Pazia TV
Pazia TV
  • 891
  • 1 303 513

Video

HAIKA LAWERE AMSHAURI JAMBO HILI ANGEL BENARD/ SIRI YA MBEZI GARDEN KUFANYA VIZURI.
zhlédnutí 4Před 4 hodinami
Mkurugenzi Wa Mbezi Garden Hotel Bi Haika Lawere amshauri Haya Angel Benard .
WANANDOA KWENDA ZANZIBAR MWEZI AUGUST KUJFUNZA ,MAOMBI, UTALII NA KUFURAHIA NDOA.
zhlédnutí 5Před 4 hodinami
WANANDOA KWENDA ZANZIBAR MWEZI AUGUST KUJFUNZA ,MAOMBI, UTALII NA KUFURAHIA NDOA.
JONATHAN NDALI: “ Angel Benard ameyagusa Maisha Ya Watu Wengi.
zhlédnutí 5Před 4 hodinami
JONATHAN NDALI: “ Angel Benard ameyagusa Maisha Ya Watu Wengi.
MICHO: “ANGEL BENARD NI DADA NA RAFIKI WA WENGI”
zhlédnutí 17Před 15 hodinami
MICHO: “ANGEL BENARD NI DADA NA RAFIKI WA WENGI”
MCH. OSCAR KINDOLE AIKATAA NJIA WANAYOTUMIA VIJANA WA KENYA (GEN Z) KUHUSU MAANDAMANO
zhlédnutí 12Před 4 hodinami
Mch. Oscar Kindole wa Kanisa La Free Pentecostal Church Of Tanzania (FPCT) ametoa maoni yake juu ya maandamano yanayojitokeza nchini kenya ambayo vijana (GEN Z) ndio wanaonekana wako mstari wa mbele.
TUZO ZA NDOA BORA (BEST CHRISTIAN COUPLES AWARDS 2024) ZAZINDULIWA RASMI/PENDEKEZA WANANDOA UNAOTAKA
zhlédnutí 18Před 9 hodinami
Mch.Oscar Kindole Mbeba Maono wa Best Christian Couples (BCC) Amezindua mchakato wa Kuzibaini ,kuzitambua na kuzitunuku Ndoa za Mfano Wa Kuigwa. mchakato huo wa Kupendekeza Ndoa hizo unaanza Tarehe 1 Aug 2024 na zitahitimishwa mwezi Dec,2024 jijini D'salaam.
JOHN KAVISHE APANGA KUMWAMBIA MAMBO HAYA WAZIRI WA UTAMADUNI,SANAA NA MICHEZO.
zhlédnutí 48Před 16 hodinami
JOHN KAVISHE APANGA KUMWAMBIA MAMBO HAYA WAZIRI WA UTAMADUNI,SANAA NA MICHEZO.
BONNY MWAITEGE AZUNGUMZA BAADA YA KUZUSHIWA KIFO/ MIMI NI MZIMA WA AFYA.
zhlédnutí 40Před 16 hodinami
BONNY MWAITEGE AZUNGUMZA BAADA YA KUZUSHIWA KIFO/ MIMI NI MZIMA WA AFYA.
JOHN KAVISHE KUFANYA LIVE RECORDING MPYA MLIMANI CITY 18.08.2024.
zhlédnutí 39Před 21 hodinou
JOHN KAVISHE KUFANYA LIVE RECORDING MPYA MLIMANI CITY 18.08.2024.
BEATRICE MUHONE AILILIA KENYA KWA UCHUNGU /AWAPA UJUMBE HUU VIONGOZI KANISA LA KENYA.
zhlédnutí 35Před dnem
BEATRICE MUHONE AILILIA KENYA KWA UCHUNGU /AWAPA UJUMBE HUU VIONGOZI KANISA LA KENYA.
PASTOR TONY KAPOLA AKIITAMKIA BARAKA ZANZIBAR KATIKA MKESHA WA GOSPEL CONCERT UWANJA WA MAO UNGUJA.
zhlédnutí 72Před 14 dny
PASTOR TONY KAPOLA AKIITAMKIA BARAKA ZANZIBAR KATIKA MKESHA WA GOSPEL CONCERT UWANJA WA MAO UNGUJA.
ZANZIBAR GOSPEL CONCERT: “NENO ANALOHUBIRI PASTOR TONY KAPOLA AMEBADILI MAISHA YANGU”.
zhlédnutí 95Před 14 dny
ZANZIBAR GOSPEL CONCERT: “NENO ANALOHUBIRI PASTOR TONY KAPOLA AMEBADILI MAISHA YANGU”.
WATU WANAZIDI KUWASILI HAPA UWANJA WA MAO ZANZIBAR/MKESHA WA GOSPEL CONCERT By Pastor Tony Kapola.
zhlédnutí 18Před 14 dny
WATU WANAZIDI KUWASILI HAPA UWANJA WA MAO ZANZIBAR/MKESHA WA GOSPEL CONCERT By Pastor Tony Kapola.
Maandalizi Ya Mkesha Mkubwa “GOSPEL CONCERT” Zanzibar Uliondaliwa na Pastor Tony Kapola.
