Ufunuo Choir - Maisha Yangu (Live Performance )

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 11. 2023
  • Stream And Download Ufunuo Choir Audios on all Platforms
    Boomplay:www.boomplay.com/albums/80176...
    Audiomack:audiomack.com/ufunuo-choir/al...
    Sportify:open.spotify.com/album/4MLJ2e...
    Deezer:deezer.page.link/zfpqMWGgsVrf...
    Digital technician: / bendouble9
    For Booking Contact Ufunuo Choir
    Phone:+255684479638
    Email: ufunuoc@gmail.com
    Catch up with Ufunuo Choir on Social Media
    Instagram: / ufunuo_gospel_choir
    Tiktok:www.tiktok.com/@ufunuo_gospel...

Komentáře • 646

  • @ufunuochoir
    @ufunuochoir  Před 12 dny +1

    czcams.com/video/GBiEtKT7-XQ/video.htmlsi=LyH2SHpwBH2kIch4

    • @gastondofra9151
      @gastondofra9151 Před 10 dny

      Mbarikiwe sana jamani,Mungu ni mwema kwa watu wake

  • @lowasameliyo4027
    @lowasameliyo4027 Před 3 měsíci +33

    Kama umemkubali mzungu Kam mm gonga like Aki Ako na sauti mzuriii sanaa

  • @venanciakabula9515
    @venanciakabula9515 Před 5 měsíci +37

    Tulioangalia hii nyimbo zaidi ya mala 10 tujuane❤

  • @ednaadam641
    @ednaadam641 Před 7 měsíci +14

    nimependa sauti ya mzungu jamani anaimba sanaa japo wote wanaimba mungu awabariki

  • @gracewamaitha7382
    @gracewamaitha7382 Před 7 měsíci +26

    If you listened with tears in your eyes 😢😢let's gather here and clap for Jesus +254 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪

  • @joycelanda8987
    @joycelanda8987 Před 3 měsíci +7

    Kupitia wimbo huu naomba Mungu awaponye wagonjwa wote popote walipo Kwani bila Mungu hatuwezi Kwa lolote!hata madaktar na manes Mungu awatumie kama vyombo vya uponyaji na Kila haja za mioyo yetu Mungu akatujibu vile aonavyo Mungu wetu 🙏

  • @Regnard999
    @Regnard999 Před 8 měsíci +182

    Ukitaka kushuhudia ufundi wa melody, pitch na umahiri wa soloists, basi kwaya hii ni moja ya kwaya zenye umahiri huu kwa viwango vya juu. Ni neema ya Mungu tu na wala si kwa uwezo wenu. Mungu aendelee kuwapa maono walimu wa kwaya hii. Tunabarikiwa sana na huduma yenu❤❤🎉🎉,, mzungu amenikosha sana kwenye ku-solo,, kumbe ana kipaji pia cha solo mbali na style. Mungu ni mwema sana❤❤

  • @DaniellaBisimwa
    @DaniellaBisimwa Před 16 dny +2

    Who is daily listening to this song like me❤❤

  • @lucymburu155
    @lucymburu155 Před 7 měsíci +44

    The melody, words,dance moves,uniform everything on point . Glory to God

  • @abelkinyondo9027
    @abelkinyondo9027 Před 7 měsíci +23

    Hii choir kila mtu ni powerful soloist. Hatari sana❤

  • @EzekielMisungwi-zn6qh
    @EzekielMisungwi-zn6qh Před 8 měsíci +34

    Mzungu mungu amempa kila kitu style anakosha sauti anakosha ❤

  • @dankimathi
    @dankimathi Před 7 měsíci +33

    This year has been a big one for me. God has been so faithful to me. I went through the worst periods in my life between August and December 2022. I got broken 💔 emotionally, physically and financially while in Kenya 🇰🇪. I trusted God and had faith in him to get me through it all. A year later, he was faithful enough. Wiped me all the tears and paid it all. Now in my third month in the UK 🇬🇧, I can only listen to it, look back and thank God. He's truly an amazing God. All Glory to Almighty God.

