MISULI YA IMANI BY AMBWENE MWASONGWE (Official Music Video)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 04. 2019
  • Ambwene Mwasongwe presents the Official Music Video for "Misuli ya Imani"
    Watch All Music Videos by Ambwene Mwasongwe: • Ambwene Mwasongwe All ...
    Follow Ambwene Mwasongwe
    Instagram: / ambwenemwasongwe_
    Subscribe to Ambwene Mwasongwe: / @ambweneobadiamwasongwe
    Digital Branding & Marketing By:
    Black Ozen Entertainment Limited: / blackozenentertainment...
    #AmbweneMwasongwe #MisuliYaImani
  • Hudba

Komentáře • 561

  • @Christopher-xj5fz
    @Christopher-xj5fz Před rokem +173

    Wanaoangalia wimbo huu kwa mwaka 2023 weka like hapa na mungu atakubarik🙏

  • @aminamgimba295
    @aminamgimba295 Před 3 měsíci +24

    2024 weka laik hapa

  • @YulithaYoram
    @YulithaYoram Před 2 měsíci +34

    Mwngne Nani anaitazam video hii may 2024 agonge like

  • @aishamwerevu3427
    @aishamwerevu3427 Před 3 lety +51

    Japo mi nimuislam lakini mmh hii nyimbo huwa naipenda sana sana🙏

  • @enockjoseph1947
    @enockjoseph1947 Před 3 lety +129

    Nimeona msiba huko Mwanza,Mama mmoja kafiwa na watoto kumi kwenye ajali moja wakiwa wanakwenda harusini! Dah! Nilivyoona Mama yao amezimia nikajikuta naukumbuka huu wimbo!!! Dah! Kweli Mungu amefanya siri siku ya kifo ili tumuheshimu kila dakika! Eeh Mungu tujalie mwisho mwema.

  • @fadhilimbilinyi274
    @fadhilimbilinyi274 Před 11 měsíci +12

    Sasa huu wimbo umempata mwingine wa uhakika 2023, 02 August
    Mungu ampe faraja ya kweli huyu mama

  • @josemitimingi8048
    @josemitimingi8048 Před rokem +11

    Nimerudi tena hapa 3/02/2023 ajali iliyoua watu 14 family Moja hapo Tanga. Mungu ni mwema amina

  • @bahatimdetelenyembe6930
    @bahatimdetelenyembe6930 Před 11 měsíci +11

    Nipo hapa August 7,2023...Mungu awape nguvu na faraja familia ya MSUYA

  • @hannesasmalling7128
    @hannesasmalling7128 Před 7 měsíci +18

    Sitasahau huu Wimbo uliniokoa nikiwa nataka kujiua na vidonge mwaka 2014 nilipokuwa nikiishi na mama wa kambo,niliusikiliza kabla ya kutaka kujiua nikaona mimi sina matatizo mazito kuna watu wamefikwa na mitihani zaidi yangu

    • @joyjilien
      @joyjilien Před 7 měsíci +1

      Tumshkuru mungu kila dakika,wapo wenye matatizo mpaka unasema Afadhali mimi 😢

    • @edwinpolkinabo
      @edwinpolkinabo Před 5 měsíci +1

      Uendelee kuwa na misuli ya imani

    • @oluocholuanda
      @oluocholuanda Před 5 měsíci +1

      Hautakufa utaishi kulitangaza utukufu Mungu.

  • @Deedylr4767
    @Deedylr4767 Před 3 lety +64

    Nani anaskiliz 2021 kwenye ichi kipind kigumu watanzania😭cha msiba

  • @stewartnairo4897
    @stewartnairo4897 Před 2 měsíci +17

    May 2024 anybody?

