Sativa kupatiwa matibabu Dar, ndege yapata dharura

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 06. 2024
  • Wakati wowote kuanzia sasa Edgar Mwakabela maarufu Sativa anayedaiwa kutoweka Juni 23 na kupatikana mkoani Katavi, atawasili Dar es Salaam kwa ajili ya kupata huduma za matibabu.
    Sativa alitakiwa kuwasili Dar es Salaam leo saa tisa alasiri kwa ndege maalumu ya kukodi, lakini kutokana na dharura iliyojitokeza, amelazimika kusafirishwa kwa gari la wagonjwa akitokea mkoani Dodoma kuletwa jijini hapa.
    Sativa mkazi wa Mbezi wilayani Ubungo alipatikana Alhamisi Juni 27, 2024 katika pori la Hifadhi ya Taifa ya Katavi akiwa na majeraha mwilini, akiomba msaada wa kupelekwa hospitalini.
    Akizungumza na wanahabari leo Jumamosi, Juni 29, 2024 katika Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, mratibu wa matibabu na safari ya Sativa, Martin Masese maarufu ‘MMM’ alisema Mwakabela anaendelea vema na hali yake inazidi kuimarika, ndiyo maana madaktari wametoa ruhusa asafirishwe.
    Masese amesema Sativa alikuwa asafiri na Shirika la Ndege la Tanzania, tangu Juni 28 kutoka Katavi kupitia Tabora hadi Dar es Salaam, lakini kwa bahati mbaya usafiri huo ulishajaa.
    Kutokana na hali hiyo, Masese amesema walishauriana na ndugu wa Sativa na madaktari na kuazimia mgonjwa huyo aletwe Dar es Salaam na gari la wagonjwa badala ya kusubiria ndege iliyopangwa kufika Dodoma usiku.

Komentáře • 37

  • @mussasuleiman1302
    @mussasuleiman1302 Před 21 hodinou

    Ple sn mungu atampa nfuu

  • @davidmalisa8043
    @davidmalisa8043 Před dnem +1

    Kwan alionywa ache matus au harakati utakufa brazer acha watu wafanye yao wewe raia tu wako wanene wahii nchi

  • @davidmalisa8043
    @davidmalisa8043 Před dnem

    Hawawez uma tumeshajua

  • @beinafuu6219
    @beinafuu6219 Před dnem

    Watekaji hinaonyesha bado watu hawatak kuua ndo maana kila mbombo yanagoma lisu na huyu vinagoma mama samia saidia hawa watu mama wanakutis ubaya

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Před dnem

    Mnakaa kungoja ndege wakati kuna luxury bus mngechukua hata private ila yote kwa yote apewe ulinzi hata ikiwezakana apelekwe nje ya nchi sina iman na serekali yetu imebeba watekaji kukilinda chama tu😭😭

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s Před dnem

    Hivi hawa watekaji ni dini gani? Mbona hawana huruma? Pole sana,

  • @KilingohJuma
    @KilingohJuma Před dnem +1

    Unaongea sana bila vtendo , katavi to Dar usafl upo na Kuna mabas mazur sana, ninyi mnasubili ndege , are you serious ,acheni uzembe

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg Před 14 dny

    Kwa hiyo uma wasipojua alike ndio usalama wake, au wasiojulikana ndio hawatakiwi kujua,

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg Před 14 dny

    Mpelekeni Kenya, wasije wakammalizia

  • @InjiliyaUfalmetv
    @InjiliyaUfalmetv Před 14 dny

    Mungu aliyemlinda uhai wake usipotee ndo Mungu atamponya Ameen

  • @IMANWILLIAM-bl2ui
    @IMANWILLIAM-bl2ui Před 14 dny +2

    mbona umbali wa dom-dar ni mdogo kuliko umbali wa katavi-dom, c mngemleta dar kwa gari tu

  • @MusaJuma-jr7wb
    @MusaJuma-jr7wb Před 14 dny +1

    Ingekua mbunge maeezezo yotehayo yangekuepo

  • @fridayjkajange1247
    @fridayjkajange1247 Před 14 dny +1

    Chukua visa ninda nje ya nchi utanishukuru badae

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před 14 dny +1

    Tanzania ni Nchi ya Amani saaana ila kwa wanao funga midomo, watekaji hawakuwa na lengo la kumuua yaelekea lengo ni kufikisha ujumbe au walivyoona media zimeanza kurusha wakaona Isiwe tabu , hizi taarifa siku hizi zinafika Dunia nzima na ndio mambo yanayo ichafulia Nchi , kwenye ripoti ya haki za Binam kwa Tz sio nzuri saana , huwa wanatahadharisha saana watu wao wakija kufanya utalii

  • @YangaNews
    @YangaNews Před 14 dny +2

    Nyie akili ndogo sana 😢

  • @jumashedafa
    @jumashedafa Před 14 dny

    Ila ajifunz ajue maisha yake aachane na mambo ya serikali na aache matusi hii ni TZ inabid ujifunze kupitia watu wengin, zama na usome alama za nyakat...huyo wamemfunz wangeamua wangemuua...hil kujulikan halitojulikan itabaki wahusika ni wasio julikana na ushaur wa bure..Nyie mtibien tu apone ndugu yenu ila mkijitia wajuaji order ikitoka kwa wasio julikana mnamkosa...wasiojulikan wakiamu wamsake ni kazi ndogo mno kama waliwez kumtoa dar ad katavi washidwe kumpata dar...yan bora ungejifich kama hatuta taja hospital ili mgonjwa apate utulivu maana ndugu jamaa ni wengi wanao taka kumuona... Na kama kuna mashart kapew aishi nayo na iwe siri yake ila kama ameamua kwel una harakat kufa kupona awe huru kusema atakalo

  • @danielndam5997
    @danielndam5997 Před 14 dny

    Askali wanalinda nn eneo la tukio?

  • @samsonsamwel8782
    @samsonsamwel8782 Před 14 dny +3

    Na mchunge kutoa taarifa kamil na ikiwezekana mpeleken hata Kenya hapo watamvzia kumalizia

  • @user-lo8ef9qn2r
    @user-lo8ef9qn2r Před 14 dny +4

    Mnajua kutufunga kamba kumbe Kwa Gari angeweza kufika vp mkae kusubili ndege?

  • @deborahmchona5584
    @deborahmchona5584 Před 14 dny +1

    SASA Dodoma mgeendaoja Kwa moja mpka dar