AICT CHANG'OMBE CHOIR CVC UKO WAPI ADAMU ORIGINAL 2020

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2024
  • AICT Chang'ombe Choir Official

Komentáře • 173

  • @VincentOtwori
    @VincentOtwori Před 2 měsíci

    Huu wimbo uko na nguvu za kipekee, umenipa nguvu Sana . Watu walisema mengi wakati nilinyanganywa pikipiki ya kanisa yaani nikapitia Mambo magumu mpaka kanisa wenyewe wakakosa kuamini ya kwamba nimeibiwa pikipiki.lakini mungu akaonekana mtu wa nne kwangu baada ya maombi ikapatikana imewekwa Kwa miwa. Kutoka kisii hadi migori

  • @gitiganiibrahimdanhi7692
    @gitiganiibrahimdanhi7692 Před 3 lety +7

    Wimbo Mzuri,Sauti Zao ni nzuri,Ubunifu wa Hali ya juu Sana huu.
    Mwenyezi Mungu awabariki sana kwenye hii kazi AICT Chang'ombe Choir.
    Stay blessed always 🙏🙏🙏

  • @gloryatv1779
    @gloryatv1779 Před 4 lety +8

    WOW...huyu dada anaitwa nani...aisee abarikiwe sana anaimbwa vizuri sana

  • @linetobilo1746
    @linetobilo1746 Před 4 lety +4

    Naupenda sana hii choir!nyimbo zenu zinanibariki ajabu....Mimi naitika

  • @elimwemazacharia714
    @elimwemazacharia714 Před 4 lety +11

    Kwaya nayoipenda sana, namshukuru Mungu kwa ajili yenu.
    Naomba nami nimtolee Mungu sadaka kwa kufanya ukalimani wa lugha ya alama (Sign Language Interpretation) hata wimbo mmoja naamini Mungu atanibariki zaidi.

    • @jerrymadaha9895
      @jerrymadaha9895 Před 3 lety

      Tunashukuru sana kwa moyo wa kujitoa tutakapo andaa album nyingine utahusika

  • @vedmandudwa7658
    @vedmandudwa7658 Před 4 lety +6

    Aise hongeren sana kwa vidio ya huu wimbo,nakumbuka mliupiga sku ya uznduz wa kanisa la nyihogo pale kahama,,,
    Mbarikiwe saana....Wapendwa

  • @dayanalushina4993
    @dayanalushina4993 Před 4 lety +1

    Nice CVC.. Hongereni kwa utume..!
    Waimbishaji wapya wenye vipaji vikubwa vya sauti ...!. Nimeipenda hivyo..!! Sifa na utukufu vyote ni kwa Mungu...!

  • @emmiysteven3535
    @emmiysteven3535 Před 4 lety +2

    My favourte choir mbarikiwe sana Mungu azidi kuwainua viwango vingine vikubwa zaidi .Nawapenda

  • @beatricemwakalukwa3151
    @beatricemwakalukwa3151 Před 4 lety +5

    You are the best sana tu, since.. Ushauri tu badilisheni ladha ya nyimbo maana zinafanana sana hata kama hujauliza unajua tu ni ninyi.. Mtunzi wa nyimbo kama ni mmoja ni kawaida kutunga nyimbo zenye test moja hata mziki pia huko hivyo... I love u

    • @jerrymadaha9895
      @jerrymadaha9895 Před 3 lety

      Amina tutalifanyia kazi ndugu

    • @gibsonntamamilo490
      @gibsonntamamilo490 Před 3 lety +5

      Mimi naomba mbaki kwenye Key yenu. Huo ndio utambulisho wenu unaowatofautisha na kwaya nyingine. - From Kigoma TZ.