  • @TwendeTvTanzania
    @TwendeTvTanzania Před rokem +10

    Jamani naomba tukiwa katika kipindi iki kigumu Cha msiba wa kutokana na Ndege basi weka wimbo huu utapata faraja jamani na kama unasikiliza basi weka Like kwenye comment hii🤝

  • @user-qx9ts7od3z
    @user-qx9ts7od3z Před 11 měsíci +16

    Wimbo huu hakika una namna ambayo ukiusikiliza unaleta faraja na funzo. Kamwe unaesikiliza huu wimbo usije mwacha MUNGU kwenye dunia hii iliyosonga mambo mengi ya Shetani.

  • @lenathawamala1780
    @lenathawamala1780 Před 3 lety +26

    Hata nikipatwa na jaribu kiasi gani sitafikiria kumuacha mungu🙏

  • @bundallachaba3120
    @bundallachaba3120 Před rokem +12

    Till 2023 still it's blessing

  • @blasidafussy1364
    @blasidafussy1364 Před 11 měsíci +12

    Huu wimbo nimeukumbuka kwa ajili ya huyu mama ambaye wanawe wanne wamekufa kwa ajali yaan imeniuma mno huu wimbo una funzo ndan yke Mungu yupo wapendwa😭😭

  • @jeremiesinamenye614
    @jeremiesinamenye614 Před 2 lety +22

    Huu wimbo umenifariji baada ya kumpoteza mtoto wangu 8 years old..but God still been God.

  • @rosemaina8524
    @rosemaina8524 Před 9 měsíci +8

    Hakuna litakalo tutenganisha na upendo wa Mungu. Ndiye mfariji wetu

  • @pendoraphael5596
    @pendoraphael5596 Před 4 lety +92

    Twende sawa 2020 nahuu ugonjwa wa Corona mungu wetu aturehemu

    • @deborahrehema5819
      @deborahrehema5819 Před 4 lety +3

      Pendo Raphael Amen Mungu yupo hakika

    • @nazaelimathayo1628
      @nazaelimathayo1628 Před 4 lety +2

      Amen

    • @janethanderson1587
      @janethanderson1587 Před 4 lety +1

      Kabsa

    • @10xtradingkenya49
      @10xtradingkenya49 Před 4 lety +3

      Dadangu alikua na corona...amepona sasa.
      Baba yangu aligongwa na anachuma mguuni na mkononi..mungu nani Kama wewe sasa hivi anatembea.❤❤😢😭😭Mungu mkuu...
      Shukrani zangu zifike kkkt kariako. Dar es salaam. Na pia Kwa Mchungaji Mshihiri (Mongo LA Ndege)
      Nipo Kenya nitarudi...
      Jina Langu Herman ,Miaka 20! Nimeokoka nampenda Yesu!

    • @deborahrehema5819
      @deborahrehema5819 Před 4 lety

      @@10xtradingkenya49 ooh wow Mungu ni yote tena mzuri sana kwa wale wamtumainio

  • @rosemwazighe4340
    @rosemwazighe4340 Před 2 měsíci +14

    2024 and I'm here

  • @raphaeldamian4178
    @raphaeldamian4178 Před 11 měsíci +10

    Huu wimbo nimekuja kuuusikikiza Leo baadae ya kuona Ile familia ya Mzee msuya iliyopoteza watoto wanne ,mungu awape uvumilivu na hao ndo watu mungu huwatumia kumsimangia shetan

    • @printcity7004
      @printcity7004 Před 11 měsíci

      NA WEWE NDO MIMI HAPA h.. hivyo hivyo

  • @user-kr1yo4eq3j
    @user-kr1yo4eq3j Před rokem +9

    Me ni muislam ila hii nyimbo inanigusa sanaa💔

  • @Emiliana97
    @Emiliana97 Před rokem +10

    I’m watching this today
    I’m heartbroken 💔
    Nimefikiria Hata kufa but this song changed my whole mindset
    Najua nitavuka tuu katika hili
    Thank you Lord 🙏

  • @roseasimwe827
    @roseasimwe827 Před 11 měsíci +6

    Mwenyezi Mungu kupitia huu wimbo wape faraja familia ya Msuya bwana wape amani ya moyo wape watu wazuri wa kuwatunza wazazi na watoto bwana

