Video není dostupné.
Omlouváme se.

AICT Chang'ombe Choir - Nafsi (Official Music Video)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 08. 2020
  • AICT Chang'ombe Choir Official

Komentáře • 463

  • @selemanrobert7914
    @selemanrobert7914 Před 3 lety +37

    nafsi yangu imechoka sana na maisha yangu yamekosa mwelekeo, sitajizuia na kuugua kwangu mimi, nitanena kwa uchungu, kwa roho yangu nitamwambia MUNGU wangu... usinihukumie makosa yangu, Nioneshe sababu ya kukosana nawe..... WIMBO HUU KWANGU NI IBAADA.... MUNGU wa mbinguni aendeleee kuwatumia kuihubiri injili yake kwa watu wote AMINA...

  • @benngideon9317
    @benngideon9317 Před 4 lety +11

    Kama hapa duniania ndio hvii Je huko kwa mbinguni patakuaje sipati picha siku hiyo.... Mungu awabariki Roho Mtakatifu akazidi kuwa ndani yenu awalinde.

  • @JudyChelangat-w6d
    @JudyChelangat-w6d Před 12 dny

    I love this...Inanifunza niombe Kila siku nimwambie mungu usinihukumu makosa nionyesha sababu yangu

  • @danierjohn1375
    @danierjohn1375 Před 4 lety +16

    Dada uliyeanzshaa kuimbishaa nakupendaa bureee😘😘

    • @davisntuba4742
      @davisntuba4742 Před 3 lety

      Hunizidi mimi natamani siku moja nikasali pale kanisani kwao

    • @justineelirehemaayo8255
      @justineelirehemaayo8255 Před 3 lety +1

      Daaaah kweli mungu amewatumia vzr hasa Hawa wanaombia daaaah mungu awainue zaidi jamani

  • @aminamsalege792
    @aminamsalege792 Před 3 lety +17

    Naupenda sana huu wimbo,, Dada Diana Mungu akupe maisha marefu. 😍mbarikiwe wote

  • @bombagakibona9037
    @bombagakibona9037 Před 3 lety +2

    Huu wimbo unanikumbusha kunyenyekea na kutubu mana maisha yetu yamechorwa kiganjani pake na ni neno toka kwake linaweza jenga au kuua......mungu ni mwema

  • @mariummwaipe1650
    @mariummwaipe1650 Před 3 lety +33

    Wakenya Lets show Love to these Blessed brothers and sisters. Nikisikiya Nyinyi zenu huwa najihisi nimesonga Karina na Mungu. May God bless you. Nawapenda Sana all the way from Mombasa Kenya.

  • @ConfusedDarts-yv4pr
    @ConfusedDarts-yv4pr Před 6 měsíci +3

    Mko sawa! Ila muwe macho Adui hana mchezo! Mkishangaa shangaa .................!!!

  • @TaCKyGe
    @TaCKyGe Před 3 lety +10

    Kutoka Kenya. Alivyoifanya mbingu Mungu, Akatutwika vipawa tuvitumie kwa Majira yaliyomo. Nimebarikiwa na nyimbo zenu, Soloists. Ooooh, What a gem 💎 you are. Kutoka, Yatendeeni, Ufalme, Mungu kwetu sisi, Wastahili, Nyenyekeeni, Kila mwenye Pumzi, Haudaiwi hata Usikate tawi..... . Sasa huu wa Nafsi yangu na Wasamehe kweli mwatesa ajabu. Mmelea vipawa na CVC iendelee. Mwalimu Styles,barikiwa. Mcheza keyboard, ooooh Baraka.