    • @shadrackmpama2947
      @shadrackmpama2947 Před 3 lety +3

      @@gibsonntamamilo490 safi wabaki hivi hivi Mana wakipiga sebene watapotea

    • @inteafrica6640
      @inteafrica6640 Před 3 lety

      Ni kweli wachanganye key ladha itakua tamu zaid

    • @dorianclarain102
      @dorianclarain102 Před 9 měsíci

      Msi mfurahishe mwanadamu maana nikiumbe kisicho rithika. Kila mtu Ninae share nae nyimbo zanu ana penda sana naku wa ombea baraka. Msi jichanganye msije mka kuwa kama wale wengine. Mungu awa bariki zaidi 🙏🙏

  • @josephkafumu6921
    @josephkafumu6921 Před 4 lety +2

    Nitawapenda mpaka kufa naona yusufu ndani ya suti Safi saaaaanaaa

  • @shadii660
    @shadii660 Před 3 lety +1

    Thank God for this Choir. Music that is very nourishing spirits. AICT my favourite any time am in Dar-el-salaam and always here in Kenya always blessed. Hongera kwa nyote kwa kazi nzuri ya Msalaba.

  • @ziribarmurumwa
    @ziribarmurumwa Před 4 lety +2

    Mungu azidi kuwabariki kwa huduma yenu,
    Ningependa kuwajua masoloist Wako vizuri sana.

  • @mroruraare
    @mroruraare Před 4 lety +1

    Huyo mrembo mwenye anaimba ako na talanta,nimependa huu wimbo.Mungu na abariki hii kwaya

  • @fransiscodaud7243
    @fransiscodaud7243 Před 4 lety +1

    Hongera sana Dada yangu rahabu kipaji kimekuwa tutakumisi sana A.C.T mganza

  • @aaliyahpaul3473
    @aaliyahpaul3473 Před 10 měsíci +1

    Nawapenda sana cvc mungu awatumie ipendavyo😅

  • @dorcasmoseti5948
    @dorcasmoseti5948 Před 3 lety +1

    Dhambi ilianza mtini ikamalizikia mtini Mungu atusaidie.Barikiweni sana kwa nyimbo nzuri

  • @pelesilazaro4312
    @pelesilazaro4312 Před 3 lety

    Aiseeee mpo visuri Sanam balikiwe saaaaaana nami natamani kuwa kama nyie daaaah

  • @geraldlaurent7465
    @geraldlaurent7465 Před 4 lety +1

    Siku zote Mungu atusaidie tuushinde Ulimwengu huu mbingu nikuzurii Sana

  • @daudkatungwa6867
    @daudkatungwa6867 Před 4 lety +1

    Naitwa Godfrey Baruth from kitunda tabora, nawapenda sana katika huduma yenu ya uimbaji mungu awabariki sana.

  • @raphaelmutunga999
    @raphaelmutunga999 Před 4 lety +3

    I can't have enough of this song, so touching to the point of tears. For sure ours is a gracious God, willing to forgive us.
    Hongera wana AICT CVC kwa kazi nzuri, Mungu na awajalie mema yake. Yet another great new soloist there.
    Listening all the way from Nairobi, Kenya.

  • @muyisengeonaan792
    @muyisengeonaan792 Před rokem +1

    Wonderful song !! Good voices !! Mungu awabarikiwe !!

  • @IssacWambua
    @IssacWambua Před 8 měsíci

    AIC Changombe vijana choir you are my favourite since 2007 enzi zile za Guza song you never disappoint.

  • @clementasumayimorotabani8548

    Nifuraha Kweli kuabudu Mungu pamoja na wandugu Wa kanisa hui. Mungu awabariki

  • @geofreynassary8585
    @geofreynassary8585 Před 4 lety +2

    Nawakubali hadi naumwaaaa.... Mwaaaaaaa

  • @timonjenga1552
    @timonjenga1552 Před rokem

    This is CVC i know. Brilliant work. The rhythim, the sound tells. This is your logo keep it up. Listening to this song I can feel the God's hollyness.

