- 126
- 1 860 284
Chumvi Ya Dunia
Tanzania
Registrace 3. 12. 2014
Video
Alitembea Na Rafiki Yangu Wa Karibu| Usaliti
zhlédnutí 372Před 3 lety
Alitembea Na Rafiki Yangu Wa Karibu| Usaliti
Nilivyoingia Glorious Celebration Kimazabe | Top Beyz, Imma Bass
zhlédnutí 675Před 3 lety
Nilivyoingia Glorious Celebration Kimazabe | Top Beyz, Imma Bass
NEEMA MUDOSA - NIMEPENDELEWA (LIVE ON STAGE)
zhlédnutí 355Před 3 lety
NEEMA MUDOSA - NIMEPENDELEWA (LIVE ON STAGE)
ASHLEY NASSARI - SINA JINA JINGINE (LIVE IN XPLOSIVE WORSHIP)
zhlédnutí 257Před 3 lety
#AshleyNassari #MbeziTv
DR IPYANA - WASTAHILI UTUKUFU LIVE IN XPLOSIVE WORSHIP
zhlédnutí 3,6KPřed 3 lety
#MbeziTv #DrIpyana #TanzaniaPraise #TzPraise
DR IPYANA - UMETENDA MEMA LIVE IN XPLOSIVE WORSHIP
zhlédnutí 1,6KPřed 3 lety
DR IPYANA - UMETENDA MEMA LIVE IN XPLOSIVE WORSHIP
Rehema Simfukwe Alivyomimina Upako na wimbo wa Chanzo kwenye Explosive Worship
zhlédnutí 10KPřed 3 lety
#RehemaSimfukwe #Chanzo #MbeziTv
YESU NAKUPENDA U MALI YANGU - GWAMAKA MWAKALINGA FT ESSENCE OF WORSHIP
zhlédnutí 14KPřed 3 lety
YESU NAKUPENDA U MALI YANGU - GWAMAKA MWAKALINGA FT ESSENCE OF WORSHIP
NAPENDA NIKUABUDU - GWAMAKA MWAKALINGA,BELLA KOMBO & MABISA (LIVE ON STAGE AT BEROYA )
zhlédnutí 1,4KPřed 3 lety
NAPENDA NIKUABUDU - GWAMAKA MWAKALINGA,BELLA KOMBO & MABISA (LIVE ON STAGE AT BEROYA )
GWAMAKA MWAKALINGA FT. DR IPYANA , DANCING TO THE LORD
zhlédnutí 3,8KPřed 3 lety
GWAMAKA MWAKALINGA FT. DR IPYANA , DANCING TO THE LORD
Boaz Dunken ashindwa kujizuia, ashusha wingu..
zhlédnutí 585Před 3 lety
Boaz Dunken ashindwa kujizuia, ashusha wingu..
HEAVENLY MELODY Live In Worship OverNight Service
zhlédnutí 827Před 3 lety
HEAVENLY MELODY Live In Worship OverNight Service
DR Ipyana akiimba Ubaghile, Watu Washindwa Kuketi
zhlédnutí 484Před 3 lety
DR Ipyana akiimba Ubaghile, Watu Washindwa Kuketi
Nabii huyu alivyotabiri kuwa Mama Samia Atakuwa Rais
zhlédnutí 79Před 3 lety
Nabii huyu alivyotabiri kuwa Mama Samia Atakuwa Rais
JINSI YA KUSHINDA MAUMIVU YA MOYO PART 03- APOSTLE MATHEW KIHIYO
zhlédnutí 70Před 3 lety
JINSI YA KUSHINDA MAUMIVU YA MOYO PART 03- APOSTLE MATHEW KIHIYO
USIOGOPE KWENYE HIKO KIPINDI ULICHO NACHO - MHUBIRI DAUDI MAPUNGA
zhlédnutí 38Před 3 lety
USIOGOPE KWENYE HIKO KIPINDI ULICHO NACHO - MHUBIRI DAUDI MAPUNGA
JINSI YA KUSHINDA MAUMIVU YA MOYO - PART 02 - APOSTLE MATHEW KIHIYO
zhlédnutí 103Před 3 lety
JINSI YA KUSHINDA MAUMIVU YA MOYO - PART 02 - APOSTLE MATHEW KIHIYO
NENO TIME: VITA YA HEKIMA - PASTOR MICHAEL FOJ
zhlédnutí 67Před 3 lety
NENO TIME: VITA YA HEKIMA - PASTOR MICHAEL FOJ
USHINDI WAKO UKO WAPI?? - MCH. PAUL UTAH
zhlédnutí 54Před 3 lety
USHINDI WAKO UKO WAPI?? - MCH. PAUL UTAH
JINSI YA KUJITOA KWENYE VIFUNGO VYA SHETANI - PREACHER DAUDI MAPUNGA
zhlédnutí 124Před 3 lety
JINSI YA KUJITOA KWENYE VIFUNGO VYA SHETANI - PREACHER DAUDI MAPUNGA
JINSI YA KUSHINDA MAUMIVU YA MOYO (PART 01) - APOSTLE MATHEW KIHIYO
zhlédnutí 132Před 3 lety
JINSI YA KUSHINDA MAUMIVU YA MOYO (PART 01) - APOSTLE MATHEW KIHIYO
JESCA GAZUKO - TOKA NIOLEWE SIJATOA WIMBO/SINA MPANGO WA KUJIITA JINA LA MUME WANGU
zhlédnutí 431Před 3 lety
JESCA GAZUKO - TOKA NIOLEWE SIJATOA WIMBO/SINA MPANGO WA KUJIITA JINA LA MUME WANGU
JINSI YA KUDAI FIDIA YA BIMA, VITU MUHIMU VYA KUZINGATIA ILI BIMA WAKULIPE
zhlédnutí 115Před 3 lety
JINSI YA KUDAI FIDIA YA BIMA, VITU MUHIMU VYA KUZINGATIA ILI BIMA WAKULIPE
2024 Mtumishi mmoja aliwahi kwamba yale yote unayotamani watu wasisikie kuhusu wewe, ndio ambayo Mungu anahitaji uyaseme ili wengine wapone kupitia wewe. Ushuhuda mkubwa sana. Ni ushuhuda unaoonesha upendo wa Mungu kwa watu wake. Mungu ashukuriwe kwa wingi wa rehema zake kwetu.