  • @normankiprono9538
    @normankiprono9538 Před 2 lety +13

    Watching you from Kenya 🇰🇪, my family and I have been really blessed by CVC songs since the one titled "Gusa" may God use you as the instrumentals in preaching His word.
    God bless you CVC. We Love you. 🙏

  • @jackobnzalia697
    @jackobnzalia697 Před 3 lety +3

    Cvc nawapenda sana huu wimbo umegusa mioyo za watu na kubarikiwa amen mungu awe nanyi siku zote nafsi yangu ....huchoki kusikiliza

  • @user-kq5yf2sx8p
    @user-kq5yf2sx8p Před 4 měsíci +3

    Nabarikiwa sana. Na huu wimbo

  • @ZoelleChelangat
    @ZoelleChelangat Před 3 měsíci +3

    Mbarikiwe sana nyimbo zeu zinanibariki sana

  • @evelynmalims
    @evelynmalims Před 3 lety +2

    Nimeupenda huu wimbo umekuwa faraja kwangu, natamani niimbe kama wewe soro wa kwanza Mungu aendelee kukutunza na kukutumia

  • @danielkiporlochongo7791
    @danielkiporlochongo7791 Před 2 lety +8

    The song leader is young all times since I knew her at my 7 years old,Grace is always at your life,I love your ministration.

    • @thaimouraaloyce9515
      @thaimouraaloyce9515 Před rokem

      Mubarikiwe xana kwa uinjilishaji wa neno la MUNGU,,nyimbo zetu Zina nibariki Xana xana ,,Mungu avitunze vipaji vyenu muendelee kumtukuza MUNGU,,,,

  • @user-jl1ct8be4o
    @user-jl1ct8be4o Před měsícem

    Kwakwli huu wimbo ukiusikiliza unaujumbe sana ibarikiwe hii kwaya pamoja na mtunzi

  • @eliasadrian5026
    @eliasadrian5026 Před 3 lety +2

    Amen sitachoka kutenda mema ee Mungu anitetee barikiweni wapendwa kwetu ni Mbinguni tulazen mwendo

  • @neemaezekiel4856
    @neemaezekiel4856 Před 4 lety +3

    Jamani sijui niseme nini juu yenu!! Zaidi ya kusema mbarikiwe zaidi na zaidi hakika nyimbo zinakuweka katika utukufu wa Mungu kabisa kabisa.

  • @joycebii5225
    @joycebii5225 Před 3 lety +5

    My favourite song. Your songs are unique and amazing. Be blessed AIC Chang'ombe.sichoki kuweka nyimbo zenu kila siku. Joyce from Kenya

  • @messiasulleydidy2585
    @messiasulleydidy2585 Před 4 lety +29

    Hawa masololists nashimdwa kuwasemea,, zaid nasema mungu aendeleee kuwabariki sana na sana tens,,

    • @marymyonga3808
      @marymyonga3808 Před 4 lety +4

      Nawatamani Sana Hawa masoro na me Ni solorist lkn kila nikiwaona Hawa najiona siwezi kabisa

    • @eunicehakamba7446
      @eunicehakamba7446 Před 3 lety +1

      May God bless you all

  • @princedejezeluuchannel5789

    Tunawapenda sana aict chang'ombe choir mnaimba vizuri sana mungu awabariki sana sisi pia tuko kijijini tunapenda sana kumwimbia mungu lakin tumepungukiwa vifaa vya music sana sana kinanda tunaomba mchango wenu wa hali na mali kias chochote mtakacho tuwezesha tutashukuru sana tunaomba mtusaidie tunataman sana kumwimbia Mungu amen mbarikiwe sana

  • @abelpaul5235
    @abelpaul5235 Před 3 lety +2

    Ole ole wake yule ashindanae na Mungu alie juu mwenye kuponya.

  • @jefredyfrednandy5880
    @jefredyfrednandy5880 Před 3 lety +2

    Yaaaaan sister Diana uishiiii miaaka bukuuu

  • @prettywizard5374
    @prettywizard5374 Před 2 lety +5

    What a blessing to the world from this Annoited choir!! For sure,,,,Siku za mwanadamu sio nyingi,,,, mbarikiwe Sana Wana Chang'ombe mnapoiendeleza huduma hii Kwa njia ya uimbaji!!!

  • @faithmusyoki5998
    @faithmusyoki5998 Před 4 lety +5

    Tamu sana.....Diz time round mko chonjo.....kuna taji baada ya kazi..Glory b to God...sauti nazo?You r really blessed...

