MISULI YA IMANI BY AMBWENE MWASONGWE (Official Music Video)
Vložit
- čas přidán 3. 04. 2019
- Ambwene Mwasongwe presents the Official Music Video for "Misuli ya Imani"
Watch All Music Videos by Ambwene Mwasongwe: • Ambwene Mwasongwe All ...
Follow Ambwene Mwasongwe
Instagram: / ambwenemwasongwe_
Subscribe to Ambwene Mwasongwe: / @ambweneobadiamwasongwe
Digital Branding & Marketing By:
Black Ozen Entertainment Limited: / blackozenentertainment...
#AmbweneMwasongwe #MisuliYaImani - Hudba
Wanaoangalia wimbo huu kwa mwaka 2023 weka like hapa na mungu atakubarik🙏
mm nilimbeba ambwene kipindi naendesha pikipiki mbeya alikuja kijiweni kwetu
Kbisaa
nimekuja kuusikiliza baada ya mama aliyepoteza watoto wake wote wanne Kwa ajali
@@deboralukawe3883Inaumiza sana. August 2023
Hii nyimbo inafunz
2024 weka laik hapa
Mwngne Nani anaitazam video hii may 2024 agonge like
Mm apa mkinga og ina nikumbusha mbali sana may 2024
❤
Nimeitazama tena leo🙌🏾
Hii nyimbo n mpya kla siku
Mungu ni mwema ,
Japo mi nimuislam lakini mmh hii nyimbo huwa naipenda sana sana🙏
Me mwenyewe muislam naipenda saana
Haijalishi Mwenyezi Mungu/allah/ Jehovah hana Dini. Tumumaini yeye tu. Dini ni njia za kumjua Yeye aliye Mkuu .
Karibu kwa YESU KRISTO.
Wimbo wa taifa
Hata mmm
Nimeona msiba huko Mwanza,Mama mmoja kafiwa na watoto kumi kwenye ajali moja wakiwa wanakwenda harusini! Dah! Nilivyoona Mama yao amezimia nikajikuta naukumbuka huu wimbo!!! Dah! Kweli Mungu amefanya siri siku ya kifo ili tumuheshimu kila dakika! Eeh Mungu tujalie mwisho mwema.
daah
Ameen
Mungu amtie nguvu mama huyo Mungu ni mwema siku zote
Amina
Amina
Sasa huu wimbo umempata mwingine wa uhakika 2023, 02 August
Mungu ampe faraja ya kweli huyu mama
Nimerudi tena hapa 3/02/2023 ajali iliyoua watu 14 family Moja hapo Tanga. Mungu ni mwema amina
Nipo hapa August 7,2023...Mungu awape nguvu na faraja familia ya MSUYA
Sitasahau huu Wimbo uliniokoa nikiwa nataka kujiua na vidonge mwaka 2014 nilipokuwa nikiishi na mama wa kambo,niliusikiliza kabla ya kutaka kujiua nikaona mimi sina matatizo mazito kuna watu wamefikwa na mitihani zaidi yangu
Tumshkuru mungu kila dakika,wapo wenye matatizo mpaka unasema Afadhali mimi 😢
Uendelee kuwa na misuli ya imani
Hautakufa utaishi kulitangaza utukufu Mungu.
Nani anaskiliz 2021 kwenye ichi kipind kigumu watanzania😭cha msiba
Npo hapa 2021 Ameen
🙏🙏🙏❤
Nasikiliza 2022 nafarijiwa sana
2022
@@peterissa7992 pppp
May 2024 anybody?
Jamani naomba tukiwa katika kipindi iki kigumu Cha msiba wa kutokana na Ndege basi weka wimbo huu utapata faraja jamani na kama unasikiliza basi weka Like kwenye comment hii🤝
Wimbo huu hakika una namna ambayo ukiusikiliza unaleta faraja na funzo. Kamwe unaesikiliza huu wimbo usije mwacha MUNGU kwenye dunia hii iliyosonga mambo mengi ya Shetani.
