před 2 lety

      Tukumbuke eemungu kwakweli umeweza juniliza maana nimefwatilia kisa kilichomtokea muhusika wahuu ujumbe kwakweli nilimwonea huluma eemungu simama nae mpenguvu nauvumilivuz😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @veronicalufingo3513
      @veronicalufingo3513 Před 2 lety

      Aisee pole sana

  • @emanuelgavile3503
    @emanuelgavile3503 Před 2 lety +3

    Wampe mafao yake huyo mwanajeshi

  • @racheljob6601
    @racheljob6601 Před rokem +6

    Ee mwenyezi Mungu mkumbuke uncle wangu najua hana hatia 😭

  • @NadhifaDauda
    @NadhifaDauda Před 6 měsíci +4

    Kupitia wimbo huu MUNGU akawafariji n kuwakumbuka wote wanaopitia magumu
    amiina

  • @stivertz7014
    @stivertz7014 Před 2 lety +10

    Wimbo huu unaniumiza sana kila nkikumbuka hii story ya mauaji mwaka 2006 ubungo mataa (Kijazi Interchange), huyo main character kwenye video ndio alikutana na huu mkasa kukaa miaka tisa kwa kesi ya kusingiziwa an. Ila Mungu mkubwa na anataendelea kumuweka juu ya maadui zake. Amen

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 Před 2 lety +1

    Nilifatilia history yauyo jamaa mwanajsh aliefungwa bilakosa nakupoteza mke namtt Mungu ambariki bado anampend

  • @jacklinenyambura3508
    @jacklinenyambura3508 Před 2 lety +87

    A great song .Hakika Mungu nikumbuke,kumbuka wote ambao were falsefully accused.🙏 Blessed from Kenya🇰🇪

  • @sevelinamwailanga9391
    @sevelinamwailanga9391 Před rokem +5

    MUNGU akufunge mkanda kaka Nazareth kaka ambwene ubarikiwe kwakufariji wengi tuliovunjika moyo

  • @jimmy8470
    @jimmy8470 Před 2 lety +5

    Tatizo nikisikilizaga hii nyimbo lazima nitokwe machozi 😭😭😭 nakumbuka mbali sana 😭😭😭

  • @alphonsinajohansen353

    MASTERPIECE,KIPAJI KIKUBWA MNO. NIMEKUMBUKWA NIMEFURAHIIIIII

  • @rehemasimfukwe
    @rehemasimfukwe Před 2 lety

    Ooooh kaka yangu umebarikiwa sanaa

  • @malaikahansen
    @malaikahansen Před 2 lety +16

    I have cried 😢 jamani. Ila nani Kama MUNGU anaetufuta machozi yetu. Nazareth will never be the same, but GOD has already changed his story. Isaiah 61:3 “…to bestow on them a crown of beauty instead of ashes, the oil of joy instead of mourning, and a garment of praise instead of a spirit of despair”. GOD BLESS you all.

  • @swadatimmbaga7435
    @swadatimmbaga7435 Před 3 měsíci +3

    Unaeza zania Ni Serekal kumbe Mambo mengine Yanatokana na mauchawi ya family zetu wasiopenda kutona tuko mbali

  • @cosmasarnold7288
    @cosmasarnold7288 Před 2 lety +39

    Hakika wimbo ni mkubwa sana huu watanzania,Mungu amtunze hakika

    • @danielmparanyi
      @danielmparanyi Před 2 lety

      Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻czcams.com/video/9uJYAtHEXR8/video.html🙏🙏🙏

    • @issamnyika4862
      @issamnyika4862 Před 2 lety

      Huu wimbo kwaajili ya Nazalet,pole bro kikubwa upo huru Rip shemeji na mtoto.