  • @jacksonfulano6015
    @jacksonfulano6015 Před 4 lety +1

    NAWAPENDAAAAAAAAA SANAAAAA AICT CVC NABARIKIWA NA UIMBAJI WENU ,NILISUBILI KWA HAMU ALBAM YENU ,MUNGU AWABARIKI HAKIKA AMINAAA

  • @sundaysamson3159
    @sundaysamson3159 Před 3 lety +2

    Huyu Mama (Diana) .... Amekua Baraka Kwangu Mungu amuinue katika viwango vya juu kabisa....

    • @davisntuba4742
      @davisntuba4742 Před 3 lety

      Mama Diana ni huyu mweusi au maana mie nampenda sana uimbaji wake

    • @sheddy2417
      @sheddy2417 Před 3 lety

      Ndiye huyo ss...mama asiye na makuu.Mungu kambariki kweli na sauti

    • @ashukuriwembasha6629
      @ashukuriwembasha6629 Před rokem

      Mungu awabaroki sana .Mr.A mbasha.toka Moshi Kilimanjaro

  • @raphaelntambi6404
    @raphaelntambi6404 Před 4 lety +16

    Dada aliyeanza nafsi yanguhuwa naguswa na kubarikiwa Sana na huduma yako Mungu aendelee kukutumia

  • @franksamike174
    @franksamike174 Před 4 lety +1

    Mungu wetu mwenye nguvu awabariki sana katika huduma hii ya uimbaji kwani watu wenye kweli rohoni wanafarijika na wengine wengi wanaokolewa kwa huduma hii.

  • @adiminpeter5142
    @adiminpeter5142 Před 3 lety +1

    Nabarikiwa sana na wimbo huu, tunamuomba Mwenyezi Mungu aendelee kuwatumia kiwango hadi kiwango

  • @Siamanda51
    @Siamanda51 Před 3 lety +1

    Mungu aibariki kwaya hii nyinyi ni chombo mliyotumwa na mkakubali kutumika kutangaza injili ya yesu

  • @user-he5nd4hm7l
    @user-he5nd4hm7l Před 8 měsíci +1

    Mungu kwetu sisi ni kimbilio na nguvu ,msaada utakaoonekana wakati wa mateso .Glory be to God

  • @messiasulleydidy2585
    @messiasulleydidy2585 Před 4 lety +6

    hamjawahi kuniangusha hata kidg,,, being blessed,,

  • @abelpaul5235
    @abelpaul5235 Před 3 lety +5

    Huu ndyo wimbo wangu ninao uangalia kila cku. Mungu awabariki sana.

  • @benardbagwasiofficial5409

    Nyimbo tamu mavazi nadhifu yaani bwana anapendezwa nanyi,mbarikiwe sana.

  • @boazkitela6960
    @boazkitela6960 Před 3 lety +2

    Be blessed mmekuwa wasomi wa bibilia that's why mnaimba vizuri,pongezi

  • @georgearewa2377
    @georgearewa2377 Před 3 lety +2

    hawa ni kipenzi changu. napenda sana nyimbo za vikundi. mungu awabariki

  • @shilikale
    @shilikale Před 4 lety +3

    Cvc mbarikiwe sana na hii song tangu nilipoisikia mpaka leo naibariki sana

  • @kristinekateassy7135
    @kristinekateassy7135 Před 3 lety +7

    I just love the soloists of Chang'ombe choir you have awesome voices huwa mnanibariki way since the Gusa in the 2000s

  • @pendokaviha9275
    @pendokaviha9275 Před 3 lety +11

    From Kenya, aki mnanibariki Sanaa this is my favorite choir ever, my God bless you so much

    • @joynerbarasa5916
      @joynerbarasa5916 Před 3 lety

      From Kenya always ....i love this choir.