  • @user-to3vc7vj4e
    @user-to3vc7vj4e Před 7 měsíci +22

    Kupitia wimbo huu mdogo wangu atoke gerezani na dadaangu apokee uponyaji wa kansa pale ocean rod

  • @laelimaden714
    @laelimaden714 Před 2 měsíci +3

    Kila nikiamka nasali na kwaya hii kweli mungu awatuze na awape maisha marefu katka uimbaji wanaokoa watu katka ulimwengu huu

  • @gloriousn6425
    @gloriousn6425 Před 8 měsíci +19

    Ufunuo choir is a Sleeping Giant 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙏🏿👌🏽Mungu ana watu wake , na Tanzania 🇹🇿 tumebarikiwa kua miongoni mwa watu hao . …PIGENI KAZI WAPENDWA TAJI ZENU ZITANG’AA NYOTA MBINGUNI

  • @geoffreyambasi9601
    @geoffreyambasi9601 Před 2 měsíci +3

    Wait a minute yaani Kila mtu in this group can sing nicely like this waah respect.

  • @felixnicodem6233
    @felixnicodem6233 Před 2 měsíci +3

    Vyote nilovyonavyo ni Mungu amenibariki hata kuishi kwangu nineema ya Mungu Sina chakujisifu Ila ni Mungu tu ❤❤

  • @NORAHNDUSILO
    @NORAHNDUSILO Před 7 měsíci +18

    Nasikiliza wimbo huu ikiwa siku ya birthday yangu, nawashukuru kwa kunipa wimbo wa kumsifu Mungu kwa kipindi hiki, Maisha yangu yote ni Mungu tu

  • @mbmdigitalpro5198
    @mbmdigitalpro5198 Před 7 měsíci +6

    Ningetamani watakapo kuwa kwenye maandalizi ya kutowa wimbo nyingine wanihusishe na mimi niweke wangu muchango

  • @aunclemdogo4741
    @aunclemdogo4741 Před 2 měsíci +1

    The mzungu guy has everything to praise God

  • @user-kb4jp4vc4t
    @user-kb4jp4vc4t Před 4 měsíci +4

    zungu noma!!!!190%

  • @mangaremechanic4062
    @mangaremechanic4062 Před 2 měsíci +2

    Hii kwaya imenikosha moyo wangu jamni mbarikiwe san san ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Blackie_blackie9327
    @Blackie_blackie9327 Před 7 měsíci +4

    Nawapenda❤

  • @jacobmwandenga3364
    @jacobmwandenga3364 Před 5 měsíci +2

    Nina Mimi Cha kujisifu Nina nini Mimi Cha kujivuna
    Mungu amefanya Kwa mapenzi yake

  • @zachariazabron3192
    @zachariazabron3192 Před 7 měsíci +4

    Sure Manara wa hiii kwaya huwa unanifurahisha sana Mungu aendelee kukuinua

  • @laelimaden714
    @laelimaden714 Před 2 měsíci +1

    Mzungu yupo vinzuri sana mungu akutunze

  • @leahmachele3354
    @leahmachele3354 Před 2 měsíci +1

    Neema ya Mungu imenifukaa.... Mimi Sina chakudaii mbele za Mungu wangu

  • @rennyworld1242
    @rennyworld1242 Před 7 měsíci +2

    Wimbo huu umenifunza kunyenyekea kweli mimi ni bure bila Mungu... sina hata cha kujisifu😢..

  • @klmhardware2993
    @klmhardware2993 Před 8 měsíci +4

    Wow 😲😲 MUNGU AZIDI KUWAINUA NIKISIKILIZA NYIMBO ZENU NAHISI KUINULIWA❤❤

  • @nicholasirungu8044
    @nicholasirungu8044 Před 7 měsíci +11

    Here is how am going to make sure that am rewarding them for a good worship song, I will watch this song over and over and over and allow ads to over and , never skipping , I know this is one way I get to promote their good work , plus I share and comment and like Nicholas from Nairobi Kenya, this such a powerful choir

  • @MadukaAlphonce-ts5hh
    @MadukaAlphonce-ts5hh Před měsícem +1

    Hata kazi hii ni kwauwezo wa Mungu sina kitu cha kujivuna ni Mungu tyu🎉🎉

  • @user-od8wv4wg4f
    @user-od8wv4wg4f Před 4 měsíci +3

    Nimewapenda bure watumishi wa jehova, mungu wa mbinguni awakumbuke

  • @user-hd5kc9lw6m
    @user-hd5kc9lw6m Před měsícem +1

    Hakika sina cha kujisifu mimi kila ninachopata ni kwa neema tuu,asante kwa ujumbe watumishi🎉