  • @standardtv3494
    @standardtv3494 Před rokem +2

    nimemuona huyu jamaa aliyesingiziwa kesi hiyo kweli kweli Mungu huwa anasababu ya kila jambo haijawahi kuwa rahisi kaka samehe kunajambo Mungu ameakuandalia sehemu mwanandamu hakupanga au kupaswa kujua haikuwa bureee, nahisi huzuni sio huruma na ninaamini katika Kristo anayeishi Utakuwa mkuu siku moja, Amen

  • @queengee4154
    @queengee4154 Před 2 lety +22

    I pray for my friend who is in jail with her wife and their small beutiful daughter God remember them naomba uwakumbuke ugenini huku nawaombea kila siku🙏🏻

  • @user-bh9if3bo8r
    @user-bh9if3bo8r Před 9 měsíci +5

    Hii nyimbo inanifanya nimkumbuke mzazi mwenzangu, pumzika kwa amani kpnz changu 😢😢😢

    • @FarhanaPimper
      @FarhanaPimper Před 4 měsíci

      Nikiona sms kama hyo yako napata matumani kweli upendo wakweli bado upo, Kuna sisi upo kwenye ndoa ila mume anakutelekeza na watoto alafu anakuambia yeye aishi ofisini analala huko huko ofisini ingalia ana kwake ataki kurudi nyumbani kwake Huku mkiwa hamna ugovi wowte, Mungu uikumbuke ndoa yangu mim sijui chochte bwana ...😢😢😢

    • @emmahbooooo
      @emmahbooooo Před 4 měsíci

      Mungu yupo atasikia haja ya moyo wako atakutetea.

  • @alikomwandoto1258
    @alikomwandoto1258 Před 2 lety +5

    Kumbe huu wimbo ni true story ya huyo mwanajeshi kweli mungu yupo😭😭😭

  • @georgenathanael
    @georgenathanael Před 3 měsíci +4

    Ambwene ni mwimbaji wangu bora kabisa wa gospel tangu ule wimbo misuli ya Imani hajawahi nangusha,,,,, utukumbuke eeh Yesu Kristo wa Nazareth 😭🙏🏻

    • @letisiabaritazari7606
      @letisiabaritazari7606 Před měsícem +2

      Ambwene nyimbo zako zote ninzo na aziweza kuzimba zote na kuzipagila Mungu akubaliki zinanifaiji sana

  • @frankhella8377
    @frankhella8377 Před 2 lety +26

    Hallelujah tuliusubiri sana video hii. Hongera sana mtumishi wa Mungu . Utukufu ni kwa BWANA

    • @danielmparanyi
      @danielmparanyi Před 2 lety

      Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻czcams.com/video/9uJYAtHEXR8/video.html🙏

  • @user-hs6nu3gs4u
    @user-hs6nu3gs4u Před rokem +4

    leo nimefuatilia nimegundua kumbe huu wimbo ni tukio la kweli kabisa!!!!!daah hii dunia mungu ndio mjuzi wa kila kitu

    • @tonyelshabbaz
      @tonyelshabbaz Před 7 měsíci

      Na mhusika mwenyewe yupo kwenye video

  • @alphonsinajohansen353

    MUNGU HAJAWAHI MSAHAU MTU.USISAHAU.NIMEKUMBUKWA NIMEFURAHII

  • @piussimtala5111
    @piussimtala5111 Před 2 lety +2

    Inasikitisha sana,Wengi wanaonewa!

  • @emanuelmbise2348
    @emanuelmbise2348 Před 11 měsíci +4

    Sio wote walioko jela n wakosaji ama Wana hatia ila n kwamba tu wamejikuta either kusingiziw ama jumba bovu kuwaangukia ee mungu usikiaye maombi Kila aliejikuta uko bila hatia jua la haki likamzukie na ukamkumbuke...hakika Ambwene mm huwa najikuta nasikilz nyimbo zake natokwa tu na machozi ....

  • @justinemico1871
    @justinemico1871 Před rokem +7

    Bwana unikumbuke na Mimi japo Ni mdhambi na mchafu nisie faa hata kulitaja jina lako.

