ZORAVO “NIMEITUMIA DIGRII YANGU MIEZI MINNE TU”/AJIBU KUHUSU WAIMBAJI KUTOKUWAJALI WANAMUZIKI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 01. 2023
  • Muimbaji wa Muziki wa Injili Tanzania Zoravo amefunguka na kujibu maswali mbalimbali kuhusu Huduma ya Uimbaji.
    #LiveOnLive

Komentáře • 7

  • @aaronswai3092
    @aaronswai3092 Před 2 měsíci

    Mungu akubariki Zoravo kwa hekima na unyenyekevu ulionao. Imeandikwa, Hekima hukaa na wanyenyekevu (Mit 11:2); na Mungu atazidi kukupa neema kwa huduma yako (1 Pet 5:5). Ubarikiwe sana na kuzidi

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 Před 9 měsíci

    Nimekupenda bureee
    Japo sio fans wako sn
    Ila Mungu akutunze sana
    Damu ya Yesu ikunike sn mtumishi

  • @loycenicolao7488
    @loycenicolao7488 Před 3 měsíci

    Natamani wanangu nao siku Moja wawe vijana wanaomtumikia Mungu kama hawa. Songeni mbele na Wala msiangalie tabia za kidunia. Bwana atawapandisha zaidi mlipo

  • @mwlamaninnko.25
    @mwlamaninnko.25 Před 9 měsíci

    Zoravo uko vizuri sana katika majibu yako , so wise and humble...More blessings!

  • @jeniphermwani1867
    @jeniphermwani1867 Před 8 měsíci

    Hongera zoravo nimefurahi kusikia kuwa umeacha digrii kwajili ya wito nakutia moyo wewe sio wa kwanza na hicho kitakulipa angali ,mwimbaji wa nyimbo za kidunia Kofi olomide alikuwa na digrii mbili lakini hakuajiliwa alidili na kipaji chake na sasa ni mtu mkuu.

  • @obedisiarangiriki8142
    @obedisiarangiriki8142 Před 9 měsíci

    Amen

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 Před 9 měsíci

    Mungu ana watu
    Amejiinulia kizazi kingine kabisaa,waabudio halisi...
    Wale waliojua Wana kipawa na wakatumia vby,wakamuacha aliyewapa kipawa imebaki story
    Sahivi tuna kizazi kingine kabisaa