ZORAVO AWEKA WAZI KUHUSU HUU UTATA, "KUNA BINTI AMEKUWA MAARUFU SANA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 09. 2023
  • #jesus #live #roctv #transforminglives #gospel #love #god #africa #tanzania

Komentáře • 131

  • @joanmillanoi4858
    @joanmillanoi4858 Před 9 měsíci +26

    I like that quote "JUSTIFICATION IS FOR THE WEAK "💯💯💯💯

  • @user-qw4nz2ok3j
    @user-qw4nz2ok3j Před měsícem +2

    I love the way anajieleza na song zake uubariki moyo wangu ❤🎉

  • @rutinginyaneysam.5087
    @rutinginyaneysam.5087 Před 9 měsíci +11

    Wooooow!!! Nimependa vile Zolavo anajibu, Mungu akutunze

  • @user-gx4cf8zu4l
    @user-gx4cf8zu4l Před 8 měsíci +10

    Jaman kiukweli huyu kaka ananibariki sana nna mdogo wangu na mwanangu wa miaka 3 woiii aiseee wanapenda sana kuimba nyinbo zake tena ile ya MAJESHI YA MALAIKA YANAPAZA SAUTI WAKISEMA MTAKATIFU NI BWANA
    WE LOVE YOU SO MUCH MTUMISHI WA BWANA ZORAVO

  • @florenceannamshana3793
    @florenceannamshana3793 Před 6 měsíci +4

    Umebarikiwa sana mtumishi wa Mungu ZORAVO, songa mbele katika BWANA💪

  • @GiftGasper-td4ng
    @GiftGasper-td4ng Před 9 měsíci +10

    Mungu azidi Kukuficha,una hekima mno,ndio waimbaji au mwenye huduma inayotokana na Mungu lazima awe na vita mno.Mungu akufunike na ngao yake hata yakija hayo mabaya hayatakuweza/kufika.

  • @LOVENESSKOMBE
    @LOVENESSKOMBE Před 9 měsíci +13

    my dear brother being protected by the precious blood of Jesus Christ always

  • @emmanuelkithymusic1653
    @emmanuelkithymusic1653 Před 9 měsíci +16

    Zoravo is so wise.... May God's Favor, Grace and prosperous be upon your ministry 🎉🥳

  • @JacklineTusiwene
    @JacklineTusiwene Před 9 měsíci +5

    Hekima Hekima yako ni kuuu ndani yako, Mungu azidi kukuinua kwa viwango vya juu zaidi🙌

  • @AgnesThomas-zr7qc
    @AgnesThomas-zr7qc Před 28 dny

    Nakupenda Sana mtumishi wa Mungu zoravo maisha malefu my brother

  • @Officialelistaisaya
    @Officialelistaisaya Před 9 měsíci +16

    He is a man that has chosen for a certain work that has to be done from the Heaven to The world 🌎. May the Lord continue to protect him and give him strength 🙏

  • @ElishaMkimbo-hw1mf
    @ElishaMkimbo-hw1mf Před 8 dny

    God bless you brother

  • @malacktweve6012
    @malacktweve6012 Před 9 měsíci +7

    Hakuna mtu amekamilika hata kama ikitokea ni kweli hatutashangaa kwa sababu bro pale ni binadamu kikubwa ni kuendelea kumuomba Mungu na kukimbia kila aina ya vishawishi aendelee kublock wadada wasiojielewa.

  • @BeatriceKitembe-gs9si
    @BeatriceKitembe-gs9si Před 3 měsíci

    Mungu anaangalia ndani ya moyo wako umebeba niniiii.... Wangapi wanapona moyo juu ya ujumbe wa uimbaji wako.. BIG UP mtumishi... Na barikiwa sna na nyimbbo zangu.. Weee stail yako ya nywele haimfanyi mtu asipokeee ujumbe🙏

  • @EvaYohana-yr6id
    @EvaYohana-yr6id Před 7 měsíci +1

    Napenda nyimbo zako yani ninazo Kama Zote .nikutue tu moyo endelea kunyenyeke Sana na hekima ya kiMUNGU iwe juu yako