  • @dorcasessau3401
    @dorcasessau3401 Před 2 lety +1

    Hakika MUNGU amenikumbukaaaa

  • @isayakayombo3717
    @isayakayombo3717 Před 2 lety +1

    Nikumbuke mungu wangu barikiwa mtumishiii

  • @rehemafungo3705
    @rehemafungo3705 Před měsícem +3

    Mungu unikumbuke

  • @jeremiahmsangi8215
    @jeremiahmsangi8215 Před 11 měsíci +3

    Unaweza guswa na Habari ya Yusuphu,kumbe hata sasa Kina Yusuph wengine wangali wakionesha ukuu wa Mungu, Akhsante Mungu kuyashuhudia haya katika macho yangu,Wewe ni Mungu wa Nyakati Zote,Ambwene Ambwene

  • @ikupamwansasu9448
    @ikupamwansasu9448 Před 2 lety +1

    Nimekumbukwa nimefurahiii

  • @emmanuelraphael679
    @emmanuelraphael679 Před 2 lety +1

    Mungu amtie nguvu namoyo huyo bwana mkubwa kwan story yake inahuzunisha sana kiukweli

  • @titopg5299
    @titopg5299 Před 2 lety +34

    Kaka yangu Ambwene, this song speaks our life, some of us been to jail without having committed a crime! We’ve cried a million times before God and now we here, MUNGU NI MWEMA!! NIKUMBUKE, NIMEKUMBUKWA🙏🏽😭😭

    • @saveme4551
      @saveme4551 Před 2 lety +1

      Amina utukufu kwa Mungu

    • @miamo4789
      @miamo4789 Před 2 lety +2

      Wewe ni mshindi haki yako istawi kama mtende wa lebanoni,umekita mizizi ndani ya Neema ya Mungu,,,shuhudia wema wake wengine wamjue

  • @enjoysoccer1
    @enjoysoccer1 Před 9 měsíci +3

    Huu wimbo nimeusikiliza na nimesikiliza na historia ya huyo baba, binafsi namuombea sana kwa Mungu amukumbuke na kila kilichochake kirudi kwake kwa jina la Yesu kristo. ikiwa wana wa Israel walikumbukwa basi na yeye akumbukwe ili sifa na utukufu virudi kwake Yesu.

  • @user-np5rp2fi5t
    @user-np5rp2fi5t Před měsícem +2

    Mungu endelea kunikumbuka katika nyakati hizi ngumu

  • @suzanaemanuel3621
    @suzanaemanuel3621 Před 2 lety +1

    Yesu unikumbuke

  • @jastinmkandala5620
    @jastinmkandala5620 Před 2 lety +4

    Huu wimbo Umekua Kama wimbo wa taifa kwenye simu yangu ,yamenikuta uliyo imba ,nilimwacha mke wangu tukiwa na miezi miwili tumeoana😭😭😭😭,inauma Ila nauona muujiza ya Mungu ninayo mengi yamekaa moyon

    • @marthagabriel3417
      @marthagabriel3417 Před 2 lety

      Pole hata hapo kwenye huu wimbo kuna huyo mweusi mwenye macho makubwa ndo stori ya maisha yake alifungwa miaka tisa bila kosa na mkewe na mtt wakaungua ndan ya nyumba nawalikiwa watumishi wajeshi sasa huku mtaani si ndo wamejaa huko magereza Mungu turehemu

  • @niyiesther6571
    @niyiesther6571 Před 6 měsíci +3

    Mtetezi ni YESU KRISTO tuu pekeyeke

  • @swahiliandculture6599
    @swahiliandculture6599 Před 2 lety +2

    Nimefurahi kumwona mwenye ushuhuda huu hapo

    • @danielmparanyi
      @danielmparanyi Před 2 lety +1

      Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻czcams.com/video/9uJYAtHEXR8/video.html🙌🏻

  • @simonmndeme339
    @simonmndeme339 Před 2 lety +1

    kaz zur mung kakup kipaj

  • @fabrisakasongo3277
    @fabrisakasongo3277 Před 8 měsíci +5

    Daaah hiii ni historia nishapitia Zamani

  • @mtindoelias8888
    @mtindoelias8888 Před 2 lety +22

    YESU NIKUMBUKE NAMIMI
    Blessed my brother #Ambwene🙌🙌🙌👏👏👏🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏

