WALIDHANI WANATUKIMBIZA KUMBE WANATUSINDIKIZA - AMBWENE MWASONGWE (OFFICIAL MUSIC VIDEO)
Vložit
- čas přidán 2. 04. 2019
- Ambwene Mwasongwe presents the Official Music for "Walidhani Wanatukimbiza Kumbe Wanatusindika"
Watch All Music Videos by Ambwene Mwasongwe: • Ambwene Mwasongwe All ...
Follow Ambwene Mwasongwe
Instagram: / ambwenemwasongwe_
Subscribe to Ambwene Mwasongwe: / @ambweneobadiamwasongwe
Digital Branding & Marketing By:
Black Ozen Entertainment Limited: / blackozenentertainment...
#AmbweneMwasongwe #WalidhaniWanatukimbiza - Hudba
Nimejikuta nasoma comment zote 789 nikiangalia ipi iko tofauti na what i felt nimekugundua holy spirit works the same kwa watu wake ......naombeni mlike na kuweka comment hapa ili nirudi kuisikiliza tena hi nyimbo
Kuja usikize huu wimbo Tena pia Mimi nasikiza nikisoma hallelujah
I'm still watching 10.03.2024 , i need the comments if you want to be blessed for this year and accept the power of God
Kama umebarikiwa na huu wimbo gonga like 🙏🏽❤️
Bless you
Bless wote wanasiikiliza huh wimbo
Nimebalikiwa
Awesome
Good song I hope uta barikiwa Na huu wimbo pia 👉🏻czcams.com/video/9uJYAtHEXR8/video.html Barikiwa 🙏🙏
18.2.2024 still watching😢
Mungu akubariki Ambwene
Mungu akubaliki sana uimbe zaidi
The republic of Tanzania is blessed to have this servant of God. Much love from kenya.
Sir you are also a blessing In Kenya,,, your ministry stirs something from within me
Ni kati ya nyimbo bora sana nyakati zote waweza kuusikiliza na ukafarijika ukajikuta umekubalika mbele za Mungu kimaono na ukakumbuka ulipo kosea na ukashuka kutubu ili mradi uwe family ya Mungu
Tengeneza live performance ya hii wimbo na uweke subtitle ya kiingereza utatazamwa hadi nigeria. Very powerful and Lifting up song. God bless you
,,Tulipona upweke tukiwa tumeachwa !! Aliyeona hii adondoshe like hapaaa!! 💪💪💪💪💪💪💥💥💥💥💥
Naelewa sana tupo pamoja
@@jannysamson6550 4u7088765
Dear umesikia hiyo tu, natania
hakika
Mungu atubariki Sana wote tunaoendelea kusikiliza wimbo huu 2021
Good song I hope uta barikiwa Na huu wimbo pia 👉🏻czcams.com/video/9uJYAtHEXR8/video.html Barikiwa 🙏🙏
❤❤❤❤nataman kumbatia Mungu ila ndio simuoni ila anajua navyojiskia juu yake kweli n mwema ❤
This makes me feel so high when am down.....it makes me to remember whom I am ...."watu wa miliki ya Mungu
I found myself here today and I can't get enough of this song
Huyu ndo mtu anafanya muziki wa injili kama karama na sio biashara. Ni mahubiri ya kutia moyo na kuinua, kututaka tusikatishwe tamaa na hali tunazopitia.
Ubarikiwe sana Ambwene.... your songs are always inspiring and drawing us closer to God!
Mungu kweli amekuwa Mwaminifu zaidi
Yaan huo wimbo unanibariki kupita maelezo na Mungu akubariki sana
Walitubadili majina hawakubadili hatima wapi like yako kwa ambwene
Walipotutupa shimoni tukaibukia ikulu glory to the most high God
Mwalimu wangu ,this song is incredible....Mungu ni mwema ,na azidi kukufunulia zaidi🙏🙏
Ni kati ya nyimbo ambazo siwezi kuforward! Nasikiliza mpaka mwisho na wakati mwingine naurudiarudia! Ujumbe ni mzito mno!!! Kwa aliye rohoni hawezi kushindwa kuuimba wimbo huu tena kwa roho! Barikiwa mtumishi!