zhlédnutí 50Před 14 dny
Maandalizi Ya Mkesha Mkubwa “GOSPEL CONCERT” Zanzibar Uliondaliwa na Pastor Tony Kapola.
DAKIKA 5 ZA BOAZ DUNKEN AKIONGOZA IBADA YA KUSIFU NA KUABUDU MAADHIMISHO YA MIAKA 85 KANISA LA TAG.
zhlédnutí 56Před 14 dny
DAKIKA 5 ZA BOAZ DUNKEN AKIONGOZA IBADA YA KUSIFU NA KUABUDU MAADHIMISHO YA MIAKA 85 KANISA LA TAG.
Katibu Mkuu Wa TAG Mch. Marwa Afunguka Mipango Ya Kanisa Hilo Likitimiza Miaka 85 Tangu kuanzishwa.
zhlédnutí 12Před 14 dny
Katibu Mkuu Wa TAG Mch. Marwa Afunguka Mipango Ya Kanisa Hilo Likitimiza Miaka 85 Tangu kuanzishwa.
Boaz Dunken “Nilitokea EAGT Na Kuhamia TAG/Tukio Kubwa D’salaam.
zhlédnutí 67Před 14 dny
Boaz Dunken “Nilitokea EAGT Na Kuhamia TAG/Tukio Kubwa D’salaam.
Hotuba Ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Akilipongeza Kanisa La TAG Kutimiza Miaka 85.
zhlédnutí 252Před 14 dny
Hotuba Ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Akilipongeza Kanisa La TAG Kutimiza Miaka 85.
ASKOFU MKUU DK. MTOKAMBALI ATAJA MAFANIKIO MAKUBWA WALIYOPATA MIAKA 85 YA KANISA LA TAG TANZANIA.
zhlédnutí 43Před 21 dnem
ASKOFU MKUU DK. MTOKAMBALI ATAJA MAFANIKIO MAKUBWA WALIYOPATA MIAKA 85 YA KANISA LA TAG TANZANIA.
ALICHOZUNGUMZA MKUU WA MKOA WA DSM, ALBERT CHALAMILA MIAKA 85 YA KANISA LA TAG.
zhlédnutí 34Před 21 dnem
ALICHOZUNGUMZA MKUU WA MKOA WA DSM, ALBERT CHALAMILA MIAKA 85 YA KANISA LA TAG.
ZORAVO AVUNJA UKIMYA/KUFANYA LIVE RECORDING MPYA “BEYOND 2024” D’salaam.
zhlédnutí 164Před 21 dnem
ZORAVO AVUNJA UKIMYA/KUFANYA LIVE RECORDING MPYA “BEYOND 2024” D’salaam.
LIVE MAMA WA MWALIMU SHEMDOE APIGA SIMU NA KUTOA SALAMU KWENYE MKESHA WA NUSU MWAKA TAZAMA
zhlédnutí 18Před 28 dny
LIVE MAMA WA MWALIMU SHEMDOE APIGA SIMU NA KUTOA SALAMU KWENYE MKESHA WA NUSU MWAKA TAZAMA
TAZAMA DAKIKA 30 ZA AGAPE GOSPEL BAND KWENYE JUKWAA LA MKESHA WA NUSU MWAKA UITWAO IT IS POSSIBLE
zhlédnutí 125Před 28 dny
TAZAMA DAKIKA 30 ZA AGAPE GOSPEL BAND KWENYE JUKWAA LA MKESHA WA NUSU MWAKA UITWAO IT IS POSSIBLE
TAZAMA DAKIKA 14 ZA JOHN LISU DODOMA KWENYE MKESHA WA IT IS POSSIBLE
zhlédnutí 45Před 28 dny
TAZAMA DAKIKA 14 ZA JOHN LISU DODOMA KWENYE MKESHA WA IT IS POSSIBLE
DAKIKA 22 ZA MOTO KWENYE MKESHA WA NUSU MWAKA JIJINI DODOMA CHINI YA MWALIMU SHEMDOE
zhlédnutí 27Před 28 dny
DAKIKA 22 ZA MOTO KWENYE MKESHA WA NUSU MWAKA JIJINI DODOMA CHINI YA MWALIMU SHEMDOE
DAKIKA 3 ZA MOTO WENYE MKESHA WA NUSU MWAKA DODOMA
zhlédnutí 8Před 28 dny
DAKIKA 3 ZA MOTO WENYE MKESHA WA NUSU MWAKA DODOMA
IT IS POSSIBLE JUKWAAA LA WAKA MOTO KWA SEBENE LA VIJANA WA YESU
zhlédnutí 45Před 28 dny
IT IS POSSIBLE JUKWAAA LA WAKA MOTO KWA SEBENE LA VIJANA WA YESU
MH. ANTHONY MAVUNDE; WAZIRI WA MADINI TANZANIA AHUDHURIA MKESHA WA 'ACROSS THE YEAR 2024'
zhlédnutí 17Před 28 dny
MH. ANTHONY MAVUNDE; WAZIRI WA MADINI TANZANIA AHUDHURIA MKESHA WA 'ACROSS THE YEAR 2024'
IT IS POSSIBLE 2024
zhlédnutí 6Před 28 dny
IT IS POSSIBLE 2024