  • @PASCHALNKWABI-jv8ok
    @PASCHALNKWABI-jv8ok Před rokem

    Pongezi kwenu watumishi bwana awe nanyi

  • @Architectzbn
    @Architectzbn Před 4 lety +2

    Sound quality💥,music quality💥,ujumbe💥,,,,💥💥💥bless

  • @upendogospelmedia7286
    @upendogospelmedia7286 Před 2 lety

    Mungu aendelee kuwatumia vyema, nimebarikiwa na wimbo Sana Sana.... Mungu atawalipa msipozimia mioyo

  • @cleopatrabindangmanana576

    Soy Ecuator Guineano me encanta este grupo de alabanza,y me encantaría conocer de dónde es este grupo,y en ke país se. Encuentra? Y kiero el nombre completo de esta chica ke canta,esta canción de Adamu,porfa y ke tengáis un feliz Domingo

  • @sausausamuelmeshack2318
    @sausausamuelmeshack2318 Před 3 lety +5

    God bless you so much, you are a vessel of honor in God's kingdom. By serving Him you are best utilizing the special gift He deposited in you therefore He's raising you from glory to glory. In your next album production inform me, good to support God's work. God bless you

  • @floranyefwe3464
    @floranyefwe3464 Před 4 lety +3

    Nawapendaaaa snaaaa jaman . God bless you abundantly AICT

  • @joidingoliama9321
    @joidingoliama9321 Před 11 měsíci

    Hongereni mbarikiwe, mmeimba vizuri sana

  • @AzardMkuu-wf1ms
    @AzardMkuu-wf1ms Před rokem

    Nyimb munaweza

  • @faithmusyoki5998
    @faithmusyoki5998 Před 4 lety +1

    Wow...!! Ma favourite..watching frm Kenya..b blessed i say...🙏🙏🙏

  • @nzalimutua5913
    @nzalimutua5913 Před 3 lety +3

    Indeed God's love is strange..... He still loves us despite our shortcomings.
    Will strive to follow him.
    Great song 🎤

  • @barakaemmanuely8321
    @barakaemmanuely8321 Před 4 lety +1

    Ujumbe mzur sana Mungu awabariki 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤

  • @evalinembowe7965
    @evalinembowe7965 Před 2 lety

    Naomba kumfahamu mwalimu wa kwaya yenu jmn ...waimbaji mpo vzuri sn jmn

  • @jefredyfrednandy5880
    @jefredyfrednandy5880 Před 3 lety

    Safii sana rahabu umejuaa kunifurahishaaa CVC juuu

  • @simonmisese8893
    @simonmisese8893 Před 3 lety

    Napenda sana kazi zenu wapendwa mungu zaidi kuwabariki sana

  • @sam_wa_nduthi254
    @sam_wa_nduthi254 Před 4 lety +4

    This is always the choir of my choice. Changombe nawapenda sana

  • @user-ec7ci5yx1l
    @user-ec7ci5yx1l Před rokem

    Napenda sana nyimbo zenu zin ni bariki sana

  • @rabiamenshoo1988
    @rabiamenshoo1988 Před 4 lety +1

    Aimeeeeeeen,wimbo mzuri sana huu,nazidi kubarikiwa

  • @asiaminja3556
    @asiaminja3556 Před 4 lety

    Damu mpya na anaimbisha vzr sana. ...hongereni sana

  • @geraldlaurent7465
    @geraldlaurent7465 Před 4 lety +1

    Mungu Mzuriii Sana 🙏🙏🙏🙏🙏 Asante kwa huduma ya yenu damu Ya. Yesu iwafunike milele

  • @syombuasammysammysyombua4372

    This is my ever listening choir.. God bless you in abundance 🙏🙏

  • @gracebuhatwa6359
    @gracebuhatwa6359 Před 5 měsíci +1

    Kwaya yangu naipenda

  • @danielwanchage8734
    @danielwanchage8734 Před 4 lety +9

    This young lady she sings well and perfect!! She deserves to be in Kenya indeed

    • @ngwalabenedictor4678
      @ngwalabenedictor4678 Před 3 lety +1

      Kenya has not reached the level of having girls like this.
      Invest much, may be after 10 years you may

    • @dostovan5142
      @dostovan5142 Před 3 lety

      I think u have yo own young ladies

    • @tomkyalo1107
      @tomkyalo1107 Před rokem

      ​@@ngwalabenedictor4678 surely bona waonea wakenya?