    • @danielmparanyi
      @danielmparanyi Před 2 lety

      Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻czcams.com/video/9uJYAtHEXR8/video.html🙏🙏🙏

    • @maishasimba6193
      @maishasimba6193 Před rokem

      Umenibariki sanaa.Yesu Nikumbuke

  • @geniezekiel1922
    @geniezekiel1922 Před 2 lety

    Huyo kaka Mungu amkumbuke nimesikia kisa chake nimerudi kusikiliza wimbo tena duuh Mungu yupo na amkumbuke kila kilichoibiwa kikarudishwe katika jina la yesu amina

  • @frankdanford8245
    @frankdanford8245 Před 2 lety

    Historia ya hii nyimbo inaumiza sana eeeeh yesu nikumbuke ktk maisha yangu niliposhitakiwa ktk madhabahu za kuzimu bila kuwafanya chochote nikumbuke.
    Nikumbuke kama nimefungiwa ktk gereza lolote lile la ulimwengu wa roho nikumbuke yesu kunitoa.

  • @sliminstallerss5127
    @sliminstallerss5127 Před 2 lety +5

    Huyu main character kwenye hii video hii ni history yake ya kweli kabisa..great work bro ambwene..so touched

  • @ErickKimaro-bf8zs
    @ErickKimaro-bf8zs Před 8 měsíci +4

    Mwezi mungu nikumbuke baba nime pambana sana jmn lkn sioni tumaini langu

  • @neema_mollel
    @neema_mollel Před 2 lety +1

    Daah baada ya Ile stori ndo nimeupata huu wimbo

    • @mparanyibagalwa7376
      @mparanyibagalwa7376 Před 2 lety

      Amen na amini uta barikiwa Na huu wimbo pia 👉🏻czcams.com/video/9uJYAtHEXR8/video.html God bless you for your supports🙌🏻

  • @otilasanga1543
    @otilasanga1543 Před 2 lety +1

    Stori hiyo nimefatilia sana ata Mimi nilifungwa songea kwa kuzingiziwa na msanii super danger niliumia sana naamini mungu yupo Tena leo nakuona Tena na ambwene mungu tusaidie dunia tunapita

  • @jacobmwankenja-cd7rm
    @jacobmwankenja-cd7rm Před rokem +4

    Pole sana kaka Nathareth kwa mapito makubwa na mazito uliyo yapitia hakika ni mungu tu na pia ubarikiwe sana kaka ambwene mwasongwe kwa huu wimbo mzuri wewe kufariji mioyo ya watu iliyovunjika kwa changamoto nzito tunazopitia apa duniani ubarikiwe sana kaka

  • @fanuelzakayo4463
    @fanuelzakayo4463 Před 2 lety +10

    Niliingoja kwa mda Sana kaka ubarikiwe Sana kwa kazi nzur Mungu akubariki 🙏🙏🙏

    • @danielmparanyi
      @danielmparanyi Před 2 lety

      Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻czcams.com/video/9uJYAtHEXR8/video.html🙏🙏

  • @cesyken
    @cesyken Před 2 lety +1

    Waooiiiiiiiii nise best songe

  • @fredmbossa
    @fredmbossa Před 2 lety +1

    Testimony ya jamaa mmoja hivi,inaumiza sana

  • @SamuelErnest
    @SamuelErnest Před 2 lety +33

    "Nimekumbukwa, nimefurahi"
    Nimeupenda sana wimbo huu!
    Mungu akubariki sana Brother kwa kazi njeema hiiiii

    • @sharifmtunku4309
      @sharifmtunku4309 Před 2 lety

      True story

    • @alphamusyani2844
      @alphamusyani2844 Před 2 lety

      Mungu awaongoze wote watumishi wamungu na Mr Nazareth mungu amludishe kazini mwake aendelee kulijenga taifa

  • @stelahthomas4145
    @stelahthomas4145 Před 2 lety +10

    UNIKUMBUKE ni moja ya nyimbo ninayoipenda sanaa nikiwa nasikiliza najikuta nafarijika Mungu akubariki ambwene mwasongwe kwa tungo nzuri za nyimbo zako 🙏🙏🙏