Komentáře

  • @josephinemtei186
    @josephinemtei186 Před 2 dny

    Wokovu ni process wapendwa acha Yesu atadili na Malebo taratibu

  • @josephinemtei186
    @josephinemtei186 Před 2 dny

    Wokovu ni process wapendwa acha Yesu atadili na Malebo taratibu

  • @josephinemtei186
    @josephinemtei186 Před 2 dny

    2024❤❤❤❤

  • @HappinessAhia-ey1lq

    Hey Bell keep on worshipping God, don't care about what others say concerning ya tattoos. Naishi Marekani na nawaona wenginwanatattoo na wanamcha Mungu. So wengi wanajaji coz hawajui. Pia ni mazingira yetu. Tunaamini tukiona mwenye tatu tunamuona kama muhimu but tukakosea sana. Mungu anaangalia dhamira ya ndani ya mtu.

  • @FlorenceOnyango-ff7yo

    Hio tatu inamulikwa sana na camera

  • @FlorenceOnyango-ff7yo

    Na amechora tatue weeee mungu shuka

  • @MartinMawenya
    @MartinMawenya Před 4 dny

    Kuhusu ndoa bado afundishwe,,idara yao inaongoza kwa talaka.

  • @MartinMawenya
    @MartinMawenya Před 4 dny

    Kama alikua amechora kabla ya kuokoka ,unajaji vp kuhusu tatoo?,,why,,huoni ukuu wa neema aloipata ,,Iteni wote waje na tatoo zào. Mungu anawapenda.

  • @JustineCherop
    @JustineCherop Před 5 dny

    Unanitia nguvu za kuendelea na uimbaji wangu jamani pia nami Sina wazazi wote ila mungu pia amenijalia na kibawa cha uimbaji ninajua kunae mungu mbinguni mwenye neema

  • @glorygreyson2809
    @glorygreyson2809 Před 7 dny

    blessed go viral Kibo wa YESU 4 God's Glory

  • @LazarobalamLazarobalam

    Good vector

  • @LazarobalamLazarobalam

    Amen Amen

  • @YonahEmanuel
    @YonahEmanuel Před 10 dny

    Hongera sana bella kombo mungu akuangazie nuru, lakni mimi pia napenda kuimba so naomba connection yako,

  • @paschalinahharis9604
    @paschalinahharis9604 Před 11 dny

    My favorite singer❤❤

  • @DukeMindali
    @DukeMindali Před 11 dny

    Hongera kabisa

  • @aljunjaziri
    @aljunjaziri Před 12 dny

    Bibi ujue mmetufanya tuokoke kwa nyimbo zenu. Mimi nikiwa bado mdogo nilikuwa nasikiliza nyimbo zenu. mnatuburudisha sana. Mungu awabariki sana

  • @JaneyChigga
    @JaneyChigga Před 12 dny

    Bella ukiendelea na utulivu ulionao ktk kumsikiliza Mungu utafika mbali sana. Utaliishi kusudi la Mungu. Nimekusikiliza una kitu kikubwa cha Mungu. Pambana, ng'ang'ana utamaliza na Kristo. Mungu akutunze.

  • @user-dv6wz5ql1j
    @user-dv6wz5ql1j Před 13 dny

    Mungu Asifitu

  • @JacintaMaiyu-ed2mh
    @JacintaMaiyu-ed2mh Před 13 dny

    Pastor Munishi

  • @user-nl5lg8lx5d
    @user-nl5lg8lx5d Před 13 dny

    Mpambanaji, Mama wa wengi ❣️ 🥰 nakupenda sana

  • @mattyhappy1581
    @mattyhappy1581 Před 13 dny

    Ameen

  • @qweentz-nb2qc
    @qweentz-nb2qc Před 14 dny

    barikiwa mtumishi welcome again Zanzibar🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @MaleMakauki
    @MaleMakauki Před 15 dny

    it was great good job and god may bless you you are so confident its not an easy job to preach in zanzibar

  • @aloycendalu6867
    @aloycendalu6867 Před 15 dny

    Aiseehuyumdada kweliameokoka kwanza anaujasili wakipekee

  • @kasimebyarufu3386
    @kasimebyarufu3386 Před 15 dny

    Ule muze Malebo anatutesa sana sisi wa Congomani alafu tumemusamehe 😂😂

  • @williamnassari9594
    @williamnassari9594 Před 16 dny

    Mungu akutunze sana Madame Bella. Focus!