Linus Tumwesige kweli kabisa kaka
Kbs bro
Mung akubaliki xn
Amen
Haichoshi kabisa
Mungu abariki kazi za mikono yako mtumishi wa Bwana Ambwene
“Usiwachokoze walio na Mungu, wamebarikiwa na Mungu
Wakitupwa Jangwani wateseke wafe, huigeuza bustani”
Amen
Amina
Amen, asante kwake Mungu hasiyewaacha watu wake
🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Kwakweli
KAMA UNAAMINI MISTARI ALIYOIMBA MTUMISHI 2020 NLDONDOSHA LIKE
Mwamba anasoma Bibilia na anatafakari
Analitafakari haswa yaan
Kweli Biblia ameielewa vzr
Wimbo wa faraja na ushindi utubariki kwa pamoja tunao usikilza 2020 Amen. 🙏
Amina
Amina
Wimbo huu unanifariji sana
Amina🙏🙏
À
Ukiwa unamukubali uyunabi gonga lik apo
Vita vngine sio vya kwetu M wache apigane nao hallelujah
Sisi weusi ndiooo sisi kizazi cha ♥ teule la Mungu wa mbingu na Dunia, tuna kubalika Roman 9: 13 , Isaiah 14: 1-2 , zephaniah 3::10-13-20 these words of prophecy is on ,
Dah yan et bado kuna watu wana unlike sijui wana kajini gan jaman
Ubalikiwe sana tunakupenda Burundi nyimbo nzuri sana inavutiya mpaka machozi yanatoka Mungu akubaliki uzidi kusonga mbele brother 🙏
THE REPUBLIC OF TANZANIA IS BLESSED WITH VERY POWERFUL,TRUE AND DEDICATED MINISTERS OF THE GOSPEL.YOUR TIME TO SHINE ALL AND ACROSS THE WORLD IS RIPE.MAY YOU SHINE LIKE JESUS IN WHATEVER YOU DO FOREVER AND EVER.THANK YOU MY BROTHER AMBWENE MWASONGWE.I DO MINISTER YOUR SONGS IN CHURCH SERVICES,CONFERENCES AND ANY RELATED CHRISTIAN ACTIVITIES.AM GRATEFUL AND HAPPY FOR.MAY YOU TAP MORE ANNOINTING EXCEEDINGLY AND ABUNDANTLY.
Good song I hope uta barikiwa Na huu wimbo pia 👉🏻czcams.com/video/9uJYAtHEXR8/video.html Barikiwa 🙏
❤️ KIBALI NEEMA BARAKA SISI NA UZAO WETU NA VIZAZI VYETU SISI TU UZAO WA AGANO.
Waliponituppa shimoni nikaibukia Ikulu, walijua wananikimbiza kumbe wananisindikiza JINA LA YESU LIBARIKIWE, AMBWENE MUNGU aendelee kukuinua kwa VIWANGO vya tofauti
Nimerud 2024 kuckiliza
nyimbo zako nadhani huwa zinaombewa kabla hazijatungwa.....nyimbo zako zanifanya nimtafute Mungu kwa ukaribu
Amen 🙏
Kabxa
Good song I hope uta barikiwa Na huu wimbo pia 👉🏻czcams.com/video/9uJYAtHEXR8/video.html Barikiwa 🙏🙏🙏
@@esperanceruziga1990 Good song I hope uta barikiwa Na huu wimbo pia 👉🏻czcams.com/video/9uJYAtHEXR8/video.html Barikiwa 🙏🙏🙏
@@jacobomwiru9517 Good song I hope uta barikiwa Na huu wimbo pia 👉🏻czcams.com/video/9uJYAtHEXR8/video.html Barikiwa 🙏🙏🙏
sijui kwanini i love this song,so emotional n annoited.i feel like crying.....God bless you.nani ameguswa kama mimi?
