Ufunuo Choir - Maisha Yangu (Live Performance )
Vložit
- čas přidán 1. 11. 2023
- Stream And Download Ufunuo Choir Audios on all Platforms
Boomplay:www.boomplay.com/albums/80176...
Audiomack:audiomack.com/ufunuo-choir/al...
Sportify:open.spotify.com/album/4MLJ2e...
Deezer:deezer.page.link/zfpqMWGgsVrf...
Digital technician: / bendouble9
For Booking Contact Ufunuo Choir
Phone:+255684479638
Email: ufunuoc@gmail.com
Catch up with Ufunuo Choir on Social Media
Instagram: / ufunuo_gospel_choir
Tiktok:www.tiktok.com/@ufunuo_gospel...
czcams.com/video/GBiEtKT7-XQ/video.htmlsi=LyH2SHpwBH2kIch4
Mbarikiwe sana jamani,Mungu ni mwema kwa watu wake
Kama umemkubali mzungu Kam mm gonga like Aki Ako na sauti mzuriii sanaa
Tulioangalia hii nyimbo zaidi ya mala 10 tujuane❤
Kuna siku nimeirudia mpaka mb zikaisha😅
Yangu ni kila siku
Glory to God, wako vzr sana watumishi hawa
nimependa sauti ya mzungu jamani anaimba sanaa japo wote wanaimba mungu awabariki
If you listened with tears in your eyes 😢😢let's gather here and clap for Jesus +254 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Amen amen
Kupitia wimbo huu naomba Mungu awaponye wagonjwa wote popote walipo Kwani bila Mungu hatuwezi Kwa lolote!hata madaktar na manes Mungu awatumie kama vyombo vya uponyaji na Kila haja za mioyo yetu Mungu akatujibu vile aonavyo Mungu wetu 🙏
Ukitaka kushuhudia ufundi wa melody, pitch na umahiri wa soloists, basi kwaya hii ni moja ya kwaya zenye umahiri huu kwa viwango vya juu. Ni neema ya Mungu tu na wala si kwa uwezo wenu. Mungu aendelee kuwapa maono walimu wa kwaya hii. Tunabarikiwa sana na huduma yenu❤❤🎉🎉,, mzungu amenikosha sana kwenye ku-solo,, kumbe ana kipaji pia cha solo mbali na style. Mungu ni mwema sana❤❤
Amen 🙏
Bila shaka kwaya iko viwango vya kipekee
@simon....uko sahihi
Bila shaka ni Alois huyu maana ni Miaka sijamuona.
tuko pa1
Who is daily listening to this song like me❤❤
The melody, words,dance moves,uniform everything on point . Glory to God
Hii choir kila mtu ni powerful soloist. Hatari sana❤
Sure
Mzungu mungu amempa kila kitu style anakosha sauti anakosha ❤
I love how he does it. ❤❤
Well said❤❤
Yaan anaomba kwa hisia. Mungu amuinue Zaid🙏🙏
Hatari, amebarikiwa🤣
This year has been a big one for me. God has been so faithful to me. I went through the worst periods in my life between August and December 2022. I got broken 💔 emotionally, physically and financially while in Kenya 🇰🇪. I trusted God and had faith in him to get me through it all. A year later, he was faithful enough. Wiped me all the tears and paid it all. Now in my third month in the UK 🇬🇧, I can only listen to it, look back and thank God. He's truly an amazing God. All Glory to Almighty God.
Hallelujah
Powerful testimony God bless you
Kupitia wimbo huu mdogo wangu atoke gerezani na dadaangu apokee uponyaji wa kansa pale ocean rod
Bwana akutendeee
Amina
Na ikawe kama ulivyoomba. Amen
Amen Amen
Amen
Kila nikiamka nasali na kwaya hii kweli mungu awatuze na awape maisha marefu katka uimbaji wanaokoa watu katka ulimwengu huu
Ufunuo choir is a Sleeping Giant 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙏🏿👌🏽Mungu ana watu wake , na Tanzania 🇹🇿 tumebarikiwa kua miongoni mwa watu hao . …PIGENI KAZI WAPENDWA TAJI ZENU ZITANG’AA NYOTA MBINGUNI
Tanzania mna choir nzuri sana mbarikiwe jamani
Wait a minute yaani Kila mtu in this group can sing nicely like this waah respect.
