Video není dostupné.
Omlouváme se.
AICT Chang'ombe Choir - Nafsi (Official Music Video)
Sdílet
Vložit
Velikost videa:
- čas přidán 7. 08. 2020
- AICT Chang'ombe Choir Official
Komentáře • 463
Další v pořadí
Automatické přehrávání
AICT CHANG'OMBE CHOIR CVC UTUKUFU ORIGINAL 2020AIC Chang'ombe Choir (CVC)
zhlédnutí 1,4M
AIC Chang'ombe Choir (CVC) - MOYO (Official Live Video)AIC Chang'ombe Choir (CVC)
zhlédnutí 327K
Ufunuo Choir - Usisahau ( Live Performance )UFUNUO CHOIR
zhlédnutí 4,8M
Growing An Ear In Your Arm 😨Zack D. Films
zhlédnutí 56M
TO NEJLEPŠÍ Z INTERNETU! #54 😍HouseBox
zhlédnutí 464K
Šílenství, nebo geniální obchod: Voda z rybníku za tisíce😂 #shortsTOP veci do 2 minut
zhlédnutí 163K
Your bathroom needs thisJustin Flom
zhlédnutí 7M
Mtu wa Nne - Kinondoni Revival Choir (Official Music Video).Kinondoni Revival Choir [KRC] The healing voice
zhlédnutí 1,3M
AIC CHANG'OMBE CHOIR. MIX OLD SONGS PART 1//SOPHIELINAH TVSophie TV
zhlédnutí 84K
Neema Gospel Choir - Nikurejeshee (Live Music Video)Neema Gospel Choir
zhlédnutí 2,8M
WALIKUFANANISHA NA MUSA // AMENIONA // JUBILEE (Min EsauTosh_Min HenryTheBand)Esau Tosh🥇
zhlédnutí 125K
NIMESOGEA BY PAUL MWANGOSI [OFFICIAL VIDEO]Paul Mwangosi
zhlédnutí 617K
AICT CHANG'OMBE CHOIR CVC UKO WAPI ADAMU ORIGINAL 2020AIC Chang'ombe Choir (CVC)
zhlédnutí 867K
AIC Chang'ombe Choir (CVC) - ELOHIM (Official Live Video)AIC Chang'ombe Choir (CVC)
zhlédnutí 867K
AICT Chang'ombe Choir (CVC) KILA MWENYE PUMZI OriginalAIC Chang'ombe Choir (CVC)
zhlédnutí 1,1M
Bella Kombo ft. Evelyn Wanjiru & Neema Gospel Choir - Mungu Ni Mmoja (Official Video)Bella Kombo
zhlédnutí 7M
Věděl si že to FUNGUJE? #ostravskygastrošef #heřmangazdaOstravsky Gastrošef (Heřman Gazda)
zhlédnutí 98K
Mama vs Son vs Daddy 😭🤣DADDYSON SHOW
zhlédnutí 21M
This pasta HACK is almost approvedLionfield
zhlédnutí 20M
Crossing the Most Dangerous CrosswalkZach King
zhlédnutí 12M
Growing An Ear In Your Arm 😨Zack D. Films
zhlédnutí 56M
Water park😍🔥 Do you want result?📱😈Diana Belitskay
zhlédnutí 17M
nafsi yangu imechoka sana na maisha yangu yamekosa mwelekeo, sitajizuia na kuugua kwangu mimi, nitanena kwa uchungu, kwa roho yangu nitamwambia MUNGU wangu... usinihukumie makosa yangu, Nioneshe sababu ya kukosana nawe..... WIMBO HUU KWANGU NI IBAADA.... MUNGU wa mbinguni aendeleee kuwatumia kuihubiri injili yake kwa watu wote AMINA...
AMINA mtumishi na mteule wa MUNGU
@@thaimouraaloyce9515
Hakika!
Kabisa, Mungu awatunze
@@chibudeh543 u
Kama hapa duniania ndio hvii Je huko kwa mbinguni patakuaje sipati picha siku hiyo.... Mungu awabariki Roho Mtakatifu akazidi kuwa ndani yenu awalinde.