    • @tommuthiani5042
      @tommuthiani5042 Před 3 lety

      Good work mm napedezwa na uimbaji wenu kwanza ile vol ya nenda na uzima wako inanibamba sana mungu azidi kuwabariki

  • @oliviaa1106
    @oliviaa1106 Před 4 lety +2

    Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu nyimbo nzuri sana zinabariki

  • @bushabubushamingadonatien6673

    Nyimbo nzuri sana ,mungu amibariki....un cantique merveilleux, puisse Dieu vous bênir !!!

  • @Jorge_safaris
    @Jorge_safaris Před 2 lety +10

    Just what i needed... my mom just sent me a link to this song, I've been feeling low lately... thank you for the message.... My heavenly father continue reaching out to bless you people.

  • @samuelokoyaro1888
    @samuelokoyaro1888 Před 8 měsíci +1

    Mtunzi wa huu wimbo...nakuombea baraka tele jumla na waimbaji wote wa AIC Changombe,,,,,,Bibilia nayo mmeisoma

    • @isaiahkandie4968
      @isaiahkandie4968 Před 8 měsíci

      God bless you cha'ngombe choir for serving God and mankind, it always quite edifying the souls of the listeners.

  • @elijahmwongela7168
    @elijahmwongela7168 Před 3 lety +27

    My favourite soloist; I could listen to her sing the whole day and not get tired. God bless you mama!

  • @user-fy2uv5rv5d
    @user-fy2uv5rv5d Před 8 měsíci +1

    Nawapenda Sana nahudumahii yauwimbaji.kwakweli napowasikiliza pindi mkitowasautizenu kumtukuzamungu huwanatamani kuwakiumbe kipya

  • @daisyenock7670
    @daisyenock7670 Před 3 lety +2

    Hakika kila wakati nawiwa kuusikiliza tuu huu wimba unanibariki sana,hongereni wote.

  • @davidkisalimwala9458
    @davidkisalimwala9458 Před 4 lety +12

    all the songs i have watched from the new ALBUM JIWE zote ni nyimbo nzuri sana zimenibariki mno, HONGERA CVC kwa kazi safi sana ya kumtukuza Mungu. Kenya Tunapenda kazi yenu

    • @favouropande1065
      @favouropande1065 Před 3 lety +3

      Pamoja sana. My fellow Kenyan. In my heart...I have a dream to invite them to Kenya for a concert. May God help me.

    • @davidkisalimwala9458
      @davidkisalimwala9458 Před 3 lety

      @@favouropande1065 they were suppose to have a meeting in nakuru Last April but COVID 19 , its possible with good planning

  • @nehemiahelisha6947
    @nehemiahelisha6947 Před 4 lety +3

    Yaani CVC ni Shida watu wa Mungu Mbarikiwe Sana nyote
    Nawapenda Sana wimbo mzuri Sana katika maisha yetu ya kiroho

  • @paulsamsonkishindo1030
    @paulsamsonkishindo1030 Před 3 lety +3

    Hakika wimbo una mafundisho makubwa. Hongerani sana.

  • @marymyonga3808
    @marymyonga3808 Před 4 lety +1

    Wimbo nauangalia Kila Mara hapo mwanzo vyombo vimetulia mziki umetulia Sana Mungu. Awabariki

  • @elyciajohn9019
    @elyciajohn9019 Před 3 lety +1

    Mpom vizuri sana mbarikiwe na uimbaji,tangu enzi hizo za Gusa,usiku wa manane na zingine zote sasa mmenipa Jiwe kuu la Pembeni ,tunawapenda sana

  • @elizabetjmillel3351
    @elizabetjmillel3351 Před 4 lety +6

    Huyu mama sololist huwa anajua sana Mungu akuinue zaid kwenye uimbaji be blessed

    • @happinesfesto9171
      @happinesfesto9171 Před 3 lety

      Hakika huwa nabarikiwa sana jamani na hii kwaya barikiwa sn

  • @judithpendo4121
    @judithpendo4121 Před 4 lety +3

    Jamani barikiweni kwa uimbaji wenu mzuri tena mko smart mtu hachoki kusiliza ujumbe wenu