Vyote nilovyonavyo ni Mungu amenibariki hata kuishi kwangu nineema ya Mungu Sina chakujisifu Ila ni Mungu tu ❤❤
Nasikiliza wimbo huu ikiwa siku ya birthday yangu, nawashukuru kwa kunipa wimbo wa kumsifu Mungu kwa kipindi hiki, Maisha yangu yote ni Mungu tu
Ningetamani watakapo kuwa kwenye maandalizi ya kutowa wimbo nyingine wanihusishe na mimi niweke wangu muchango
The mzungu guy has everything to praise God
zungu noma!!!!190%
Hii kwaya imenikosha moyo wangu jamni mbarikiwe san san ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nawapenda❤
Nina Mimi Cha kujisifu Nina nini Mimi Cha kujivuna
Mungu amefanya Kwa mapenzi yake
Sure Manara wa hiii kwaya huwa unanifurahisha sana Mungu aendelee kukuinua
Mzungu yupo vinzuri sana mungu akutunze
Neema ya Mungu imenifukaa.... Mimi Sina chakudaii mbele za Mungu wangu
Wimbo huu umenifunza kunyenyekea kweli mimi ni bure bila Mungu... sina hata cha kujisifu😢..
Wow 😲😲 MUNGU AZIDI KUWAINUA NIKISIKILIZA NYIMBO ZENU NAHISI KUINULIWA❤❤
Here is how am going to make sure that am rewarding them for a good worship song, I will watch this song over and over and over and allow ads to over and , never skipping , I know this is one way I get to promote their good work , plus I share and comment and like Nicholas from Nairobi Kenya, this such a powerful choir
Hata kazi hii ni kwauwezo wa Mungu sina kitu cha kujivuna ni Mungu tyu🎉🎉
Nimewapenda bure watumishi wa jehova, mungu wa mbinguni awakumbuke
Hakika sina cha kujisifu mimi kila ninachopata ni kwa neema tuu,asante kwa ujumbe watumishi🎉
I can't control my machozi 😭😭😭😭I'm so humbled...... I feel every word from God in this song..... It pierce my heart like a double edged sword 🙌🙌🙌🙌 much blessings servants of God 🙏🙏🙏🙏 mbarikiwe na mungu azidi kuwainua tena na tena
mtunzi wa wimbo ana maono makubwa sana,sichoki kuusikiliza umekuwa kama sala yangu ya asubuhi maana nausikiliza njia nzima mpaka ninapofika kazini uso wangu unakuwa umejaa machozi mengi nikitafakari maneno ya huu wimbo,,Mungu abariki huduma hii❤
Nina Nini Mimi Cha kujisifu❤ be blessed
Naipenda sana kwaya
nzuri sanaa
asante sana Mungu wetu maana ni mwema sn kwetu,unatutendea yaliyo mema mengi hata sisi tusiostahili,asante sn Ufunuo kwa kutukumbusha ukuu wa Mungu wetu tukiwa hapa duniani
Vitu vyote nimepewa na Mungu, Amen❤
Amen, nabarikiwa san na kwaya hii Mungu azidi kuwainua.
Nawapenda buree watu Hawa
Mungu aendelee kuwainua ninyi na huduma yenu
Mimi sina cha kujivuna wala cha kujidai mbele za MUNGU wangu,mbarikiwe sana kwa maono haya ya wimbo
Song’s content, melody, singers ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mungu Baba Mwenyezi Awape Amani na Furaha katika maisha yenu. Amina
Yaani wananibariki saaana Mungu awe pamoja nao
Tajisifu na nini? Ta jivuna na nini? Yote yangu ni kwa mapenzi ya Mungu. Sababu langu kubwa la kukuabudu Mungu. Alléluia 🙌
Ni nanini mimi cha kujisifu, nina nini mimi cha kujivuna🙏🙏🙌👐❤❤
Hakika,Mungu amewatumia kutukumbusha kuwa tulivyo ni yeye amefanya.❤❤🎉
Hii kwaya ina neema kubwa sana ukisikiliza nyimbo zao lzm utokwe machozi kwa kutafakari ukuu wa Mungu wetu😢 Mungu awatunze kwa ajili ya Tanzania na mipaka ya Tanzania na duniani kote🙏 Nawapenda wote
Amaizing song.... glory to God. God bless Tanzania for such a wonderful revival
This choir is such a powerful one. The voices, the organisation and the message. God bless you
Another amazing song from Ufunuo. You never disappoint❤❤🎉🎉
Amen🙏
@@ufunuochoir ni kwaya ya kanisa gani?