Kabisaaa 😢😢😢😢
Hata nikipatwa na jaribu kiasi gani sitafikiria kumuacha mungu🙏
Till 2023 still it's blessing
Huu wimbo nimeukumbuka kwa ajili ya huyu mama ambaye wanawe wanne wamekufa kwa ajali yaan imeniuma mno huu wimbo una funzo ndan yke Mungu yupo wapendwa😭😭
Huu wimbo umenifariji baada ya kumpoteza mtoto wangu 8 years old..but God still been God.
Pole sana 😪😪😪
Hakuna litakalo tutenganisha na upendo wa Mungu. Ndiye mfariji wetu
Twende sawa 2020 nahuu ugonjwa wa Corona mungu wetu aturehemu
Pendo Raphael Amen Mungu yupo hakika
Amen
Kabsa
Dadangu alikua na corona...amepona sasa.
Baba yangu aligongwa na anachuma mguuni na mkononi..mungu nani Kama wewe sasa hivi anatembea.❤❤😢😭😭Mungu mkuu...
Shukrani zangu zifike kkkt kariako. Dar es salaam. Na pia Kwa Mchungaji Mshihiri (Mongo LA Ndege)
Nipo Kenya nitarudi...
Jina Langu Herman ,Miaka 20! Nimeokoka nampenda Yesu!
@@10xtradingkenya49 ooh wow Mungu ni yote tena mzuri sana kwa wale wamtumainio
2024 and I'm here
Huu wimbo nimekuja kuuusikikiza Leo baadae ya kuona Ile familia ya Mzee msuya iliyopoteza watoto wanne ,mungu awape uvumilivu na hao ndo watu mungu huwatumia kumsimangia shetan
NA WEWE NDO MIMI HAPA h.. hivyo hivyo
Me ni muislam ila hii nyimbo inanigusa sanaa💔
I’m watching this today
I’m heartbroken 💔
Nimefikiria Hata kufa but this song changed my whole mindset
Najua nitavuka tuu katika hili
Thank you Lord 🙏
Sorry Mungu ni mwaminifu
Have Faith In The Lord. He is Faithful.
God Loves You... He will never Leave you nor forsake You🫶
Mwenyezi Mungu kupitia huu wimbo wape faraja familia ya Msuya bwana wape amani ya moyo wape watu wazuri wa kuwatunza wazazi na watoto bwana
Huu wimbo huwa unanibariki Sana hasa pale ninapo kuwa kwenye magumu MUNGU atutie nguvu peke yetu hatuwezi
Yan we acha tu😢
Mungu awafanyie wepesi katika magumu mnayopitia 🙏
Huu wimbo umenibariki sana 2024
Mie huu wimbo sitokuja kuuchoka💐💐💐💐💐💐💐❤️❤️❤️❤️
Wakati unauelezea huu wimbo leo TBC nikabaki najiuliza maswali na kupata jibu kwamba Mungu anaruhusu jaribu ambalo mtu analiweza.
Kabisa
Yaani huu wimbo nimeusikiliza nikajikuta natokwa machozi nikawakumbuka wazazi wangu waliofariki kwa kupishana mwezi mmoja kwakweli nilipata wakati mgumu sana
Pole sana , Bwana Yesu akupe faraja ya kudumu mpendwa.
Pole sana Mungu akupe nguvu
Pole saana mi dia Mungu aendelee kukuyatamia🙏
Mungu ana sababu njema mbona kawachukua.....ata Enoch na Elijah hawakuishi miaka mingi
Kama una bwana ndani yak naukaskiliza wimbo huu nilazima utasisimuka kutoka moyoni.