  • @rebecasanya8910
    @rebecasanya8910 Před 3 lety +3

    hii kwaya inamfanya mtu atamani kuimba kwaya kwakweli mbarikiwe sana jamani🙏🙏🙏🙏

  • @sonjoprimaryschool8186
    @sonjoprimaryschool8186 Před 3 lety +5

    Mama yangu umri wako unakwenda sana lakini, sauti yako inayomtukuza Mungu ni kama ndo kwanza inaanza. Ubarikiwe sana

    • @agnesgervas8070
      @agnesgervas8070 Před 3 lety

      Kwa mungu hakuna umri ote watoto ty

    • @sonjoprimaryschool8186
      @sonjoprimaryschool8186 Před 3 lety

      @@agnesgervas8070 Nabarikiwa nawe sana kwa uimbaji wako mama yangu

    • @agnesgervas8070
      @agnesgervas8070 Před 3 lety

      @@sonjoprimaryschool8186 Amina mungu azdi kukupa moyo wakusliza ili ubarikiw zaid

    • @sonjoprimaryschool8186
      @sonjoprimaryschool8186 Před 3 lety

      @@agnesgervas8070 Amina mama.. Performance ya wimbo JINSI ZILIVYO super sana kwangu

    • @agnesgervas8070
      @agnesgervas8070 Před 3 lety

      @@sonjoprimaryschool8186 amina God bless you

  • @jacobandrew4989
    @jacobandrew4989 Před 3 lety +5

    When hear about cvc changomber choir I feel blessed everyday🙏🏽✨

  • @georgejosephmiringay2325
    @georgejosephmiringay2325 Před 3 lety +4

    Wimbo Mzuri sana Solo sauti yako ni Tamu sana

  • @vieratuiya
    @vieratuiya Před 3 lety +5

    What a blessing,, every time I listen to changombe I feel am in another world..may God give you more strength to be a blessing to us

  • @dayanalushina4993
    @dayanalushina4993 Před 3 lety +1

    Nice CVC.. Hongereni kwa utume..!
    Waimbishaji wapya wenye vipaji vikubwa vya sauti vya sauti.. Nimeipenda hivyo..!! Sifa na utukufu vyote ni kwa Mungu...!

  • @charlesbuka9774
    @charlesbuka9774 Před 3 lety +1

    Jamani jamani dada huyu ananifanya nijihisi Niko mbinguni! Ubarikiwe sana dada nakupenda mnooooo!!!!!!!

    • @ayubukibona997
      @ayubukibona997 Před 2 lety

      Jaman huyu dada kweli anaupako wa kipekee barikiwa sana cvc Mungu amewainua tunawapenda tunamuona Mungu kwenu

  • @mukokokambale7420
    @mukokokambale7420 Před 2 lety

    Niwa shukuru wenzangu wana muziki wote wa kwaya kuu hii kwa utaratibu na ufundi mukubwa mulivyo utunga kwa wimbo huu na nyimbo zingine nime wasikiliza na ku wafurahia. Mimi pia ni mwana muziki kutoka mashariki drc butembo

  • @gracelyimojoseph7236
    @gracelyimojoseph7236 Před 3 lety +1

    jaman uyu solist wa kwanza aimba vizuri jaman kila wimbo mam mungu akubarik san mungu atakutetea kwel

  • @evelenev2877
    @evelenev2877 Před 3 lety +2

    Watch from Saudi Arabia like this song💋💋💋💋🙏🙏🙏🙏🙏

  • @kilonzimulandi2338
    @kilonzimulandi2338 Před 3 lety +1

    Ni moja kati ya kanda zenu nzuri sana. mungu awabariki sana wanachoir wenzangu

  • @janeanethmtagwaba3967
    @janeanethmtagwaba3967 Před 3 lety +1

    Mnakosha moyo kwa uimbaji wenu. Mungu awabariki sana AICT

  • @elishangomele9937
    @elishangomele9937 Před 3 lety

    AIC chang'ombe ni Moto wa kuotea Mbali mungu azidi kuwainua zaidi na zaid

  • @margaretngonyo695
    @margaretngonyo695 Před 3 lety +9

    Blessed voices mungu pekee hawainue kiwango mwingine.