Yes na hii ndio maana halisi ya Ufunuo. Hakika mnatubariki kwa viwango vya juu.. Mungu wa mamlaka azidi kuwatumia kwa viwango vikuu 🙏🙏🙏🙏🙏.
Mzungu 🎉🎉🎉 amazing amefanya wonderful mungu anaendele kuwapa nguvu na kwaya mzima Kwa ujumla❤
MUNGU awabariki Sana wote mnao..
Ujumbe mzuri Sana sana
Kweli kbs sina cha kujivuna
Ufunuo mungu awainue zaidi na zaidi nyimbo zenu zinanibariki ktk viwango vikubwa Sana
Your sound & meaningful message blessed me abundantly...barikiweni sana sana & thank you...🕊🕊
Guys you quench my thirsty. You bring Heaven closer and remain anointed. You are the real God’s Generals
Mungu awabariki
Kazi mnayoifanya kwa kweli inabariki wengi nikiwa mmoja wapo katika taifa la kenya,nawaombea mudumu katika hisia hiyo na kuzidi,salamu za pekee zimwendee mzungu
Vyote Mungu ndiye amenipa,, nice song
Wapokee kwabjina la Yesu. Pole endelea kumuamini
Kwaya bora kabisa yenye nguvu za Mungu ndani ya nyimbo zakey
Mungu wa Binguni awalinde kutokana na mishale yoote na silaha zote inayotumwa kinyume cha woote wahudumuo kwa roho na kweli... Bwana awe Ngome yenu.... Awafiche kutokana na macho ya waovu na maneno yao...avunje ngome zoote na ibado zozote za uovu ili ibada yeenu kwa Mungu isizuilike... Nimesikiza hasa "usisahau hata kidogo napia huu wimbo... Ni dawa inayoingia kwa moyo,,, mawazo,,, mifupa na kila wkt nashuhudia uwepo wa Mungu mnapohudumu kupitia nyimbo.... Mimi ni mwanaibada kutoka Kenya,,,,ambaye Mungu ameniinua kupitia kwa ya AIC Unity(Naivasha).... Namtukuza Bwana Yesu kwa ajili yenu.... More Grace,,,
❤ vrmt napenda sana mubarikiwe sana batoto ya mungu aksanti
Amina..cna chochote watot ardhi Mali vyote ni vya Mungu
👍👏♥️ Mungu aikuze huduma utukufu kwa Mungu nyimbo inabariki inaelezea wema wake kwetu yatupasa tumshukuru Mungu Kwa yote anayotutendea.
Amin MUNGU wambinguni awabalik katika maishaa yenu sku zotee ameee Amin🙏🙏🌹🌹💐💐💞💞💞
Kweli sinachakujivunia whatever I have God has given me I wonna say thank you Lord. Great job n great inspiration God bless you
Kupitiya hu wimbo Mungu aponye nduguzangu wadogo Wang kwa hali mbalimbali wanazoziishi
Glory to God..... Good Choir; Good people ; smart for everything....love you guys.
Maisha yangu yote ni MUNGU tu anatenda,wala Sina kujivuna,walasina cha kujisifu..
AMEN AMEN WATUMISHI WA KRISTO. HAKIKA NI KWELI. MMBARIKIWE SANA SANA. MPO WAPI JAMANI
Wow jmn wimbo mzur huuu am proud of you lovers❤
Huwa mnanibariki sana nyie watumishi wa Mungu jumbe zenu huwa zinaugusa sana moyo wangu😢
😭😭😭😭😭😭😭🙌🙌🙌🙌🙌 sina chakujisifu...