  • @adrianogama7348
    @adrianogama7348 Před 2 lety +1

    Ubarikiwee sanaa kaka

  • @janethpallangyo6745
    @janethpallangyo6745 Před 2 lety

    Ubarikiwe kwa nyimbo zilizobeba jumbe za ukombozi na tumaini la maisha ya sas na yajayo

  • @ApiaMpinga-qr1yf
    @ApiaMpinga-qr1yf Před rokem +5

    Unanikumbusha mbali kama ulvyo wimbo ndivyo ninavyopitia Sasa Tena aliniacha mjamzto n mpaka Sasa hajatoka yesu akutangulie kaka kea kunifalij

  • @harounjc6550
    @harounjc6550 Před 2 lety +3

    Maisha yanasiri kubwa, Ukubwa wa Mungu ndiyo uzima wetu leo. Mungu utukumbuke leo🙌🫂

  • @chablolindsey732
    @chablolindsey732 Před 2 lety +1

    Huu wimbo ni historia ya kwel ya wanajeshi wa Tanzania ambao walikuwa wanandoa na mume alifungwa kwa kesi ya kuvamia gari la bank kuu na ukwapuaj wa pesa pale ubungo na mkewe aliachiwa lkin baadae alikufa daaah hii nyimbo imenikumbusha kitu hakika Leo hii huyo jamaa alieonekana Kama mtuhumiwa ndie mwenye hiyo historia na sasa ameeachiwa na amestaafu kutumikia jeshi🇹🇿

  • @kabangaonline4523
    @kabangaonline4523 Před 2 lety +1

    Daaah nmeguswa na story ya nazareth mwainyekule na hapa namuona nahuznka private nazareth , MUNGU ATUKUZWE NA NDO KILA KITU KWA SISI MASKINI

  • @MrLabadias
    @MrLabadias Před 2 lety +54

    I fall in love with this song the first time i came across it in CZcams, the song has been an inspiration to me. Keep up with the good work man of God and may you manifest his will. Unikumbuke

    • @danielmparanyi
      @danielmparanyi Před 2 lety +2

      Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻czcams.com/video/9uJYAtHEXR8/video.html🙏

    • @wadhifatv8827
      @wadhifatv8827 Před 2 lety

      Na ni story ya kweli ya huyo Baba aliyeonekana kwenye video

  • @johnbuyobetruegospelchanne4302

    Hakika huu NI wimbo wa baraka sana. Nami nabarikiwa zaidi kwa kazi njema ya mtumishi wa Mungu Ambwene. Huyu aliyepaswa na huu mkasa ninamfahamu sana. Na ndo huyo huyo ambaye ameigiza kwenye huo wimbo. Miaka yote hiyo Tisa nimekuwa naye gerezani. Kwa Sasa anamtumikia Mungu kanisa moja huko KIBEBERU DAR ES SALAAM.

  • @doreenmalima9138
    @doreenmalima9138 Před 2 lety

    Hakika nmejifunza kitu kikubwa hapa! Mungu akubariki mtumishi

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 Před 2 lety

    ONGERA AMBWENE KWA MASHAIRI MAZURY 👏👏👏

  • @gracemfangavo4824
    @gracemfangavo4824 Před 2 lety +11

    I cried a lot, but nmekumbukwa na nimefurahi🙏🙏🙏🙏

  • @maonezinyagalu9393
    @maonezinyagalu9393 Před 2 lety +15

    Asante sana Ambwene kwa kunikumbusha juu ya wafungwa. My prayers are with all those who are imprisoned. May the strength of the Lord be with them all.

  • @dunnybujaa540
    @dunnybujaa540 Před 2 lety

    Ambwene wewe ni Mchungaji na ivi punde Mungu atalidhibitisha.

  • @hasanygodda9242
    @hasanygodda9242 Před 14 dny

    MUNGU NAOMBA NIKUMBUKE

  • @rmaryp6269
    @rmaryp6269 Před 2 lety +5

    Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu pamoja na woye ulioshirikiana nao. Kazi yenu ni njema sana.