Tupo wengi
It's such a powerful song
Mimi pia nimeguswa
Good song I hope uta barikiwa Na huu wimbo pia 👉🏻czcams.com/video/9uJYAtHEXR8/video.html Barikiwa 🙏
@@deboramoffat6301 Good song I hope uta barikiwa Na huu wimbo pia 👉🏻czcams.com/video/9uJYAtHEXR8/video.html Barikiwa 🙏
Turakwemera aha ibujumbura mu Burundi
sir big up
Hatukupambwa kama wao tukapendeza kuliko wao!Mungu ni Mungu.
Walio karibu na ww ni rahis sana kuiyona pepo, mungu akubarki san bro Ambwene
Walidhan wanatukimbiza kumbe wanatusindikiza,Jina la bwana Yesu libalikiwe sn
Amen
Ubarikiwe sana
Amina
Uzao wa agano....this just ministers to me.
Hatakufa kwa njaa tukiwa hatuna kitu.....Amen!!
Wimbo wa faraja sana huu. 2021 bado nabarikiwa nao! Mungu akuinue
Tunahitaji kukubalika na Mungu pekee ambaye habadiliki ,tutafute kukubalika na yeye ,wanadamu wanabadilika .Amen powerful song
We ambwene kiboko ya injil
Sichoki kusikia nyimbo hii kipaji chako mngu ikiongoze na maisha mpendwa
Barikiwa
Wakati nasikikiza hii nyimbo nimelia kwakweli nani kalia na mm Ubalikiwe mtumishi
Charles Michael ,TUU UZAO TEULE
2024 still gospel best song ever
Uu wimbo ni mzr Sana umenibariki Sana 🙏🙏🙏🙏 ubarikiwe Sana
Tulipona magonjwa tukiwa hatuna dawa, nyimbo ya kiroho kabca naomba hii nyimbo iingizwe kwenye rist ya nyimbo za sifa
God bless you #ambwene
Ambwene mwasongwe naomba nisife bila kukuona
Tulipona mangonjwa tukiwa hatuna dawa. Mungu akuinue zaidi ,nyimbo zako ni za faraja kwa walio kata tamaa.
Nampenda bure huyu baba ❤❤
Tumekubalika na Mungu 'tumebarikiwa na Mungu 🕊
"Walipotutupa shimoni, tukaibukia Ikulu".
Barikiwa mtumishi Ambwene.
Good song I hope uta barikiwa Na huu wimbo pia 👉🏻czcams.com/video/9uJYAtHEXR8/video.html Barikiwa 🙏🙏
Wahbil
Japo niko katikamagu nikonabarikiwa.kabisa
Mda mwingine Mungu huongea nasi kupitia vinywa vya watu. Amen
Ukiamin kupitia wimbo huu mungu atakufanikixha katika kila jambo unaloliitaji
Wimbo huwa unanibariki mnoo hakika walidhan wanatukimbiza kumbe wanatusindikiza
Acha t nainjoy,hatuwez tishwa kwa maneno yao,
Walijua wanatukimbiza kumbe wanatusindikiza 😘🙏🙏🙏 Asante
Good song I hope uta barikiwa Na huu wimbo pia 👉🏻czcams.com/video/9uJYAtHEXR8/video.html Barikiwa 🙏🙏🙏
Multi-talent..Ambwene is a man with misuli ya IMANI♨♨😊🙌
Wakikuacha, mungu hakuachi. Wakibadilika mungu habadiliki. I love the song.....
Dah ukwel mtupu au umeniimbia mm
Wewe ndo suti yangu siongezi kitu nitaharibu suti. Nakupenda zaidi kaka AMBWENE MWASONGWE MUNGU azidi kukutumia kama apendavyo yeye
Walitubadili majina hawakubadili hatima! Hallelujah!
Who love this song,,, thumbs up here
Napenda sana nazipenda nyimbo za ambwene kuliko ni nyimbo za hisia zina gusa mno
Bless you man of God gaaii beautiful song
Naisi nime funguliwa kupitia wimbo huu Amina
Mungu akulinde na akuzidishie baraka nyimbo zako zatugusa sana
Nimekuja kuufwata huu wimbo tu jaman
Naniiii yupooo 2021jamniiii walizaniiii wanatukimbizaaaaa Kumbe wanatusndkza
Naupenda sana huu wa wimbo kwani unaakisi historia ya maisha yangu kabisa,Mungu akubariki sana mtumishi.