  • @zablonimazengo2117
    @zablonimazengo2117 Před 10 měsíci +31

    KUNAE HEKIMA IKO NDANI YA ZORAVO ADI HUWA NAOGOPA UKUU WA MUNGU NDANI YAKE 🙇🏾‍♂️🙇🏾‍♂️🙇🏾‍♂️🤍🤍🤍

    • @Sam_JB
      @Sam_JB Před 10 měsíci +1

      Sana Zoravo amejawa na Roho ya MUNGU ndani yake

    • @YapemunguJacob-wq9by
      @YapemunguJacob-wq9by Před 9 měsíci

      Bwana akutendee kadri utakavyo

    • @IsaacDavid-ck2fn
      @IsaacDavid-ck2fn Před 9 měsíci

      🙌🏾

    • @chulelubella2819
      @chulelubella2819 Před 9 měsíci +1

      Acheni ujinga na kuwa na akili ndogo ukuu wa Mungu gani alionao nao huyu fala

    • @zablonimazengo2117
      @zablonimazengo2117 Před 9 měsíci +1

      @@chulelubella2819NASEMAJEEEE WEWE NA SHETANI WAKO ANAEKUTUMIA KUKASHIFU WATU WA MUNGU BADO HUJASEMA NA UTASEMA YAANI MPAAAKA USEMEEE😂😂😂 Yaani unaingiwa hasira adi unatukana huoni aibu babu 😂😂😂🤪🤪🤪

  • @user-gf3gn4qh2q
    @user-gf3gn4qh2q Před 5 měsíci

    Bwana huyu pia ni mwanadamu ni kijana mzuri lazima atasumbuliwa sana na wadada, ni kumuomba Mungu amvushe salama ktk hilo, na hekima busara itumike, Kazi anayofanya ni kubwa na ina vita kubwa shetani yupo kazini muda woote, ni maombi yetu Mungu aliyekupa huduma hii akutetee na kukuinua zaidi ili kusudi uliloitwa kwalo lifanikiwe🙏

  • @user-ze6cu2vx2n
    @user-ze6cu2vx2n Před 5 měsíci +1

    Wisdom in another level,,God bless u ad protect u frm all evil

  • @user-wd2wp3vw8p
    @user-wd2wp3vw8p Před 7 měsíci

    Waooooo ubarikiwe sana majibu yako ni tofauti nawengine endelea kupondeka

  • @renathamkwama9202
    @renathamkwama9202 Před 9 měsíci +5

    Huwa napenda sana nyimbo za huyu kaka wa MUNGU kuna nguvu kwenye nyimbo zake wanawake tuache kuwachafua watoto wawanawake wenzetu kama kuolewa tutaolewa kwa kudra za mwenyezi Mungu tu na sio bla bla

  • @IvanaDaudi-qe3dc
    @IvanaDaudi-qe3dc Před 9 měsíci +3

    Nabarikiwa mno na uimbaji wake,huwa wimbo ameniona naupiga kila weekend nikiwa home Kwangu siku nzima Yani siuchoki

  • @idahgituire
    @idahgituire Před 9 měsíci +3

    The wisdom 🔥🔥🔥❤️ God bless you

  • @zebedayoibuku5966
    @zebedayoibuku5966 Před 9 měsíci +2

    Man of God. Blessed minister Zolavo

  • @user-jw4tx9qn3c
    @user-jw4tx9qn3c Před 5 měsíci +1

    Muombe mungu akuvushe katika hilii

  • @isaiahzakayo5318
    @isaiahzakayo5318 Před 9 měsíci +4

    Mungu azidi kukutunza minister Zoravo I'm always blessed by your ministry

  • @ApostleEmmanuelLyimo
    @ApostleEmmanuelLyimo Před 8 měsíci +2

    Nakupenda Sana zoravo kaka

  • @jannefidelis1364
    @jannefidelis1364 Před 9 měsíci +5

    Uko vizuri kihuduna ila Biblia inasema usinyoe denge , pembe za vichwani,Wala msihalibu pembe za ndevu zenu.mambo ya walawi 19;27

