Video by -HMC DIGITAL VIDEO PROFESSIONALS Shooting Location-Nairobi /Kilimanjaro/Mwanza Directed by -Enos Masanja +255767319616 hmc2012production@gmail.com
Mungu awabariki sana kwa Kumwimbia Mzee aliyeshiba wingi wa siku. Mungu awape macho na ufahamu wa kutambua kuwa awainuapo viwango vya huduma analitukuza jina lake na taji yenu inakuwa kubwa Mbinguni. Lakini kwa haya mavazi wadada na wamama mnayovaa kwa sasa tofauti na hapo mwanzo kwenye albamu za kwanza yanawapeleka wanaume wengi jehanamu, nanyi pia mtawafata hukohuko, hyo Mbingu haitawafungukia siku hyo na hilo taji kubwa hamtaliona msipogeuka. Mungu atusaidie sana.
#acheni mungu wa Israel aitwe mungu....kiumweli wew dada ulichagua fungu Jema jamani...ungeimba nyimbo za kidunia hata shetani asingeruka...nabarikiwa sana na wew...Jamani mwenye namba za huyu mtu.....anisaidie na mimi nimbariki ....kwa baraka hizi....
Leo nimefurahi kuwaona ndugu ktk bwana jamani nisaidien number ya huyo solo napenda aimbe nyimbo hata 2 na mkewangu kwenye band ya mkewangu na mungu awabariki
kama mmebarikiwa kama mimi, twende na lik, hp chini
2020 tunaongalia hii ngoma tusalimiane
Napenda mnavyo tabasamu
Wimbo nzuri sana mbarikiwe
Huu wimbo ni 🔥🔥 unanibariki sana jmn🙏🙏
Mbarikiwe sana
Mwimbo mzurii saaanaaa
Amina
I must be honest and admit Tanzania are on another level especially gospel. Such uplifting and blessing song. Loving it from Kenya
Thanks for the love ❤️ brother
@@wilsonchishomi1083 You most welcomed bro
@Alice Lameck Wafikishie salamu zangu Kwa wingi
1
Waoo Nice ❤️❤️❤️
daaaa sana jembe la yesu chana voko
Asante mungu kwakujibu maombi yangu 👏👏💟💟
Asanteh kujibu shida yangu
Napendaga huu wimbo jmn mbarikiwe mlioimba
Jaman naomba msaada wa kumpata mwalimu wao wa kwaya!!👐Yesu unaimbiwa sana jmn,hakuna kama wewe
Amen
nyimbo imegusa sehemu kubwa sana ya maisha yangu asanteni mbarikiwe ktk bwana
Saut ya Huyu dada n Kama kinanda....
Amina sana watumishi mnanipa burudan sana nikisikiliza huu wimbo naona tiar amesha. Nijibu Mungu wangu
Jaman wapendwa naomba msaada kuudanlord huu wimbo ,maana unanibariki sana
Mungu awabariki sana kwa Kumwimbia Mzee aliyeshiba wingi wa siku. Mungu awape macho na ufahamu wa kutambua kuwa awainuapo viwango vya huduma analitukuza jina lake na taji yenu inakuwa kubwa Mbinguni. Lakini kwa haya mavazi wadada na wamama mnayovaa kwa sasa tofauti na hapo mwanzo kwenye albamu za kwanza yanawapeleka wanaume wengi jehanamu, nanyi pia mtawafata hukohuko, hyo Mbingu haitawafungukia siku hyo na hilo taji kubwa hamtaliona msipogeuka. Mungu atusaidie sana.
Vijana wa MUNGU na hizi style pqmoja na sololist wenu ni 🔥🔥🔥🔥🔥 kwa kweli
Asante Yesu kwa kujibu shida yangu
Waoo naupenda sana huu wimbo
Aamina mngu awabarik sana
Hakika wimbo umegusa maisha yangu sn mbarikiwe sn
Nawapenda sana Watumishi wa Mungu, Kazi nzuri Mbarikiwe Na Jehova
Mungu wa mbinguni azidi kuwa nanyi
Oooh nazid kubarikiwa kweli daaah MUNGU azidi kuwapa maono zaid watumishi kutoka nyakato
Mungu simamia Waimbaji hawa wasije kutumikia bure
Safiii sana..nawatamanije?... Mbarikiwe
Amina
So fantastic
Amina. Asante YESU pokea sifa na utukufu JEHOVAH. Umeskia kilio changu nashukuru. Be blessed brethrens.
Nawapenda xanaaaaaa
nyakato aict nawakubali sanaaaaaaa aa tenaa sanaaaaaaa
Nawapend mungu awaongoze
Mungu awatunze nabarikiwa sana.
Kama ww unatoka misungwi gonga like twende sawa
Asante Yesu kwa kunibadilisha,kwa ukombozi ndani ya maisha yangu. Ninakushukuru mimi
Amen!!!