Hata iweje wimbo huu hautapoteza nguvu hata siku moja.Wimbo una nguvu ya ajabu kwelikweli.Mungu akubariki kwa maono yako yakutunga huu wimbo Ambwene🙏🏻
6/8/2023 Ajali ya Chalinze rah 😢😢😢😢😢😢😢
Watching in 2023
Mungu ndo anaejua maumivu niliyopitia ya kuondokewa na dada angu kipenzi ester mungu akupe pumziko la milele huko uliko mdogo wako nakumbuka sana
Me ni mwislam lakini huu mwimbo unafunzo kubwa sana tumkumbukeni mungu kila sekunde jamani
2023❤❤❤
Nikoapa wimbo Umekaa kiloho kabisa❤
Leo tarehe 11/10/2022 ndo nime elewa huu wimbo nime poteza ndugu zangu watano kwa ajali ya gari
Pole sana 😔😔😔Mungu akutie Nguvu
@@emmanuelsamwel741 Asante sana
😢😢😢😢😢
2023 October ,Yesu ni mwema wimbo unaendelea kunifunza .
Wangapi wakisiliza wimbo huu hupata picha ya kile kinachoimbwa kwa fikra tu?
Mtumishi umefanya kitu kikubwa kwa wimbo huu,ubarikiwe sana.
Nyimbo Kama hizi zinasisimua maisha ya kiroho.
Wimbo umenibariki katika ya the storm l am going through, thank you Lord for intervening 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾💌🙏🏾🙏🏾
Ambwene Mimi nilipita kwenye kipindi kigumu sana nashukuru sana nyimbo zako zote zimenibariki sana
June 2024 hakika Mungu mwema
Kwakweli ambwene you are a gift to the body of Christ. 1st Dec 2023 still here. Mungu akuinue juu na juu na ibada yako ya miaka 20 ikawe ya mafanikio katika jina la Yesu
Nyimbo hii huwa inanifaliji sana ubalikiwe sana ambwene
Napenda sana nyimbo zako barikiwa
Huu wimbo umekuwa faraja yangu mchana na usiku.
Mungu anasababu ya kukupa jaribu
MUNGU pekeyake ndiye atakaye kufariji
@@sofiaarianaayeba491 kweli hakuna mwanadam atoaye faraja ya kweli zaidi ya Mungu
Leo nimelia sana baada ya kusikia huu wimbo nimekumbuka mengi sn😢
Pole❤
2023 still 🔥
Nitaitizama mara na mara hata mpaka 2025.
forever song 2023
Mashujaa wa imani siku zote hurudisha utukufu kwa Mungu
Kaka Ambwene Mungu akubariki sana, nimefiwa sana, lkn richa ya kufiwa nikipita kwenye magum nakumbuka huu wimbo naanza kuusikiliza unanitia Moyo sana, na kujua Mungu anakusudi NAMI tunaweza pitia magum lkn kumbe Mungu anajivunia sisi na tupitapo kwenye jaribu Mungu anatupa jaribu akiju tunaweza
Le23_3_2018 💔💔😭😭😭 Mume wangu alifaliki wimbo unanitia nguvu Mungu niMungu tuu
Huu wimbo umekuwa faraja yangu niliposhiriki ibada ya mazishi ya familia ya msuya majeneza yamepangana hapo wazazi wako hapo nimelia sana sana.Lakini nikakumbuka mtetezi wetu yu hai.Katika kupita kwenye magumu wazazi waone mkono wa neema.
😢😢😢isee Mungu utabaki kuwa Mungu
2024❤
❤❤
Asante sana kaka ambwene napitia kipindi kigumu cha kumsindikiza nimpendae nina imani na ili litapita
Pole sana Mungu awe mfariji wako
Mzee msuya na familia yake utazani ambwene mwasongwe aliwaimbia wao hii nyimbo inaumiza sana kupoteza watoto wote Kwa wakati mmoja 😂
Pole mama musuya
Inaumiza mno
We unajua matumiz ya emoj kweli
Duniani tunapita
November,2023.