I love this...Inanifunza niombe Kila siku nimwambie mungu usinihukumu makosa nionyesha sababu yangu
Dada uliyeanzshaa kuimbishaa nakupendaa bureee😘😘
Hunizidi mimi natamani siku moja nikasali pale kanisani kwao
Daaaah kweli mungu amewatumia vzr hasa Hawa wanaombia daaaah mungu awainue zaidi jamani
Naupenda sana huu wimbo,, Dada Diana Mungu akupe maisha marefu. 😍mbarikiwe wote
Huu wimbo unanikumbusha kunyenyekea na kutubu mana maisha yetu yamechorwa kiganjani pake na ni neno toka kwake linaweza jenga au kuua......mungu ni mwema
Wakenya Lets show Love to these Blessed brothers and sisters. Nikisikiya Nyinyi zenu huwa najihisi nimesonga Karina na Mungu. May God bless you. Nawapenda Sana all the way from Mombasa Kenya.
Mungu azidi kuwainua
🙏🙏🙏
Amen
Mnaimba vizuri mnavutia sana
@@rhodapyuza7465 a as
Mko sawa! Ila muwe macho Adui hana mchezo! Mkishangaa shangaa .................!!!
Kutoka Kenya. Alivyoifanya mbingu Mungu, Akatutwika vipawa tuvitumie kwa Majira yaliyomo. Nimebarikiwa na nyimbo zenu, Soloists. Ooooh, What a gem 💎 you are. Kutoka, Yatendeeni, Ufalme, Mungu kwetu sisi, Wastahili, Nyenyekeeni, Kila mwenye Pumzi, Haudaiwi hata Usikate tawi..... . Sasa huu wa Nafsi yangu na Wasamehe kweli mwatesa ajabu. Mmelea vipawa na CVC iendelee. Mwalimu Styles,barikiwa. Mcheza keyboard, ooooh Baraka.
Diana na mpenda
Watching you from Kenya 🇰🇪, my family and I have been really blessed by CVC songs since the one titled "Gusa" may God use you as the instrumentals in preaching His word.
God bless you CVC. We Love you. 🙏
Cvc nawapenda sana huu wimbo umegusa mioyo za watu na kubarikiwa amen mungu awe nanyi siku zote nafsi yangu ....huchoki kusikiliza
Nabarikiwa sana. Na huu wimbo
Mbarikiwe sana nyimbo zeu zinanibariki sana
Nimeupenda huu wimbo umekuwa faraja kwangu, natamani niimbe kama wewe soro wa kwanza Mungu aendelee kukutunza na kukutumia
The song leader is young all times since I knew her at my 7 years old,Grace is always at your life,I love your ministration.
Mubarikiwe xana kwa uinjilishaji wa neno la MUNGU,,nyimbo zetu Zina nibariki Xana xana ,,Mungu avitunze vipaji vyenu muendelee kumtukuza MUNGU,,,,
Kwakwli huu wimbo ukiusikiliza unaujumbe sana ibarikiwe hii kwaya pamoja na mtunzi
Amen sitachoka kutenda mema ee Mungu anitetee barikiweni wapendwa kwetu ni Mbinguni tulazen mwendo
Jamani sijui niseme nini juu yenu!! Zaidi ya kusema mbarikiwe zaidi na zaidi hakika nyimbo zinakuweka katika utukufu wa Mungu kabisa kabisa.
My favourite song. Your songs are unique and amazing. Be blessed AIC Chang'ombe.sichoki kuweka nyimbo zenu kila siku. Joyce from Kenya
Hawa masololists nashimdwa kuwasemea,, zaid nasema mungu aendeleee kuwabariki sana na sana tens,,
Nawatamani Sana Hawa masoro na me Ni solorist lkn kila nikiwaona Hawa najiona siwezi kabisa
May God bless you all
Tunawapenda sana aict chang'ombe choir mnaimba vizuri sana mungu awabariki sana sisi pia tuko kijijini tunapenda sana kumwimbia mungu lakin tumepungukiwa vifaa vya music sana sana kinanda tunaomba mchango wenu wa hali na mali kias chochote mtakacho tuwezesha tutashukuru sana tunaomba mtusaidie tunataman sana kumwimbia Mungu amen mbarikiwe sana
Ole ole wake yule ashindanae na Mungu alie juu mwenye kuponya.