    • @atupelemsomba5451
      @atupelemsomba5451 Před 9 měsíci

      We endelea kuelezea kunyoa nywele sahau utakatifu kitakupata kitu😂

    • @johnstonemueni4397
      @johnstonemueni4397 Před 8 měsíci

      Sheria haikuweza kumuokoa mwanadamu...neema ya Mungu inatukamilisha

    • @aronjosephndaki6563
      @aronjosephndaki6563 Před 8 měsíci

      Ukiongozwa na roho wala hauko chini ya sheria😂

  • @JANETMUTUA-qs9ry
    @JANETMUTUA-qs9ry Před 10 měsíci +5

    Ladies behave yourself haki...
    Anyway am always blessed by his ministry

  • @willour1
    @willour1 Před 9 měsíci +1

    This is very humbling ..may GODS GRACE be sufficient upon all his endevours

  • @agnesmartin5716
    @agnesmartin5716 Před 10 měsíci

    God bless you my dear brother

  • @ireneanney8843
    @ireneanney8843 Před 8 měsíci +1

    Mungu akutunze na upate kile uombacho

  • @ElihurumaThomas-kz8nq
    @ElihurumaThomas-kz8nq Před 7 měsíci +3

    BE BLESSED BY JESUS

  • @richardbenedict9729
    @richardbenedict9729 Před 9 měsíci +2

    Keep on humble yourself Bro,Mungu ataendelea kukuinua,Pray and pray and pray and keeping on praying.

  • @angelthomas2891
    @angelthomas2891 Před měsícem

    Mwamba ananda huyo kinoma na anaimba kiroho❤❤❤❤

  • @user-wc6yw1or4n
    @user-wc6yw1or4n Před 8 měsíci +2

    Zoravo be blessed

  • @hurumaalfred6365
    @hurumaalfred6365 Před 10 měsíci +5

    Anaitwa zovoo😃

  • @lisakaori1761
    @lisakaori1761 Před 9 měsíci

    The chosen one blessing 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @AliceWangui-rz2xd
    @AliceWangui-rz2xd Před 2 měsíci

    I love your work #Zoravooo

  • @ebbyescor7614
    @ebbyescor7614 Před 9 měsíci +3

    Your intelligent brother

  • @witnescholela1156
    @witnescholela1156 Před 9 měsíci +4

    Wisdom upon Man of God

  • @StewardMwasubila
    @StewardMwasubila Před 10 měsíci +3

    Mr Big Brain zovoo

  • @martinakombe8374
    @martinakombe8374 Před 2 měsíci

    A wisely minister ❤🎉

  • @emanuelaplacid2447
    @emanuelaplacid2447 Před 9 měsíci

    I understand you bro,

  • @eradiusrwechungura4804
    @eradiusrwechungura4804 Před 5 měsíci

    Ribarikiwe tumbo lilokuzaa

  • @brijidalawrence1097
    @brijidalawrence1097 Před 9 měsíci

    barikiwe mno kaka

  • @denismwambungu6647
    @denismwambungu6647 Před 9 měsíci

    Kabisa kaka

  • @e-songbeats6453
    @e-songbeats6453 Před 10 měsíci +4

    Mbona mesg maelezo mingi...
    Vimeumana😂

  • @user-sz9zd9fw8s
    @user-sz9zd9fw8s Před 14 dny

    Zoravo imba lakin pia uwe unachana nywere kaka chana sana

  • @melickrutta6847
    @melickrutta6847 Před 9 měsíci +3

    Wambieni backup wenu waache kuvaa suruali

  • @ndayizeyefredina-ni8uf
    @ndayizeyefredina-ni8uf Před 7 měsíci +1

    Nikiwa Burundi huwana msikilizasana kama ana Rejesha

  • @user-rd5jv2in5e
    @user-rd5jv2in5e Před 5 měsíci

    Endelea mbeleee,, huduma Yako njema,,

  • @CleverGalaton-tz
    @CleverGalaton-tz Před 7 měsíci

    Son Of the King

  • @activists_kim
    @activists_kim Před 7 měsíci +1

    Its better you get married all those fights will cease

  • @OnesmoDamiano
    @OnesmoDamiano Před 6 měsíci

    Hakikaaaa

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 Před 9 měsíci +4

    Kizazi hiki nishidaa tupu.