  • @stephenmalasy3587
    @stephenmalasy3587 Před 4 lety +1

    Nawaelewa Sana tunawasikiliza tupo na juma julius kutoka igunga ziba

  • @damsonmsalangi3900
    @damsonmsalangi3900 Před rokem +1

    A fantastic sollolist ❤ 😍

  • @samwelmagonya6184
    @samwelmagonya6184 Před 3 lety

    Mungu awabariki sana kwakazi zenu mnazotuletea

  • @maitali4448
    @maitali4448 Před 4 měsíci

    Hhhiii nfio cbc sio uimbsje wenu wa siku hizi mlioanza kuimba

  • @stephenrimberia5825
    @stephenrimberia5825 Před 4 lety +2

    A nice song, from Kenya I am blessed by that choir

  • @jameskamoliurukundotanzani6153

    Binti kajore hongera

  • @esthermutua1287
    @esthermutua1287 Před 4 lety +1

    Search a powerful and awasome songs ...Be blessed changombe ...Much.love from.kenya

  • @julietmoonka7155
    @julietmoonka7155 Před 4 lety +1

    Wimbo mzuri sana. Mbarikiwe.

  • @danielphilipo6942
    @danielphilipo6942 Před 4 lety +1

    Nimebarikiwa sauti nzuri sana

  • @kalamuyangu1
    @kalamuyangu1 Před 4 lety +2

    Wimbo mzuri sana na wenye upako 🙏🏻

  • @samlush6127
    @samlush6127 Před 4 lety +2

    Aict hatari sisi

  • @_Dr.Nyamohanga_Nega_PhD
    @_Dr.Nyamohanga_Nega_PhD Před 3 lety +2

    I like your songs since time memorial they are refreshing and soul touching 🇰🇪

  • @annapendokusekwa3616
    @annapendokusekwa3616 Před 3 lety

    Mungu awabariki sana tene aongeze masolo wa kutosha

  • @barakakavageme4338
    @barakakavageme4338 Před 3 lety

    Mungu azidi kuwatumia katika kazi yake, Mabariwe kwa kazi nzuri

  • @LagatMichael
    @LagatMichael Před 4 lety +5

    All the way from kenya.Nimekuwa nanyi tangu VUNJA.Chang'ome by now should be shooting the best quality video in East Africa.Improve on the quality otherwise setup yote iko sawa sana.God bless you

  • @luvigageorge5150
    @luvigageorge5150 Před 2 lety

    Mzidi kubarikiwa ktk utunzi wenu

  • @user-np9qi8zh9l
    @user-np9qi8zh9l Před 11 měsíci +1

    Amen 🙏🙏 Golry to Golry

  • @gabrielisack7786
    @gabrielisack7786 Před 3 lety

    Mungu nisaidie nisije nikajificha ninapokutenda dhambi.

  • @moronayou5148
    @moronayou5148 Před rokem

    My favorite choir❤️❤️❤️🙏

  • @evansmogaka289
    @evansmogaka289 Před 3 lety

    U've been a blessing to me en my entire family love u Aic chang'ombe.

  • @Eliuskip
    @Eliuskip Před 4 lety +1

    Very beautiful song!
    Bring your Albums to Nairobi.

  • @davdlugito6787
    @davdlugito6787 Před 3 lety +1

    Asanteni,,,Sana daaaaaa♥️♥️♥️♥️♥️♥️💯

  • @edwinwafulasirengo9622
    @edwinwafulasirengo9622 Před 4 lety +1

    Amen. Powerful and touching song. I can't finish listening to it.

    • @maryshirima8128
      @maryshirima8128 Před 3 lety

      Asante kwa huduma ya uimbaji mliyonayo nyimbo zenu zinatubariki sana

  • @phiniasshadrackl9601
    @phiniasshadrackl9601 Před 4 lety

    Huu wimbo ni mzuri sana,
    Mbarikiwe sana CVC .