  • @angelmbwilo9608
    @angelmbwilo9608 Před 3 měsíci +9

    Huu wimbo huwa unanibariki Sana hasa pale ninapo kuwa kwenye magumu MUNGU atutie nguvu peke yetu hatuwezi

  • @user-mx5ug4jz1o
    @user-mx5ug4jz1o Před 11 měsíci +7

    Mungu awafanyie wepesi katika magumu mnayopitia 🙏

  • @user-ox3ix5uh1g
    @user-ox3ix5uh1g Před měsícem +6

    Huu wimbo umenibariki sana 2024

  • @patricktegea1430
    @patricktegea1430 Před 9 měsíci +6

    Mie huu wimbo sitokuja kuuchoka💐💐💐💐💐💐💐❤️❤️❤️❤️

  • @laurentgregory2074
    @laurentgregory2074 Před 3 lety +12

    Wakati unauelezea huu wimbo leo TBC nikabaki najiuliza maswali na kupata jibu kwamba Mungu anaruhusu jaribu ambalo mtu analiweza.

  • @SyliviaKutaga-pm9rr
    @SyliviaKutaga-pm9rr Před rokem +10

    Yaani huu wimbo nimeusikiliza nikajikuta natokwa machozi nikawakumbuka wazazi wangu waliofariki kwa kupishana mwezi mmoja kwakweli nilipata wakati mgumu sana

  • @shedrackjohnmkami4736
    @shedrackjohnmkami4736 Před rokem +7

    Kama una bwana ndani yak naukaskiliza wimbo huu nilazima utasisimuka kutoka moyoni.

  • @mkilimamoses2311
    @mkilimamoses2311 Před 11 měsíci +5

    Hata iweje wimbo huu hautapoteza nguvu hata siku moja.Wimbo una nguvu ya ajabu kwelikweli.Mungu akubariki kwa maono yako yakutunga huu wimbo Ambwene🙏🏻

  • @EmmyMshana
    @EmmyMshana Před 11 měsíci +7

    6/8/2023 Ajali ya Chalinze rah 😢😢😢😢😢😢😢

  • @aidadismas
    @aidadismas Před rokem +11

    Watching in 2023

    • @mlekwamlula4387
      @mlekwamlula4387 Před rokem

      Mungu ndo anaejua maumivu niliyopitia ya kuondokewa na dada angu kipenzi ester mungu akupe pumziko la milele huko uliko mdogo wako nakumbuka sana

  • @Saiditofikisaidiramadhan-mk2xi

    Me ni mwislam lakini huu mwimbo unafunzo kubwa sana tumkumbukeni mungu kila sekunde jamani

  • @neemakayala4604
    @neemakayala4604 Před 10 měsíci +11

    2023❤❤❤

  • @rachelroosevelt5407
    @rachelroosevelt5407 Před rokem +5

    Leo tarehe 11/10/2022 ndo nime elewa huu wimbo nime poteza ndugu zangu watano kwa ajali ya gari

  • @KibibiMtuhi-xg8ju
    @KibibiMtuhi-xg8ju Před 9 měsíci +5

    2023 October ,Yesu ni mwema wimbo unaendelea kunifunza .

  • @yazis2586
    @yazis2586 Před 9 měsíci +9

    Wangapi wakisiliza wimbo huu hupata picha ya kile kinachoimbwa kwa fikra tu?
    Mtumishi umefanya kitu kikubwa kwa wimbo huu,ubarikiwe sana.

  • @kitumainikubatu3182
    @kitumainikubatu3182 Před 3 měsíci +7

    Nyimbo Kama hizi zinasisimua maisha ya kiroho.