  • @christerrodgers6519
    @christerrodgers6519 Před 9 měsíci +1

    ✍️✍️

  • @stellastanley5673
    @stellastanley5673 Před 3 měsíci

    Mungu azidi kukutumia ili vijana tujifunze

  • @SimbaSong-jm8dl
    @SimbaSong-jm8dl Před 9 měsíci +3

    Nimekaa kimya

  • @vanessakimaro9528
    @vanessakimaro9528 Před 9 měsíci +6

    Brooh Zoravo tusamehe sisi wadadaa..
    Nadhan ni mihemko tu,na upande mwingine shetani anatumia watu kuangusha watu..ila most of us tunakukubalii tuu😢😢
    May THE MERCY OF GOD BE UPON US😢🙇...

    • @mwakipiano4568
      @mwakipiano4568 Před 9 měsíci +1

      Nimepanda umeongea Kwa hisia sana

    • @vanessakimaro9528
      @vanessakimaro9528 Před 9 měsíci

      @@mwakipiano4568 Ni kweli yaniii..wadada Mungu aturehemu tuu,coz wengine we fancy him as our brother 😔ila wengine wanampa shetani nafasi awatumiee..
      Hili swala limenigusa sanaa,coz naelewa hii vita inakuwaje kwa Mtumish wa MUNGU ( haswa MBEBA MAONO WA UFALME WA MUNGU)😢

  • @jenestermakyala847
    @jenestermakyala847 Před 7 měsíci

    Nyoa nywele vizuri kama mtumishi wa Mungu

  • @AgnesThomas-zr7qc
    @AgnesThomas-zr7qc Před 28 dny

    Hey

  • @danielathanas5872
    @danielathanas5872 Před 6 měsíci

    Wanafunzi wa Cuba Masters in mass communication and confusion tushajaza jibu. 😂😂😂 Presenter chukua maua 🎉🎉🎉😂

  • @user-xr2vr1rm3q
    @user-xr2vr1rm3q Před 9 měsíci

    Waseja wakasema iih!😂😂😂

  • @happyjosephat-ro6bw
    @happyjosephat-ro6bw Před 9 měsíci +2

    Yesu azidi kumtunza🎉

  • @ezekielmichael9431
    @ezekielmichael9431 Před 10 měsíci +9

    Huyo ni msanii aneimba ujumbe wa gosple ila sizani kama uwepo wa mungu

  • @moseskanyere6682
    @moseskanyere6682 Před 16 dny

    Bro nawez pata no yako?

  • @breakthroughfx
    @breakthroughfx Před 9 měsíci

    Kwel umejbu kama mtumishi wa Mungu ume present ulichobeba sio wengne watumish kanisan ila wakhojiwa wanjibu jibu tu utafkri anahojiiwa konde

  • @sarahsesa8851
    @sarahsesa8851 Před 9 měsíci +4

    Bado ujaokoka hakuna mahusiano ya mwenza wamaisha bila ndoa jibu liko pale pale huu ni uzinzi 😅

    • @happymaneno135
      @happymaneno135 Před 9 měsíci

      😂😂😂😂

    • @sarahsesa8851
      @sarahsesa8851 Před 9 měsíci +1

      @@happymaneno135 😜😜😜

    • @KingSolomon-jo3dh
      @KingSolomon-jo3dh Před 9 měsíci

      Una kosea sanaa

    • @sarahsesa8851
      @sarahsesa8851 Před 9 měsíci

      @@KingSolomon-jo3dh nimekosea nin hapo huu unaitwa uzinzi mwanaume na mwanamke wakikutana kiwili kabla ya ndoa hao niwazinzi