  • @carolynekangogo64
    @carolynekangogo64 Před 7 měsíci +15

    I can't control my machozi 😭😭😭😭I'm so humbled...... I feel every word from God in this song..... It pierce my heart like a double edged sword 🙌🙌🙌🙌 much blessings servants of God 🙏🙏🙏🙏 mbarikiwe na mungu azidi kuwainua tena na tena

    • @user-gc4km8oc5t
      @user-gc4km8oc5t Před 7 měsíci +1

      mtunzi wa wimbo ana maono makubwa sana,sichoki kuusikiliza umekuwa kama sala yangu ya asubuhi maana nausikiliza njia nzima mpaka ninapofika kazini uso wangu unakuwa umejaa machozi mengi nikitafakari maneno ya huu wimbo,,Mungu abariki huduma hii❤

    • @kaggyjj1263
      @kaggyjj1263 Před 7 měsíci

      Nina Nini Mimi Cha kujisifu❤ be blessed

  • @KundaelJackson-rn8id
    @KundaelJackson-rn8id Před 7 měsíci +2

    Naipenda sana kwaya

  • @Oden_Viber88
    @Oden_Viber88 Před 7 měsíci +2

    nzuri sanaa

  • @ntulimambo463
    @ntulimambo463 Před měsícem +1

    asante sana Mungu wetu maana ni mwema sn kwetu,unatutendea yaliyo mema mengi hata sisi tusiostahili,asante sn Ufunuo kwa kutukumbusha ukuu wa Mungu wetu tukiwa hapa duniani

  • @theopistamwayeya1764
    @theopistamwayeya1764 Před 7 měsíci +9

    Vitu vyote nimepewa na Mungu, Amen❤

  • @jeremiamalisha2092
    @jeremiamalisha2092 Před 8 měsíci +4

    Amen, nabarikiwa san na kwaya hii Mungu azidi kuwainua.

    • @MonicaEdson
      @MonicaEdson Před 8 měsíci +1

      Nawapenda buree watu Hawa
      Mungu aendelee kuwainua ninyi na huduma yenu

  • @mageedward9135
    @mageedward9135 Před 7 měsíci +3

    Mimi sina cha kujivuna wala cha kujidai mbele za MUNGU wangu,mbarikiwe sana kwa maono haya ya wimbo

  • @joelmwanga6745
    @joelmwanga6745 Před 7 měsíci +6

    Song’s content, melody, singers ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @deborahmgedzi632
    @deborahmgedzi632 Před 6 měsíci +3

    Mungu Baba Mwenyezi Awape Amani na Furaha katika maisha yenu. Amina

  • @PeterA.Meshack-mu5rw
    @PeterA.Meshack-mu5rw Před 4 měsíci +2

    Yaani wananibariki saaana Mungu awe pamoja nao

  • @sylviamuvunga4546
    @sylviamuvunga4546 Před měsícem +1

    Tajisifu na nini? Ta jivuna na nini? Yote yangu ni kwa mapenzi ya Mungu. Sababu langu kubwa la kukuabudu Mungu. Alléluia 🙌

  • @ElishaKasekwa-vo2eg
    @ElishaKasekwa-vo2eg Před 7 měsíci +3

    Ni nanini mimi cha kujisifu, nina nini mimi cha kujivuna🙏🙏🙌👐❤❤

  • @evapendoshilamungaya7759
    @evapendoshilamungaya7759 Před měsícem +1

    Hakika,Mungu amewatumia kutukumbusha kuwa tulivyo ni yeye amefanya.❤❤🎉

  • @glorymathew182
    @glorymathew182 Před 10 dny

    Hii kwaya ina neema kubwa sana ukisikiliza nyimbo zao lzm utokwe machozi kwa kutafakari ukuu wa Mungu wetu😢 Mungu awatunze kwa ajili ya Tanzania na mipaka ya Tanzania na duniani kote🙏 Nawapenda wote

  • @mosesmakalanga7489
    @mosesmakalanga7489 Před 2 měsíci

    Amaizing song.... glory to God. God bless Tanzania for such a wonderful revival

  • @charlesadhola
    @charlesadhola Před 8 měsíci +15

    This choir is such a powerful one. The voices, the organisation and the message. God bless you

  • @Regnard999
    @Regnard999 Před 8 měsíci +22

    Another amazing song from Ufunuo. You never disappoint❤❤🎉🎉

  • @deborakabuche1899
    @deborakabuche1899 Před 7 měsíci +5

    Yes na hii ndio maana halisi ya Ufunuo. Hakika mnatubariki kwa viwango vya juu.. Mungu wa mamlaka azidi kuwatumia kwa viwango vikuu 🙏🙏🙏🙏🙏.