Solo nakupenda saana umenkosha roho
Sio siri huwa najisikia uwepo wa Mungu Sana kila ninapousikiliza huu wimbo napata nguvu za kuendelea mbele hata kama nina huzun
Nabarikiwa sana na hii kway
big up dada lemi sichoki kusikilza:
mungu awabakili sana na dada remi uko vzr na ninauhakika na mm siku moja ntakua km
ww
Mbarikiwe sana Nyakato choir ninawakubali sana
Hongereni. Nyimbo nzuri
Hongereni sana God bless aic nykt
Wooooooow so nice
Moyo wangu unatulizwa na wimbo huu Mungu awabaliki
Be blessed nyakato choir
Dada bonge uwaga nakupenda sana unasauti ya kipekeee
Said mubarikiwe wapiganaji wa wa kazi ya mungu
Yaani huu wimbo hata nikiusikiliza kila muda siuchiki. Mbarikiwe
Napenda kua kama remi
Amina, Ahsante yesu kwa ukombozi wa maisha yangu. shida kwangu zimeisha.
2021 njoo tuangalie
Hongeren nice song.nampenda sana huyu kwa sauti yake
Kazi nzuri Sana balikwa dada
Bwana azidi kuwainua zaidi na zaidi katika hii huduma ya uimbaji
#acheni mungu wa Israel aitwe mungu....kiumweli wew dada ulichagua fungu Jema jamani...ungeimba nyimbo za kidunia hata shetani asingeruka...nabarikiwa sana na wew...Jamani mwenye namba za huyu mtu.....anisaidie na mimi nimbariki ....kwa baraka hizi....
Yaani nimebarikiwa na huyo sololisti mpaka basi Mungu aendelee kumtumia kama apendavyo natamani hata kupata namba yake ya simu
ahahahhahaha...karibu nyakato mwanza Neema
Glory glory ever
wana nyakato kwaya Elizah loves you all, baraka za Mungu zikamiminike kwa kila mmoja wenu. HMC thumbs up for well done job baraka tele kwako
Amen Mungu awabariki kwa ujumbe mzuri
Kuna wimbo nautafuta unamaneno haya 👇👇
Mnipe jina lake na mahali naweza kuupata.
Petro akamwambia kwa jina la Yesu simama uende zako.
Barikiwa kipenzi Cha Mungu kwa sauti zuri Sana Sana I love you
Barikiwa Sana Kwa nyimbo nzuri A. I. C. T nyakati
Amina amina sana Nyakato ni kazi nzuri sana nimebarikiwa na huu wimbo
Asanteee yesu
mmetisha sana wana nyakato Mungu awabariki na dada yangu remi umetishaaa hakika mungu amekubariki pongezi kwa mwl wa kwaya na wanakwaya wote.
Nguo za muanzishaji fupi sana... Ajitahid kutafuta Nguo za heshima wanaporekodi hata kama ni utamaduni .. Wakiisha rekodi waendelee kuvaa Nguo zao
@@tricykalukwa5697 lakini afadhali sio suruali🤣
Lemiiii fireeeee nabarikiwaa sana
mbarikiwe watu wa mungu kwa kazi mnayoifanya kweli mnafanya vizuri mungu awatie nguvu
We solo jmn😙😙😙unaimba vzr mpk nasisimka!Mungu aendelee kuwatumia
Hahahah step hii ndo naipenda
Huu wimbo sichoki kuuskiliza. Nabarikiwa sana.
Mungu wabariki tena na tena
Asnt yesu kwa kujibu shida yangu,haleluya!!!
Shetani yule aliyenikamata, sasa ameniachilia. AMEN I love this song
Honger sana Dada unasaut nzur sana MUNGU azid kuw tia nguvu
Waooooooo ❤
Safi sana endeleeni kupambana na shetani nae anaipatapata
Naombeni Siri ya mafanikio yenu watumishi
Asante Yesu kwa kuniponya na kuniokoa nabarikiawangwa sna huu wimbo
jamani.kuutunza wokovu sasa patashika asante yesu
Asante yesu
Powerful song
pia masoro hngrn kwa sauti zenu nzuri mbarikiweee sanaaaaa
Asante Yesu kwa kujibu maombi yangu.
Mbarkiwe sana watu aic nyakato napenda sana nyimbo zenu zibanibariki saaaaaaaana
mbarikiwe. sana
🙏🙏🙏😃😀😆 congratulations
Best song
Touching message ... Nice song
Wow agood song.Am blessed 😊😊😊
Ikiwezekana muweke album nzima CZcams
Hongera sana muhanganza kaka angu mungu akubariki
WOW I LOVE THIS GIRL, SHE IS ANOINTED
❤❤
Asante Sana Yesu
Napapenda mwanza nyumbani
nakubali hamwezekani
Kwa yesu kuna rahaaa tele barikiwaaaa
Wimbo mzuri sana mungu awabariki sana aict nyakato
Mbarikiwe sana wana AICT Nyakato Mwanza.
Mbarkiwe
I like your movements...💗
mnacheza vzr sana
Jameni kazi njema watumishi wa Mungu
Nice
daaaa wimbo huu duuu
nc nawapend batsman ningekuw kalb ningejung m naomb mung awatie nguv kweny udum ya wimbaj kalib morogor
Naupendaaaaa xnaaaa huuu wimbo,,, mungu awabarikii
Leo nimefurahi kuwaona ndugu ktk bwana jamani nisaidien number ya huyo solo napenda aimbe nyimbo hata 2 na mkewangu kwenye band ya mkewangu na mungu awabariki
Wao nice
wimbo mzuri Sana. mbarikiwe sana
PHINIAS SHADRACK mwimb mzur nimepend san