    • @guitar_melodyz4958
      @guitar_melodyz4958 Před 6 měsíci

      @@sarahsesa8851uliwashika unajua kwa kujikuta mtakatifu sana huku ukizusha vitu . Imagine kwende kuzimu kisa uzushi😂 uzushi tu dah unachomwa pamoja na Osama 😂😂 Acha umbea lipa maden ya watu punguza stress

  • @Kelvin_Nguzo
    @Kelvin_Nguzo Před 9 měsíci +1

    Ila bro ukioa unakuwa umemaliza hizo kesi😂,,Oa bhana 😂😂😂 au unapenda hizo gossips?

  • @user-sy4yj6vf9v
    @user-sy4yj6vf9v Před 9 měsíci +1

    Never justify yourself zoravo.

  • @mosesedrad7852
    @mosesedrad7852 Před 9 měsíci +1

    MFUMO..

  • @vicentpatrick558
    @vicentpatrick558 Před 3 měsíci

    Shucxy umeganda au 😂😂😂

  • @gedeonngabire9651
    @gedeonngabire9651 Před 8 měsíci

    Kijana huyu ni mtumishi wamungu kbs

  • @Kelvinchristopher072
    @Kelvinchristopher072 Před měsícem

    Mi nina mashaka kwa nini ajawa straight kuhusu mchumba.

  • @msafirilucianmpangile7183
    @msafirilucianmpangile7183 Před 9 měsíci

    Jamani nahitaji namba za huyu mtangazaji

  • @milley7185
    @milley7185 Před 7 měsíci

    please Man of God you have to marry ,you're mirror that people look after they dress up to get out .come on...

  • @joycefesto1429
    @joycefesto1429 Před 9 měsíci +1

    Vizuriiii Block kabisa

  • @happyfaniabatromeo8010
    @happyfaniabatromeo8010 Před 9 měsíci +22

    Ila Mimi sipendi alivyo shave nywele duuuuh hata Kama Mungu anamtumia Ila badilisha muonekano wako ili vijana wengne wajifunze

    • @erycah
      @erycah Před 9 měsíci +1

      Makubwa, mwengine atasema Mimi sipendi anavyovaa

    • @aronjosephndaki6563
      @aronjosephndaki6563 Před 8 měsíci +6

      Ukiongozwa na roho wala hauko chini ya sheria...msipende kujaji watumishi MUNGU,sisi ni mwili mmoja mguu hauwezi ng'oa jicho kisa umejikwaa be careful sana😂😂😂😂

    • @thami347
      @thami347 Před 7 měsíci

      ​@@aronjosephndaki6563umenena

    • @kingdomseekers7160
      @kingdomseekers7160 Před 6 měsíci

      Amen for the glory of our God... Jus a soft advice bro

    • @guitar_melodyz4958
      @guitar_melodyz4958 Před 6 měsíci +1

      ili akufurahishe😂😂 Acha ufarisayo hizo nywele hazina shida wew mbambana na roho yako iende mbingun

  • @mercychelangat_
    @mercychelangat_ Před 9 měsíci +2

    Am just disappointed with Zoravo..it's either black or white.. He ought to address his status with urgency ,as a minister that matters.Many peopleare looking up to him..the devil shall us that to destroy him if he won't move with speed..all the best as he is praying for a life partner..

    • @stevenlevittt
      @stevenlevittt Před 9 měsíci

      It's private life. why does he need to publicly address it?

  • @irenematari6218
    @irenematari6218 Před 7 měsíci

    Ila zoravo jamani mbona utukule bloku😅

  • @jcsoliste
    @jcsoliste Před 9 měsíci

    Be honest bro already you have shown a negative attitude regarding that simple question means you have sooo many girls

  • @AgnesThomas-zr7qc
    @AgnesThomas-zr7qc Před 28 dny

    Nakupenda Sana mtumishi wa Mungu zoravo maisha malefu my brother