  • @eliudlucas8719
    @eliudlucas8719 Před 7 měsíci +2

    Mzungu 🎉🎉🎉 amazing amefanya wonderful mungu anaendele kuwapa nguvu na kwaya mzima Kwa ujumla❤

  • @denismaussa650
    @denismaussa650 Před 7 měsíci +3

    MUNGU awabariki Sana wote mnao..
    Ujumbe mzuri Sana sana

  • @happysanka9679
    @happysanka9679 Před 7 měsíci +1

    Kweli kbs sina cha kujivuna

  • @ElizabethCeaser-zy5ew
    @ElizabethCeaser-zy5ew Před 7 měsíci +2

    Ufunuo mungu awainue zaidi na zaidi nyimbo zenu zinanibariki ktk viwango vikubwa Sana

  • @seuny2k1
    @seuny2k1 Před měsícem +1

    Your sound & meaningful message blessed me abundantly...barikiweni sana sana & thank you...🕊🕊

  • @amankajuna5064
    @amankajuna5064 Před 7 měsíci +13

    Guys you quench my thirsty. You bring Heaven closer and remain anointed. You are the real God’s Generals

  • @laelimaden714
    @laelimaden714 Před 2 měsíci +1

    Mungu awabariki

  • @edezzydorry
    @edezzydorry Před 5 měsíci +2

    Kazi mnayoifanya kwa kweli inabariki wengi nikiwa mmoja wapo katika taifa la kenya,nawaombea mudumu katika hisia hiyo na kuzidi,salamu za pekee zimwendee mzungu

  • @mariamatuku6475
    @mariamatuku6475 Před 4 měsíci +1

    Vyote Mungu ndiye amenipa,, nice song

  • @edithmwasulama7005
    @edithmwasulama7005 Před 28 dny

    Wapokee kwabjina la Yesu. Pole endelea kumuamini

  • @user-go2pg4dj5k
    @user-go2pg4dj5k Před 5 měsíci +1

    Kwaya bora kabisa yenye nguvu za Mungu ndani ya nyimbo zakey

  • @lucynfavour9690
    @lucynfavour9690 Před 7 měsíci +3

    Mungu wa Binguni awalinde kutokana na mishale yoote na silaha zote inayotumwa kinyume cha woote wahudumuo kwa roho na kweli... Bwana awe Ngome yenu.... Awafiche kutokana na macho ya waovu na maneno yao...avunje ngome zoote na ibado zozote za uovu ili ibada yeenu kwa Mungu isizuilike... Nimesikiza hasa "usisahau hata kidogo napia huu wimbo... Ni dawa inayoingia kwa moyo,,, mawazo,,, mifupa na kila wkt nashuhudia uwepo wa Mungu mnapohudumu kupitia nyimbo.... Mimi ni mwanaibada kutoka Kenya,,,,ambaye Mungu ameniinua kupitia kwa ya AIC Unity(Naivasha).... Namtukuza Bwana Yesu kwa ajili yenu.... More Grace,,,

  • @user-tm9cn5tp4u
    @user-tm9cn5tp4u Před 4 měsíci +1

    ❤ vrmt napenda sana mubarikiwe sana batoto ya mungu aksanti

  • @ReginaSulley-fc5jd
    @ReginaSulley-fc5jd Před 3 dny

    Amina..cna chochote watot ardhi Mali vyote ni vya Mungu

  • @azizasanga6440
    @azizasanga6440 Před 7 měsíci +3

    👍👏♥️ Mungu aikuze huduma utukufu kwa Mungu nyimbo inabariki inaelezea wema wake kwetu yatupasa tumshukuru Mungu Kwa yote anayotutendea.