Armani itawale maisha yako yakiroho
Nakubari
Amina ipyana
Nice my sister appreciated
Amen
Ahsantee mamangu nahitaji maombi yako niwe na familia nzuri kama wewe
dady me nakufuatilia sana na nakupenda na nakuombea Neema kubwa ya Mungu
Very smart Ambwene yaan kama ningekuwaga naamua mimi IQ aliyonayo Ambwene anafaa kuwa hata Raisi wa hii nchi
Waaaao imenivutia sana
Mimi nimezifuta nyimbo za Christina kwenye vifaa vyangu. Siwezi sikiliza nyimbo za yule Shetani
Wapendwa huyu mwanamke Christina ni mama ambaye alikuwa na komesha shetani kila leo sasa huyo shetani yeye kaolewa naye Mungu akurudishe mapema maana utaaibika.
Dahhh 😂😂😅🤣😅🤣
Duu wengi tunapitia
Haya hakua mdogo wengi tumezaa umri huo
Thanks for this informative interview. God bless you so much 🙏
I hope Nyashinski was Kenya was given credit..😮😮😮😮😮
Shusho wacha Tamara, Tamara ili uwa fisi mkubwa
My siz Christina nakuomba umrudie mume wako Kuna wengi hawana waume na wa natamani kuwa na waume so plz rudi Kwa ndoa yako ili uheshimike sana
Yamenikuta haya naumia mimi😭😭😭
Sijui umelogwa
Ila kwa Sasa unachafua ukirsto
Ni kupoteza mwelekeo wa kiafrika kiroho.
Ukweli ukuweka huru mandiko yanasema
Kaka zuravo nampenda sana kwa huduma yake nzuri
Mungu akubariki sana Mchungaji
Nice pastor
My brother shusho is living in self denial, ati mke wake anamtumikia Mungu,laiti angelijua upande wa pili ulivyo kwamba Kawa kunguru badala ya njiwa wa Mungu,angemuombea arudi kundini kwake haraka sana maana tamaa ya dhambi hakika ni mauti. Christina kwa maoni yangu hamtafuti Wala kumtumikia Mungu that is secondary to her primary anatafuta utajiri sana by any means available on the table. Ni mwanamke hatari na naona anapotea. Pole pastor shusho,usimwamshe aliyelala, Zetu duua lakini
Christian tamaa inamsumbua nahakijiangalia alivo mlembo anaona kama mwanaume huyo ana faida hila mbeleni atajuta anajifanya mtumishi hila hipo siku atamkumbuka mmewe maana ukiwa na yesu moyoni auwezi kuachika kwakupenda mwenyewe bila kuwa na mtu pembenj kuna kitu hila dunia hii mmmh
Be blessed bro poul. Najua ipo siku moja tu tutakutana
Well done bro Joel lwaga. Be blessed much. One day tutakutana tuu katika huduma
Hongera
Too bad you can’t save shorts on CZcams 🥹
Huyu baba ana hekima za hali ya juu.... Barikiwa baba🙏🙏
Kaka mungu akubariki sana huwa na barikiwa sana nyimbo zako
nice
Sasa analiwa na Diamond.Amekua Malaya.
Hata shetani alianza na hawa christina shusho shetani hajakuacha salama rudi kwa mumeo ngombe wa maziwa wewe jinga jinga jinga kabisa
Hivi wewe unavyotukana. Huyo unayemtukana ni mzazi wa mtu ati. unahukumu ilhali haujui ukweli umenikwaza sana Mungu akusamehe sio makosa yako. Huu ni upuuzi unaandika jamani.
Karuka steg sasa ndio ameona utamu wa mb.. uzeeni hovyoooo🙄🙄🙄😏😏😏😏
Mungu akubariki lakini wewe Christina nakuombea urudi kwa mume wako
Baraka za Mwenyezi Mungu zitaambatana nawe na nakutakiya mafanikio maradufu.
Shusho amepotea kwa diamond na nyimbo za duniani .mzee msamehe arudi kwa Yesu ..ataangukia pabaya ujue mpaka sasa anapotea kabisa❤
Hongera kwa shusho kutimiza ahadi ya ndoa jinsi alivyoimba
Wow baba
Mungu akutunze na uwe na hekima ya kulinda maomo yako ili uone ufalme wa mungu ktk safari ya mbinguni umwone yesu
Kama ni mungu ataonekana katikati yao
MUNGU ni muweza abariki Tena na waweze kupendana Huyu Baba anavyoongea Ina faa wasameheane hata kama Kuna chochote kilitokea wanapendezeana Kwa kweli madam Christina inawezekana mkarudi MUNGU kwanza ❤
My favourite gospel artist
Mbona mkeo anakusemq vibaya
Nimekufuatilia Kwa muda mfupi nimeshika hofu ya Mungu ikiongezeka sana ndan yangu unakitu Cha tofaut Dr Ipyana .Kwa macho yakibinadam watu hawawez kuona