  • @emmymshomi8893
    @emmymshomi8893 Před 16 dny

    🎉🎉🎉

  • @mathiasnkini3991
    @mathiasnkini3991 Před 17 dny

    Aisee ulimfanyia mwenzio hivyo wakati ndiye alikuleta mjini kakupa na mchongo duuuh.

  • @manyandatimoth7
    @manyandatimoth7 Před 19 dny

    Mzee Malebo very charming😂😂

  • @user-cm5xv7gb2e
    @user-cm5xv7gb2e Před 20 dny

    Hakika ilikuwa nzuri sana sherehe ya maadimisho ya miaka 85 ya uwepo wa kanisa zuri la TAG hapa nchini Kwa kweli Mungu ni mwema tunamshukuru Mungu Kwa matendo yake makuu

  • @ireneshirima5991
    @ireneshirima5991 Před 20 dny

    Watu wengi wanaogopa kukiri kuwa ni walokole…big up brother 🎉

  • @elizabethchiwamba8372

    Mungu awatunze familia ya Baba yetu wa Kiroho Mzee Kulola, Tujitahidi sana kuingia MBINGUNI, si lelemama ,MUNGU ATUKUMBUKE

  • @japhetbukuru5300
    @japhetbukuru5300 Před 23 dny

    Ver very goo

  • @leahjonathan9726
    @leahjonathan9726 Před 23 dny

    My wangu❤

  • @FurahinAmnken
    @FurahinAmnken Před 25 dny

    Blessed 🙏✨❤️

  • @matrida.lunyilija5196

    Dada Lyidia naomba no yako please

  • @BettyadhiamboAlara
    @BettyadhiamboAlara Před 27 dny

    MUNGU awabariki

  • @johnsonmushi4537
    @johnsonmushi4537 Před 27 dny

    Bella hongera sana unaimba kwa hisia kutoka moyoni, mwamini sana MUNGU, anakuheshimisha, usiumizwe na comment mbaya, that was past life. Ukizaliwa upya MUNGU anasamehe na kufuta yote.

  • @Africa96tv
    @Africa96tv Před 28 dny

    Mrefu yuko wapi jamani?

  • @carenhilary8067
    @carenhilary8067 Před 28 dny

    Hallelujah

  • @VictoriaChepkwurui
    @VictoriaChepkwurui Před měsícem

    I thought this was just a song 😂😂

  • @jastinemwambi2307
    @jastinemwambi2307 Před měsícem

    Nafurahi sana kuona malebo ameokokà Hongera Mtumishi wa Mungu Munishi kumzalia Mungu matunda yanayodumu

  • @jastinemwambi2307
    @jastinemwambi2307 Před měsícem

    Aje aimbe na Pastor Munishi

  • @JohnMadebe
    @JohnMadebe Před měsícem

    John

  • @ImeldaMyinga
    @ImeldaMyinga Před měsícem

    Huyu dada hazeeki jamani ubarikiwe dada

  • @user-jx7xw9ty1i
    @user-jx7xw9ty1i Před měsícem

    Nafurai sana kusika isitoria nikiwa kenya 🇰🇪 mombasa

  • @user-jx7xw9ty1i
    @user-jx7xw9ty1i Před měsícem

    Waoo leo nimejua malebo ninani I remember those days 90s nime furai sana mimi niko mombasa kenya ❤❤

  • @MaryShukran
    @MaryShukran Před měsícem

    Ameokoka akiwa tayari na tatoo hivyo usijaribiwe kuhukumu maana Yesu alikuja kuwatafuta hao. Hivyo tusiwavunje moyo

    • @thebmcblackmiccatcher3949
      @thebmcblackmiccatcher3949 Před 23 dny

      Tumia neno ALIKUJA KWA AJIRI YETU, SIYO HAO. UNAHISI HAKUJA KABISA KWA AJILI YA WATU KAMA WEWE, UNA MKATA WA MOJA KWA MOJA UTAFIKA KWAKE SIYO?

  • @user-nm8vw4eh6m
    @user-nm8vw4eh6m Před měsícem

    Nice one

  • @pendomwaiteleke1636
    @pendomwaiteleke1636 Před měsícem

    huyo dada mwingine yupo busy na simu kama hayupo kwenye kipindi ajirekebishe