Amina wa Toto y’a Baba wana y’a ISRAÉLII wa litenda Mawovu na ku mukoseya Mungu sasa sisi njo Kuwati yetu tu. lipa kisasi y’a ma Dhambi Zawo kizazi y’a Leo Batu ba na teseka Ju y’a LANA amen Shalom
Hakika Mungu ni mwema sana,,waweza ku share pia wimbo na jamaa,ndugu na rafiki zako ili nao wasikie Neno la Mungu na ikiwezekana waokoke .karibu sana Aict Igoma mwanza.
Mwanadamu anawezaje kujua kuwa Mungu kamwadhibu mtu fulani kwa dhambi zake? Huu ujumbe naomba kufafanuliwa , nisibaki kuenjoy organ za soul brothers tu bila kuelewa kinachoimbwa. Ujumbe huu unahusu nini hasa?
Nawapenda sana mnjuw kuimb😂 mpeni hai mwanangu bonge aliyetka niimbe kwenye kwa hii😂😂
Barikiwa sana watumishi
Amina wa Toto y’a Baba wana y’a ISRAÉLII wa litenda Mawovu na ku mukoseya Mungu sasa sisi njo Kuwati yetu tu. lipa kisasi y’a ma Dhambi Zawo kizazi y’a Leo Batu ba na teseka Ju y’a LANA amen Shalom
Fanya kugusa Like kama zote Kwa Kwaya ya AIC Muungano Kwayaaaa...
Well done
Mwasema kweli Kabisa we are here bcoz of God's grace
Mabarikiwe kazi yenu nzuri
Mubarikiwe watu wa mwanza karibuni tanga jijini
Kazi ni nzuri sanaa
Wimbo mtamu utupao matumaini kutoka kwa Mungu. Mbarikiwe.
Ni kwa neema tu...... Baraka tele Muungano kwaya.
Amen 🙏
jamani nimewaelewa mko vzur saana mko jilani Sana kanisa lenu na ndugu zangu wakina idd juma wambieni waokoke tu jamani
Hakika Mungu ni mwema sana,,waweza ku share pia wimbo na jamaa,ndugu na rafiki zako ili nao wasikie Neno la Mungu na ikiwezekana waokoke .karibu sana Aict Igoma mwanza.
Minée à yako baba Mungu Amen amen amen hallelujah Shalom
Mbarikiwe wapendwa
God bless u so dearly 🙏🙏🙏 all the way from Kenya,,,,nabarikiwa na huu wimbo saana,,,, indeed ni neema.......
Amen.well come Tanzania @muunganochoir Aict igoma.
Mungu awabaliki sana
Nyimbo zenu ni tamu sana... Mbarikiweni sana.
Amen 🙏, Ubarikiwe na Mungu pia.
I really feel blessed by this song keep it up kikundi changu
Kweli ni neema mbalikiwe watu wa mungu
Amen mungu awatie nguvu kumtumikia
Amen 🙏
Work for the lord my type of songs I like
Amen 🙏. Glory be to God.
Yaan wakitokaa changombe mnafata nyinyi Muungano kwaya fireeeeeeeeeeee
Jaman jamn wimbo mzuri sana nimeurudia zaidi ya mara ishirini mbarikiwe🙏🙏🙏
Kazi safi.. Mbarikiwe
UJUMBE WA WIMBO HUU UNANIBARIKI SANA
Excelent
Baba hongera baba kwa kaz nzur
Amen kwakweli ni neema,mubarikiwe.
Barikiweni sana wapendwa
Nicee
Kazi nzuri mbarikiwe
Nimeielewa sana Mubalikiwe waooooo
commendable singing
Hongeren sana
Ameen wtu mungu 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Nawakubal
Amen
Wimbo mzuri
Rose mohando
Mwanadamu anawezaje kujua kuwa Mungu kamwadhibu mtu fulani kwa dhambi zake?
Huu ujumbe naomba kufafanuliwa , nisibaki kuenjoy organ za soul brothers tu bila kuelewa kinachoimbwa. Ujumbe huu unahusu nini hasa?
Naomben jina la mwalim aliyetunga hizi nyimbo
Anaitwa mwl THOMAS
Kuna jamaa wa CVC anaypiga zile tarubeta
Hapa ndipo Nyumbani Kwao Kule CVC ni ugenini Tu Kaka..
Fanya kugusa Like kama zote Kwa Kwaya ya AIC Muungano Kwayaaaa...
Amen