Yaaaaan sister Diana uishiiii miaaka bukuuu
What a blessing to the world from this Annoited choir!! For sure,,,,Siku za mwanadamu sio nyingi,,,, mbarikiwe Sana Wana Chang'ombe mnapoiendeleza huduma hii Kwa njia ya uimbaji!!!
Tamu sana.....Diz time round mko chonjo.....kuna taji baada ya kazi..Glory b to God...sauti nazo?You r really blessed...
NAWAPENDAAAAAAAAA SANAAAAA AICT CVC NABARIKIWA NA UIMBAJI WENU ,NILISUBILI KWA HAMU ALBAM YENU ,MUNGU AWABARIKI HAKIKA AMINAAA
Huyu Mama (Diana) .... Amekua Baraka Kwangu Mungu amuinue katika viwango vya juu kabisa....
Mama Diana ni huyu mweusi au maana mie nampenda sana uimbaji wake
Ndiye huyo ss...mama asiye na makuu.Mungu kambariki kweli na sauti
Mungu awabaroki sana .Mr.A mbasha.toka Moshi Kilimanjaro
Dada aliyeanza nafsi yanguhuwa naguswa na kubarikiwa Sana na huduma yako Mungu aendelee kukutumia
E
Mbarikiwa sana
Mungu wetu mwenye nguvu awabariki sana katika huduma hii ya uimbaji kwani watu wenye kweli rohoni wanafarijika na wengine wengi wanaokolewa kwa huduma hii.
Nabarikiwa sana na wimbo huu, tunamuomba Mwenyezi Mungu aendelee kuwatumia kiwango hadi kiwango
Mungu aibariki kwaya hii nyinyi ni chombo mliyotumwa na mkakubali kutumika kutangaza injili ya yesu
Mungu kwetu sisi ni kimbilio na nguvu ,msaada utakaoonekana wakati wa mateso .Glory be to God
hamjawahi kuniangusha hata kidg,,, being blessed,,
Huu ndyo wimbo wangu ninao uangalia kila cku. Mungu awabariki sana.
Ubarikiwe sana
Nice nimependa sn kwa ujumbe mungu awabariki
Nyimbo tamu mavazi nadhifu yaani bwana anapendezwa nanyi,mbarikiwe sana.
Be blessed mmekuwa wasomi wa bibilia that's why mnaimba vizuri,pongezi
hawa ni kipenzi changu. napenda sana nyimbo za vikundi. mungu awabariki
Cvc mbarikiwe sana na hii song tangu nilipoisikia mpaka leo naibariki sana
I just love the soloists of Chang'ombe choir you have awesome voices huwa mnanibariki way since the Gusa in the 2000s
From Kenya, aki mnanibariki Sanaa this is my favorite choir ever, my God bless you so much
From Kenya always ....i love this choir.
Good work mm napedezwa na uimbaji wenu kwanza ile vol ya nenda na uzima wako inanibamba sana mungu azidi kuwabariki
Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu nyimbo nzuri sana zinabariki
Nyimbo nzuri sana ,mungu amibariki....un cantique merveilleux, puisse Dieu vous bênir !!!
Just what i needed... my mom just sent me a link to this song, I've been feeling low lately... thank you for the message.... My heavenly father continue reaching out to bless you people.
Amen 🙏
Mtunzi wa huu wimbo...nakuombea baraka tele jumla na waimbaji wote wa AIC Changombe,,,,,,Bibilia nayo mmeisoma
God bless you cha'ngombe choir for serving God and mankind, it always quite edifying the souls of the listeners.
My favourite soloist; I could listen to her sing the whole day and not get tired. God bless you mama!
Mungu awabarki
Nampenda sana❤
@@rizikilukumay6807 qm
Nawapenda Sana nahudumahii yauwimbaji.kwakweli napowasikiliza pindi mkitowasautizenu kumtukuzamungu huwanatamani kuwakiumbe kipya
Hakika kila wakati nawiwa kuusikiliza tuu huu wimba unanibariki sana,hongereni wote.
all the songs i have watched from the new ALBUM JIWE zote ni nyimbo nzuri sana zimenibariki mno, HONGERA CVC kwa kazi safi sana ya kumtukuza Mungu. Kenya Tunapenda kazi yenu
Pamoja sana. My fellow Kenyan. In my heart...I have a dream to invite them to Kenya for a concert. May God help me.