  • @IsabellJohn
    @IsabellJohn Před měsícem

    Amin MUNGU wambinguni awabalik katika maishaa yenu sku zotee ameee Amin🙏🙏🌹🌹💐💐💞💞💞

  • @SophieKathure
    @SophieKathure Před 5 měsíci +1

    Kweli sinachakujivunia whatever I have God has given me I wonna say thank you Lord. Great job n great inspiration God bless you

  • @EsaieKisembo
    @EsaieKisembo Před 4 dny

    Kupitiya hu wimbo Mungu aponye nduguzangu wadogo Wang kwa hali mbalimbali wanazoziishi

  • @alphoncelondo6586
    @alphoncelondo6586 Před 7 měsíci +10

    Glory to God..... Good Choir; Good people ; smart for everything....love you guys.

  • @fatumamimbi3126
    @fatumamimbi3126 Před 19 dny

    Maisha yangu yote ni MUNGU tu anatenda,wala Sina kujivuna,walasina cha kujisifu..

  • @susankitila2898
    @susankitila2898 Před 4 měsíci +1

    AMEN AMEN WATUMISHI WA KRISTO. HAKIKA NI KWELI. MMBARIKIWE SANA SANA. MPO WAPI JAMANI

  • @rehemamichael2227
    @rehemamichael2227 Před 8 měsíci +6

    Wow jmn wimbo mzur huuu am proud of you lovers❤

  • @lucymtundu3600
    @lucymtundu3600 Před 7 měsíci +1

    Huwa mnanibariki sana nyie watumishi wa Mungu jumbe zenu huwa zinaugusa sana moyo wangu😢

  • @esthermollel8958
    @esthermollel8958 Před 6 měsíci +1

    😭😭😭😭😭😭😭🙌🙌🙌🙌🙌 sina chakujisifu...
    Ahsante Sana Baba,
    Ahsante Sana Mungu mwema,
    Ahsante Messiah,
    Ahsante
    Ahsante
    M-mbarikiwe mnoo....❤❤❤❤

  • @jescamaumbi1320
    @jescamaumbi1320 Před 7 měsíci +2

    Mungu awwbariki kwa kutuhubiria kwa njia ya nyimbo tunabarikiwa sana🙏

  • @patrickchunda-zo6ge
    @patrickchunda-zo6ge Před 28 dny

    Hakika wimbo umetulia hata waimbaji wametulia, wanavutia, hivyo bac kwa ujumbe huu ninauhakika kupitia wimbo huu nitanyanyuka na kuanza kutembea hii ni baada ya kupata ajari nipo ndani kwa muda fulani hivi Mungu atatenda mkuu wake kwangu.

  • @tuzojohn3581
    @tuzojohn3581 Před 7 měsíci +1

    MAOMBI YANGU KWA BWANA juu ya kwaya Hii. Ni kwamba Roho mtakatifu awape kushuka na kunyenyekea, Awape utulivu ndani yenu na kukubali yeye awe SUPER STAR adui yetu Ibilisi anajua moja kati ya kitu kinachomchukiza Mungu sana ni kiburi na kukosa unyenyekevu.
    NINA AMINI MATAIFA YANABARIKIWA NANYI. Bakini chini wapendwa YESU atukuke zaidi kati yenu.
    NAWAPENDA UFUNUO CHOIR

  • @johnnsenga255
    @johnnsenga255 Před 6 minutami

    Namipendaka

  • @user-bz9pp5sk3t
    @user-bz9pp5sk3t Před 4 měsíci +1

    Mungu awainue😢❤❤❤

  • @user-jj5vn7cq7n
    @user-jj5vn7cq7n Před 4 měsíci +1

    Nawapenda sana na Mungu awazidisie baraka zake najifunza vitu vng kwenu

  • @neemangowi3514
    @neemangowi3514 Před 17 dny

    Kwakweli Mungu azidi kuwabariki maana mnanikosha sana jamani mmejaliwa sauti mnaimba vizuri ma sololist wote nawapa mauwa yenu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @mnirahmteleka2685
    @mnirahmteleka2685 Před 5 měsíci +1

    Deus emmanueli 🤚🙏Mungu akuinue katika viwango vingine kifra na maarifa zaid

  • @merinankullua5874
    @merinankullua5874 Před 5 měsíci +1

    Maisha yangu ni Mungu ametenda ,sina cha kujivunia ,Glory to God ,wimbo unanibariki sana,mbarikiwe waimbaji wa kwaya ya ufunuo