Very powerful song,,, nimeishi kutafuta huu wimbo ,, nilikuwa nasikia tu tiktok chorus finaly am here rewinding and rewinding
G.O.T gospel singer from tanzania mungu azidi kukulinda na kukuongoza
Good song I hope uta barikiwa Na huu wimbo pia 👉🏻czcams.com/video/9uJYAtHEXR8/video.html Barikiwa 🙏🙏
Tumekubalika na mungu
Ametuchora kweli moyoni mwake
Wimbo umekaa powa sana kwer mug ametuchora muyon mwake
Ahsante sana my brother kwa wimbo huu.Umenigusa moyo♥️
Mungu aendelee kukutumia kama apendavyo, Nimebarikiwa na huu wimbo kwa kweli
Hatuwezi tishwa kwa maneno,nguvu zetu zipo kwa mungu
kule walikotusukumizia kumbe ndiko Mungu hupumzika
Tulikula mtama kwa maji na tukanawili kuliko wao!! Muache MUNGU jaman tusimfananishe na chochote. Barikiwa ambwene
N kwel wao wanateseka,sir tunalindwa na asielala
Nyimbo nzuri hadi raha
Tulipona kwa Farao tukiwa ugenini, hatukufa kwa njaa tukiwa hatuna kitu, tulinusurika vita,....... tulipona magonjwa,......... tulishinda upweke,.......... Mungu alikuwepo hatukua peke yetu......
🙏🙏 Mungu,, am inspired to move on despite all the difficulties God is with us
barikiwa sana napenda unavyo imba kwakutupa amani mioyoni mwetu
Nmebarikiwa sana
Kweli Ndani Ya Nyimbo Kuna Kuna Maneno Ya Kifalme Yenye Ujumbe Mtakatifu
Mwenyezi MUNGU Akipendezwa Azidi Kukubariki Mtumishi Waje
Mimi ni Muislam lakini Kwa hii nyimbo kuna tumaini kubwa sana
Wananguvu mungu kawapa aisee uwimbo unaujumbe mzito sana
Nampenda huyu mwimbaj
Nampenda Sana ambwen
Wimbo wa kutukumbusha kuwa kwa Mungu yote yanawezekana
Nimeskia huu wimbo kwa mara ya kwanza imebidi nimtafute mwenye huu wimbo....
Katutowa misri tunanguvu za kifalme ubarikiwe sana mtumishi ,tunabarikiwa kwa wimbo huu.❤
Mungu aendelee kukuinuwa kaka yangu,
Oooh hareluyaaaa asant mungu wng
Iyo mwisho apo ata kama una buku ya nauli unamtunza
Wana nguvu Mungu kawapa blessed may God be with u
Mungu yeye achunguzaye mambo hats ya sirini akubaliki sana na akutunze bro tunabarikiwa sana
Kama kunisikiliza wimbo huu 2021
Weka like kwa upendo. ❤
Yaani tukatupwa shimoni tukaibukia ikuluni...thanks Jesus..a faithful God you are..an encouraging song..God bless you
Good song I hope uta barikiwa Na huu wimbo pia 👉🏻czcams.com/video/9uJYAtHEXR8/video.html Barikiwa 🙏🙏
Nani amebarikiwa na Wimbo huu mpka Leo hii 15/5/2020 naomba like zenu maana ndio sifa yetu mbele za MUNGU wetu
Wimbo mxuri sn ninabarikiwa ninapousikilizaa barikiwa sn
Mungu nijalie ju ya kalama yangu yeyte ndan yangu
Aliemuona christopher mwahangila na mchungji daniel mgogo adondoshe comment hapa
Kwakwer Ni mzuri mnoooo mungu akubari mtumishi wake
kaka ambwene nakukubali naamini cku mja ntakua kama we mungu astawirixhe kalama yako kwa viwango vingine kwa ajil ya utukfu wake