Majibu ( Response ) Dr. Ellie VD. Waminian. No 32

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 11. 2022
  • Kuendelea kupata mafundisho mengine zaidi tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:-
    Facebook : / gospeltvshow
    Instagram : / chomozanews
    CZcams : czcams.com/users/ChomozaTV?su...
    #ChomozaTv#2022
  • Zábava

Komentáře • 15

  • @pendomwaiteleke1636
    @pendomwaiteleke1636 Před rokem +2

    Asante Dr nazidi kujifunza Mungu akubariki sana aendelee kukutumia tuzidi kujifunza na tufundishike

  • @ruthn9381
    @ruthn9381 Před rokem +2

    Thanks Dr.Ellie. You always bring sense to things that never made sense to me before. You are a blessing. Asante Chomoza. Freedom is a challenge even to superpowers.

  • @rugaziabaisi6199
    @rugaziabaisi6199 Před rokem +4

    Dr.ellie umekuwa baba yangu ambaye umenibariki zaidi kifikra nakufatilia Tangu mwaka 2017..
    Mungu akupemaisha marefu yenye Baraka... Thanks Lord's 🙏

  • @TwahaHamidu-kq6ml
    @TwahaHamidu-kq6ml Před rokem

    💙💙💙

  • @godlistenemanuel4329
    @godlistenemanuel4329 Před rokem +1

    Hapa ndipo dr. Ananipa muunganiko wa kurelate na topics zilizopita zikielezea juu ya matatizo yalivyo muhimu ili kutusaidia ku openup uwezo wetu Ili kuwa na mawazo ya suluhu ili kufikia uhuru kamili. Vijana wenzangu changamoto moto zinatuunda in a new posibility.

  • @msalaba6768
    @msalaba6768 Před rokem +1

    Mungu nijalie nirithi hali kutoka kwa my Dr E. Vd W.

  • @emmanuelmayombo1858
    @emmanuelmayombo1858 Před rokem +1

    HAKIKA HUYU HUYU NI MTU NA SIO MWANADAMU

  • @timsregan7991
    @timsregan7991 Před rokem

    Life is energy...

  • @philbertmtalo2156
    @philbertmtalo2156 Před rokem

    Ni kweli kabisa Dr Ellie "mambo makuu yanayofanya ulimwengu guy kushikilia historia mambo hayo yapo Africa" mfano yesu alisema ni mara ngapi najaribu kuwakusanya kama kuku anavyokusanya vifaranga vyake kuku huyo ni kuku wa kienyeji ambaye anatokea Africa hii inamaana maisha ya yesu yalikuwa kama kuku wa kienyeji ndo maana watu walishangaa alipata wapi elimu kwani kuku wa kienyeji anavyokuwa kuna muda anakuwa na mama yake then anaanza kujitafutia ndo maana hata ww Dr haya unayoongea ni yale uliyoonyeshwa siyo uliyofundishwa au uliyojifunza

  • @philbertmtalo2156
    @philbertmtalo2156 Před rokem +1

    Hata historia yetu inasema fuvu la binaadamu wa kwanza liligundulika Arusha Africa na ukisoma biblia inasema mtu wa kwanza aliishi Eden hii inamaana bustani ya Eden ipo Tanzania na ni kweli ukiangalia hata utalia wa Tanzania ni natural na siyo artificial kama wa Dubai

  • @philbertmtalo2156
    @philbertmtalo2156 Před rokem

    Mfano mwingine ni Samson ni mwafrika kutokana na nywele zake ndo maana nyimbo nyingi za BOB MARLEY zinaongelea afrika hata nywele zake BOB MARLEY zinaongelea afrika hakuna mzungu mwanaume mwenye Rasta hata BARAKA OBAMA walisema ametokea Africa kutokana na nywele zake wanatafuta scenic area and build tree house this is art

  • @mj.tv.forpeople992
    @mj.tv.forpeople992 Před rokem

    NINI MANA YA PALA SEKOLOJI?
    MUNGU ATUBALIKI ENDELEA KUTUJENGA

  • @mj.tv.forpeople992
    @mj.tv.forpeople992 Před rokem

    JE NISABABU GANI INAFANYA IWE NGUMU MTU KUJENGA TABIA MPYA,? AMBAYO YEYE ANAHITAJI KUJENGA
    NA NINI CHAKUFANYA