  • @FlorenceDDR
    @FlorenceDDR Před 4 lety +32

    Wimbo umenibariki katika ya the storm l am going through, thank you Lord for intervening 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾💌🙏🏾🙏🏾

  • @joycechuma2292
    @joycechuma2292 Před rokem +6

    Ambwene Mimi nilipita kwenye kipindi kigumu sana nashukuru sana nyimbo zako zote zimenibariki sana

  • @belegeselestin9319
    @belegeselestin9319 Před měsícem +5

    June 2024 hakika Mungu mwema

  • @Ryn872
    @Ryn872 Před 7 měsíci +6

    Kwakweli ambwene you are a gift to the body of Christ. 1st Dec 2023 still here. Mungu akuinue juu na juu na ibada yako ya miaka 20 ikawe ya mafanikio katika jina la Yesu

  • @vickalexander4944
    @vickalexander4944 Před 4 lety +37

    Nyimbo hii huwa inanifaliji sana ubalikiwe sana ambwene

  • @upendoamani8164
    @upendoamani8164 Před 4 lety +14

    Huu wimbo umekuwa faraja yangu mchana na usiku.

  • @joybituro4042
    @joybituro4042 Před 4 lety +37

    Mungu anasababu ya kukupa jaribu

    • @sofiaarianaayeba491
      @sofiaarianaayeba491 Před 4 lety

      MUNGU pekeyake ndiye atakaye kufariji

    • @joybituro4042
      @joybituro4042 Před 4 lety

      @@sofiaarianaayeba491 kweli hakuna mwanadam atoaye faraja ya kweli zaidi ya Mungu

  • @GiftMissian
    @GiftMissian Před 3 měsíci +6

    Leo nimelia sana baada ya kusikia huu wimbo nimekumbuka mengi sn😢

  • @wannaproducts
    @wannaproducts Před rokem +8

    2023 still 🔥

  • @banzamukalay5396
    @banzamukalay5396 Před rokem +4

    Nitaitizama mara na mara hata mpaka 2025.

  • @rahmahamis4493
    @rahmahamis4493 Před rokem +5

    forever song 2023

  • @mercynnko3416
    @mercynnko3416 Před rokem +4

    Mashujaa wa imani siku zote hurudisha utukufu kwa Mungu

  • @user-ut3wy7ks4i
    @user-ut3wy7ks4i Před 5 měsíci +7

    Kaka Ambwene Mungu akubariki sana, nimefiwa sana, lkn richa ya kufiwa nikipita kwenye magum nakumbuka huu wimbo naanza kuusikiliza unanitia Moyo sana, na kujua Mungu anakusudi NAMI tunaweza pitia magum lkn kumbe Mungu anajivunia sisi na tupitapo kwenye jaribu Mungu anatupa jaribu akiju tunaweza

  • @irakozeshakiru1131
    @irakozeshakiru1131 Před 10 měsíci +6

    Le23_3_2018 💔💔😭😭😭 Mume wangu alifaliki wimbo unanitia nguvu Mungu niMungu tuu

  • @sizyamigila7385
    @sizyamigila7385 Před 11 měsíci +7

    Huu wimbo umekuwa faraja yangu niliposhiriki ibada ya mazishi ya familia ya msuya majeneza yamepangana hapo wazazi wako hapo nimelia sana sana.Lakini nikakumbuka mtetezi wetu yu hai.Katika kupita kwenye magumu wazazi waone mkono wa neema.

  • @Dia544
    @Dia544 Před 22 dny +7

    2024❤

  • @SashaRamadhani-uu1wv
    @SashaRamadhani-uu1wv Před 7 měsíci +6

    Asante sana kaka ambwene napitia kipindi kigumu cha kumsindikiza nimpendae nina imani na ili litapita

  • @allyomary2271
    @allyomary2271 Před 11 měsíci +7

    Mzee msuya na familia yake utazani ambwene mwasongwe aliwaimbia wao hii nyimbo inaumiza sana kupoteza watoto wote Kwa wakati mmoja 😂

  • @lelomellowtz
    @lelomellowtz Před 8 měsíci +6

    November,2023.
    Mungu bado ni mwema sana.🙏🏽❤️

  • @eliumbanambowe722
    @eliumbanambowe722 Před rokem +4

    2023 mshukuru Mungu kwan yeye atabaki kuwa Mungu

  • @rosewakio2184
    @rosewakio2184 Před 2 lety +10

    Powerful Song, this song deserves a 100 million views, wakristo muko wapi jamani mubarikiwe na huu wimbo