@@favouropande1065 they were suppose to have a meeting in nakuru Last April but COVID 19 , its possible with good planning
Yaani CVC ni Shida watu wa Mungu Mbarikiwe Sana nyote
Nawapenda Sana wimbo mzuri Sana katika maisha yetu ya kiroho
Hakika wimbo una mafundisho makubwa. Hongerani sana.
Wimbo nauangalia Kila Mara hapo mwanzo vyombo vimetulia mziki umetulia Sana Mungu. Awabariki
Mpom vizuri sana mbarikiwe na uimbaji,tangu enzi hizo za Gusa,usiku wa manane na zingine zote sasa mmenipa Jiwe kuu la Pembeni ,tunawapenda sana
Huyu mama sololist huwa anajua sana Mungu akuinue zaid kwenye uimbaji be blessed
Hakika huwa nabarikiwa sana jamani na hii kwaya barikiwa sn
Jamani barikiweni kwa uimbaji wenu mzuri tena mko smart mtu hachoki kusiliza ujumbe wenu
hii kwaya inamfanya mtu atamani kuimba kwaya kwakweli mbarikiwe sana jamani🙏🙏🙏🙏
Mama yangu umri wako unakwenda sana lakini, sauti yako inayomtukuza Mungu ni kama ndo kwanza inaanza. Ubarikiwe sana
Kwa mungu hakuna umri ote watoto ty
@@agnesgervas8070 Nabarikiwa nawe sana kwa uimbaji wako mama yangu
@@sonjoprimaryschool8186 Amina mungu azdi kukupa moyo wakusliza ili ubarikiw zaid
@@agnesgervas8070 Amina mama.. Performance ya wimbo JINSI ZILIVYO super sana kwangu
@@sonjoprimaryschool8186 amina God bless you
When hear about cvc changomber choir I feel blessed everyday🙏🏽✨
Wimbo Mzuri sana Solo sauti yako ni Tamu sana
What a blessing,, every time I listen to changombe I feel am in another world..may God give you more strength to be a blessing to us
Nice CVC.. Hongereni kwa utume..!
Waimbishaji wapya wenye vipaji vikubwa vya sauti vya sauti.. Nimeipenda hivyo..!! Sifa na utukufu vyote ni kwa Mungu...!
Jamani jamani dada huyu ananifanya nijihisi Niko mbinguni! Ubarikiwe sana dada nakupenda mnooooo!!!!!!!
Jaman huyu dada kweli anaupako wa kipekee barikiwa sana cvc Mungu amewainua tunawapenda tunamuona Mungu kwenu
Niwa shukuru wenzangu wana muziki wote wa kwaya kuu hii kwa utaratibu na ufundi mukubwa mulivyo utunga kwa wimbo huu na nyimbo zingine nime wasikiliza na ku wafurahia. Mimi pia ni mwana muziki kutoka mashariki drc butembo
jaman uyu solist wa kwanza aimba vizuri jaman kila wimbo mam mungu akubarik san mungu atakutetea kwel
Watch from Saudi Arabia like this song💋💋💋💋🙏🙏🙏🙏🙏
Ni moja kati ya kanda zenu nzuri sana. mungu awabariki sana wanachoir wenzangu
Mnakosha moyo kwa uimbaji wenu. Mungu awabariki sana AICT
AIC chang'ombe ni Moto wa kuotea Mbali mungu azidi kuwainua zaidi na zaid
Mungu awatie nguvu huu wimbo hunifariji sana
Blessed voices mungu pekee hawainue kiwango mwingine.
Florence ombwara Amen Amen nice song glory to God be blessed all singer's for give me God
Mungu isamehe nafisi yangu 😢😢😢😢
Nyimbo zote nzuri MUNGU azidi kuwatumia kwa viwango vya juu sana sana
Kikundi hiki cha waimbaji wanibariki sana. Nyimbo zao huwa zinatoka kwenye maandiko matakatifu katika Biblia. Mwenyezi Mungu awabariki sana. Endeleeni kuhubiri injili kupitia nyimbo zenu za kuinua mioyo ya watu dunia kote.