Mungu bado ni mwema sana.🙏🏽❤️
Sana Kila wakati Mungu nimwema
2023 mshukuru Mungu kwan yeye atabaki kuwa Mungu
Powerful Song, this song deserves a 100 million views, wakristo muko wapi jamani mubarikiwe na huu wimbo
Wangap wamekuja hapa baada ya majanga yaliyotokea katesh manyara
Huu wimbo unaniinua sana wakati huu mgumu katika maisha yangu,mtumishi Ambwene Mungu akubariki sana
Nafarijiwa na wimbo huu wakati ninapohisi mateso ambwene MUNGU akubariki
Mungu awasaide kwenye magumu awabarik ❤ 2023
Usije kufikiri kumuacha Mungu🙏🙏. Mungu aendelee kukuinua kwa viwango vingine mtu wa Mungu
Twende pamoja 2021
Hai
Mungu ni mkuu kweli kweli jinalake litukuzwe maana matendo yake ni makuu na hatuachi kabisa
Misuli ya imani in ujumbe mzito Sana ambao wakati wote nikipita kwenye jaribu lolote huwa naona hili linanikusha kuamini
Nakumbuka kipind nimefilisika😢😢😢😢😢
Wimbo wenye mafunzo makubwa kwangu asante Mungu kwa hali yangu
2022 Nazidi kujengwa na hii nyimbo ,Uzao wangu hii nyimbo ikawe ya baraka kwao pia ikawe fimbo ya kumchapia shetani🙏🙏
Ambwene nyimbo zako nimezikubali huwa unanigusa sana ubarikiwe sana
Amina wimbo huu unaleta faraja kubwa sana
2023
Nimempoteza mtu niliyekuwa nampenda sana....
Lakini bado mungu ni mwema kwangu.....🙏
Baada ya Ile ajali nimekuja kusikiliza huu wimbo
Nifalaja kubwa sana ninapo sikia huu wimbo
Who is here 2021🙏🏻💙 Glory to GOD..
Eeeh mungu wangu nirehemu mm na familia yangu , tuwe na mwisho mwema,,
When I listen to this song always be strong
Wimbo wenye mafunzo
It's August, 2023. Still watching this song😥💔🙌
Namkubar sana faza ambwene mungu akujalie ufanya Kazi zako mungu akulinde
tumuombe mungu sana atusaidie katika haya maisha inauma sana iyo tupendane tukiwa hai nawapenda wote wamama wote duniani ilove you mom❤🥀
2023 hii
This song touches my heart forever. I am currently facing a lot in life, but I pray to God that everything will be well, and that I will get to God with a strong heart😭😭🙏🙏🙏
Ameimba kutoka Rohoni lazima watu waguse , maana mtu warohoni haimbi biashara Yuko kazini mtumishi wamungu Abarikiwe Sana Kwa hii Ibada njema kabisa 🙏🙌🙌
Huu wimbo nmeukumbuka leo familia imeungua ndan baba na watt3 wamefalik amebak mama na mtt1, mungu amtie nguvu mama aliebak
Polen Sana Majiran Mungu Awatie Nguvu Mama na Mtoto
Mungu utusaidie 🙏2024
Napendaa sana hii nyimbo.
Ht Mimi japo mini muislamu
2024 bado tunafurahia wimbo
RIP watoto wa mzee Msuya MUNGU awatie nguvu wazazi wao inaumiza ktk yote MUNGU anaweza
Huu wimbo huwa unanigusa sana❤
Mungu akaisimamie familia zetu naza Mrema Rombo
A very powerful song with words of encouragement to heal the soul when your are in difficult situations....
Mungu ni mwema kila siku tumtafute yeye kila siku
I'm healed instantly
Aksanti ndungu wa tanzania zaidi sana pasta ambwene kututuliza na huu nyimbo ya misuli ya imani huko Congo ya mashariki tunapo vamiwa na magaidi wa kinyarwanda na M23 kuuwa kaka na baba zetu huku ruchuru,beni goma masisi na pengine masharikini.
Poleni sana hili linauzunisha san
Pole Kaka jmn😢Mungu anaona yote
💞💞siwezi acha kudance na kulia juu ya huu wimbo kaka huu wimbo unanitia moyo sana😥😥
2024
Mimbo huu nifaraja kwangu niusikiapo TU,Mungu tukumbuke nasisi 🙏
2023 still message ile ile
Najkutaga nalia na ndev zangu napousikiliza . 1 love ambwene . umeimba kwa uhalisia wa maisha yetu
Nice
Ameen
Ameen
Katesh….wimbo uwafariji