  • @user-ss8ol3gy9m
    @user-ss8ol3gy9m Před rokem

    Florence ombwara Amen Amen nice song glory to God be blessed all singer's for give me God

  • @MmMm-tt1wi
    @MmMm-tt1wi Před 4 měsíci +2

    Mungu isamehe nafisi yangu 😢😢😢😢

  • @mimwaninelitha6666
    @mimwaninelitha6666 Před 4 lety +1

    Nyimbo zote nzuri MUNGU azidi kuwatumia kwa viwango vya juu sana sana

  • @carolmutai7248
    @carolmutai7248 Před 3 lety

    Kikundi hiki cha waimbaji wanibariki sana. Nyimbo zao huwa zinatoka kwenye maandiko matakatifu katika Biblia. Mwenyezi Mungu awabariki sana. Endeleeni kuhubiri injili kupitia nyimbo zenu za kuinua mioyo ya watu dunia kote.
    Nampenda sana huyu soloist....

  • @beckiechepsiror8028
    @beckiechepsiror8028 Před 4 lety +11

    From Kenya 🇰🇪, you are a blessing.
    The vocals, dressing code, hair and everything is just dope👌👌👌👌👌👌🙌🙌🙌🙌🙌🙌😍😍😍

    • @alicemumo7974
      @alicemumo7974 Před 4 lety +1

      I love their songs sana, natamani kwenda TZ

    • @gloriousn6425
      @gloriousn6425 Před 4 lety

      Alice Mumo toroka uje jirani 😊🙏🏾🇹🇿

    • @rizikilukumay6807
      @rizikilukumay6807 Před 3 lety

      Blessing voice soloist mama love

    • @sososool9177
      @sososool9177 Před 2 lety

      Mungu akubariki dada diana kila ninapo skiliza hu wimbo nahs uwepo wa Mungu kabla sjasali uck lazma niskilize kwanzo

  • @warrenhenrick5565
    @warrenhenrick5565 Před 4 lety +1

    Hongereni kwa kudumu hata Leo hii bado tunawasikia mkitubariki ni neema ya Mungu

  • @agnesgervas8070
    @agnesgervas8070 Před 3 lety +1

    Mm huw mnanikoshatu na nyimbo zenu nzur zinaujumbe mzur sana mungu awabariki nyote

  • @samwelchotta1245
    @samwelchotta1245 Před 3 lety +2

    Huu wimbo naupenda Sana siku haiish Bila kuusikiliza, nabarikiwa Sana na kufarijika kupitia wimbo huu,, unamaa kubwa Sana huu wimbo maishani mwangu.. ayubu10:1- mungu awabariki Sana cvc na awainue viwango vya juu kimataifa.

  • @mgangapaul3070
    @mgangapaul3070 Před 2 lety

    Mungu aendelee kuwatumia ili wazidi kulitangaza jina lake. Mbalikiwe sana kwa kukonga nyoyo za watakatifu wa Mungu.

  • @mussaphilemon8612
    @mussaphilemon8612 Před 3 lety +1

    Be blessed CVC
    Nafsi yangu imechoka sana na maisha yangu yamekosa Mwelekeo
    Usinihukumie makosa yangu ee Mungu, nionyeshe sababu ya kukosana nawe ili nitubu............
    Nipokee Bwana Mungu usiniache nipoteeeee Bwana,
    Nitetee Bwana Mungu usiniache niangamie mimi.......HALELUYAAAAAAAAAAAAAAAAA

    • @charlestoro8579
      @charlestoro8579 Před 2 lety

      This choir is blessed.
      I love this song so much, I worked somewhere & my boss could tell me to keep playing this song & she could sing along with them

  • @rosemarykisuke7223
    @rosemarykisuke7223 Před 2 lety

    Nawapenda mno sichoki kuwasikiliza!, Mungu awakumbuke katika ufalme wake!.