    • @danielmparanyi
      @danielmparanyi Před 2 lety

      Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻czcams.com/video/9uJYAtHEXR8/video.html🙏

  • @happymwanyika9205
    @happymwanyika9205 Před 11 měsíci +4

    Mungu unikumbuke na mimi 😭😭😭😭

  • @michaelstivin4963
    @michaelstivin4963 Před 2 lety

    Dahh siku ya kwanza kusikia wimbo huu nililia sana nikasem Mungu naomba hili lisinikute

  • @lucysteven8982
    @lucysteven8982 Před 2 lety

    Nmehisi kuganda ndani YESUU 🤚

    • @mparanyibagalwa7376
      @mparanyibagalwa7376 Před 2 lety

      Amen na amini uta barikiwa Na huu wimbo pia 👉🏻czcams.com/video/9uJYAtHEXR8/video.html God bless you for your supports🙌🏻🙌🏻🙌🏻

  • @didasstanley3769
    @didasstanley3769 Před 2 lety +6

    Hamu sasa imepata tiba Mungu akutunze mtumishi wa Mungu kazi nzuri na ujumbe ni mzuri sana unamafundisho makubwa🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏

    • @danielmparanyi
      @danielmparanyi Před 2 lety

      Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻czcams.com/video/9uJYAtHEXR8/video.html🙌🏻

  • @dianadaudi5535
    @dianadaudi5535 Před 2 lety +44

    Watching from Europe 🇪🇺 this song makes my faith 🙏 to God stronger than I thought 🙏 God bless Man of God @Ambwene mwasongwe

    • @danielmparanyi
      @danielmparanyi Před 2 lety

      Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻czcams.com/video/9uJYAtHEXR8/video.html🙏🙏

    • @rogathesarwatt
      @rogathesarwatt Před 2 lety

      Rudi nyumbani kumenoga dada

    • @marthaeponda833
      @marthaeponda833 Před 2 lety

      Nimekumbukwa

    • @subiranjohole1935
      @subiranjohole1935 Před 2 lety

      Mungu akutunze akupe hitaji lamoyo wako. Najua baada ya mapito yote. Uliopitia. Mungu nijibu tosha la maisha Yako brother. Mungu anaekupenda sana,kukaa gerezani ilikuwa kusudi la Mungu. Ili umtumikie, usajhigweghe fijho gwa jesu🙏🙏🙏. Najua umeacha kulia 😭umeshaamini sasa, songs mbele🏃🏃🏃

  • @mwilanyalwale6266
    @mwilanyalwale6266 Před 2 lety

    Mungu unikumbuke, ukumbuke wafungwa wote kimwili, lakini katika ulimwengu waroho Kuna wafungwa wengi than we can imagine...Mungu kumbuka wafungwa wote katika ulimwengu wa roho

  • @davidngutunyi4117
    @davidngutunyi4117 Před 2 lety

    Kisha CHA kweli.. huyo bwana character yalimkuta kweli..Mwasongwe kamtungia wimbo hakika Mungu atukuzwe...

  • @user-ld8gv3mn8u
    @user-ld8gv3mn8u Před rokem +3

    Mungu awakumbuke wote waliofungwa bila hatia wewe wajua maumivu wanayopitia katika mioyo Yao huenda umepanga hivyo lakin kibinadamu kukubal matokeo yakitu ambacho hujafanya ningumu wape neema yakukubal matokeo

  • @rachelhenry415
    @rachelhenry415 Před 2 lety +4

    Nimelia sana😭😭😭😭😭😭Unikumbuke Mungu wangu 🙏🙏🙏

  • @hanifabakari6245
    @hanifabakari6245 Před 2 lety +1

    Mungu hunikumbuke kwenye magumu nayopitia ,,hunikumbuke kwenye huu ujauzito nilio nao nijifungue salama✍️💆

  • @hyacintagugu7
    @hyacintagugu7 Před rokem +2

    Kaka ambwene ninajua kuigiza hasa upande machozi ukiwa na wimbo wa aina Hiyo nitafute.