  • @OliviaMushi-uh3mv
    @OliviaMushi-uh3mv Před 7 měsíci +7

    Wangap wamekuja hapa baada ya majanga yaliyotokea katesh manyara

  • @lucyokoth8743
    @lucyokoth8743 Před 4 lety +16

    Huu wimbo unaniinua sana wakati huu mgumu katika maisha yangu,mtumishi Ambwene Mungu akubariki sana

    • @mariumjeremiah1247
      @mariumjeremiah1247 Před 2 lety

      Nafarijiwa na wimbo huu wakati ninapohisi mateso ambwene MUNGU akubariki

  • @user-ev4fj9jr1i
    @user-ev4fj9jr1i Před 11 měsíci +5

    Mungu awasaide kwenye magumu awabarik ❤ 2023

  • @daudimbonea2572
    @daudimbonea2572 Před 4 lety +24

    Usije kufikiri kumuacha Mungu🙏🙏. Mungu aendelee kukuinua kwa viwango vingine mtu wa Mungu

  • @subirandimbwa2201
    @subirandimbwa2201 Před 3 lety +6

    Twende pamoja 2021

  • @evajovialemma5633
    @evajovialemma5633 Před 6 měsíci +5

    Mungu ni mkuu kweli kweli jinalake litukuzwe maana matendo yake ni makuu na hatuachi kabisa

  • @otavinamsigala7004
    @otavinamsigala7004 Před 4 lety +7

    Misuli ya imani in ujumbe mzito Sana ambao wakati wote nikipita kwenye jaribu lolote huwa naona hili linanikusha kuamini

  • @dashingstv8177
    @dashingstv8177 Před rokem +4

    Nakumbuka kipind nimefilisika😢😢😢😢😢

  • @georginaopati9587
    @georginaopati9587 Před rokem +4

    Wimbo wenye mafunzo makubwa kwangu asante Mungu kwa hali yangu

  • @annyminja8353
    @annyminja8353 Před 2 lety +5

    2022 Nazidi kujengwa na hii nyimbo ,Uzao wangu hii nyimbo ikawe ya baraka kwao pia ikawe fimbo ya kumchapia shetani🙏🙏

  • @PeterMabalwe-bf6zh
    @PeterMabalwe-bf6zh Před 10 měsíci +4

    Ambwene nyimbo zako nimezikubali huwa unanigusa sana ubarikiwe sana

  • @assahmwansasu6108
    @assahmwansasu6108 Před 11 měsíci +5

    Amina wimbo huu unaleta faraja kubwa sana

  • @modestajamada3496
    @modestajamada3496 Před rokem +11

    2023

    • @rugaziabaisi6199
      @rugaziabaisi6199 Před rokem +1

      Nimempoteza mtu niliyekuwa nampenda sana....
      Lakini bado mungu ni mwema kwangu.....🙏

  • @scholasticabitala5794
    @scholasticabitala5794 Před 11 měsíci +10

    Baada ya Ile ajali nimekuja kusikiliza huu wimbo

    • @MerYEdga
      @MerYEdga Před 11 měsíci

      Nifalaja kubwa sana ninapo sikia huu wimbo

  • @salhatunimande720
    @salhatunimande720 Před 3 lety +8

    Who is here 2021🙏🏻💙 Glory to GOD..