  • @jaredkarani9878
    @jaredkarani9878 Před 3 lety +1

    Baraka tele... Mungu azidi kuwainua nawapenda tu bure

  • @manuel8536
    @manuel8536 Před 3 lety +1

    Mungu awabariki sana kwa wimbo mzuri wenye ujumbe mzito

  • @wiza2309
    @wiza2309 Před 3 lety +1

    Mbarikiwe sana wapendwa, mnatuwakilisha vema waimbaji katika hiki kizazi.

  • @simbawayuda1627
    @simbawayuda1627 Před 2 lety +1

    Mbarikiwe sana watumishi wa MUNGU kwa huduma nzuri

  • @ayoubhezron4770
    @ayoubhezron4770 Před 4 lety +2

    Kazi yenu ni njema Mungu azidi kuwatia nguvu.

  • @phiedismwende1436
    @phiedismwende1436 Před 3 lety +1

    My favorite choir.Mungu azidi kuwabariki

  • @lilianrichard9572
    @lilianrichard9572 Před 4 měsíci +1

    Wahoo nimefurahii sana kumuona rafk yangu naomi from Tpsc singida

  • @masenyengefuraha9095
    @masenyengefuraha9095 Před 3 lety +1

    Hakika mungu ameweka kitu kwa watumish hawa muendelee kuitenda kaz ya bwana wenu john furaha kotoka kilimahewa ushirombo geita

  • @brebasheki9088
    @brebasheki9088 Před rokem +1

    Hii kwaya nimeijua juzi 2020, lakini ule wimbo wa gusa niliujua muda murefu nikiwa kijijini Katavi. Jamani tunatoka mbali. Kula hakuna radio kabisa.

  • @generalboy839
    @generalboy839 Před 2 lety +3

    Very nice song mam mungu akupe maisha marefu maan unamsaada mkubwa sana ktk uimbaj god bless you

  • @gastorypatrmusoma626
    @gastorypatrmusoma626 Před 4 lety +5

    Hakika nyie Ni mfano wa kuigwa, Nawapenda sana, Mbarikiwe sn na Mungu azidi kuwatetea kwa kazi nzuri

  • @juliusmusembi9136
    @juliusmusembi9136 Před rokem

    AIC CHANG'OMBE i realy like your songs. you are a blessing to me ...

  • @rojasnyakapala2222
    @rojasnyakapala2222 Před 2 lety

    Mungu awabaliki awape maisha malefu huwanajisikia Aman nikisikia nyimbo zenu

  • @erickbravo8903
    @erickbravo8903 Před 2 lety

    Huu wimboo ni Historia tosha ya huyo kijana kwenye huo wimbo ni mkoja wa classmate wangu and now nj mchungaji am so happy

  • @phiniasshadrackl9601
    @phiniasshadrackl9601 Před 4 lety +3

    Daaaah safi sana.

  • @janetmutiso9054
    @janetmutiso9054 Před 4 lety +1

    Kwaya hii naipenda saaàana inanibariki Sana .mungu na awazidishie

  • @emmahagai8941
    @emmahagai8941 Před 2 lety +3

    This is fantastic! Keep up the good work. GS Tz Mennonite Church.

  • @magesamgeta4922
    @magesamgeta4922 Před 4 lety +1

    Hongereni kwa albamu mpya, pia hongera Loyce kwa kibwagizo kizuri

  • @onesmusmusyoka7624
    @onesmusmusyoka7624 Před 3 lety +1

    Hallelujah.. Nabarikiwa sana... baraka kwenu pia

  • @j.smediaproduction
    @j.smediaproduction Před 3 lety +3

    Hakika walio ndani ya Mungu yeye uwapea kung'aa kwa kweli, vocals, soloists, uniformity, kila kitu ni asilimia mia juu ya mia. Mungu awatumie zaidi kufikisha ujumbe duniani kote.

  • @elimwemazacharia714
    @elimwemazacharia714 Před 4 lety +1

    Mungu awape hekima zaidi
    Bwana wa majeshi awe nanyi