  • @annastaziadaniel6538
    @annastaziadaniel6538 Před 4 lety +1

    Wimbo muzuri san,,, ❤❤❤

  • @shijaenock1408
    @shijaenock1408 Před 3 lety

    Wimbo mzr sana, mbarikiwe xana xana

  • @winniemasaku1436
    @winniemasaku1436 Před 4 lety +1

    Nzuri kama kawaida
    254 watching

  • @moshanaaman5588
    @moshanaaman5588 Před 3 lety +1

    HUUWBO UMENIGUZA JAMANI JAMANI.

  • @danieliabely1229
    @danieliabely1229 Před 2 lety

    Mungu awabaliki mnanibalikisaana

  • @hellenmaiyo2516
    @hellenmaiyo2516 Před 3 lety

    A i c Changombe is a well organised team,may God bless you and uplift you.

  • @user-xm1yi4ve6q
    @user-xm1yi4ve6q Před 10 měsíci +1

    Amen nice song

  • @eunicembula9090
    @eunicembula9090 Před 2 lety

    Perfect 👍 kabixa ♥️💯

  • @patriciachebon5227
    @patriciachebon5227 Před 3 lety

    My all time favourite choir . God bless you much

  • @kimombokikoti346
    @kimombokikoti346 Před 4 lety +1

    Amina mungu azidi kuwainua

  • @hilgathjoshua8804
    @hilgathjoshua8804 Před 4 lety +2

    Nice song's👏👏👏

    • @elizajohn8728
      @elizajohn8728 Před 4 lety

      Mko vzr Sana ,mpe hi steve.pia Lidia mbona kimya.nna wapenda sana

  • @nancykiminza3034
    @nancykiminza3034 Před 4 lety +3

    Wow🎺🎻🥁🎙️🔉💕

  • @Walter-rt9ri
    @Walter-rt9ri Před 4 lety +1

    My favorite choir.❤️❤️❤️

  • @elibarikikateman5846
    @elibarikikateman5846 Před 4 lety +2

    oooooh!!! HALELUJAH!!!!

  • @justalubadanja4393
    @justalubadanja4393 Před 4 lety

    Nawapenda sana watumishi wa Mungu

  • @jetrudalucas1623
    @jetrudalucas1623 Před 2 lety

    Bwana yu pamoja nas

  • @athanasjuma1459
    @athanasjuma1459 Před 4 lety +2

    Amazing Sana,, my favourite choir forever

  • @mbalamwezikulobamalemo1141

    Mungu azidi kuwatumia

  • @samweldaniel8331
    @samweldaniel8331 Před 2 lety

    Wimbo mzr sana

  • @papanoellar6329
    @papanoellar6329 Před 3 lety

    Nyimbo nzuri sana lakini picha ya nyoka inakosea wimbo wenu

  • @evambwani6032
    @evambwani6032 Před 4 lety

    Nyimbo zuri mubarikiwe

  • @mussamatogoro2929
    @mussamatogoro2929 Před 4 lety

    dada rahabu umejitahd sana tena mmno mungu awapaliki

  • @wycliffewekesa5630
    @wycliffewekesa5630 Před 4 lety +1

    It's really amazing choir

  • @patrickmuthusi9005
    @patrickmuthusi9005 Před 3 lety

    You have been my blessing. God bless AIC Chang'ombe

  • @godrivamarko9489
    @godrivamarko9489 Před 3 lety

    Love you chang'ombe choir My Almighty God bless you more

  • @stephensandiko6049
    @stephensandiko6049 Před 2 lety

    Wimbo mzuri sana

  • @rebecadaniel3581
    @rebecadaniel3581 Před 4 lety

    Bwanaawabariki watumishi waMungu

  • @mimwaninelitha6666
    @mimwaninelitha6666 Před 4 lety +1

    Hakika nawapenda MUNGU amewapaka mafuta matakatifu

  • @dismusnyantika7372
    @dismusnyantika7372 Před 4 lety +2

    Nice song be blessed

    • @kulwajohn2820
      @kulwajohn2820 Před 3 lety

      Nice song.

    • @isackmakundi195
      @isackmakundi195 Před 3 lety

      Hii ni kwaya haijawahi kukosea hata siku moja, ni hatari sn. Ni kwaya no moja duniani