  • @Joylinemakeup
    @Joylinemakeup Před 5 měsíci +5

    Eeeh mungu wangu nirehemu mm na familia yangu , tuwe na mwisho mwema,,

  • @nyamunarunyamboneka4156
    @nyamunarunyamboneka4156 Před 4 lety +22

    When I listen to this song always be strong

  • @Positive_thinkingarea
    @Positive_thinkingarea Před rokem +6

    Wimbo wenye mafunzo

  • @mauruskomba9187
    @mauruskomba9187 Před 11 měsíci +4

    It's August, 2023. Still watching this song😥💔🙌

  • @user-xx6tn9zi8x
    @user-xx6tn9zi8x Před 8 měsíci +5

    Namkubar sana faza ambwene mungu akujalie ufanya Kazi zako mungu akulinde

  • @user-zs4mo4ts1h
    @user-zs4mo4ts1h Před 4 měsíci +8

    tumuombe mungu sana atusaidie katika haya maisha inauma sana iyo tupendane tukiwa hai nawapenda wote wamama wote duniani ilove you mom❤🥀

  • @sanekwilabya4453
    @sanekwilabya4453 Před rokem +9

    2023 hii

  • @leahchacha1945
    @leahchacha1945 Před rokem +8

    This song touches my heart forever. I am currently facing a lot in life, but I pray to God that everything will be well, and that I will get to God with a strong heart😭😭🙏🙏🙏

  • @lightnessgamasa6039
    @lightnessgamasa6039 Před 6 měsíci +4

    Ameimba kutoka Rohoni lazima watu waguse , maana mtu warohoni haimbi biashara Yuko kazini mtumishi wamungu Abarikiwe Sana Kwa hii Ibada njema kabisa 🙏🙌🙌

  • @esterpaschal6080
    @esterpaschal6080 Před 22 dny +3

    Huu wimbo nmeukumbuka leo familia imeungua ndan baba na watt3 wamefalik amebak mama na mtt1, mungu amtie nguvu mama aliebak

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 Před 4 měsíci +5

    Mungu utusaidie 🙏2024

  • @welniceedward2645
    @welniceedward2645 Před 4 lety +28

    Napendaa sana hii nyimbo.

  • @dorydylan4089
    @dorydylan4089 Před 6 měsíci +10

    2024 bado tunafurahia wimbo

  • @rosemarykimario2880
    @rosemarykimario2880 Před 11 měsíci +7

    RIP watoto wa mzee Msuya MUNGU awatie nguvu wazazi wao inaumiza ktk yote MUNGU anaweza

  • @alexdereva4007
    @alexdereva4007 Před 4 lety +12

    Huu wimbo huwa unanigusa sana❤

  • @zoejustin9306
    @zoejustin9306 Před rokem +4

    Mungu akaisimamie familia zetu naza Mrema Rombo

  • @erick1863
    @erick1863 Před 3 lety +16

    A very powerful song with words of encouragement to heal the soul when your are in difficult situations....
    Mungu ni mwema kila siku tumtafute yeye kila siku

  • @user-vs8mf5mo6p
    @user-vs8mf5mo6p Před 4 měsíci +5

    Aksanti ndungu wa tanzania zaidi sana pasta ambwene kututuliza na huu nyimbo ya misuli ya imani huko Congo ya mashariki tunapo vamiwa na magaidi wa kinyarwanda na M23 kuuwa kaka na baba zetu huku ruchuru,beni goma masisi na pengine masharikini.

  • @fridahmiruka2562
    @fridahmiruka2562 Před 3 lety +4

    💞💞siwezi acha kudance na kulia juu ya huu wimbo kaka huu wimbo unanitia moyo sana😥😥

  • @jasminnyoni7005
    @jasminnyoni7005 Před 3 měsíci +10

    2024

  • @mandelasakara-no3bw
    @mandelasakara-no3bw Před rokem +3

    Mimbo huu nifaraja kwangu niusikiapo TU,Mungu tukumbuke nasisi 🙏

  • @changombesdayouthchoirtabata

    2023 still message ile ile

  • @gorgonusshayo920
    @gorgonusshayo920 Před 4 lety +6

    Najkutaga nalia na ndev zangu napousikiliza . 1 love ambwene . umeimba kwa uhalisia wa maisha yetu

  • @cleophasemfumya3541
    @cleophasemfumya3541 Před 7 měsíci +4

    Katesh….wimbo uwafariji