  • @ibahatikassinge2780
    @ibahatikassinge2780 Před 2 lety +6

    Huu wimbo ni zaidi ya wimbo. Atukuzwe Mungu juu mbinguni na duniani iwe amani kwa watu aliowaridhia. Hongera brother.

    • @danielmparanyi
      @danielmparanyi Před 2 lety

      Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻czcams.com/video/9uJYAtHEXR8/video.html🙏🙏🙏🙏

  • @Segerethom
    @Segerethom Před 2 lety +14

    For those who don't know this song is a true story.. a really true story, and the Storry teller is on the song. God remembered Him.

  • @salymkitumbika8644
    @salymkitumbika8644 Před 2 lety +1

    Dah true story ya Huyo mwanajesh pembeni very painful story

  • @sophianasri6107
    @sophianasri6107 Před 2 lety +1

    Nimefulahia pia kumuona kaka yetu aliefungwa miaka 9 katika video hii Yesu ambariki sana ubarikiwe pia kaka ambwene ww wa juu sana

  • @kweliyakristoyesu
    @kweliyakristoyesu Před 2 lety +7

    Amen ubarikiwe mtu wa Mungu Roho Mtakatifu akutunze sana

    • @danielmparanyi
      @danielmparanyi Před 2 lety

      Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻czcams.com/video/9uJYAtHEXR8/video.html🙏🙏🙏🙏

    • @kelvinkasanga1235
      @kelvinkasanga1235 Před 2 lety

      Bro hivi ni wewe sijaamini kama ni mwasonge, nyimbo mbaya pia sauti sijakuelewa

  • @jacklinemtenga7418
    @jacklinemtenga7418 Před 2 lety +27

    I found myself crying. God,ur the one who knows every one's need. Answer us according to your will

  • @agynoel2846
    @agynoel2846 Před 2 lety

    Nimefurahi kumuona kwenye video baba mwenye true story

  • @grolyqueen5833
    @grolyqueen5833 Před 2 lety +2

    Aisee hii story inalizaa sana barikiwaa ulivyo muwekaa na muusikaaa 😭🙏🙏🙏🙏

  • @mariammwamaso3984
    @mariammwamaso3984 Před 2 lety +15

    Mambo ya 2022 🔥 🔥. Unatibu sana mioyo yetu kaka. Mungu akutunze

    • @danielmparanyi
      @danielmparanyi Před 2 lety

      Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻czcams.com/video/9uJYAtHEXR8/video.html🙏🙏🙏🙏

    • @geradmuyeka7460
      @geradmuyeka7460 Před 2 lety

      Mungu akubalik kaka abwen barikiwa

    • @evalynejoel5489
      @evalynejoel5489 Před rokem

      Kwa kweliiiiiiih n 🔥 jaman.. wakuwapi waimbaji kumi Kama Huyu Tanzania ety...

    • @evalynejoel5489
      @evalynejoel5489 Před rokem

      Jaman jaman.. Kuna watu wameitwa kwenye uipaji,, nikiwa nimesongwa na mawazo.. nasikia rohoni usiruhusu maneno yakuvuruge,, hakika MUNGU akubariki kaka ambwene jamani.

  • @Louez24
    @Louez24 Před rokem +3

    Ambwene ni miongoni mwa waimbaji wenye upako. Mungu azidi kukuinua Mtumishi. Ambwene est parmi les chanteurs nommés. Que que Dieu continue à t'élever son Serviteur. Ambwene is among the annointed singers. May God continue to raise you up. Jumbe zako sku zote zinagusa nyoyo. Tes messages, toujours touchent la coeur. Your messages are always touching the souls. Que Die te bennisse beaucoup.

  • @salehemohamed7885
    @salehemohamed7885 Před 2 lety

    Bwana yesu asikuache kamwe ambwene mwasongwe

  • @nichorousmpala5366
    @nichorousmpala5366 Před 2 lety

    Mungu awe nawe na tuzd amini kwel Mungu yupo nasi sote. Nakutakia maisha mema ndg MWAINYEKULE