Ahsante Sana Baba,
Ahsante Sana Mungu mwema,
Ahsante Messiah,
Ahsante
Ahsante
M-mbarikiwe mnoo....❤❤❤❤
Mungu awwbariki kwa kutuhubiria kwa njia ya nyimbo tunabarikiwa sana🙏
Hakika wimbo umetulia hata waimbaji wametulia, wanavutia, hivyo bac kwa ujumbe huu ninauhakika kupitia wimbo huu nitanyanyuka na kuanza kutembea hii ni baada ya kupata ajari nipo ndani kwa muda fulani hivi Mungu atatenda mkuu wake kwangu.
MAOMBI YANGU KWA BWANA juu ya kwaya Hii. Ni kwamba Roho mtakatifu awape kushuka na kunyenyekea, Awape utulivu ndani yenu na kukubali yeye awe SUPER STAR adui yetu Ibilisi anajua moja kati ya kitu kinachomchukiza Mungu sana ni kiburi na kukosa unyenyekevu.
NINA AMINI MATAIFA YANABARIKIWA NANYI. Bakini chini wapendwa YESU atukuke zaidi kati yenu.
NAWAPENDA UFUNUO CHOIR
Namipendaka
Mungu awainue😢❤❤❤
Nawapenda sana na Mungu awazidisie baraka zake najifunza vitu vng kwenu
Kwakweli Mungu azidi kuwabariki maana mnanikosha sana jamani mmejaliwa sauti mnaimba vizuri ma sololist wote nawapa mauwa yenu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Deus emmanueli 🤚🙏Mungu akuinue katika viwango vingine kifra na maarifa zaid
Maisha yangu ni Mungu ametenda ,sina cha kujivunia ,Glory to God ,wimbo unanibariki sana,mbarikiwe waimbaji wa kwaya ya ufunuo
Ñawapenda mnoo Mungu wa mbinguni awaepushe na Kila mabaya hakika Sina Cha kujisifu
Namshukuru Mungu kwa ajili yenu, NAWAPENDA MUNGU AWABARIKI KTK UTUMISHI ❤❤❤
Amen
Barikiwa sana🙌🙌🙌
Mungu ni mwema kwa wakati wote,asante kwa wimbo🙏
Oooooooh!!!! Hallelujah,mnajua kunibariki sana.....Mungu aendelee kuwa inuliwa vipawa vyenu na mkadumu katika kumsifu na kumwaabudi yeye aliye patakatifu pake Juu mbinguni. Vocal is fantastic,song arrangement is awesome. Amazing voices. Mimi nafikiri ndyo mtu anaangalia mara nyingi nyimbo hiii na WIMBO WANGU BORA NI.....USISAHAU KUMSHUKURU MUNGU. Niwaachie mibaraka tele. Amen. Siku moja nitakuja kusali ktk ibada yenu.
Mubarikiwe sana wainbaji kwa winbo mzuri kabisa ina tu tiya kabisa nguvu na ku tu elekezeya mbele za mungu na kujuwa kumuchukuru Mungu Wetu kwa kila jambo
Ni nanini Mimi hakika wewe ni Mungu😢😢
I always find myself smiling when watching this wonderful choir ❤❤❤
My all time favourite my brother mzungu🙏 my celeb I can watch ur vedios over n over again his dancing moves acha tu , yaani husifu kwa roho kabisaa na ukweli
Definitely....he sings so well &dances so well too❤...blessings upon him
@@FLOH9876 amen 🙏🙏 he is a blessing to many
Mungu ni mkuu anavyo vipawa na ameweka kwa watu wake. Powerfull melody ❤❤❤
Hata akili niliyo nayo, ni mungu ameniiipa! Na nguvu nilizo nazo, ni yeye amenipa! amazing amazing worship!!
Amen watching from Qatar nawapenda bure mungu awatie nguvu kwa kazi yake ❤
Me too,let's watch and be blessed
Mungu anawatu mno nabalikiwa nikiwa kigoma kasulu
Kazi nzuriii sanaa ufunuo....choir Mungu awabariki sana kwa kazi njema sanaa🎉
Haleluyaaaa,,wimbo wa sifa na shukrani,hakika nimebarikiwa
Hii choir lazima wawe ni watu waombezi vizuri sana ndiposa Mungu anawapa kibali cha nyimbo tamutamu zenye ujumbe mtamu na mzito.