Nampenda sana huyu soloist....
From Kenya 🇰🇪, you are a blessing.
The vocals, dressing code, hair and everything is just dope👌👌👌👌👌👌🙌🙌🙌🙌🙌🙌😍😍😍
I love their songs sana, natamani kwenda TZ
Alice Mumo toroka uje jirani 😊🙏🏾🇹🇿
Blessing voice soloist mama love
Mungu akubariki dada diana kila ninapo skiliza hu wimbo nahs uwepo wa Mungu kabla sjasali uck lazma niskilize kwanzo
Hongereni kwa kudumu hata Leo hii bado tunawasikia mkitubariki ni neema ya Mungu
Mm huw mnanikoshatu na nyimbo zenu nzur zinaujumbe mzur sana mungu awabariki nyote
Huu wimbo naupenda Sana siku haiish Bila kuusikiliza, nabarikiwa Sana na kufarijika kupitia wimbo huu,, unamaa kubwa Sana huu wimbo maishani mwangu.. ayubu10:1- mungu awabariki Sana cvc na awainue viwango vya juu kimataifa.
Ll
Mungu aendelee kuwatumia ili wazidi kulitangaza jina lake. Mbalikiwe sana kwa kukonga nyoyo za watakatifu wa Mungu.
Be blessed CVC
Nafsi yangu imechoka sana na maisha yangu yamekosa Mwelekeo
Usinihukumie makosa yangu ee Mungu, nionyeshe sababu ya kukosana nawe ili nitubu............
Nipokee Bwana Mungu usiniache nipoteeeee Bwana,
Nitetee Bwana Mungu usiniache niangamie mimi.......HALELUYAAAAAAAAAAAAAAAAA
This choir is blessed.
I love this song so much, I worked somewhere & my boss could tell me to keep playing this song & she could sing along with them
Nawapenda mno sichoki kuwasikiliza!, Mungu awakumbuke katika ufalme wake!.
Baraka tele... Mungu azidi kuwainua nawapenda tu bure
Mungu awabariki sana kwa wimbo mzuri wenye ujumbe mzito
Mbarikiwe sana wapendwa, mnatuwakilisha vema waimbaji katika hiki kizazi.
Mbarikiwe sana watumishi wa MUNGU kwa huduma nzuri
Kazi yenu ni njema Mungu azidi kuwatia nguvu.
My favorite choir.Mungu azidi kuwabariki
Wahoo nimefurahii sana kumuona rafk yangu naomi from Tpsc singida
Hakika mungu ameweka kitu kwa watumish hawa muendelee kuitenda kaz ya bwana wenu john furaha kotoka kilimahewa ushirombo geita
Hii kwaya nimeijua juzi 2020, lakini ule wimbo wa gusa niliujua muda murefu nikiwa kijijini Katavi. Jamani tunatoka mbali. Kula hakuna radio kabisa.
Very nice song mam mungu akupe maisha marefu maan unamsaada mkubwa sana ktk uimbaj god bless you
Hakika nyie Ni mfano wa kuigwa, Nawapenda sana, Mbarikiwe sn na Mungu azidi kuwatetea kwa kazi nzuri
AIC CHANG'OMBE i realy like your songs. you are a blessing to me ...
Mungu awabaliki awape maisha malefu huwanajisikia Aman nikisikia nyimbo zenu
Huu wimboo ni Historia tosha ya huyo kijana kwenye huo wimbo ni mkoja wa classmate wangu and now nj mchungaji am so happy
Daaaah safi sana.
Kwaya hii naipenda saaàana inanibariki Sana .mungu na awazidishie
This is fantastic! Keep up the good work. GS Tz Mennonite Church.
Hongereni kwa albamu mpya, pia hongera Loyce kwa kibwagizo kizuri
Hallelujah.. Nabarikiwa sana... baraka kwenu pia
Hakika walio ndani ya Mungu yeye uwapea kung'aa kwa kweli, vocals, soloists, uniformity, kila kitu ni asilimia mia juu ya mia. Mungu awatumie zaidi kufikisha ujumbe duniani kote.
Mungu awape hekima zaidi
Bwana wa majeshi awe nanyi