  • @user-du7mk8ux8t
    @user-du7mk8ux8t Před 4 měsíci +1

    Ñawapenda mnoo Mungu wa mbinguni awaepushe na Kila mabaya hakika Sina Cha kujisifu

  • @user-vk4ff9we9k
    @user-vk4ff9we9k Před 4 dny

    Namshukuru Mungu kwa ajili yenu, NAWAPENDA MUNGU AWABARIKI KTK UTUMISHI ❤❤❤

  • @Eden-Nation-Voice
    @Eden-Nation-Voice Před 4 měsíci +1

    Amen
    Barikiwa sana🙌🙌🙌

  • @maliropatience303
    @maliropatience303 Před 2 měsíci

    Mungu ni mwema kwa wakati wote,asante kwa wimbo🙏

  • @ellykirundwa2646
    @ellykirundwa2646 Před 8 měsíci +7

    Oooooooh!!!! Hallelujah,mnajua kunibariki sana.....Mungu aendelee kuwa inuliwa vipawa vyenu na mkadumu katika kumsifu na kumwaabudi yeye aliye patakatifu pake Juu mbinguni. Vocal is fantastic,song arrangement is awesome. Amazing voices. Mimi nafikiri ndyo mtu anaangalia mara nyingi nyimbo hiii na WIMBO WANGU BORA NI.....USISAHAU KUMSHUKURU MUNGU. Niwaachie mibaraka tele. Amen. Siku moja nitakuja kusali ktk ibada yenu.

  • @user-zy5mw9ix4s
    @user-zy5mw9ix4s Před 5 měsíci +1

    Mubarikiwe sana wainbaji kwa winbo mzuri kabisa ina tu tiya kabisa nguvu na ku tu elekezeya mbele za mungu na kujuwa kumuchukuru Mungu Wetu kwa kila jambo

  • @user-qq2rd7gz9i
    @user-qq2rd7gz9i Před 2 měsíci

    Ni nanini Mimi hakika wewe ni Mungu😢😢

  • @euritarnyaboke8004
    @euritarnyaboke8004 Před 7 měsíci +8

    I always find myself smiling when watching this wonderful choir ❤❤❤

  • @mercywanjiku6989
    @mercywanjiku6989 Před 7 měsíci +3

    My all time favourite my brother mzungu🙏 my celeb I can watch ur vedios over n over again his dancing moves acha tu , yaani husifu kwa roho kabisaa na ukweli

    • @FLOH9876
      @FLOH9876 Před 3 měsíci +1

      Definitely....he sings so well &dances so well too❤...blessings upon him

    • @mercywanjiku6989
      @mercywanjiku6989 Před 3 měsíci

      @@FLOH9876 amen 🙏🙏 he is a blessing to many

  • @rebecaomary8103
    @rebecaomary8103 Před 7 měsíci +5

    Mungu ni mkuu anavyo vipawa na ameweka kwa watu wake. Powerfull melody ❤❤❤

  • @kenmugo5680
    @kenmugo5680 Před měsícem

    Hata akili niliyo nayo, ni mungu ameniiipa! Na nguvu nilizo nazo, ni yeye amenipa! amazing amazing worship!!

  • @syletmoraa443
    @syletmoraa443 Před 7 měsíci +7

    Amen watching from Qatar nawapenda bure mungu awatie nguvu kwa kazi yake ❤

    • @EdnaMwamburi
      @EdnaMwamburi Před 7 měsíci

      Me too,let's watch and be blessed

  • @ShauriStephano-ou2vg
    @ShauriStephano-ou2vg Před měsícem

    Mungu anawatu mno nabalikiwa nikiwa kigoma kasulu

  • @user-ge1gk7uz9o
    @user-ge1gk7uz9o Před 19 dny

    Kazi nzuriii sanaa ufunuo....choir Mungu awabariki sana kwa kazi njema sanaa🎉

  • @paulinajemson2719
    @paulinajemson2719 Před 7 měsíci +3

    Haleluyaaaa,,wimbo wa sifa na shukrani,hakika nimebarikiwa

  • @mtushe1
    @mtushe1 Před 8 měsíci +2

    Hii choir lazima wawe ni watu waombezi vizuri sana ndiposa Mungu anawapa kibali cha nyimbo tamutamu zenye ujumbe mtamu na mzito.